#CORONAVIRUS: KENYA KUANZA MAOMBI YA KITAIFA YA SIKU 3 LEO
> Wakenya wametakiwa kuliombea Taifa huku wakizingatia taratibu za kujikinga na maambukizi
> Hii ni mara ya pili kwa Kenya kufanya maombi tangu kuanza kwa mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/NationalPrayerKE
> Wakenya wametakiwa kuliombea Taifa huku wakizingatia taratibu za kujikinga na maambukizi
> Hii ni mara ya pili kwa Kenya kufanya maombi tangu kuanza kwa mlipuko huo
Soma - https://jamii.app/NationalPrayerKE
NEC: ALIYEHAMA MAHALI ALIPOJIANDIKISHA HATAWEZA KUPIGA KURA SEHEMU NYINGINE
> Mjumbe wa NEC, Jaji Mstaafu Thomas Mihayo amesema kama watu husafiri kuja Dar ili kuangalia mpira wa Simba na Yanga, basi suala la kupiga kura ni la muhimu zaidi
Soma https://jamii.app/VituoKupigaKura
#Uchaguzi2020
> Mjumbe wa NEC, Jaji Mstaafu Thomas Mihayo amesema kama watu husafiri kuja Dar ili kuangalia mpira wa Simba na Yanga, basi suala la kupiga kura ni la muhimu zaidi
Soma https://jamii.app/VituoKupigaKura
#Uchaguzi2020
ZANZIBAR: MAALIM SEIF KUKOMESHA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
> Amesema Kikosi cha Kupambana na #DawaZaKulevya kimekuwa kinafanya kazi ya kuwakamata wauzaji wadogo, huku wahusika wakubwa wakiendelea na biashara hiyo bila wasiwasi
Soma - https://jamii.app/MaalimMadawa
#Uchaguzi2020
> Amesema Kikosi cha Kupambana na #DawaZaKulevya kimekuwa kinafanya kazi ya kuwakamata wauzaji wadogo, huku wahusika wakubwa wakiendelea na biashara hiyo bila wasiwasi
Soma - https://jamii.app/MaalimMadawa
#Uchaguzi2020
MATUMIZI HOLELA YA VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO YAONGEZA SARATANI YA MATITI KWA MABINTI
> Taasisi ya Saratani(ORCI) imesema kuna ongezeko la Saratani kwa mabinti kuanzia miaka 25, na inachochewa na matumizi ya vidonge hivyo kinyume na taratibu
Soma https://jamii.app/SarataniMabinti
> Taasisi ya Saratani(ORCI) imesema kuna ongezeko la Saratani kwa mabinti kuanzia miaka 25, na inachochewa na matumizi ya vidonge hivyo kinyume na taratibu
Soma https://jamii.app/SarataniMabinti
DKT. MAGUFULI: NIMESIKIA MALALAMIKO YA UPANA WA BARABARA YA KIMARA, SIONI UBAYA
> Akiwa kwenye Kampeni katika Uwanja wa Mkapa Mgombea Urais wa CCM amesema amesikia Mgombea mmoja wa Urais akilaumu upana wa Barabara ya Kimara-Kibaha
> Amesema, "Majibu yake ni mawili tu; Kwanza si kweli kwamba Barabara hii ni pana kuliko zote duniani, lakini hata kama ingekuwa kweli, mimi sioni ubaya wowote"
Soma - https://jamii.app/JPM-MkapaStadium
#Uchaguzi2020
> Akiwa kwenye Kampeni katika Uwanja wa Mkapa Mgombea Urais wa CCM amesema amesikia Mgombea mmoja wa Urais akilaumu upana wa Barabara ya Kimara-Kibaha
> Amesema, "Majibu yake ni mawili tu; Kwanza si kweli kwamba Barabara hii ni pana kuliko zote duniani, lakini hata kama ingekuwa kweli, mimi sioni ubaya wowote"
Soma - https://jamii.app/JPM-MkapaStadium
