TANZIA: KATIBU MWENEZI WA CHADEMA, KATA YA MHINTIRI AUAWA KWA MAPANGA
> Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi, Nicholas Andrea Gui anadaiwa kukutwa ameuawa kwa kukatwa mapanga majira ya saa moja jioni jana
Soma - https://jamii.app/KatibuCDMAuawa
> Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi, Nicholas Andrea Gui anadaiwa kukutwa ameuawa kwa kukatwa mapanga majira ya saa moja jioni jana
Soma - https://jamii.app/KatibuCDMAuawa
MGAYWA (SAU): SERA ZETU ZINATEKELEZEKA KUTOKANA NA UTAJIRI WA TANZANIA
> Mgombea huyo wa Urais ameomba kura ili afanikishe Sera zinazolenga kumpa raha Mtanzania
> Miongoni mwa Sera za SAU ni pamoja na kumwezesha kila mwananchi Milioni 1
Soma - https://jamii.app/KuraSeraSAU
#TZ2020
> Mgombea huyo wa Urais ameomba kura ili afanikishe Sera zinazolenga kumpa raha Mtanzania
> Miongoni mwa Sera za SAU ni pamoja na kumwezesha kila mwananchi Milioni 1
Soma - https://jamii.app/KuraSeraSAU
#TZ2020
RAIS MAGUFULI NA RAIS CHAKWERA KUWEKA JIWE LA MSINGI KITUO CHA MABASI MBEZI
> Marais hao leo wataweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Kituo cha Mabasi cha Kisasa cha Mbezi Luis - Dar
> Inaelewa kuwa, Mradi huo tayari umeshakamilika kwa 80%
Angalia - https://youtu.be/CjIoCuKLvJ8
> Marais hao leo wataweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Kituo cha Mabasi cha Kisasa cha Mbezi Luis - Dar
> Inaelewa kuwa, Mradi huo tayari umeshakamilika kwa 80%
Angalia - https://youtu.be/CjIoCuKLvJ8
YouTube
KITUO CHA KISASA CHA MABASI MBEZI LUIS KUWEKEWA JIWE LA MSINGI
Jiwe la msingi litawekwa leo Oktoba 8, 2020 na Rais Magufuli (Tanzania) na mgeni wake Rais wa Malawi, Chakwera
JAJI MKUU: MAHAKAMA IMEJIPANGA KUSHUGHULIKIA KESI ZA UCHAGUZI
> Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema mafunzo ya kuendesha mashauri hayo yametolewa
> Pia, Majaji na Mahakimu wamefundishwa namna bora ya kuandika Hukumu
Soma - https://jamii.app/KesiUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema mafunzo ya kuendesha mashauri hayo yametolewa
> Pia, Majaji na Mahakimu wamefundishwa namna bora ya kuandika Hukumu
Soma - https://jamii.app/KesiUchaguzi
#Uchaguzi2020
UWEKAJI JIWE LA MSINGI, MBEZI: RAIS MAGUFULI AAGIZA MRADI KUKAMILIKA KABLA YA NOVEMBA
> Amesema, "Mradi huu ulitakiwa umalizike mwezi wa 7, haujamalizika. Na hili lazima niliseme kwa dhati, kisingizio ni #CoronaVirus. Mimi nataka wafanye kazi mpaka wawe wanafia hapa na Corona lakini jengo limalizike haraka"
> Amesema, fedha za mradi huo ni za Watanzania masikini ambao wamewekeza ili kupata faida
Soma - https://jamii.app/JPM-MradiMbezi
> Amesema, "Mradi huu ulitakiwa umalizike mwezi wa 7, haujamalizika. Na hili lazima niliseme kwa dhati, kisingizio ni #CoronaVirus. Mimi nataka wafanye kazi mpaka wawe wanafia hapa na Corona lakini jengo limalizike haraka"
> Amesema, fedha za mradi huo ni za Watanzania masikini ambao wamewekeza ili kupata faida
Soma - https://jamii.app/JPM-MradiMbezi
SUGU: CHADEMA WAKICHAGULIWA SADAKA ZITAONGEZEKA
> Amewaomba Viongozi wa Dini wawaombe waumini wachague Wagombea wa Chama hicho kwasababu Serikali ya CHADEMA ina Sera za Uchumi zinazokwenda kurudisha kipato kwenye mifuko ya waumini
Soma - https://jamii.app/SuguCDMSadaka
#Uchaguzi2020
> Amewaomba Viongozi wa Dini wawaombe waumini wachague Wagombea wa Chama hicho kwasababu Serikali ya CHADEMA ina Sera za Uchumi zinazokwenda kurudisha kipato kwenye mifuko ya waumini
Soma - https://jamii.app/SuguCDMSadaka
#Uchaguzi2020
RAIS TRUMP ASITISHA MJADALA WA JITIHADA ZA KUNUSURU UCHUMI KUTOKANA NA #COVID19
