MAALIM SEIF AFUNGIWA KUFANYA KAMPENI KWA SIKU 5
> Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemfungia Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo kuanzia kesho hadi Oktoba 20 kwa kuwashawishi watu wapige kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28
Soma - https://jamii.app/MaalimSeifAfungiwa5
#TZ2020
> Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemfungia Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo kuanzia kesho hadi Oktoba 20 kwa kuwashawishi watu wapige kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28
Soma - https://jamii.app/MaalimSeifAfungiwa5
#TZ2020
JAJI MSTAAFU: WASAIDIZI WA SHERIA MJIEPUSHE NA USHABIKI WA KISIASA
> Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amewataka Wasaidizi wa Sheria wa Majaji kutumia taaluma na kuzingatia weledi katika uendeshaji wa mashauri ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/SheriaWelediUchaguzi
#TZ2020
> Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amewataka Wasaidizi wa Sheria wa Majaji kutumia taaluma na kuzingatia weledi katika uendeshaji wa mashauri ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/SheriaWelediUchaguzi
#TZ2020
MDAU: CHUKI NI CHANZO CHA MACHAFUKO, NI MUHIMU KUIEPUKA
> Mdau wa Jamiiforums.com anasema chuki hutokana na hasira inayochochewa na fitina au taarifa mbaya
> Chuki huaribu familia hadi mataifa, ameshauri kujifunza ili kuiepuka
Soma - https://jamii.app/KuepukaChuki
#JFMaarifa
> Mdau wa Jamiiforums.com anasema chuki hutokana na hasira inayochochewa na fitina au taarifa mbaya
> Chuki huaribu familia hadi mataifa, ameshauri kujifunza ili kuiepuka
Soma - https://jamii.app/KuepukaChuki
#JFMaarifa
MOROGORO: WATATU MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI
> Rajabu Ramadhani, Athumani Ramadhani na Daniel William wanashikiliwa kwa mauaji ya Bernadetha Kibwana na Zabibu Maulidi
> Bernadetha ameuawa kwa shoka na Zabibu alipigwa na mchi kichwani
Soma - https://jamii.app/TuhumaMauaji
#JFLeo
> Rajabu Ramadhani, Athumani Ramadhani na Daniel William wanashikiliwa kwa mauaji ya Bernadetha Kibwana na Zabibu Maulidi
> Bernadetha ameuawa kwa shoka na Zabibu alipigwa na mchi kichwani
Soma - https://jamii.app/TuhumaMauaji
#JFLeo
BAKWATA: VIONGOZI WA DINI WASIFANYE KAMPENI KWENYE NYUMBA ZA IBADA
> Baraza za Ulamaa BAKWATA Taifa limewasihi viongozi wa dini kubaki kuwa wasuluhishi na wapatanishi
> Limewataka waislamu kuiombea nchi ili Uchaguzi Mkuu upite salama
Soma https://jamii.app/BAKWATAUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Baraza za Ulamaa BAKWATA Taifa limewasihi viongozi wa dini kubaki kuwa wasuluhishi na wapatanishi
> Limewataka waislamu kuiombea nchi ili Uchaguzi Mkuu upite salama
Soma https://jamii.app/BAKWATAUchaguzi
#Uchaguzi2020
WIZARA YA AFYA: WAUGUZI WAZOEFU MUWASIMAMIE WATARAJALI
> Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga, Ziada Sellah amesema watarajali (interns) wasifanye kazi wenyewe
> Amesema, si sahihi wakiachwa peke yao kuwahudumia wagonjwa hospitalini
Soma - https://jamii.app/WauguziWatarajali
#JFLeo
> Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga, Ziada Sellah amesema watarajali (interns) wasifanye kazi wenyewe
> Amesema, si sahihi wakiachwa peke yao kuwahudumia wagonjwa hospitalini
Soma - https://jamii.app/WauguziWatarajali
#JFLeo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
NEC YATAKA VYAMA VYA SIASA KUZINGATIA MAADILI YA UCHAGUZI
-
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka Vyama vya Siasa na Wagombea kuendelea kufuata Maadili ya Uchaguzi na kunadi Sera kwa kufuata utaratibu wa ratiba ambayo imepangwa
-
Pia, Vyama vya Siasa vimetakiwa kukwepa maneno ya uchochezi, kukwepa kuhamasisha watu kufanya vurugu, badala yake vihamasishe watu kwa amani kwenda kupiga kura