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: TUSHIRIKIANE NA WAKENYA KUWAOMBEA #CORONA IONDOKE
> Dkt. Magufuli amesema ameongea na Rais wa #Kenya, Uhuru Kenyatta ambapo wameamua kufanya maombi ya siku 3 ili ugonjwa huo uondoke
> Amesema, "Ninawaomba ndugu zangu Watanzania tushirikiane katika maombi haya na wenzetu wa Kenya ili ugonjwa wa Corona uondoke nchini kwao"
Soma - https://jamii.app/JPM-MkapaStadium
#Uchaguzi2020
> Dkt. Magufuli amesema ameongea na Rais wa #Kenya, Uhuru Kenyatta ambapo wameamua kufanya maombi ya siku 3 ili ugonjwa huo uondoke
> Amesema, "Ninawaomba ndugu zangu Watanzania tushirikiane katika maombi haya na wenzetu wa Kenya ili ugonjwa wa Corona uondoke nchini kwao"
Soma - https://jamii.app/JPM-MkapaStadium
#Uchaguzi2020
KAGERA: RAIA WA PAKISTAN AINGIA NCHINI KINYEMELA KWA KISINGIZIO CHA #COVID19
> Idara ya Uhamiaji inamshikilia Raia huyo aliyeingia nchini baada ya kusikia tangazo #Tanzania hakuna #Corona
> Alikaa Lockdown nchini #Uganda kwa takriban miezi 6
Soma https://jamii.app/MhamiajiCorona
> Idara ya Uhamiaji inamshikilia Raia huyo aliyeingia nchini baada ya kusikia tangazo #Tanzania hakuna #Corona
> Alikaa Lockdown nchini #Uganda kwa takriban miezi 6
Soma https://jamii.app/MhamiajiCorona
TUZO YA AMANI YA NOBEL 2020 YAENDA KWA SHIRIKA LA WFP
> Shirika la Mpango wa Chakula Duniani limetunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel kufuatia jitihada zake za kupambana na njaa na kuboresha mazingira ya amani katika maeneo yanayokabiliwa na vita
Soma - https://jamii.app/NobelPrize2020
#JFLeo
> Shirika la Mpango wa Chakula Duniani limetunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel kufuatia jitihada zake za kupambana na njaa na kuboresha mazingira ya amani katika maeneo yanayokabiliwa na vita
Soma - https://jamii.app/NobelPrize2020
#JFLeo
TCU YAFUNGUA DIRISHA LA UDAHILI KWA AWAMU YA 2
> Awamu ya 2 ya Udahili wa Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo 2020/2021 itaanza Oktoba 12 hadi 18
> Waliodahiliwa Chuo zaidi ya kimoja wanahimizwa kuthibitisha Udahili wao kabla ya Oktoba 17
Soma https://jamii.app/UdahiliVyuo2
> Awamu ya 2 ya Udahili wa Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo 2020/2021 itaanza Oktoba 12 hadi 18
> Waliodahiliwa Chuo zaidi ya kimoja wanahimizwa kuthibitisha Udahili wao kabla ya Oktoba 17
Soma https://jamii.app/UdahiliVyuo2
WIZARA YA AFYA: ZAIDI YA WATU MILIONI 2 TANZANIA WANA MATATIZO YA KUONA
> Mkurugenzi wa Tiba, Dkt. Grace Magembe amesema watu Milioni 2.4 wana matatizo hayo
> Wanaokaa kwenye Runinga na Kompyuta kwa muda mrefu wapo hatarini kupata upofu
Soma - https://jamii.app/MatatizoMachoTZ
> Mkurugenzi wa Tiba, Dkt. Grace Magembe amesema watu Milioni 2.4 wana matatizo hayo
> Wanaokaa kwenye Runinga na Kompyuta kwa muda mrefu wapo hatarini kupata upofu
Soma - https://jamii.app/MatatizoMachoTZ
