CHADEMA YAITAKA NEC KUTOA DAFTARI LA WAPIGA KURA KWA VYAMA
> Katibu wa CHADEMA, John Mnyika amesema “Mpaka sasa, NEC haijatoa nakala ya daftari la wapiga kura kwa Vyama vya Siasa, ijitokeze iseme italitoa lini ili na sisi tulitazame”
Angalia https://youtu.be/wM5l6rgJTUE
#TZ2020
> Katibu wa CHADEMA, John Mnyika amesema “Mpaka sasa, NEC haijatoa nakala ya daftari la wapiga kura kwa Vyama vya Siasa, ijitokeze iseme italitoa lini ili na sisi tulitazame”
Angalia https://youtu.be/wM5l6rgJTUE
#TZ2020
YouTube
CHADEMA: Tunaitaka NEC ivipatie Vyama vya Siasa nakala ya mwisho ya Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijatoa nakala ya mwisho ya Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Vyama vya Siasa
Amesema wanaitaka Tume iharakishe kutoa Daftari hilo kwani ndio lina majina na picha za Wapiga Kura ambapo…
Amesema wanaitaka Tume iharakishe kutoa Daftari hilo kwani ndio lina majina na picha za Wapiga Kura ambapo…
DKT. SHEIN: KAMPENI ZA DKT. MWINYI ZINAFIKIA JAMII, WAPO WALIOJARIBU WAKAISHIA NJIANI
> Amesema, mtindo wa Kampeni unaofanywa na Mgombea Urais wa #Zanzibar kupitia CCM, unalenga kuleta mabadiliko baada ya kufahamu changamoto za wananchi
Soma - https://jamii.app/SheinMwinyiZnz
#TZ2020
> Amesema, mtindo wa Kampeni unaofanywa na Mgombea Urais wa #Zanzibar kupitia CCM, unalenga kuleta mabadiliko baada ya kufahamu changamoto za wananchi
Soma - https://jamii.app/SheinMwinyiZnz
#TZ2020
MADARAKA NA WAJIBU WA MBUNGE KWA MUJIBU WA KATIBA
> Kumuuliza Waziri swali kuhusu mambo ya umma ya Jamhuri ya Muungano ambayo yako ktk wajibu wake.
> Kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Bunge wa kila mwaka wa Bajeti
Soma > https://jamii.app/WajibuMbunge
#Uchaguzi2020
> Kumuuliza Waziri swali kuhusu mambo ya umma ya Jamhuri ya Muungano ambayo yako ktk wajibu wake.
> Kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Bunge wa kila mwaka wa Bajeti
Soma > https://jamii.app/WajibuMbunge
#Uchaguzi2020
OKTOBA 11: SIKU YA KIMATAIFA YA MTOTO WA KIKE
> Ni Siku inayolenga kutambua changamoto za Mtoto wa Kike, kuthamini na kuwezesha utekelezaji wa Haki zake
> Kaulimbiu ya Kitaifa inasema "Tumuwezeshe Mtoto wa Kike, Kujenga Taifa lenye usawa"
Soma https://jamii.app/GirlChildDay
#IDG2020
> Ni Siku inayolenga kutambua changamoto za Mtoto wa Kike, kuthamini na kuwezesha utekelezaji wa Haki zake
> Kaulimbiu ya Kitaifa inasema "Tumuwezeshe Mtoto wa Kike, Kujenga Taifa lenye usawa"
Soma https://jamii.app/GirlChildDay
#IDG2020
NDUGAI: HII NI AWAMU YANGU YA MWISHO, SITARAJII KUGOMBEA UBUNGE TENA
> Job Ndugai ambaye amekuwa Mbunge wa Kongwa tangu mwaka 2000 ametoa kauli hiyo leo akiwa Kanisani
> Amewataka wenye nia njema ya kuongoza Jimbo hilo kujiandaa na kujipanga
Soma https://jamii.app/NdugaiUbunge
> Job Ndugai ambaye amekuwa Mbunge wa Kongwa tangu mwaka 2000 ametoa kauli hiyo leo akiwa Kanisani
> Amewataka wenye nia njema ya kuongoza Jimbo hilo kujiandaa na kujipanga
Soma https://jamii.app/NdugaiUbunge
JE, UNAFAHAMU RUSHWA YA NGONO NI NINI?
> Rushwa ya ngono ni pale ambapo Mtu aliye katika mamlaka na katika kutekeleza mamlaka yake akitaka au akiweka upendeleo wa ngono kama kigezo cha kutoa ajira, cheo, haki, au huduma ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/NgonoRushwa
#KemeaRushwa
> Rushwa ya ngono ni pale ambapo Mtu aliye katika mamlaka na katika kutekeleza mamlaka yake akitaka au akiweka upendeleo wa ngono kama kigezo cha kutoa ajira, cheo, haki, au huduma ya upendeleo
Soma > https://jamii.app/NgonoRushwa
#KemeaRushwa
JE, UNAIFAHAMU ADHABU YA KUOMBA/KUTOA RUSHWA YA NGONO?
