KIGOMA: WANNE WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA UHUJUMU UCHUMI NA RUSHWA
> Watatu kati ya watuhumiwa hao walikuwa watumishi wa TPA
> Wanatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kutakatisha fedha na kuisababisha Mamlaka hasara ya zaidi ya Milioni 600
Soma https://jamii.app/UhujumuTPA
#JFLeo
> Watatu kati ya watuhumiwa hao walikuwa watumishi wa TPA
> Wanatuhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kutakatisha fedha na kuisababisha Mamlaka hasara ya zaidi ya Milioni 600
Soma https://jamii.app/UhujumuTPA
#JFLeo
UGANDA: MFUMO WA MIAMALA WA KAMPUNI YA SIMU WADUKULIWA, TSH. BILIONI 7.4 ZAIBWA
> Wadukuzi wametumia zaidi ya kadi za simu 2,000 kuingilia mifumo ya malipo kwa njia ya simu kisha wakaiamuru mifumo ya benki kuzilipa kadi hizo
Soma > https://jamii.app/MTNUgandaUdukuzi
#UlinziWaTaarifa
> Wadukuzi wametumia zaidi ya kadi za simu 2,000 kuingilia mifumo ya malipo kwa njia ya simu kisha wakaiamuru mifumo ya benki kuzilipa kadi hizo
Soma > https://jamii.app/MTNUgandaUdukuzi
#UlinziWaTaarifa
UGANDA: MCHEZA MPIRA WA MIGUU AUAWA KWA KUSABABISHA GOLI
> Churchill Owaci (22) ameuawa na wachezaji wenzake baada ya kuisababishia timu yao ya mtaani kufungwa
> Watu wawili wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za mauaji hayo na uchunguzi unaendelea
Soma https://jamii.app/UgandaKifoMpira
#JFLeo
> Churchill Owaci (22) ameuawa na wachezaji wenzake baada ya kuisababishia timu yao ya mtaani kufungwa
> Watu wawili wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za mauaji hayo na uchunguzi unaendelea
Soma https://jamii.app/UgandaKifoMpira
#JFLeo
TUNDU LISSU: CHAGUENI BARAZA LA MADIWANI KUTOKA CHADEMA
> Amesema Baraza la Madiwani litakaloongozwa na CHADEMA ktk Halmashauri ni muhimu ili mambo yaende
> Pia, atajenga nchi yenye uhuru ili wananchi waendeshe maisha yao bila kubugudhiwa
Soma - https://jamii.app/LissuNzega
#TZ2020
> Amesema Baraza la Madiwani litakaloongozwa na CHADEMA ktk Halmashauri ni muhimu ili mambo yaende
> Pia, atajenga nchi yenye uhuru ili wananchi waendeshe maisha yao bila kubugudhiwa
Soma - https://jamii.app/LissuNzega
#TZ2020
MAARIFA: UFAHAMU MLIMA UNAOWAKA KWA MIAKA TAKRIBAN 6,000
> Eneo hilo lililopo Kaskazini mwa Jiji la Sydney nchini Australia limekuwa likijulikana kama 'Mlima Unaoteketea'
> Kwa asili inaaminika kuwa mlima huo ni wa volkano
Soma > https://jamii.app/MlimaMoto
#BurningMountain
> Eneo hilo lililopo Kaskazini mwa Jiji la Sydney nchini Australia limekuwa likijulikana kama 'Mlima Unaoteketea'
> Kwa asili inaaminika kuwa mlima huo ni wa volkano
Soma > https://jamii.app/MlimaMoto
#BurningMountain
RAIS TRUMP AREJEA KWENYE KAMPENI SIKU KADHAA TANGU ALIPOGUNDULIKA KUWA NA #COVID19
> Amefanya mkutano ktk Jimbo la #Florida ambapo aliwasili bila kuvaa Barakoa
> Amesema vizuizi vilivyowekwa kukabiliana na maambukizi ni vikali kupita kawaida
Soma https://jamii.app/TrumpBackCampaign
> Amefanya mkutano ktk Jimbo la #Florida ambapo aliwasili bila kuvaa Barakoa
> Amesema vizuizi vilivyowekwa kukabiliana na maambukizi ni vikali kupita kawaida
Soma https://jamii.app/TrumpBackCampaign
KENYA: WATOTO WOTE WA KIKE WATAKIWA KURUDI SHULENI HATA WENYE MIMBA
> Makamishna wa Kaunti wametakiwa kuchunguza Wanafunzi walioshindwa kuripoti Shuleni na kuwarudisha
> Wenye Mitihani ya Taifa watafanya bila kujali ni Wajawazito au La!
Soma - https://jamii.app/PregnantSchoolResume
> Makamishna wa Kaunti wametakiwa kuchunguza Wanafunzi walioshindwa kuripoti Shuleni na kuwarudisha
> Wenye Mitihani ya Taifa watafanya bila kujali ni Wajawazito au La!