-
NEC imesisitiza kwamba Sheria za nchi zipo na zinapaswa kuendelea kufuatwa
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
-
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka Vyama vya Siasa na Wagombea kuendelea kufuata Maadili ya Uchaguzi na kunadi Sera kwa kufuata utaratibu wa ratiba ambayo imepangwa
-
Pia, Vyama vya Siasa vimetakiwa kukwepa maneno ya uchochezi, kukwepa kuhamasisha watu kufanya vurugu, badala yake vihamasishe watu kwa amani kwenda kupiga kura
-
NEC imesisitiza kwamba Sheria za nchi zipo na zinapaswa kuendelea kufuatwa
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
ASKOFU SHOO: VIONGOZI WA DINI KUEGEMEA CHAMA KIMOJA CHA SIASA KUNAWAGAWA WANANCHI
> Kiongozi wa Kanisa la KKKT amesema, "Maandiko yanaelekeza namna ya kusimama na kama kuna mahali pa kukemea kutokana na ukiukwaji wowote, fanya bila ubaguzi”
Soma - https://jamii.app/ViongoziDiniSiasa
#TZ2020
> Kiongozi wa Kanisa la KKKT amesema, "Maandiko yanaelekeza namna ya kusimama na kama kuna mahali pa kukemea kutokana na ukiukwaji wowote, fanya bila ubaguzi”
Soma - https://jamii.app/ViongoziDiniSiasa
#TZ2020
SAMIA SULUHU: HATA UKIPIGIA KURA KWINGINE, CCM ITAUNDA SERIKALI
> Amesema kupigia kura Chama kingine ni sawa na kuweka sukari Ziwa Victoria
> Amewaambia wananchi wakifanya hivyo, hawatakuwa sehemu ya maendeleo yatakayoletwa na CCM
Soma - https://jamii.app/SamiaChunya
#Uchaguzi2020
> Amesema kupigia kura Chama kingine ni sawa na kuweka sukari Ziwa Victoria
> Amewaambia wananchi wakifanya hivyo, hawatakuwa sehemu ya maendeleo yatakayoletwa na CCM
Soma - https://jamii.app/SamiaChunya
#Uchaguzi2020
TUNDU LISSU: NITAONGOZA NCHI KWA KUFUATA KATIBA MPYA ITAKAYOPATIKANA
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, Nchi inahitaji #KatibaMpya ili kurudisha Mamlaka kwa Wananchi kujichagulia Viongozi kwenye maeneo yao na kuwawajibisha wanapokosea
Soma https://jamii.app/LissuSimiyu
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA amesema, Nchi inahitaji #KatibaMpya ili kurudisha Mamlaka kwa Wananchi kujichagulia Viongozi kwenye maeneo yao na kuwawajibisha wanapokosea
Soma https://jamii.app/LissuSimiyu
#TZ2020
SHINYANGA: VIJANA 2 MBARONI KWA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA 6
> Jeshi la Polisi linawashikilia vijana 2 wenye umri chini ya miaka 18 kwa tuhuma za kumbaka mtoto kwa zamu baada ya kumlaghai kuwa watamnunulia pipi pamoja na kumpatia hela
Soma - https://jamii.app/VijanaKubakaMtoto
> Jeshi la Polisi linawashikilia vijana 2 wenye umri chini ya miaka 18 kwa tuhuma za kumbaka mtoto kwa zamu baada ya kumlaghai kuwa watamnunulia pipi pamoja na kumpatia hela
Soma - https://jamii.app/VijanaKubakaMtoto
SERIKALI YAHIMIZA WAANDISHI KUSHIRIKI MASHINDANO YA SADC KWA WAANDISHI WA HABARI 2021
> Mashindano hayo yanahusisha washiriki kutoka nchi zote wanachama wa SADC
> Yatakuwa katika makundi manne ambayo ni Picha, Uchapishaji, Runinga na Radio
Soma - https://jamii.app/MashindanoSADC
> Mashindano hayo yanahusisha washiriki kutoka nchi zote wanachama wa SADC
> Yatakuwa katika makundi manne ambayo ni Picha, Uchapishaji, Runinga na Radio
Soma - https://jamii.app/MashindanoSADC
NEC: VYAMA VIWASILISHE ORODHA YA MAWAKALA SIKU SABA KABLA YA UCHAGUZI
> Pia, imevikumbusha Vyama kuwa, Mawakala ambao vyama vyao havitawapangia vituo hawataapishwa
> NEC imesema kuwa, hakutakuwa na uchelewaji wa vifaa ktk vituo
Soma https://jamii.app/UchaguziMawakala
#TZ2020
> Pia, imevikumbusha Vyama kuwa, Mawakala ambao vyama vyao havitawapangia vituo hawataapishwa
> NEC imesema kuwa, hakutakuwa na uchelewaji wa vifaa ktk vituo
Soma https://jamii.app/UchaguziMawakala