> Amesema Spika wa Bunge, Nancy Pelosi hakuwa na nia njema ktk majadiliano hayo
> M/kiti wa Hazina ya nchi ameonya kuhusu hali ya uchumi inavyozidi kuwa mbaya
Soma https://jamii.app/USEconomyCorona
> Amesema Spika wa Bunge, Nancy Pelosi hakuwa na nia njema ktk majadiliano hayo
> M/kiti wa Hazina ya nchi ameonya kuhusu hali ya uchumi inavyozidi kuwa mbaya
Soma https://jamii.app/USEconomyCorona
VYAMA NANE VYAMTAKA MBOWE AJIELEZE KWA MSAJILI
> Makatibu Wakuu wa ADC, NRA, DP, UMD, SAU, UPDP, Demokrasia Makini na AFP wamemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa kumuita Freeman Mbowe, ili ajielezee kwa madai ya kuviita Vyama hivyo bandia
Soma - https://jamii.app/VyamaMboweMsajili
#TZ2020
> Makatibu Wakuu wa ADC, NRA, DP, UMD, SAU, UPDP, Demokrasia Makini na AFP wamemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa kumuita Freeman Mbowe, ili ajielezee kwa madai ya kuviita Vyama hivyo bandia
Soma - https://jamii.app/VyamaMboweMsajili
#TZ2020
WAGOMBEA WATAKIWA KUKEMEA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
> Wametakiwa kuwa na ajenda ya kupambana na vitendo hivyo ili Wanawake na Watoto wawe salama
> Jamii kukataa kutoa ushahidi Mahakamani ni kati ya sababu ya kesi za udhalilishaji kufutwa
Soma - https://jamii.app/WagombeaUdhalilishaji
#TZ2020
> Wametakiwa kuwa na ajenda ya kupambana na vitendo hivyo ili Wanawake na Watoto wawe salama
> Jamii kukataa kutoa ushahidi Mahakamani ni kati ya sababu ya kesi za udhalilishaji kufutwa
Soma - https://jamii.app/WagombeaUdhalilishaji
#TZ2020
MAJALIWA: WATANZANIA TAMBUENI UMUHIMU WA KURA ZENU
> Amesema inatakiwa kumchagua Rais anayeweza kuleta maendeleo na sio maneno pekee
> Amewataka wananchi kuwasikiliza na kuwapima Wagombea mbalimbali huku wakiwa wanafahamu umuhimu wa kura zao
Soma https://jamii.app/UmuhimuKura
#TZ2020
> Amesema inatakiwa kumchagua Rais anayeweza kuleta maendeleo na sio maneno pekee
> Amewataka wananchi kuwasikiliza na kuwapima Wagombea mbalimbali huku wakiwa wanafahamu umuhimu wa kura zao
Soma https://jamii.app/UmuhimuKura
#TZ2020
KENYA: MUSWADA WA KURUHUSU POLISI KUSIKILIZA MAWASILIANO YA SIMU WAPENDEKEZWA
> Muswada huo unaopendekezwa na Mbunge wa Kiambaa unaomba idhini kwa Polisi kusikiliza mawasiliano ya simu iwapo watakushuku unahusika na biashara ya #DawaZaKulevya
Soma https://jamii.app/PolicePhoneConv
> Muswada huo unaopendekezwa na Mbunge wa Kiambaa unaomba idhini kwa Polisi kusikiliza mawasiliano ya simu iwapo watakushuku unahusika na biashara ya #DawaZaKulevya
Soma https://jamii.app/PolicePhoneConv
MAREKANI: MATATIZO YA NDANI YAPELEKEA CITIBANK KUTOZWA FAINI YA DOLA MILIONI 400
> Mamlaka zimesema Benki imeshindwa kutatua changamoto ambazo zimekuwepo kwa miaka kadhaa, kitendo kinachoashiria imeshindwa kuwa na mkakati wa kudhibiti majanga
Soma https://jamii.app/CitibankFineUS
> Mamlaka zimesema Benki imeshindwa kutatua changamoto ambazo zimekuwepo kwa miaka kadhaa, kitendo kinachoashiria imeshindwa kuwa na mkakati wa kudhibiti majanga
Soma https://jamii.app/CitibankFineUS
MBEYA: ACHOMWA KISU BAADA YA UGOMVI WA KUTOA SIRI ZA MICHEPUKO KWA WATU
> Tabia Abdalah (38) amechomwa kisu shingoni na Salome Buya (23) baada ya kuzuka ugomvi uliomtuhumu Salome kuwatangaza wenzake kwa watu pindi wakichepuka nje ya ndoa zao
Soma https://jamii.app/KisuMichepuko
> Tabia Abdalah (38) amechomwa kisu shingoni na Salome Buya (23) baada ya kuzuka ugomvi uliomtuhumu Salome kuwatangaza wenzake kwa watu pindi wakichepuka nje ya ndoa zao
Soma https://jamii.app/KisuMichepuko
PROF. LIPUMBA: UKUAJI WA UCHUMI HAUJAPUNGUZA WATU MASIKINI