> Mtu atakayethibitika kuomba au kutoa rushwa ya ngono atakuwa amefanya kosa, ataadhibiwa kwa faini isiyozidi Tsh. Mil 5 au kifungo cha miaka isiyozidi 3 au vyote kwa pamoja.
Soma > https://jamii.app/NgonoRushwa
#KemeaRushwa
> Mtu atakayethibitika kuomba au kutoa rushwa ya ngono atakuwa amefanya kosa, ataadhibiwa kwa faini isiyozidi Tsh. Mil 5 au kifungo cha miaka isiyozidi 3 au vyote kwa pamoja.
Soma > https://jamii.app/NgonoRushwa
#KemeaRushwa
MOTO WAUNGUZA SEHEMU YA MLIMA KILIMAJARO
- Inaelezwa kuwa moto huo unaoteketeza sehemu ya Mlima huo umezuka leo mchana
- Mamlaka zimesema zinaendelea na juhudi za kuzima moto huo na taarifa zaidi zitatolewa
Soma > https://jamii.app/MotoKilimanjaro
#JFLeo #MotoKilimanjaro
- Inaelezwa kuwa moto huo unaoteketeza sehemu ya Mlima huo umezuka leo mchana
- Mamlaka zimesema zinaendelea na juhudi za kuzima moto huo na taarifa zaidi zitatolewa
Soma > https://jamii.app/MotoKilimanjaro
#JFLeo #MotoKilimanjaro
HALIMA MDEE AFUNGIWA KUFANYA KAMPENI KWA SIKU 7
> Mgombea Ubunge katika Jimbo la Kawe kupitia CHADEMA, Halima Mdee amefungiwa kufanya Kampeni kwa siku saba kuanzia leo, Oktoba 12 mpaka 18 akidaiwa kukiuka maadili ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/KampeniBanMdee
#Uchaguzi2020
> Mgombea Ubunge katika Jimbo la Kawe kupitia CHADEMA, Halima Mdee amefungiwa kufanya Kampeni kwa siku saba kuanzia leo, Oktoba 12 mpaka 18 akidaiwa kukiuka maadili ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/KampeniBanMdee
#Uchaguzi2020
UNYANYASAJI WA KIJINSIA BADO NI CHANGAMOTO ZANZIBAR
> Ndani ya miaka 3, watoto 88 wamepewa ujauzito na 50 kati yao wameozeshwa
> Kuanzia Januari 2019 - Agosti 2020 kuna kesi 761 za watoto kunyanyaswa huku 147 wakiingiliwa kinyume na maumbile
Soma https://jamii.app/UkatiliWatotoZbar
> Ndani ya miaka 3, watoto 88 wamepewa ujauzito na 50 kati yao wameozeshwa
> Kuanzia Januari 2019 - Agosti 2020 kuna kesi 761 za watoto kunyanyaswa huku 147 wakiingiliwa kinyume na maumbile
Soma https://jamii.app/UkatiliWatotoZbar
WANAFUNZI WATAKIWA KUSHIRIKI KUZIMA MOTO HIFADHI YA KILIMANJARO
> Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka wameombwa kufanya hivyo ili kuudhibiti moto kwa haraka
> Sehemu ya Msitu wa Mlima Kilimanjaro ilianza kuungua tangu jana
Soma https://jamii.app/CAWMSOMotoKlmn
> Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka wameombwa kufanya hivyo ili kuudhibiti moto kwa haraka
> Sehemu ya Msitu wa Mlima Kilimanjaro ilianza kuungua tangu jana
Soma https://jamii.app/CAWMSOMotoKlmn
UTAFITI: #CORONAVIRUS INAWEZA KUISHI KWENYE FEDHA, VIOO VYA SIMU KWA SIKU 28
> Utafiti wa Shirika la Kisayansi la Taifa la Australia pia umebaini kuwa, Virusi hivyo vinaweza kuishi kwa siku 17 kwenye mazingira ya nyuzi joto 20C na kwenye giza
Soma https://jamii.app/COVID19Siku28
> Utafiti wa Shirika la Kisayansi la Taifa la Australia pia umebaini kuwa, Virusi hivyo vinaweza kuishi kwa siku 17 kwenye mazingira ya nyuzi joto 20C na kwenye giza
Soma https://jamii.app/COVID19Siku28
NIGERIA: SERIKALI YAKIFUTA KIKOSI CHA KUKABILIANA NA UHALIFU
> Uamuzi huo umekuja baada ya maandamano ya Wananchi kutokana na madai ya vitendo vya ukatili toka kwa kikosi hicho
> Serikali imetangaza uchunguzi na kuwachukuliwa hatua wahusika
Soma - https://jamii.app/SARSDissolved
#SARSENDED
> Uamuzi huo umekuja baada ya maandamano ya Wananchi kutokana na madai ya vitendo vya ukatili toka kwa kikosi hicho
> Serikali imetangaza uchunguzi na kuwachukuliwa hatua wahusika
Soma - https://jamii.app/SARSDissolved
#SARSENDED
WATOTO BILIONI 1.3 WAMEACHA SHULE KUTOKANA NA #COVID19
