HALF TIME: REAL MADRID AFUNGWA TATU BILA
> Nusu Kipindi cha mchezo kati ya Real Madrid dhidi ya Shakhtar Donestsk, Real Madrid amefungwa bao tatu bila
> Klabu ya Mpira ya Shakhtar Donetsk ni timu ya tatu kwenye Ligi ya Premier ya Ukraine
#JamiiForums #JFMichezo #JFSports #Sports
> Nusu Kipindi cha mchezo kati ya Real Madrid dhidi ya Shakhtar Donestsk, Real Madrid amefungwa bao tatu bila
> Klabu ya Mpira ya Shakhtar Donetsk ni timu ya tatu kwenye Ligi ya Premier ya Ukraine
#JamiiForums #JFMichezo #JFSports #Sports
ZANZIBAR: RVS ONLINE TV YAFUNGIWA KWA MIEZI 2 KWA KUTOTOA UWIANO SAWA KWA VYAMA VYA SIASA
> RVS Online TV imefungiwa na Tume ya Utangazaji #Zanzibar hadi Desemba 21 kwa kukosa uwiano na kurusha maudhui yanayoashiria uvunjifu wa amani
Soma - https://jamii.app/RVSOnlineTv
#Uchaguzi2020
> RVS Online TV imefungiwa na Tume ya Utangazaji #Zanzibar hadi Desemba 21 kwa kukosa uwiano na kurusha maudhui yanayoashiria uvunjifu wa amani
Soma - https://jamii.app/RVSOnlineTv
#Uchaguzi2020
BASATA: HATUJAUFUNGIA WIMBO WA βONE TIMEβ WA LADY JAYDEE
> BASATA imesema walimuita kumpa maelekezo JayDee ikiwemo kufanya maboresho ktk wimbo wake
> Baraza limewaomba wadau wote wa Muziki nchini kupuuza uvumi wa kufungiwa kwa wimbo huo
Soma https://jamii.app/BASATAJayDee
#JFBurudani
> BASATA imesema walimuita kumpa maelekezo JayDee ikiwemo kufanya maboresho ktk wimbo wake
> Baraza limewaomba wadau wote wa Muziki nchini kupuuza uvumi wa kufungiwa kwa wimbo huo
Soma https://jamii.app/BASATAJayDee
#JFBurudani
VUNJO: MREMA NA TLP WAMPOKEA MAGUFULI
> Pia, Mgombea huyo wa Ubunge wa Jimbo la Vunjo (TLP) na wafuasi wake wamempa Dkt. Magufuli zawadi ya mbuzi na mkungu wa ndizi
> TLP walitangaza mapema kuwa, CCM ikimsimamisha Magufuli watampigia kampeni
Soma https://jamii.app/TLPCCMVunjo
#TZ2020
> Pia, Mgombea huyo wa Ubunge wa Jimbo la Vunjo (TLP) na wafuasi wake wamempa Dkt. Magufuli zawadi ya mbuzi na mkungu wa ndizi
> TLP walitangaza mapema kuwa, CCM ikimsimamisha Magufuli watampigia kampeni
Soma https://jamii.app/TLPCCMVunjo
#TZ2020
IGP SIRRO: MAGAIDI ZAIDI YA 300 WALIVAMIA KIJIJI NA KUFANYA UHALIFU
> Magaidi hao kutoka Msumbiji walivamia Kijiji cha Kitaya Mkoani Mtwara na kufanya uhalifu ikiwemo mauaji
> Amesema baadhi ya watu wamekamatwa, na wengine ni raia wa hapa
Soma - https://jamii.app/MagaidiMtwara
> Magaidi hao kutoka Msumbiji walivamia Kijiji cha Kitaya Mkoani Mtwara na kufanya uhalifu ikiwemo mauaji
> Amesema baadhi ya watu wamekamatwa, na wengine ni raia wa hapa
Soma - https://jamii.app/MagaidiMtwara
QUEEN SENDIGA AAHIDI KUBORESHA SEKTA BINAFSI ILI KUKUZA UCHUMI
> Amesema kwa sasa Sekta binafsi na Serikali kumekuwa na uadui japo wanacheka kwa nje ila ndani wana maumivu
> Mgombea huyo wa ADC ameomba kupewa kura ili kukuza uchumi wa nchi
Soma https://jamii.app/ADCSingida
#TZ2020
> Amesema kwa sasa Sekta binafsi na Serikali kumekuwa na uadui japo wanacheka kwa nje ila ndani wana maumivu
> Mgombea huyo wa ADC ameomba kupewa kura ili kukuza uchumi wa nchi
Soma https://jamii.app/ADCSingida
#TZ2020
MAJALIWA: NAFASI YA URAIS INAGUSA MAISHA YAKO, SIO JAMBO LA MCHEZO
> Kassim Majaliwa akiwa Wilayani Masasi amesema, Urais wa #Tanzania unataka mtu mwenye uwezo wa kuongoza watu zaidi ya Milioni 60 wenye Dini, Vyama, Makabila na uwezo tofauti
Soma https://jamii.app/MajaliwaMasasi
#TZ2020
> Kassim Majaliwa akiwa Wilayani Masasi amesema, Urais wa #Tanzania unataka mtu mwenye uwezo wa kuongoza watu zaidi ya Milioni 60 wenye Dini, Vyama, Makabila na uwezo tofauti
Soma https://jamii.app/MajaliwaMasasi
#TZ2020
