KIGOMA: VIONGOZI 5 WA CHADEMA MBARONI KWA KUKUTWA NA KADI 14 ZA MPIGA KURA
> Waliokamatwa ni Hezron Vicent, Ezekia Samakere, Sheby Kasuka, Helson Miniho na Denis Lubuye
> RPC Manyama amesema walihojiwa lakini majibu yao hayakuwa na mashiko
Soma https://jamii.app/CDMKadiKura
#TZ2020
> Waliokamatwa ni Hezron Vicent, Ezekia Samakere, Sheby Kasuka, Helson Miniho na Denis Lubuye
> RPC Manyama amesema walihojiwa lakini majibu yao hayakuwa na mashiko
Soma https://jamii.app/CDMKadiKura
#TZ2020
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YAWAASA VIONGOZI WA DINI KUTOFANYA KAMPENI ZA KISIASA
> Imewaasa Viongozi wa Dini kutowaambia Wananchi wamchague Mgombea fulani kwasababu kufanya hivyo ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Soma https://jamii.app/MOHaViongoziDini
#Uchaguzi2020
> Imewaasa Viongozi wa Dini kutowaambia Wananchi wamchague Mgombea fulani kwasababu kufanya hivyo ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Soma https://jamii.app/MOHaViongoziDini
#Uchaguzi2020
MAALIM SEIF: NITAKUBALI MATOKEO IKIWA UCHAGUZI UTAKUWA HURU
> Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo amesema atakubali matokeo endapo atashindwa, ikiwa Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki
> Pia, hatakuwa na tatizo kumpongeza Dkt. Hussein Mwinyi (CCM)
Soma https://jamii.app/MaalimMatokeoHaki
#TZ2020
> Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo amesema atakubali matokeo endapo atashindwa, ikiwa Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki
> Pia, hatakuwa na tatizo kumpongeza Dkt. Hussein Mwinyi (CCM)
Soma https://jamii.app/MaalimMatokeoHaki
#TZ2020
GUINEA: WATU 10 WAUAWA KUTOKANA NA GHASIA BAADA YA UCHAGUZI
> Raia 8 na Polisi 2 wameuawa ktk ghasia za kupinga matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Rais
> #Guinea ilifanya Uchaguzi Oktoba 18 na matokeo yanaonesha Rais Alpha Conde anaongoza
Soma https://jamii.app/GhasiaUchaguziGuinea
> Raia 8 na Polisi 2 wameuawa ktk ghasia za kupinga matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Rais
> #Guinea ilifanya Uchaguzi Oktoba 18 na matokeo yanaonesha Rais Alpha Conde anaongoza
Soma https://jamii.app/GhasiaUchaguziGuinea
CECILIA MMANGA: WAUGUZI WENYE SHAHADA HAWATAKI KWENDA VIJIJINI
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini amesema Watawasomesha wasafishaji wa Wodi za Hospitali kozi za Ukunga na wakifuzu watapelekwa Vijijini ili kupunguza vifo vya Wajawazito
Soma https://jamii.app/VifoWajawazito
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini amesema Watawasomesha wasafishaji wa Wodi za Hospitali kozi za Ukunga na wakifuzu watapelekwa Vijijini ili kupunguza vifo vya Wajawazito
Soma https://jamii.app/VifoWajawazito
#TZ2020
#NIGERIA: WATU 12 WAUAWA NA POLISI KATIKA MAANDAMANO
> Shirika la Amnesty International limesema uchunguzi umebaini ushahidi wa vifo 12 huku mamia wakijeruhiwa
> Limewatuhumu Polisi na Wanajeshi kutumia nguvu kupita kiasi
Soma https://jamii.app/12DeadNGR
#EndSARS
> Shirika la Amnesty International limesema uchunguzi umebaini ushahidi wa vifo 12 huku mamia wakijeruhiwa
> Limewatuhumu Polisi na Wanajeshi kutumia nguvu kupita kiasi
Soma https://jamii.app/12DeadNGR
#EndSARS
RAIS MAGUFULI: TANZANIA INAHITAJI JOZI MILIONI 54 ZA VIATU KWA MWAKA
> Ameyasema hayo alipokuwa anazindua Kiwanda cha bidhaa za Ngozi kilichopo Mkoani #Kilimanjaro
> Kiwanda hicho kitatengeneza ajira milioni 3 na ajira 3000 za moja kwa moja
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
> Ameyasema hayo alipokuwa anazindua Kiwanda cha bidhaa za Ngozi kilichopo Mkoani #Kilimanjaro