ARUSHA: KADA WA CHADEMA ADAIWA KUSHAMBULIWA NA KUTUPWA BARABARANI
> Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoani humo, Elias Mungure amesema walimuokota Evarist Rite kando ya Barabara huku akivuja damu kwenye ulimi, mikono, sehemu za siri na kuvunjwa meno 2
Soma https://jamii.app/KadaCDMShambulio
> Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoani humo, Elias Mungure amesema walimuokota Evarist Rite kando ya Barabara huku akivuja damu kwenye ulimi, mikono, sehemu za siri na kuvunjwa meno 2
Soma https://jamii.app/KadaCDMShambulio
MAALIM SEIF: ELIMU YA ZANZIBAR IMESHUKA CHINI YA CCM
> Amesema idadi kubwa ya Wanafunzi darasani hupelekea washindwe kuelewa na kufeli
> Serikali ya ACT-Wazalendo itatoa kipaumbele ktk kuongeza majengo ili Wanafunzi wasizidi 35 darasani
Soma https://jamii.app/ElimuZNZ
#TZ2020
> Amesema idadi kubwa ya Wanafunzi darasani hupelekea washindwe kuelewa na kufeli
> Serikali ya ACT-Wazalendo itatoa kipaumbele ktk kuongeza majengo ili Wanafunzi wasizidi 35 darasani
Soma https://jamii.app/ElimuZNZ
#TZ2020
IGP SIRRO: WANASIASA PAMBANENI NA SIASA, MSIWAINGIZE VIJANA KWENYE UHALIFU
> Amewataka baadhi ya Viongozi kuacha kuwatumia Vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu
> Ametoa wito kwa Vijana kutokubali kutumiwa na kubeba matatizo ya wengine
Soma https://jamii.app/SirroSiasaVijana
#Uchaguzi2020
> Amewataka baadhi ya Viongozi kuacha kuwatumia Vijana na kuwaingiza kwenye uhalifu
> Ametoa wito kwa Vijana kutokubali kutumiwa na kubeba matatizo ya wengine
Soma https://jamii.app/SirroSiasaVijana
#Uchaguzi2020
FAHAMU MAADILI YA UCHAGUZI KWA VIONGOZI WA SERIKALI
> Wakuu wa Mikoa na Wilaya ni miongoni mwa Watendaji wa Serikali ambao hawatakiwi kuingia katika vituo vya kupiga, kuhesabu au kujumlishia kura
> Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya hawaruhusiwi kuchanganya ziara za kikazi na shughuli za kiuchaguzi
Soma - https://jamii.app/WatendajiUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Wakuu wa Mikoa na Wilaya ni miongoni mwa Watendaji wa Serikali ambao hawatakiwi kuingia katika vituo vya kupiga, kuhesabu au kujumlishia kura
> Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya hawaruhusiwi kuchanganya ziara za kikazi na shughuli za kiuchaguzi
Soma - https://jamii.app/WatendajiUchaguzi
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: NITAHAKIKISHA KILA MWANANCHI ANAPATA MILO 3 KWA SIKU
> Akiwa Tanga, Mgombea huyo wa CUF amesema atahakikisha kila Mwananchi ana uwezo au anawezeshwa katika hilo
> Pia, amesema hatua zitachukuliwa ili wajawazito wapate lishe bora
Soma https://jamii.app/LipumbaKorogwe
#TZ2020
> Akiwa Tanga, Mgombea huyo wa CUF amesema atahakikisha kila Mwananchi ana uwezo au anawezeshwa katika hilo
> Pia, amesema hatua zitachukuliwa ili wajawazito wapate lishe bora
