UCHAGUZI 2020: IJUE HAKI YA VYAMA VYA SIASA NA WAGOMBEA KUTEUA MAWAKALA
> Chama kinaruhusiwa baada ya kupata ridhaa ya Mgombea/Wagombea kuteua na kuwasilisha kwa Msimamizi wa Uchaguzi majina ya mawakala siku 7 kabla ya siku ya #Uchaguzi
Soma > https://jamii.app/UteuziMawakala
#TZ2020
> Chama kinaruhusiwa baada ya kupata ridhaa ya Mgombea/Wagombea kuteua na kuwasilisha kwa Msimamizi wa Uchaguzi majina ya mawakala siku 7 kabla ya siku ya #Uchaguzi
Soma > https://jamii.app/UteuziMawakala
#TZ2020
KIKWETE ASHAURI GHARAMA ZA MAZOEZI KWA WATOTO WENYE USONJI ZIPUNGUZWE
> Amesema kila zoezi moja ambalo watoto hufanyiwa ni Tsh. 20,000 Hospitali ya Muhimbili na Tsh. 50,000 Hospitali binafsi
> Mtoto anatakiwa kufanyiwa mazoezi 6 kila siku
Soma https://jamii.app/GharamaUsonji
#JFLeo
> Amesema kila zoezi moja ambalo watoto hufanyiwa ni Tsh. 20,000 Hospitali ya Muhimbili na Tsh. 50,000 Hospitali binafsi
> Mtoto anatakiwa kufanyiwa mazoezi 6 kila siku
Soma https://jamii.app/GharamaUsonji
#JFLeo
DKT. BASHIRU: SIFA YA MAENDELEO YA WATU NI KUJITAWALA WENYEWE
> Katibu Mkuu wa CCM Taifa, amesema maendeleo ya watu ni uwezo wa kujitawala, kuchapa kazi na kuwa na mahusiano mazuri
> Pia, amemsifu Dkt. Magufuli kwa kuleta maendeleo ya watu
Soma https://jamii.app/MagufuliKaweDsm
#TZ2020
> Katibu Mkuu wa CCM Taifa, amesema maendeleo ya watu ni uwezo wa kujitawala, kuchapa kazi na kuwa na mahusiano mazuri
> Pia, amemsifu Dkt. Magufuli kwa kuleta maendeleo ya watu
Soma https://jamii.app/MagufuliKaweDsm
#TZ2020
TUNDU LISSU ALAZIMIKA KUTUMIA MTUMBWI KUFIKA UKEREWE
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na msafara wake wamelazimika kutumia Mitumbwi kufika Ukerewe kwa ajili ya Kampeni baada ya kuambiwa Kivuko cha Kisorya-Ngoma ni kibovu
Tazama https://youtu.be/hjbVHnKcOJ8
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na msafara wake wamelazimika kutumia Mitumbwi kufika Ukerewe kwa ajili ya Kampeni baada ya kuambiwa Kivuko cha Kisorya-Ngoma ni kibovu
Tazama https://youtu.be/hjbVHnKcOJ8
#Uchaguzi2020
YouTube
Tundu Lissu alazimika kutumia Mtumbwi kufika Ukerewe
ALI KIBA AOMBA MWALIMU NYERERE ATENGENEZEWE βDOCUMENTARYβ
> Msanii huyo amemuomba Dkt. Magufuli atenge fedha kwa ajili ya documentary ya Baba wa Taifa
> Amesema itasaidia kukuza tasnia ya filamu nchini na kufanya Nyerere afahamike kwa vijana
Soma https://jamii.app/NyerereDocumentary
#JFLeo
> Msanii huyo amemuomba Dkt. Magufuli atenge fedha kwa ajili ya documentary ya Baba wa Taifa
> Amesema itasaidia kukuza tasnia ya filamu nchini na kufanya Nyerere afahamike kwa vijana
Soma https://jamii.app/NyerereDocumentary
#JFLeo
#UCHAGUZI2020: FACEBOOK KUDHIBITI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI
> Facebook imezindua programu za kukabiliana na taarifa potofu ili kulinda Demokrasia kipindi hiki cha Uchaguzi
> Itahakikisha matangazo ya Kampeni yanathibitishwa kwa ajili ya uwazi
Soma https://jamii.app/FacebookUchaguzi
#JFLeo
> Facebook imezindua programu za kukabiliana na taarifa potofu ili kulinda Demokrasia kipindi hiki cha Uchaguzi
> Itahakikisha matangazo ya Kampeni yanathibitishwa kwa ajili ya uwazi
Soma https://jamii.app/FacebookUchaguzi
#JFLeo
PROF. KABUDI APATA AJALI MOROGORO
> Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi amepata ajali eneo la Kihonda, Manispaa ya Morogoro
> Amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa akiendelea na matibabu
