KENYA: WATOTO WOTE WA KIKE WATAKIWA KURUDI SHULENI HATA WENYE MIMBA
> Makamishna wa Kaunti wametakiwa kuchunguza Wanafunzi walioshindwa kuripoti Shuleni na kuwarudisha
> Wenye Mitihani ya Taifa watafanya bila kujali ni Wajawazito au La!
Soma - https://jamii.app/PregnantSchoolResume
> Makamishna wa Kaunti wametakiwa kuchunguza Wanafunzi walioshindwa kuripoti Shuleni na kuwarudisha
> Wenye Mitihani ya Taifa watafanya bila kujali ni Wajawazito au La!
Soma - https://jamii.app/PregnantSchoolResume
DAR: SOKO LA MAHAKAMA YA NDIZI LATHIBITISHWA KUMILIKIWA NA WANANCHI
> Akifanya Kampeni Mburahati, Dkt. Magufuli amesema Soko hilo litakuwa chini ya wananchi
> Ni baada ya Mgombea Ubunge wa Ubungo (CCM), Prof. Mkumbo kuomba soko kurasimishwa
Soma https://jamii.app/MabiboSokoWananchi
#JFLeo
> Akifanya Kampeni Mburahati, Dkt. Magufuli amesema Soko hilo litakuwa chini ya wananchi
> Ni baada ya Mgombea Ubunge wa Ubungo (CCM), Prof. Mkumbo kuomba soko kurasimishwa
Soma https://jamii.app/MabiboSokoWananchi
#JFLeo
ZANZIBAR: CHAUMMA YATANGAZA KUMUUNGA MKONO MAALIM SEIF
> Mgombea Urais wa CHAUMMA, Ali Juma amewataka Wanachama kumpigia kura Maalim Seif
> Amesema Vyama hivyo vina ushirikiano wa kindugu katika historia ya siasa za #Zanzibar na #Tanzania
Soma https://jamii.app/UraisCHAUMMA
#TZ2020
> Mgombea Urais wa CHAUMMA, Ali Juma amewataka Wanachama kumpigia kura Maalim Seif
> Amesema Vyama hivyo vina ushirikiano wa kindugu katika historia ya siasa za #Zanzibar na #Tanzania
Soma https://jamii.app/UraisCHAUMMA
#TZ2020
UDP YASEMA HAITAKUWA NA MIKUTANO YA HADHARA
> Naibu Katibu Mkuu, Juma Khamis Faki amesema kutokana na ukata, Chama hicho kitatangaza Sera zake nyumba kwa nyumba
> UDP imesema ni njia rahisi kuwafikia walengwa katika kuwaomba kura
Soma - https://jamii.app/KampeniUDP
#Uchaguzi2020
> Naibu Katibu Mkuu, Juma Khamis Faki amesema kutokana na ukata, Chama hicho kitatangaza Sera zake nyumba kwa nyumba
> UDP imesema ni njia rahisi kuwafikia walengwa katika kuwaomba kura
Soma - https://jamii.app/KampeniUDP
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: HUWEZI KUWA NA UCHUMI MZURI BILA MFUMO MZURI WA FEDHA
> Mgombea Urais kupitia CUF amesema βHali ya upatikanaji wa fedha ni ngumu na baadhi ya biashara zinafungwa
> Ameahidi kufufua viwanda na kuongeza ujazo wa fedha
Soma - https://jamii.app/LipumbaMfumoFedha
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia CUF amesema βHali ya upatikanaji wa fedha ni ngumu na baadhi ya biashara zinafungwa
> Ameahidi kufufua viwanda na kuongeza ujazo wa fedha
Soma - https://jamii.app/LipumbaMfumoFedha
#Uchaguzi2020
TLP: TUNAENDELEA KUMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CCM
> Makamu M/kiti wa TLP, Domina Rwechungura amesema βSisi tulishasema tangu mwezi wa 5 tutamuunga mkono Rais Magufuli, hivyo Msajili kauli yake kwamba tumesitisha uamuzi wetu hatuitambuiβ
Soma - https://jamii.app/TLPMagufuli2020
#TZ2020
> Makamu M/kiti wa TLP, Domina Rwechungura amesema βSisi tulishasema tangu mwezi wa 5 tutamuunga mkono Rais Magufuli, hivyo Msajili kauli yake kwamba tumesitisha uamuzi wetu hatuitambuiβ
Soma - https://jamii.app/TLPMagufuli2020
#TZ2020
MADHARA YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DAR ES SALAAM
-
Hali ilivyo katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam baada ya mvua kuendelea kunyesha tangu asubuhi ya leo
-
Ni muhimu kuchukua tahadhari
Tazama https://youtu.be/w64m0ECpuSA
-
Hali ilivyo katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam baada ya mvua kuendelea kunyesha tangu asubuhi ya leo
-
Ni muhimu kuchukua tahadhari
Tazama https://youtu.be/w64m0ECpuSA
YouTube