Soma - https://jamii.app/PregnantSchoolResume
DAR: SOKO LA MAHAKAMA YA NDIZI LATHIBITISHWA KUMILIKIWA NA WANANCHI
> Akifanya Kampeni Mburahati, Dkt. Magufuli amesema Soko hilo litakuwa chini ya wananchi
> Ni baada ya Mgombea Ubunge wa Ubungo (CCM), Prof. Mkumbo kuomba soko kurasimishwa
Soma https://jamii.app/MabiboSokoWananchi
#JFLeo
> Akifanya Kampeni Mburahati, Dkt. Magufuli amesema Soko hilo litakuwa chini ya wananchi
> Ni baada ya Mgombea Ubunge wa Ubungo (CCM), Prof. Mkumbo kuomba soko kurasimishwa
Soma https://jamii.app/MabiboSokoWananchi
#JFLeo
ZANZIBAR: CHAUMMA YATANGAZA KUMUUNGA MKONO MAALIM SEIF
> Mgombea Urais wa CHAUMMA, Ali Juma amewataka Wanachama kumpigia kura Maalim Seif
> Amesema Vyama hivyo vina ushirikiano wa kindugu katika historia ya siasa za #Zanzibar na #Tanzania
Soma https://jamii.app/UraisCHAUMMA
#TZ2020
> Mgombea Urais wa CHAUMMA, Ali Juma amewataka Wanachama kumpigia kura Maalim Seif
> Amesema Vyama hivyo vina ushirikiano wa kindugu katika historia ya siasa za #Zanzibar na #Tanzania
Soma https://jamii.app/UraisCHAUMMA
#TZ2020
UDP YASEMA HAITAKUWA NA MIKUTANO YA HADHARA
> Naibu Katibu Mkuu, Juma Khamis Faki amesema kutokana na ukata, Chama hicho kitatangaza Sera zake nyumba kwa nyumba
> UDP imesema ni njia rahisi kuwafikia walengwa katika kuwaomba kura
Soma - https://jamii.app/KampeniUDP
#Uchaguzi2020
> Naibu Katibu Mkuu, Juma Khamis Faki amesema kutokana na ukata, Chama hicho kitatangaza Sera zake nyumba kwa nyumba
> UDP imesema ni njia rahisi kuwafikia walengwa katika kuwaomba kura
Soma - https://jamii.app/KampeniUDP
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: HUWEZI KUWA NA UCHUMI MZURI BILA MFUMO MZURI WA FEDHA
> Mgombea Urais kupitia CUF amesema βHali ya upatikanaji wa fedha ni ngumu na baadhi ya biashara zinafungwa
> Ameahidi kufufua viwanda na kuongeza ujazo wa fedha
Soma - https://jamii.app/LipumbaMfumoFedha
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia CUF amesema βHali ya upatikanaji wa fedha ni ngumu na baadhi ya biashara zinafungwa
> Ameahidi kufufua viwanda na kuongeza ujazo wa fedha
Soma - https://jamii.app/LipumbaMfumoFedha
#Uchaguzi2020
TLP: TUNAENDELEA KUMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CCM
> Makamu M/kiti wa TLP, Domina Rwechungura amesema βSisi tulishasema tangu mwezi wa 5 tutamuunga mkono Rais Magufuli, hivyo Msajili kauli yake kwamba tumesitisha uamuzi wetu hatuitambuiβ
Soma - https://jamii.app/TLPMagufuli2020
#TZ2020
> Makamu M/kiti wa TLP, Domina Rwechungura amesema βSisi tulishasema tangu mwezi wa 5 tutamuunga mkono Rais Magufuli, hivyo Msajili kauli yake kwamba tumesitisha uamuzi wetu hatuitambuiβ
Soma - https://jamii.app/TLPMagufuli2020
#TZ2020
MADHARA YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DAR ES SALAAM
-
Hali ilivyo katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam baada ya mvua kuendelea kunyesha tangu asubuhi ya leo
-
Ni muhimu kuchukua tahadhari
Tazama https://youtu.be/w64m0ECpuSA
-
Hali ilivyo katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam baada ya mvua kuendelea kunyesha tangu asubuhi ya leo
-
Ni muhimu kuchukua tahadhari
Tazama https://youtu.be/w64m0ECpuSA
YouTube
Tahadhari ya Mvua kwa Wakazi wa Dar, Watakiwa kuwa Makini
LISSU: UCHAGUZI HAUTAKUWA RAHISI, KURA HII NI YA UKOMBOZI WA NCHI
> Mgombea Urais (CHADEMA), Tundu Lissu amesema kwa miaka 5 baadhi ya Wananchi wamepitia changamoto mbalimbali na Oktoba 28 ndiyo wakati wa Ukombozi kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/LissuUkomboziNchi
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais (CHADEMA), Tundu Lissu amesema kwa miaka 5 baadhi ya Wananchi wamepitia changamoto mbalimbali na Oktoba 28 ndiyo wakati wa Ukombozi kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/LissuUkomboziNchi