Tazama - https://youtu.be/aYzb2Ia1NCQ
#JFLeo
> Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi amepata ajali eneo la Kihonda, Manispaa ya Morogoro
> Amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa akiendelea na matibabu
Tazama - https://youtu.be/aYzb2Ia1NCQ
#JFLeo
YouTube
RC Ole Sanare: Waziri Kabudi amepata ajali na anaendelea vizuri. Watanzania wasiwe na wasiwasi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi amepata ajali eneo la Kihonda, Manispaa ya Morogoro na amelazwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro. Mkuu wa Mkoa huo, Loata Ole Sanare amethibitisha
BAKWATA MKOANI MTWARA YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CCM
> Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Mtwara Mjini limetoa tamko la kumuombea na kumuunga mkono Dkt. Magufuli ili achaguliwe kuwa Rais wa #Tanzania kwa awamu nyingine
Soma https://jamii.app/BakwataKuraMagufuli
#TZ2020
> Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Mtwara Mjini limetoa tamko la kumuombea na kumuunga mkono Dkt. Magufuli ili achaguliwe kuwa Rais wa #Tanzania kwa awamu nyingine
Soma https://jamii.app/BakwataKuraMagufuli
#TZ2020
GWAJIMA AMLAUMU HALIMA MDEE KUTOTENGENEZA MITARO YA BOKO
> Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM, Askofu Josephat Gwajima amemlaumu aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA) kwa kusababisha mafuriko kwa wananchi wa Boko
Tazama https://youtu.be/V-0ASXxnQFM
#Uchaguzi2020
> Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM, Askofu Josephat Gwajima amemlaumu aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA) kwa kusababisha mafuriko kwa wananchi wa Boko
Tazama https://youtu.be/V-0ASXxnQFM
#Uchaguzi2020
YouTube
#Uchaguzi2020: Gwajima (CCM) amshushia lawama Mdee (CHADEMA) kuhusu mafuriko ya Kawe
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe jiji Dar kupitia CCM, Josephat Gwajima amedai kushangazwa na nini alikuwa anafanya Mgombea wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Halima Mdee ambaye pia amekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kwa miaka 15 huku bado Wanachi wake wakiteseka naβ¦
UCHAGUZI MKUU 2020 NA UDHALILISHWAJI WA WAGOMBEA WANAWAKE
> Inaelezwa Mgombea Ubunge Tarime Mjini, Esther Matiko (CHADEMA) amekuwa akidhalilishwa na baadhi ya watu huku wengine wakiwa ni viongozi kama Polisi anayedaiwa kumtukana juzi
Soma - https://jamii.app/MilaWagombeaKe
#Uchaguzi2020
> Inaelezwa Mgombea Ubunge Tarime Mjini, Esther Matiko (CHADEMA) amekuwa akidhalilishwa na baadhi ya watu huku wengine wakiwa ni viongozi kama Polisi anayedaiwa kumtukana juzi
Soma - https://jamii.app/MilaWagombeaKe
#Uchaguzi2020
DR CONGO: WANASAYANSI WATAHADHARISHA KUHUSU MLIPUKO WA VOLKANO
> Kuna hatari ya Mlima Nyiragongo uliopo Goma, Mashariki mwa nchi hiyo kulipuka ndani ya miaka minne
> Januari mwaka 2002, Mlima huo ulilipuka na kusababisha vifo vya watu 250
Soma - https://jamii.app/VolcanoDRC
#JFLeo
> Kuna hatari ya Mlima Nyiragongo uliopo Goma, Mashariki mwa nchi hiyo kulipuka ndani ya miaka minne
> Januari mwaka 2002, Mlima huo ulilipuka na kusababisha vifo vya watu 250
Soma - https://jamii.app/VolcanoDRC
#JFLeo
TUNDU LISSU: MAGUFULI AMEBAKIZA SIKU 14 KUKAA IKULU
> Akiwa Ukerewe amesema akichaguliwa kuwa Rais manyanyaso dhidi ya Wavuvi yatakuwa mwisho
> Ataboresha Sheria za uvuvi, kupanua Bandari ya Nansio na kujenga daraja la Kisorya-Ukerewe