> Kiwanda hicho kitatengeneza ajira milioni 3 na ajira 3000 za moja kwa moja
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
RAIS MAGUFULI: TANZANIA 'IMETOBOA' KWENYE MAENDELEO YA KWELI
> Amesema Kiuchumi #Tanzania imetoboa kutokana na wingi wa Viwanda vilivyopo
> Ametoa wito kwa Watanzania kununua bidhaa za ndani ili kukuza #Uchumi wa Nchi
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
> Amesema Kiuchumi #Tanzania imetoboa kutokana na wingi wa Viwanda vilivyopo
> Ametoa wito kwa Watanzania kununua bidhaa za ndani ili kukuza #Uchumi wa Nchi
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
MMANGA: VIJANA MSISUBIRI AJIRA, KUWENI KAMA MARASTA
> Mgombea Urais JMT kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amewataka Vijana kuacha kusubiri ajira Serikalini
> Asema Serikali yake itakuja na kauli ya 'Kilimo cha kufa na Kupona'
Soma https://jamii.app/DemkorasiaMakiniAjira
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais JMT kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amewataka Vijana kuacha kusubiri ajira Serikalini
> Asema Serikali yake itakuja na kauli ya 'Kilimo cha kufa na Kupona'
Soma https://jamii.app/DemkorasiaMakiniAjira
#Uchaguzi2020
RAIS MAGUFULI: TANZANIA NYEUPE PEE (HAINA CORONA)
> Amesema, chapisho la Gazeti la New York Times kuhusu hali ya #COVID19 Duniani limeitaja #Tanzania ikiwa nyeupe
> Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo na vimeondoka kwa maombi
Tazama https://youtu.be/9ajyBdWJEeA
#JPM
> Amesema, chapisho la Gazeti la New York Times kuhusu hali ya #COVID19 Duniani limeitaja #Tanzania ikiwa nyeupe
> Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo na vimeondoka kwa maombi
Tazama https://youtu.be/9ajyBdWJEeA
#JPM
YouTube
Rais Magufuli: Tanzania Nyeupe pee (Haina Corona)
Rais Magufuli amesema chapisho la gazeti la New York Times linaloonesha hali ya #CoronaVirus duniani imeonyesha #Tanzania ikiwa nyeupe
Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo
Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo
RC KUNENGE AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA FUJO OKTOBA 28
> Mkuu wa Mkoa wa Dar amesema wamejipanga na amewahakikishia usalama Wapiga kura
> Awataka Wananchi wajitokeze bila wasiwasi kupiga kura kwa kuwa Polisi wamejiandaa kudhibiti vurugu
Tazama https://youtu.be/9uAzHABcDiM
#Uchaguzi2020
> Mkuu wa Mkoa wa Dar amesema wamejipanga na amewahakikishia usalama Wapiga kura
> Awataka Wananchi wajitokeze bila wasiwasi kupiga kura kwa kuwa Polisi wamejiandaa kudhibiti vurugu
Tazama https://youtu.be/9uAzHABcDiM
#Uchaguzi2020
YouTube
RC KUNENGE AWAONYA WANAOPANGA KUFANYA FUJO SIKU YA UCHAGUZI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge ametoa onyo kwa Watu au Vikundi vya Watu vinavyopanga kufanya fujo Oktoba 28, 2020
Ameeleza kuwa, Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimejipanga vizuri kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa amani na usalama
Ameeleza kuwa, Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimejipanga vizuri kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa amani na usalama
DAR: AHUKUMIWA MIAKA 2 JELA KWA KUMUUA MKEWE BILA KUKUSUDIA
> Yusuph Ismail (45) alimuua Magdalena Fabian kwa kumchapa fimbo na kumnyonga kwa madai ya kukosa uaminifu
> Wakati tukio linatokea Novemba 2013, wawili hao walikuwa wamelewa
Soma - https://jamii.app/HukumuMauaji
> Yusuph Ismail (45) alimuua Magdalena Fabian kwa kumchapa fimbo na kumnyonga kwa madai ya kukosa uaminifu
> Wakati tukio linatokea Novemba 2013, wawili hao walikuwa wamelewa
Soma - https://jamii.app/HukumuMauaji
