KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2020: SIFA ZA MTU ANAYESTAHILI KUPIGA KURA
- (i) Awe amejiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura:
- (ii) Awe ana Kadi ya Mpiga Kura iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
- (iii) Awe katika kituo alichojiandikisha kupiga kura
Zaidi, soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
- (i) Awe amejiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura:
- (ii) Awe ana Kadi ya Mpiga Kura iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
- (iii) Awe katika kituo alichojiandikisha kupiga kura
Zaidi, soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
NEC: SHERIA ZA NCHI ZISIVUNJWE KWA KIGEZO CHA UCHAGUZI
> Tume imesema wakati huu nchi inapoelekea katika Uchaguzi, Sheria nyingine hazijasimama
> Wagombea wametakiwa kuzingatia Maadili ya Uchaguzi na kuepuka lugha za kashfa na uchochezi
Soma https://jamii.app/NECVyamaSheria
#TZ2020
> Tume imesema wakati huu nchi inapoelekea katika Uchaguzi, Sheria nyingine hazijasimama
> Wagombea wametakiwa kuzingatia Maadili ya Uchaguzi na kuepuka lugha za kashfa na uchochezi
Soma https://jamii.app/NECVyamaSheria
#TZ2020
JE, UTARATIBU GANI UTATUMIKA SIKU YA KUPIGA KURA? (28.10.2020)
> Mpiga Kura anatakiwa kwenda kwenye kituo cha kupigia kura alichojiandikisha akiwa na kadi yake
> Anatakiwa kupanga mstari na kusubiri hadi zamu yake
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
> Mpiga Kura anatakiwa kwenda kwenye kituo cha kupigia kura alichojiandikisha akiwa na kadi yake
> Anatakiwa kupanga mstari na kusubiri hadi zamu yake
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
JE, UTARATIBU GANI UTATUMIKA SIKU YA KUPIGA KURA? (28.10.2020)
> Mpiga kura anatakiwa afuate maelekezo yote atakayopewa na msimamizi wa kituo muda wote akiwa kituoni
> Baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kurudi nyumbani
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020
> Mpiga kura anatakiwa afuate maelekezo yote atakayopewa na msimamizi wa kituo muda wote akiwa kituoni
> Baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kurudi nyumbani
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: NITAKUWA RAIS WA WANYONGE, WAVUVI WATAPATA STAHIKI ZAO
> Akiwa Mkoani Mwanza, Mgombea huyo amesema atawasimamia wavuvi ili wapate stahiki zao
> Pia, atahakikisha kila mvuvi aliyenyang'anywa na kuchomewa nyavu analipwa fidia
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaMWZ
#TZ2020
> Akiwa Mkoani Mwanza, Mgombea huyo amesema atawasimamia wavuvi ili wapate stahiki zao
> Pia, atahakikisha kila mvuvi aliyenyang'anywa na kuchomewa nyavu analipwa fidia
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaMWZ
#TZ2020
RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA DKT. SEMAKAFU
> Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
> Nafasi yake itajazwa baadaye
Soma > http://jamii.app/AvemariaOut
> Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
> Nafasi yake itajazwa baadaye
Soma > http://jamii.app/AvemariaOut
DKT. MWINYI: KILA NITAKAYEMTEUA ATAWAJIBIKA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE
> Mgombea Urais Zanzibar (CCM) amesema atajenga mawasiliano na wafanyakazi ili kusikiliza changamoto zao na kuzitatua
> Hatakuwa na huruma kwa wabadhirifu na wala rushwa
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiMwinyi
#TZ2020
> Mgombea Urais Zanzibar (CCM) amesema atajenga mawasiliano na wafanyakazi ili kusikiliza changamoto zao na kuzitatua
> Hatakuwa na huruma kwa wabadhirifu na wala rushwa
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiMwinyi
#TZ2020
ZEC: KURA YA MAPEMA HAITAHUSISHA ASKARI WOTE
> Tume ya Uchaguzi imesema watakaopiga kura Oktoba 27 ni watu maalum ikiwemo Watumishi wa Tume, Wasimamizi wa Uchaguzi na Askari ambao watahusika katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28
Soma https://jamii.app/KuraMapemaZNZ
#Uchaguzi2020
> Tume ya Uchaguzi imesema watakaopiga kura Oktoba 27 ni watu maalum ikiwemo Watumishi wa Tume, Wasimamizi wa Uchaguzi na Askari ambao watahusika katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28
Soma https://jamii.app/KuraMapemaZNZ
#Uchaguzi2020
NEC: VYAMA VYA SIASA VIMERUHUSIWA KUWEKA WAKALA KILA KITUO OKTOBA 28
> NEC imesema, tayari vyama vyote vinavyoshiriki Uchaguzi vimepata nakala tepe ya orodha ya wapiga kura ili kuwawezesha Mawakala kuhakiki wapiga kura wanaofika kituoni
Soma - https://jamii.app/WakalaUchaguzi
#TZ2020
> NEC imesema, tayari vyama vyote vinavyoshiriki Uchaguzi vimepata nakala tepe ya orodha ya wapiga kura ili kuwawezesha Mawakala kuhakiki wapiga kura wanaofika kituoni