Soma https://jamii.app/LipumbaKorogwe
#TZ2020
IGP SIRRO: HATUA ZA KINIDHAMU ZITACHUKULIWA IKIGUNDULIKA KOSA KWA ASKARI ALIYEMWAMBIA MBOWE βHASHINDIβ
> Timu kutoka makao makuu ipo wilayani Hai kuchunguza tukio hilo
> IGP Sirro amesema si kazi ya askari kusema huyu atashinda au hatashinda
Tazama https://www.youtube.com/watch?v=ckRR_9eX2JY
> Timu kutoka makao makuu ipo wilayani Hai kuchunguza tukio hilo
> IGP Sirro amesema si kazi ya askari kusema huyu atashinda au hatashinda
Tazama https://www.youtube.com/watch?v=ckRR_9eX2JY
YouTube
IGP Sirro: Tunachunguza tukio la askari aliyekuwa anabishana na Mbowe na kumwambia hatoshinda
IGP Sirro: Tunachunguza tukio la askari wetu aliyekuwa anabishana na Freeman Mbowe na kumwambia hatoshinda
MAJALIWA: TUSIMCHAGUE MTU KWASABABU AMEPANDA JUKWAANI KWA MBWEMBWE
> Amesema ni lazima kupata Kiongozi atakayeunganisha Watanzania wote
> Amewataka Watanzania kuchagua CCM kwakuwa ni Taasisi yenye uwezo wa kuwatumikia wananchi bila kujali itikadi
Soma https://jamii.app/UchaguziViongozi
#TZ2020
> Amesema ni lazima kupata Kiongozi atakayeunganisha Watanzania wote
> Amewataka Watanzania kuchagua CCM kwakuwa ni Taasisi yenye uwezo wa kuwatumikia wananchi bila kujali itikadi
Soma https://jamii.app/UchaguziViongozi
#TZ2020
TUNDU LISSU KUENDELEA NA KAMPENI LEO MKOANI SINGIDA
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amemaliza kutumikia adhabu ya kutofanya kampeni kwa siku 7 iliyotolewa na Kamati ya Maadili ya Uchaguzi na leo anatarajiwa kuwa Mikoa ya Singida na Dodoma
Soma https://jamii.app/KampeniLissu
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amemaliza kutumikia adhabu ya kutofanya kampeni kwa siku 7 iliyotolewa na Kamati ya Maadili ya Uchaguzi na leo anatarajiwa kuwa Mikoa ya Singida na Dodoma
Soma https://jamii.app/KampeniLissu
#Uchaguzi2020
ASKOFU AWATAKA UPINZANI WAONDOE HOFU YA KUIBIWA KURA
> Askofu wa AICT Dayosisi ya Mwanza, Philipo Mafuja amewataka wananchi kuelewa, sio Viongozi wote wanaogombea wanaweza kuwa Viongozi hivyo wakubaliane na matokea pindi kura zisipotosha
Soma https://jamii.app/AskKuibaKura
#TZ2020
> Askofu wa AICT Dayosisi ya Mwanza, Philipo Mafuja amewataka wananchi kuelewa, sio Viongozi wote wanaogombea wanaweza kuwa Viongozi hivyo wakubaliane na matokea pindi kura zisipotosha
Soma https://jamii.app/AskKuibaKura
#TZ2020
WANAUME WAATHIRIKA ZAIDI NA MAGONJWA YA AKILI
> Daktari wa Magonjwa ya Akili (Muhimbili) Dkt. Fileuka Ngakongwa amesema, sababu za wanaume wengi kuugua matatizo ya akili katika umri mdogo ni msongo wa mawazo, ugumu wa maisha na kuweka vitu moyoni
Soma - https://jamii.app/MagonjwaAkili
> Daktari wa Magonjwa ya Akili (Muhimbili) Dkt. Fileuka Ngakongwa amesema, sababu za wanaume wengi kuugua matatizo ya akili katika umri mdogo ni msongo wa mawazo, ugumu wa maisha na kuweka vitu moyoni
Soma - https://jamii.app/MagonjwaAkili