LISSU: VIONGOZI KAMA MAALIM SEIF HAWAZALIWI KILA SIKU
> Akiwa Pemba ktk Mkutano wa kufunga Kampeni za ACT- Wazalendo, amewakata Wazanzibari kumpa kura Maalim ili akamilishe ndoto ya Wazanzibari ya kuwa Taifa lililokuwa kabla ya Muungano
Soma - https://jamii.app/LissuPemba
#TZ2020
> Akiwa Pemba ktk Mkutano wa kufunga Kampeni za ACT- Wazalendo, amewakata Wazanzibari kumpa kura Maalim ili akamilishe ndoto ya Wazanzibari ya kuwa Taifa lililokuwa kabla ya Muungano
Soma - https://jamii.app/LissuPemba
#TZ2020
MAALIM SEIF: WALIMU WA MADRASA WATAINGIA KWENYE 'PAYROLL' YA SERIKALI
> Mgombea Urais #Zanzibar amesema, ni muhimu kwa Walimu wa Madrasa kuingia kwenye malipo ya Serikali kwasababu wanafanya kazi kubwa katika kuwaandaa watoto kiroho
Soma https://jamii.app/MaalimMadrassaWalimu
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais #Zanzibar amesema, ni muhimu kwa Walimu wa Madrasa kuingia kwenye malipo ya Serikali kwasababu wanafanya kazi kubwa katika kuwaandaa watoto kiroho
Soma https://jamii.app/MaalimMadrassaWalimu
#Uchaguzi2020
JOSHUA NASSARI AOMBA RADHI KWA DKT. MAGUFULI
> Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari aomba radhi kwa machukizo aliyofanya alipokuwa upinzani
> Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020
Soma https://jamii.app/NassariVsMagufuli
#Uchaguzi2020
> Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari aomba radhi kwa machukizo aliyofanya alipokuwa upinzani
> Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020
Soma https://jamii.app/NassariVsMagufuli
#Uchaguzi2020
ZEC: MAKOSA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA YAMECHANGIWA NA WAPIGA KURA WENYEWE
> Ni kwasababu ya kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa wakati zoezi hilo lilipofanyika
> ZEC itatoa msimamo kuhusu Wapiga Kura hao baada ya Kikao cha Uongozi
Soma - https://jamii.app/DaftariWapigaKura
#TZ2020
> Ni kwasababu ya kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa wakati zoezi hilo lilipofanyika
> ZEC itatoa msimamo kuhusu Wapiga Kura hao baada ya Kikao cha Uongozi
Soma - https://jamii.app/DaftariWapigaKura
#TZ2020
#CORONAVIRUS: KENYA YAREKODI VISA ZAIDI YA 1,000 NDANI YA SAA 24
> Maambukizi mapya 1,068 yamerekodiwa huku mgonjwa mdogo zaidi akiwa mtoto wa miezi 6
> Idadi ya visa imefikia 47,212, vifo 870 na wagonjwa waliopona hadi sasa ni 33,050
Soma - https://jamii.app/CovidKE
> Maambukizi mapya 1,068 yamerekodiwa huku mgonjwa mdogo zaidi akiwa mtoto wa miezi 6
> Idadi ya visa imefikia 47,212, vifo 870 na wagonjwa waliopona hadi sasa ni 33,050
Soma - https://jamii.app/CovidKE
MMANGA: NITAVUNJA UONGOZI WA TFF NA KUINUA SOKA LA WANAWAKE
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amesema TFF ni chanzo cha Migogoro kwenye Mpira
> Pia, watafufua #Michezo mingine ikiwemo kufundisha Watoto Bao
Soma https://jamii.app/MmangaTFF
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amesema TFF ni chanzo cha Migogoro kwenye Mpira
> Pia, watafufua #Michezo mingine ikiwemo kufundisha Watoto Bao
Soma https://jamii.app/MmangaTFF
#Uchaguzi2020
SERIKALI YAKOPA TSH BILIONI 136.85 KUKARABATI VIWANJA VYA NDEGE
> Serikali imezindua mradi wa ukarabati na upanuzi wa Viwanja vya Shinyanga, Tabora, Sumbawanga na Kigoma ili viwe vya Kimataifa
> Mkopo umetolewa na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya
Soma https://jamii.app/MkopoNdege136b
> Serikali imezindua mradi wa ukarabati na upanuzi wa Viwanja vya Shinyanga, Tabora, Sumbawanga na Kigoma ili viwe vya Kimataifa
> Mkopo umetolewa na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya
Soma https://jamii.app/MkopoNdege136b