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: HATUKUNUFAIKA NA MADINI KUTOKANA NA UDHIBITI MBOVU
> Rais Magufuli amesema udhibiti mdogo katika usafirishaji wa madini ghafi, wizi na utoroshaji wa madini ulifanya Tanzania isifaidike na madini
> Amesema Serikali ya awamu ya tano ilichukua hatua kudhibiti hayo ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga
Soma https://jamii.app/SerikaliGawio
> Rais Magufuli amesema udhibiti mdogo katika usafirishaji wa madini ghafi, wizi na utoroshaji wa madini ulifanya Tanzania isifaidike na madini
> Amesema Serikali ya awamu ya tano ilichukua hatua kudhibiti hayo ikiwemo kusitisha usafirishaji wa mchanga
Soma https://jamii.app/SerikaliGawio
#CORONAVIRUS: WAKENYA WAKASIRISHWA NA TUKIO LA WANAFUNZI KUPULIZIWA DAWA
> Wanafunzi wamepuliziwa dawa kama njia ya kuepuka Virusi hivyo baada ya kufungua Shule
> Shirika la Afya (WHO) limesema njia hiyo ina madhara kimwili na kisaikolojia
Tazama https://youtu.be/Xy0rojmFt-s
#JFLeo
> Wanafunzi wamepuliziwa dawa kama njia ya kuepuka Virusi hivyo baada ya kufungua Shule
> Shirika la Afya (WHO) limesema njia hiyo ina madhara kimwili na kisaikolojia
Tazama https://youtu.be/Xy0rojmFt-s
#JFLeo
YouTube
Wanafunzi Kenya Wapuliziwa dawa ya Corona, Wazazi Walalamika
LISSU: TUTATENGENEZA NCHI YA WATU WALIO HURU
> Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi ya watu huru na yenye haki, ambayo hakuna Kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu
> Amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 28
Tazama https://youtu.be/N2gbO75rV64
#TZ2020
> Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi ya watu huru na yenye haki, ambayo hakuna Kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu
> Amewataka wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 28
Tazama https://youtu.be/N2gbO75rV64
#TZ2020
YouTube
Bukombe, Geita: Tundu Lissu asema atatengeneza nchi ya watu walio huru
Ameyaongea hayo leo Oktoba 13, 2020 katika Kampeni za kusaka Urais wa JMT
MARA: IGP SIRRO AWATAKA WANASIASA KUTOWATUMIA WANANCHI VIBAYA
> Amewaonya baadhi ya wanasiasa kutumia shida za vijana kwa manufaa yao
> Amewataka wananchi wa Mara kuwa mfano wa siasa za busara, kwa kuwa wao ndio waanzilishi wa siasa nchini
Tazama https://youtu.be/A1-l4ppk1SI
#JFLeo
> Amewaonya baadhi ya wanasiasa kutumia shida za vijana kwa manufaa yao
> Amewataka wananchi wa Mara kuwa mfano wa siasa za busara, kwa kuwa wao ndio waanzilishi wa siasa nchini
Tazama https://youtu.be/A1-l4ppk1SI
#JFLeo
YouTube
Mara: IGP Sirro awataka Wanasiasa kutowatumia Vijana vibaya
Ni leo Oktoba 13, 2020 wakati wa kikao na wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
USAJILI WA MADUKA YA KUBADILISHA FEDHA KUHITIMISHWA APRILI 2021
> Benki Kuu Tanzania (BoT) inaendelea kupokea maombi ya usajili/leseni kwa watoa huduma ndogo za fedha hadi Aprili 30, 2021
> Wahusika wawasilishe maombi yanayoendana na sheria
Soma https://jamii.app/UsajiliMadukaFedha
#JFLeo
> Benki Kuu Tanzania (BoT) inaendelea kupokea maombi ya usajili/leseni kwa watoa huduma ndogo za fedha hadi Aprili 30, 2021
> Wahusika wawasilishe maombi yanayoendana na sheria
Soma https://jamii.app/UsajiliMadukaFedha
#JFLeo
OKTOBA 14: SIKU YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU NYERERE
> Leo ni Kumbukizi ya Kitaifa ya miaka 21 ya kifo cha Mwalimu Nyerere kilichotokea Oktoba 14, 1999
> Alikuwa muasisi wa Tanzania, alishiriki kulikomboa Taifa kutoka kwa wakoloni
Soma https://jamii.app/NyerereDay
#NyerereDay
> Leo ni Kumbukizi ya Kitaifa ya miaka 21 ya kifo cha Mwalimu Nyerere kilichotokea Oktoba 14, 1999
> Alikuwa muasisi wa Tanzania, alishiriki kulikomboa Taifa kutoka kwa wakoloni
Soma https://jamii.app/NyerereDay
#NyerereDay