UJERUMANI: WAZIRI WA AFYA AKUTWA NA #COVID19
> Waziri wa Afya wa #Ujerumani, Jens Spahn amethibitishwa kukutwa na #CoronaVirus na tayari amejitenga
> Visa 11,287 vimerekodiwa ndani ya saa 24 zilizopita na maambukizi kufikia 391,355 hadi sasa
Soma https://jamii.app/UjerumaniWaziri
> Waziri wa Afya wa #Ujerumani, Jens Spahn amethibitishwa kukutwa na #CoronaVirus na tayari amejitenga
> Visa 11,287 vimerekodiwa ndani ya saa 24 zilizopita na maambukizi kufikia 391,355 hadi sasa
Soma https://jamii.app/UjerumaniWaziri
NEC: MPIGA KURA ANAWEZA KUOMBA KARATASI NYINGINE AKIKOSEA AU KUBADILI UAMUZI
> Ofisa wa NEC, Flora Mkama amesema, wapiga kura wana haki ya kuomba karatasi nyingine ya kupigia kura endapo itatokea kwa bahati mbaya amekosea au amebadili uamuzi
Soma https://jamii.app/KaratasiKuraNEC
#TZ2020
> Ofisa wa NEC, Flora Mkama amesema, wapiga kura wana haki ya kuomba karatasi nyingine ya kupigia kura endapo itatokea kwa bahati mbaya amekosea au amebadili uamuzi
Soma https://jamii.app/KaratasiKuraNEC
#TZ2020
SAUDI ARABIA: MWANAMFALME ADAIWA KUHUSIKA NA MAUAJI YA KHASHOGGI
> Mchumba wa Jamal Khashoggi, Hatice Cengiz anamshtaki Mwanamfalme Mohammed Bin Salman kwa kutoa amri ya kuuawa kwa Jamal
> Jamal alikuwa mkosoaji wa Serikali ya Saudi Arabia
Soma https://jamii.app/CrownPrinceSued
> Mchumba wa Jamal Khashoggi, Hatice Cengiz anamshtaki Mwanamfalme Mohammed Bin Salman kwa kutoa amri ya kuuawa kwa Jamal
> Jamal alikuwa mkosoaji wa Serikali ya Saudi Arabia
Soma https://jamii.app/CrownPrinceSued
KIGOMA: VIONGOZI 5 WA CHADEMA MBARONI KWA KUKUTWA NA KADI 14 ZA MPIGA KURA
> Waliokamatwa ni Hezron Vicent, Ezekia Samakere, Sheby Kasuka, Helson Miniho na Denis Lubuye
> RPC Manyama amesema walihojiwa lakini majibu yao hayakuwa na mashiko
Soma https://jamii.app/CDMKadiKura
#TZ2020
> Waliokamatwa ni Hezron Vicent, Ezekia Samakere, Sheby Kasuka, Helson Miniho na Denis Lubuye
> RPC Manyama amesema walihojiwa lakini majibu yao hayakuwa na mashiko
Soma https://jamii.app/CDMKadiKura
#TZ2020
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YAWAASA VIONGOZI WA DINI KUTOFANYA KAMPENI ZA KISIASA
> Imewaasa Viongozi wa Dini kutowaambia Wananchi wamchague Mgombea fulani kwasababu kufanya hivyo ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Soma https://jamii.app/MOHaViongoziDini
#Uchaguzi2020
> Imewaasa Viongozi wa Dini kutowaambia Wananchi wamchague Mgombea fulani kwasababu kufanya hivyo ni kinyume na kifungu cha 17(c) cha Sheria ya Jumuiya
Soma https://jamii.app/MOHaViongoziDini
#Uchaguzi2020
MAALIM SEIF: NITAKUBALI MATOKEO IKIWA UCHAGUZI UTAKUWA HURU
> Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo amesema atakubali matokeo endapo atashindwa, ikiwa Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki
> Pia, hatakuwa na tatizo kumpongeza Dkt. Hussein Mwinyi (CCM)
Soma https://jamii.app/MaalimMatokeoHaki
#TZ2020
> Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo amesema atakubali matokeo endapo atashindwa, ikiwa Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki
> Pia, hatakuwa na tatizo kumpongeza Dkt. Hussein Mwinyi (CCM)
Soma https://jamii.app/MaalimMatokeoHaki
#TZ2020
GUINEA: WATU 10 WAUAWA KUTOKANA NA GHASIA BAADA YA UCHAGUZI
> Raia 8 na Polisi 2 wameuawa ktk ghasia za kupinga matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Rais
> #Guinea ilifanya Uchaguzi Oktoba 18 na matokeo yanaonesha Rais Alpha Conde anaongoza
Soma https://jamii.app/GhasiaUchaguziGuinea
> Raia 8 na Polisi 2 wameuawa ktk ghasia za kupinga matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Rais