Soma https://jamii.app/LissuUkerewe
#Uchaguzi2020
> Akiwa Ukerewe amesema akichaguliwa kuwa Rais manyanyaso dhidi ya Wavuvi yatakuwa mwisho
> Ataboresha Sheria za uvuvi, kupanua Bandari ya Nansio na kujenga daraja la Kisorya-Ukerewe
Soma https://jamii.app/LissuUkerewe
#Uchaguzi2020
TUNDU LISSU KUJIBU MASWALI YA WANANCHI KUPITIA JAMIIFORUMS
> Mwanachama wa JamiiForums na Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu atajibu maswali ya Wananchi kupitia JamiiForums
> Ni kesho Oktoba 15, 2020 kuanzia saa 2 hadi 4 asubuhi
Uliza swali lako hapa https://jamii.app/LissuOnJF
> Mwanachama wa JamiiForums na Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu atajibu maswali ya Wananchi kupitia JamiiForums
> Ni kesho Oktoba 15, 2020 kuanzia saa 2 hadi 4 asubuhi
Uliza swali lako hapa https://jamii.app/LissuOnJF
DKT. MAGUFULI: NATAMANI KUFIKA KILA ENEO KUFANYA KAMPENI LAKINI SIWEZI
> Amesema hawezi kwasababu na yeye ni binadamu
> Amesema mbali na kuwa Mgombea, yeye pia ni Rais ambaye anapaswa kufanya majukumu ya Serikali ambayo bado yanamkabili
Soma - https://jamii.app/DktJPMKawe
#TZ2020
> Amesema hawezi kwasababu na yeye ni binadamu
> Amesema mbali na kuwa Mgombea, yeye pia ni Rais ambaye anapaswa kufanya majukumu ya Serikali ambayo bado yanamkabili
Soma - https://jamii.app/DktJPMKawe
#TZ2020
ZANZIBAR: ADA-TADEA YAAHIDI KUINUA SEKTA YA MICHEZO ILI ISITEGEMEE WAFADHILI
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Juma Khatib amesema ataweka bajeti maalum kuendesha Ligi Kuu
> Wafadhili watapewa nafasi, lakini bajeti ya Serikali haitaondolewa
Soma https://jamii.app/ADATADEA
#TZ2020
> Mgombea Urais wa Chama hicho, Juma Khatib amesema ataweka bajeti maalum kuendesha Ligi Kuu
> Wafadhili watapewa nafasi, lakini bajeti ya Serikali haitaondolewa
Soma https://jamii.app/ADATADEA
#TZ2020
NIGERIA: WANANCHI WAENDELEA NA MAANDAMANO KUPINGA UKATILI WA POLISI
> Licha ya Serikali kufuta kikosi cha #SARS kilichopewa kazi ya kupambana na wahalifu, wananchi wanasema hawajaridhika na hatua hiyo na wanachokitaka ni Mageuzi kwenye Jeshi
Soma https://jamii.app/NigeriaProtests
> Licha ya Serikali kufuta kikosi cha #SARS kilichopewa kazi ya kupambana na wahalifu, wananchi wanasema hawajaridhika na hatua hiyo na wanachokitaka ni Mageuzi kwenye Jeshi
Soma https://jamii.app/NigeriaProtests
MAALIM SEIF ATAKIWA KUFIKA MBELE YA KAMATI YA MAADILI LEO
> Mgombea wa Urais wa #Zanzibar (ACT-Wazalendo) anadaiwa kukiuka maadili ya Uchaguzi kutokana na kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28 iliyopangwa na ZEC
Soma - https://jamii.app/SeifKamatiMaadili
#Uchaguzi2020
> Mgombea wa Urais wa #Zanzibar (ACT-Wazalendo) anadaiwa kukiuka maadili ya Uchaguzi kutokana na kuwaambia watu wakapige kura Oktoba 27 badala ya Oktoba 28 iliyopangwa na ZEC
Soma - https://jamii.app/SeifKamatiMaadili
#Uchaguzi2020
SIKU YA KIMATAIFA YA KUNAWA MIKONO: OSHA MIKONO OKOA MAISHA
> Oktoba 15 ni Siku ya Kimataifa ya Unawaji Mikono. Ni siku maalum ya kuhamasisha watu kunawa mikono ili kuepuka maradhi
> Kaulimbiu ya Kitaifa ni βOsha Mikono Okoa Maishaβ
Soma - https://jamii.app/KunawaMikono
> Oktoba 15 ni Siku ya Kimataifa ya Unawaji Mikono. Ni siku maalum ya kuhamasisha watu kunawa mikono ili kuepuka maradhi
> Kaulimbiu ya Kitaifa ni βOsha Mikono Okoa Maishaβ
Soma - https://jamii.app/KunawaMikono