> UNESCO imeonya kuwa, huenda baadhi yao wakashindwa kurudi Shule kutokana na hali ya kiuchumi ya nchi zao
> Mpango wa kupata Dola Bilioni 5 utazinduliwa ili kusomesha watoto masikini
Soma https://jamii.app/WanafunziShule
> UNESCO imeonya kuwa, huenda baadhi yao wakashindwa kurudi Shule kutokana na hali ya kiuchumi ya nchi zao
> Mpango wa kupata Dola Bilioni 5 utazinduliwa ili kusomesha watoto masikini
Soma https://jamii.app/WanafunziShule
KUMBILAMOTO AMUOMBA RADHI DKT. MAGUFULI KWA KUMUHUJUMU
> Omar S. Kumbilamoto aliyekuwa Naibu Meya wa Ilala amesema, alipokuwa UKAWA walihujumu miradi ya Manispaa ili wasimpe 'kiki'
> Amewaomba radhi CCM, Viongozi wa Ilala na wananchi
Soma - https://jamii.app/KumbilamotoKampeni
#TZ2020
> Omar S. Kumbilamoto aliyekuwa Naibu Meya wa Ilala amesema, alipokuwa UKAWA walihujumu miradi ya Manispaa ili wasimpe 'kiki'
> Amewaomba radhi CCM, Viongozi wa Ilala na wananchi
Soma - https://jamii.app/KumbilamotoKampeni
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: MUNGU NDIYE ALIYENIPA KAZI YA URAIS
> Akiwa Kinyerezi, Dkt. John Magufuli anayegombea kuongoza muhula wa pili amesema, Mungu ndiye aliyempa kazi hiyo
> Amesema hakutoa rushwa ili kuwa Rais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015
Soma - https://jamii.app/MagufuliKinyerezi
#Uchaguzi2020
> Akiwa Kinyerezi, Dkt. John Magufuli anayegombea kuongoza muhula wa pili amesema, Mungu ndiye aliyempa kazi hiyo
> Amesema hakutoa rushwa ili kuwa Rais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015
Soma - https://jamii.app/MagufuliKinyerezi
#Uchaguzi2020
SERIKALI: TUKIO LA MOTO KTK SHULE YA KALOLENI LILIPANGWA
> Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi amesema wanaamini matukio hayo ni mpango unaoratibiwa na baadhi ya watu
> Baadhi ya wanafunzi wamesema walihisi harufu ya kiberiti kabla ya kuona moto
Soma https://jamii.app/HujumaKaloleni
#JFLeo
> Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi amesema wanaamini matukio hayo ni mpango unaoratibiwa na baadhi ya watu
> Baadhi ya wanafunzi wamesema walihisi harufu ya kiberiti kabla ya kuona moto
Soma https://jamii.app/HujumaKaloleni
#JFLeo
RUKWA: MTOTO ACHOMWA MIKONO AKIDAIWA KUIBA TSH. 400 YA SADAKA
> Jeshi la Polisi linamshikilia Stella Kangoza (29) kwa kumchoma moto mikononi binti yake mwenye miaka 9 akimtuhumu kumuibia Tsh. 400 aliyopanga kuitoa kama sadaka Kanisani
Soma - https://jamii.app/MotoMtotoSadaka
> Jeshi la Polisi linamshikilia Stella Kangoza (29) kwa kumchoma moto mikononi binti yake mwenye miaka 9 akimtuhumu kumuibia Tsh. 400 aliyopanga kuitoa kama sadaka Kanisani
Soma - https://jamii.app/MotoMtotoSadaka
ZANZIBAR: MZEE ALIYETUHUMIWA KUWAONESHA WATOTO PICHA ZA NGONO AFUTIWA MASHTAKA
> Ni baada ya upande wa Mashtaka kuchukua muda mrefu bila kupeleka mashahidi
> Hamad Nassor (73) alituhumiwa kuwaonesha watoto picha za ngono
Soma https://jamii.app/ZnzWatotoNgono
> Ni baada ya upande wa Mashtaka kuchukua muda mrefu bila kupeleka mashahidi
> Hamad Nassor (73) alituhumiwa kuwaonesha watoto picha za ngono
Soma https://jamii.app/ZnzWatotoNgono
RC SINGIDA: HATUTASITA KUMCHUKULIA HATUA ANAYEHATARISHA AMANI YA NCHI
> Dkt. Rehema Nchimbi amesema "Kuna watu wanazungumza maneno yenye viashiria vya uvunjifu wa amani wakidhani huenda kipindi hiki cha Kampeni Serikali haipo kazini"
Soma - https://jamii.app/NchimbiAmaniTZ
#Uchaguzi2020
> Dkt. Rehema Nchimbi amesema "Kuna watu wanazungumza maneno yenye viashiria vya uvunjifu wa amani wakidhani huenda kipindi hiki cha Kampeni Serikali haipo kazini"
Soma - https://jamii.app/NchimbiAmaniTZ
#Uchaguzi2020