> #Guinea ilifanya Uchaguzi Oktoba 18 na matokeo yanaonesha Rais Alpha Conde anaongoza
Soma https://jamii.app/GhasiaUchaguziGuinea
CECILIA MMANGA: WAUGUZI WENYE SHAHADA HAWATAKI KWENDA VIJIJINI
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini amesema Watawasomesha wasafishaji wa Wodi za Hospitali kozi za Ukunga na wakifuzu watapelekwa Vijijini ili kupunguza vifo vya Wajawazito
Soma https://jamii.app/VifoWajawazito
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia Demokrasia Makini amesema Watawasomesha wasafishaji wa Wodi za Hospitali kozi za Ukunga na wakifuzu watapelekwa Vijijini ili kupunguza vifo vya Wajawazito
Soma https://jamii.app/VifoWajawazito
#TZ2020
#NIGERIA: WATU 12 WAUAWA NA POLISI KATIKA MAANDAMANO
> Shirika la Amnesty International limesema uchunguzi umebaini ushahidi wa vifo 12 huku mamia wakijeruhiwa
> Limewatuhumu Polisi na Wanajeshi kutumia nguvu kupita kiasi
Soma https://jamii.app/12DeadNGR
#EndSARS
> Shirika la Amnesty International limesema uchunguzi umebaini ushahidi wa vifo 12 huku mamia wakijeruhiwa
> Limewatuhumu Polisi na Wanajeshi kutumia nguvu kupita kiasi
Soma https://jamii.app/12DeadNGR
#EndSARS
RAIS MAGUFULI: TANZANIA INAHITAJI JOZI MILIONI 54 ZA VIATU KWA MWAKA
> Ameyasema hayo alipokuwa anazindua Kiwanda cha bidhaa za Ngozi kilichopo Mkoani #Kilimanjaro
> Kiwanda hicho kitatengeneza ajira milioni 3 na ajira 3000 za moja kwa moja
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
> Ameyasema hayo alipokuwa anazindua Kiwanda cha bidhaa za Ngozi kilichopo Mkoani #Kilimanjaro
> Kiwanda hicho kitatengeneza ajira milioni 3 na ajira 3000 za moja kwa moja
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
RAIS MAGUFULI: TANZANIA 'IMETOBOA' KWENYE MAENDELEO YA KWELI
> Amesema Kiuchumi #Tanzania imetoboa kutokana na wingi wa Viwanda vilivyopo
> Ametoa wito kwa Watanzania kununua bidhaa za ndani ili kukuza #Uchumi wa Nchi
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
> Amesema Kiuchumi #Tanzania imetoboa kutokana na wingi wa Viwanda vilivyopo
> Ametoa wito kwa Watanzania kununua bidhaa za ndani ili kukuza #Uchumi wa Nchi
Soma https://jamii.app/MagufuliViwanda
MMANGA: VIJANA MSISUBIRI AJIRA, KUWENI KAMA MARASTA
> Mgombea Urais JMT kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amewataka Vijana kuacha kusubiri ajira Serikalini
> Asema Serikali yake itakuja na kauli ya 'Kilimo cha kufa na Kupona'
Soma https://jamii.app/DemkorasiaMakiniAjira
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais JMT kupitia Demokrasia Makini, Cecilia Mmanga amewataka Vijana kuacha kusubiri ajira Serikalini
> Asema Serikali yake itakuja na kauli ya 'Kilimo cha kufa na Kupona'
Soma https://jamii.app/DemkorasiaMakiniAjira
#Uchaguzi2020
RAIS MAGUFULI: TANZANIA NYEUPE PEE (HAINA CORONA)
> Amesema, chapisho la Gazeti la New York Times kuhusu hali ya #COVID19 Duniani limeitaja #Tanzania ikiwa nyeupe
> Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo na vimeondoka kwa maombi
Tazama https://youtu.be/9ajyBdWJEeA
#JPM
> Amesema, chapisho la Gazeti la New York Times kuhusu hali ya #COVID19 Duniani limeitaja #Tanzania ikiwa nyeupe
> Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo na vimeondoka kwa maombi
Tazama https://youtu.be/9ajyBdWJEeA
#JPM
YouTube
Rais Magufuli: Tanzania Nyeupe pee (Haina Corona)
Rais Magufuli amesema chapisho la gazeti la New York Times linaloonesha hali ya #CoronaVirus duniani imeonyesha #Tanzania ikiwa nyeupe
Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo
Amesema Virusi hivyo vilikuwa tishio la Maendeleo