Tahadhari ya Mvua kwa Wakazi wa Dar, Watakiwa kuwa Makini
LISSU: UCHAGUZI HAUTAKUWA RAHISI, KURA HII NI YA UKOMBOZI WA NCHI
> Mgombea Urais (CHADEMA), Tundu Lissu amesema kwa miaka 5 baadhi ya Wananchi wamepitia changamoto mbalimbali na Oktoba 28 ndiyo wakati wa Ukombozi kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/LissuUkomboziNchi
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais (CHADEMA), Tundu Lissu amesema kwa miaka 5 baadhi ya Wananchi wamepitia changamoto mbalimbali na Oktoba 28 ndiyo wakati wa Ukombozi kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/LissuUkomboziNchi
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: HATUKUNUFAIKA NA MADINI KUTOKANA NA UDHIBITI MBOVU
> Rais Magufuli amesema udhibiti mdogo katika usafirishaji wa madini ghafi, wizi na utoroshaji wa madini ulifanya Tanzania isifaidike na madini
> Amesema Serikali ya awamu ya tano ilichukua hatua kudhibiti hayo ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga
Soma https://jamii.app/SerikaliGawio
> Rais Magufuli amesema udhibiti mdogo katika usafirishaji wa madini ghafi, wizi na utoroshaji wa madini ulifanya Tanzania isifaidike na madini
> Amesema Serikali ya awamu ya tano ilichukua hatua kudhibiti hayo ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga
Soma https://jamii.app/SerikaliGawio
#CORONAVIRUS: WAKENYA WAKASIRISHWA NA TUKIO LA WANAFUNZI KUPULIZIWA DAWA
> Wanafunzi wamepuliziwa dawa kama njia ya kuepuka Virusi hivyo baada ya kufungua Shule
> Shirika la Afya (WHO) limesema njia hiyo ina madhara kimwili na kisaikolojia
Tazama https://youtu.be/Xy0rojmFt-s
#JFLeo
> Wanafunzi wamepuliziwa dawa kama njia ya kuepuka Virusi hivyo baada ya kufungua Shule
> Shirika la Afya (WHO) limesema njia hiyo ina madhara kimwili na kisaikolojia
Tazama https://youtu.be/Xy0rojmFt-s
#JFLeo
YouTube
Wanafunzi Kenya Wapuliziwa dawa ya Corona, Wazazi Walalamika
LISSU: TUTATENGENEZA NCHI YA WATU WALIO HURU
> Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi ya watu huru na yenye haki, ambayo hakuna Kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu
> Amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 28
Tazama https://youtu.be/N2gbO75rV64
#TZ2020
> Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi ya watu huru na yenye haki, ambayo hakuna Kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu
> Amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 28
Tazama https://youtu.be/N2gbO75rV64
#TZ2020
YouTube
Bukombe, Geita: Tundu Lissu asema atatengeneza nchi ya watu walio huru
Ameyaongea hayo leo Oktoba 13, 2020 katika Kampeni za kusaka Urais wa JMT
MARA: IGP SIRRO AWATAKA WANASIASA KUTOWATUMIA WANANCHI VIBAYA
> Amewaonya baadhi ya wanasiasa kutumia shida za vijana kwa manufaa yao
> Amewataka wananchi wa Mara kuwa mfano wa siasa za busara, kwa kuwa wao ndio waanzilishi wa siasa nchini
Tazama https://youtu.be/A1-l4ppk1SI
#JFLeo
> Amewaonya baadhi ya wanasiasa kutumia shida za vijana kwa manufaa yao
> Amewataka wananchi wa Mara kuwa mfano wa siasa za busara, kwa kuwa wao ndio waanzilishi wa siasa nchini
Tazama https://youtu.be/A1-l4ppk1SI
#JFLeo
YouTube
Mara: IGP Sirro awataka Wanasiasa kutowatumia Vijana vibaya
Ni leo Oktoba 13, 2020 wakati wa kikao na wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
USAJILI WA MADUKA YA KUBADILISHA FEDHA KUHITIMISHWA APRILI 2021
> Benki Kuu Tanzania (BoT) inaendelea kupokea maombi ya usajili/leseni kwa watoa huduma ndogo za fedha hadi Aprili 30, 2021
> Wahusika wawasilishe maombi yanayoendana na sheria
Soma https://jamii.app/UsajiliMadukaFedha
#JFLeo
> Benki Kuu Tanzania (BoT) inaendelea kupokea maombi ya usajili/leseni kwa watoa huduma ndogo za fedha hadi Aprili 30, 2021