#TZ2020
WAUGUZI WATAKIWA KUACHA KUTUMIA LUGHA CHAFU KWA WAGONJWA
> Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga amesema, kumekuwa na tabia ya baadhi ya Wauguzi na Wakunga kutoa maneno yasiyofaa kwa wagonjwa jambo linaloharibu taswira ya Sekta ya Afya
Soma - https://jamii.app/LughaChafuWauguzi
> Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukunga amesema, kumekuwa na tabia ya baadhi ya Wauguzi na Wakunga kutoa maneno yasiyofaa kwa wagonjwa jambo linaloharibu taswira ya Sekta ya Afya
Soma - https://jamii.app/LughaChafuWauguzi
WHO: AFRIKA HAIWEZI KUHIMILI WIMBI LA PILI LA #CORONAVIRUS
> Shirika la Afya Duniani limesema mlipuko huo hautaweza kudhibitiwa kama mataifa barani Afrika hayatachukua tahadhari
> Wimbi la pili la #COVID19 litakuwa na athari kubwa kiuchumi
Soma - https://jamii.app/CoronaAfrica
> Shirika la Afya Duniani limesema mlipuko huo hautaweza kudhibitiwa kama mataifa barani Afrika hayatachukua tahadhari
> Wimbi la pili la #COVID19 litakuwa na athari kubwa kiuchumi
Soma - https://jamii.app/CoronaAfrica
PROF. LIPUMBA: SITISHIKI NA WATU KUJAA KWENYE MIKUTANO YA WAGOMBEA WENGINE
> Mgombea Urais (CUF) amesema anachokifanya yeye ni kwenda Vijijini ambako kuna changamoto kubwa za wananchi na sio kukusanya watu na kuwapeleka kwenye mikutano
Soma https://jamii.app/LipumbaMikutano
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais (CUF) amesema anachokifanya yeye ni kwenda Vijijini ambako kuna changamoto kubwa za wananchi na sio kukusanya watu na kuwapeleka kwenye mikutano
Soma https://jamii.app/LipumbaMikutano
#Uchaguzi2020
SIKU YA CHAKULA DUNIANI: KILA BAADA YA SEKUNDE 5 MTOTO 1 HUFARIKI KWA NJAA
> Watu Milioni 690 wanakabiliwa na njaa, ikiwa ni ongezeko la watu Milioni 10 tangu 2019
> Chakula kilichoharibiwa duniani kila mwaka kinaweza kulisha watu Bilioni 2
Soma https://jamii.app/WorldFoodDay
#JFLeo
> Watu Milioni 690 wanakabiliwa na njaa, ikiwa ni ongezeko la watu Milioni 10 tangu 2019
> Chakula kilichoharibiwa duniani kila mwaka kinaweza kulisha watu Bilioni 2
Soma https://jamii.app/WorldFoodDay
#JFLeo
DR CONGO: WATU MILIONI 22 WANAKABILIWA NA UKOSEFU WA CHAKULA
> Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo limesema vita, migogoro inayosababishwa na vikundi vyenye silaha na #COVID19 ni kati ya sababu zilizopelekea ukosefu wa chakula
Soma - https://jamii.app/DRC22Million
#JFLeo
> Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo limesema vita, migogoro inayosababishwa na vikundi vyenye silaha na #COVID19 ni kati ya sababu zilizopelekea ukosefu wa chakula
Soma - https://jamii.app/DRC22Million
#JFLeo
NJIA ZA KUHAKIKISHA WATOTO NJITI WANAWEKWA KWENYE MAZINGIRA BORA
> Moja ya njia ni kuhakikisha ngozi ya Mtoto inakuwa imegusana na ngozi ya Mama yake(Kangaroo Mother Care)
> Njia nyingine ni kuwaweka Watoto ktk mashine maalum
Soma https://jamii.app/MatunzoWatotoNjiti
#WatotoNjiti #PrematureBabies
> Moja ya njia ni kuhakikisha ngozi ya Mtoto inakuwa imegusana na ngozi ya Mama yake(Kangaroo Mother Care)
> Njia nyingine ni kuwaweka Watoto ktk mashine maalum
Soma https://jamii.app/MatunzoWatotoNjiti
#WatotoNjiti #PrematureBabies
DAR: AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 5 KWA KUKEKETA WATOTO WAKE
> Mahakama imemtia hatiani Cosmas Chacha kwa makosa 3. Mbali na kifungo, pia atalipa faini ya Milioni 3
> Desemba 2018, Mtuhumiwa aliwakeketa watoto wake 3 walio chini ya miaka 18
Soma https://jamii.app/Jela5KwaUkeketaji
#JFLeo
> Mahakama imemtia hatiani Cosmas Chacha kwa makosa 3. Mbali na kifungo, pia atalipa faini ya Milioni 3
> Desemba 2018, Mtuhumiwa aliwakeketa watoto wake 3 walio chini ya miaka 18
Soma https://jamii.app/Jela5KwaUkeketaji
#JFLeo