> Mgombea Urais kupitia CUF, amesema ukuaji wa Uchumi wa #Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini, bali idadi ya watu masikini imeongezeka
Soma - https://jamii.app/LipumbaTarakea
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia CUF, amesema ukuaji wa Uchumi wa #Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini, bali idadi ya watu masikini imeongezeka
Soma - https://jamii.app/LipumbaTarakea
#Uchaguzi2020
WHO: WATOTO MILIONI 2 HUFIA TUMBONI KILA MWAKA
> Ripoti ya WHO, UNICEF na washirika wake imesema vifo vinatokea zaidi kwenye nchi zinazoendelea
> Mkurugenzi wa UNICEF amesema kila sekunde 16, mjamzito hupata matatizo ya mtoto kufia tumboni
Soma - https://jamii.app/2milStillbirth
> Ripoti ya WHO, UNICEF na washirika wake imesema vifo vinatokea zaidi kwenye nchi zinazoendelea
> Mkurugenzi wa UNICEF amesema kila sekunde 16, mjamzito hupata matatizo ya mtoto kufia tumboni
Soma - https://jamii.app/2milStillbirth
MAREKANI: TRUMP KUTOSHIRIKI MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS KUPITIA MTANDAO
> Amesema hatoshiriki kwakuwa uamuzi huo unalenga kumlinda Joe Biden
> Tume imesema imebadili mfumo kulinda afya za washiriki baada ya Rais Trump kupata #COVID19
Soma - https://jamii.app/TrumpDebateUS
> Amesema hatoshiriki kwakuwa uamuzi huo unalenga kumlinda Joe Biden
> Tume imesema imebadili mfumo kulinda afya za washiriki baada ya Rais Trump kupata #COVID19
Soma - https://jamii.app/TrumpDebateUS
MANYARA: MWALIMU MKUU MBARONI KWA UDANGANYIFU KWENYE MITIHANI YA DARASA LA 7
> Oscar Waluye anatuhumiwa kuwalazimisha Wanafunzi wawili wa Darasa la 6 kufanya mitihani hiyo badala ya Watahiniwa, ambao uwezo wao darasani ni wa kiwango cha chini
Soma https://jamii.app/MwlMitihani7
> Oscar Waluye anatuhumiwa kuwalazimisha Wanafunzi wawili wa Darasa la 6 kufanya mitihani hiyo badala ya Watahiniwa, ambao uwezo wao darasani ni wa kiwango cha chini
Soma https://jamii.app/MwlMitihani7
BRAZIL: VISA VYA #CORONAVIRUS VYAFIKIA MILIONI 5
> Wizara ya Afya imetangaza visa vipya 31,553 na idadi ya wenye Virusi hivyo imefikia 5,000,694
> Wataalamu wana hofu ya kutokea kwa awamu ya pili ya maambukizi kabla ya kwanza haijadhibitiwa
Soma - https://jamii.app/COVID19Updates
> Wizara ya Afya imetangaza visa vipya 31,553 na idadi ya wenye Virusi hivyo imefikia 5,000,694
> Wataalamu wana hofu ya kutokea kwa awamu ya pili ya maambukizi kabla ya kwanza haijadhibitiwa
Soma - https://jamii.app/COVID19Updates
DKT. MAGUFULI KUFANYA KAMPENI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
> Mgombea Urais wa #Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. Magufuli anatarajiwa kufanya Mkutano wa Kampeni leo Oktoba 09, kuanzia saa 2 asubuhi katika Uwanja wa Mkapa, Temeke
Soma - https://jamii.app/MagufuliDar
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa #Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. Magufuli anatarajiwa kufanya Mkutano wa Kampeni leo Oktoba 09, kuanzia saa 2 asubuhi katika Uwanja wa Mkapa, Temeke
Soma - https://jamii.app/MagufuliDar
#Uchaguzi2020
DKT. MWINYI AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAWEKEZAJI
> Amesema Serikali inawathamini wawekezaji kwasababu wanasaidia ukuaji wa Pato la Taifa
> Aahidi kuwawekea mazingira bora akiingia madarakani ili wafanye kazi bila ya kikwazo
Soma - https://jamii.app/DktMwinyiZNZ
#Uchaguzi2020
> Amesema Serikali inawathamini wawekezaji kwasababu wanasaidia ukuaji wa Pato la Taifa
> Aahidi kuwawekea mazingira bora akiingia madarakani ili wafanye kazi bila ya kikwazo
Soma - https://jamii.app/DktMwinyiZNZ
#Uchaguzi2020