> Wahusika wawasilishe maombi yanayoendana na sheria
Soma https://jamii.app/UsajiliMadukaFedha
#JFLeo
OKTOBA 14: SIKU YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU NYERERE
> Leo ni Kumbukizi ya Kitaifa ya miaka 21 ya kifo cha Mwalimu Nyerere kilichotokea Oktoba 14, 1999
> Alikuwa muasisi wa Tanzania, alishiriki kulikomboa Taifa kutoka kwa wakoloni
Soma https://jamii.app/NyerereDay
#NyerereDay
> Leo ni Kumbukizi ya Kitaifa ya miaka 21 ya kifo cha Mwalimu Nyerere kilichotokea Oktoba 14, 1999
> Alikuwa muasisi wa Tanzania, alishiriki kulikomboa Taifa kutoka kwa wakoloni
Soma https://jamii.app/NyerereDay
#NyerereDay
PWANI: MAHABUSU ALIYEKUWA NA KESI YA MAUAJI AFARIKI KWA KUPIGWA NA RADI
> Mahabusu Musa Haji Mchana amefariki na wafungwa wanne wamejeruhiwa kwa radi ktk gereza la Mng'aro
> Polisi wamesema hakuna mfungwa aliyetoroka na ulinzi umeimarishwa
Soma https://jamii.app/MahabusuRadi
#JFLeo
> Mahabusu Musa Haji Mchana amefariki na wafungwa wanne wamejeruhiwa kwa radi ktk gereza la Mng'aro
> Polisi wamesema hakuna mfungwa aliyetoroka na ulinzi umeimarishwa
Soma https://jamii.app/MahabusuRadi
#JFLeo
RWANDA YARUHUSU KILIMO CHA BANGI KWA SABABU ZA KIBIASHARA
> Serikali imehalalisha kulimwa na kuuzwa kwa bangi nje ya nchi ili kunufaika kiuchumi
> Soko la zao hilo duniani lina thamani ya Dola Bilioni 345 (takriban Tsh. Trilioni 800)
Soma https://jamii.app/RwandaBangi
#JFLeo
> Serikali imehalalisha kulimwa na kuuzwa kwa bangi nje ya nchi ili kunufaika kiuchumi
> Soko la zao hilo duniani lina thamani ya Dola Bilioni 345 (takriban Tsh. Trilioni 800)
Soma https://jamii.app/RwandaBangi
#JFLeo
HALIMA MDEE: NATUHUMIWA KUMCHONGANISHA GWAJIMA NA MADHEHEBU MENGINE
> Mgombea Ubunge wa Kawe kupitia CHADEMA, Halima Mdee amesema atakata rufaa NEC dhidi ya maamuzi ya Kamati ya Maadili ambayo yamemsimamisha kufanya kampeni kwa siku 7
Soma https://jamii.app/AdhabuMdee
#Uchaguzi2020
> Mgombea Ubunge wa Kawe kupitia CHADEMA, Halima Mdee amesema atakata rufaa NEC dhidi ya maamuzi ya Kamati ya Maadili ambayo yamemsimamisha kufanya kampeni kwa siku 7
Soma https://jamii.app/AdhabuMdee
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: SIJAWAHI KUOMBWA KUWASAIDIA WANANCHI WA KAWE
> Akiwa eneo la Basihaya lililopo Boko jijini Dar, Dkt. John Magufuli amesema jana alipigiwa simu na Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM, Josephat Gwajima kuhusu adha ya maji
> Amesema wakimchagua Gwajima atawatengea Tsh. Bilioni 5 ili kukarabati mitaro ya Jimbo hilo
Soma https://jamii.app/MagufuliKaweDsm
#Uchaguzi2020
> Akiwa eneo la Basihaya lililopo Boko jijini Dar, Dkt. John Magufuli amesema jana alipigiwa simu na Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM, Josephat Gwajima kuhusu adha ya maji
> Amesema wakimchagua Gwajima atawatengea Tsh. Bilioni 5 ili kukarabati mitaro ya Jimbo hilo
Soma https://jamii.app/MagufuliKaweDsm
#Uchaguzi2020
DKT: MAGUFULI: VYAMA VYENYE BENDERA ZILIZO NA RANGI NYEKUNDU VINAASHIRIA MABAYA
> Ameeleza kuwa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata Uhuru wa nchi hii bila kumwaga damu, ndio sababu bendera ya taifa haina rangi nyekundu
> Amesema kuna baadhi ya vyama vya siasa vina bendera zenye rangi nyekundu ambayo haiashirii dalili nzuri
Soma https://jamii.app/MagufuliKaweDsm
#Uchaguzi2020
> Ameeleza kuwa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipata Uhuru wa nchi hii bila kumwaga damu, ndio sababu bendera ya taifa haina rangi nyekundu
> Amesema kuna baadhi ya vyama vya siasa vina bendera zenye rangi nyekundu ambayo haiashirii dalili nzuri
Soma https://jamii.app/MagufuliKaweDsm
#Uchaguzi2020