Soma - https://jamii.app/WakalaUchaguzi
#TZ2020
MAMBO YASIYOTAKIWA KUFANYWA NA WATENDAJI WA SERIKALI WAKATI WA UCHAGUZI
> Mawaziri, RC na DC kuchanganya ziara za kikazi na shughuli za kiuchaguzi
> Kutangaza katika vyombo vya habari au kwa namna yoyote misaada au ahadi ya aina yoyote
> Kutoa ahadi za shughuli za maendeleo ya jamii
> Kutumia madaraka au rasilimali za Serikali kwa shughuli za kampeni za uchaguzi
Soma > https://jamii.app/UchaguziMaadili
#TZ2020
> Mawaziri, RC na DC kuchanganya ziara za kikazi na shughuli za kiuchaguzi
> Kutangaza katika vyombo vya habari au kwa namna yoyote misaada au ahadi ya aina yoyote
> Kutoa ahadi za shughuli za maendeleo ya jamii
> Kutumia madaraka au rasilimali za Serikali kwa shughuli za kampeni za uchaguzi
Soma > https://jamii.app/UchaguziMaadili
#TZ2020
MAREKANI: RAIS TRUMP ATOKA HOSPITALI, AWATAKA WATU WASIOGOPE #COVID19
> Rais Donald Trump amesema anajisikia vizuri na amewataka watu wasiruhusu #CoronaVirus itawale maisha yao
> Pia, Rais huyo amesema atarejea kufanya kampeni hivi karibuni
Soma https://jamii.app/TrumpCovidUS
> Rais Donald Trump amesema anajisikia vizuri na amewataka watu wasiruhusu #CoronaVirus itawale maisha yao
> Pia, Rais huyo amesema atarejea kufanya kampeni hivi karibuni
Soma https://jamii.app/TrumpCovidUS
SHAMBULIO LA WESTGATE, KENYA: HUKUMU YA WATUHUMIWA WA UGAIDI KUTOLEWA LEO
> Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa leo baada ya kuahirishwa jana
> Watu 67 walifariki ktk shambulio hilo la Septemba 2013, ambalo kundi la Al-Shabaab lilidai kuhusika
Soma https://jamii.app/WestgateCase
> Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa leo baada ya kuahirishwa jana
> Watu 67 walifariki ktk shambulio hilo la Septemba 2013, ambalo kundi la Al-Shabaab lilidai kuhusika
Soma https://jamii.app/WestgateCase
MALAWI: RAIS ATENGUA AHADI YA KUTOA AJIRA MILIONI MOJA
> Rais Chakwera aliyetoa ahadi hiyo ktk Kampeni amesema Serikali inaweza kuajiri watu 200,000
> Amesema, Serikali pekee haiwezi kutengeneza ajira na inahitaji msaada kutoka Sekta Binafsi
Soma https://jamii.app/RaisMalawiAjira
> Rais Chakwera aliyetoa ahadi hiyo ktk Kampeni amesema Serikali inaweza kuajiri watu 200,000
> Amesema, Serikali pekee haiwezi kutengeneza ajira na inahitaji msaada kutoka Sekta Binafsi
Soma https://jamii.app/RaisMalawiAjira
WANAFUNZI ZAIDI YA MILIONI 1 KUANZA MITIHANI YA KUMALIZA DARASA LA 7 KESHO
> Katibu Mtendaji wa NECTA amesema Watahiniwa 1,024,007 nchi nzima wanatarajiwa kufanya mitihani
> Mitihani itafanyika kwa siku mbili kuanzia Oktoba 07 hadi 08, 2020
Soma - https://jamii.app/MitihaniDrs7
> Katibu Mtendaji wa NECTA amesema Watahiniwa 1,024,007 nchi nzima wanatarajiwa kufanya mitihani
> Mitihani itafanyika kwa siku mbili kuanzia Oktoba 07 hadi 08, 2020
Soma - https://jamii.app/MitihaniDrs7
JKCI YATOA TAHADHARI YA ONGEZEKO LA WENYE MATATIZO YA MOYO
> Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete imesema wagonjwa wanaofika Kliniki kwa siku ni 200 - 400
> Wengi wao wana shida ya Mishipa ya Damu kuziba, ambapo ikiziba husababisha kifua kuuma
Soma https://jamii.app/WagonjwaMoyo
> Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete imesema wagonjwa wanaofika Kliniki kwa siku ni 200 - 400
> Wengi wao wana shida ya Mishipa ya Damu kuziba, ambapo ikiziba husababisha kifua kuuma
Soma https://jamii.app/WagonjwaMoyo
ZANZIBAR: JESHI LAWATAKA VIONGOZI WA VYAMA KUACHA KUTOA VITISHO
> CP Mohamed Haji Hassan amesema Jeshi linaona baadhi ya matamshi kuwa ni maandalizi ya uvunjifu wa amani
> Jeshi litachukua hatua kali kuhakikisha Amani inalindwa
Soma - https://jamii.app/PolisiAmaniZNZ
#Uchaguzi2020
> CP Mohamed Haji Hassan amesema Jeshi linaona baadhi ya matamshi kuwa ni maandalizi ya uvunjifu wa amani
> Jeshi litachukua hatua kali kuhakikisha Amani inalindwa
Soma - https://jamii.app/PolisiAmaniZNZ
#Uchaguzi2020
ZITTO KABWE APATA AJALI YA GARI KIGOMA
> Kiongozi huyo wa Chama cha ACT-Wazalendo amepata ajali wakati akitokea Kalya kuelekea Lukoma kwaajili ya kampeni
> Alikuwa na watu watano kwenye gari na wote wapo salama licha ya kupata majeraha
Soma - https://jamii.app/ZittoAjali
> Kiongozi huyo wa Chama cha ACT-Wazalendo amepata ajali wakati akitokea Kalya kuelekea Lukoma kwaajili ya kampeni
> Alikuwa na watu watano kwenye gari na wote wapo salama licha ya kupata majeraha
Soma - https://jamii.app/ZittoAjali
TFF YATAMBULISHA JEZI MPYA ZITAKAZOTUMIWA NA TAIFA STARS
> Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetambulisha jezi mpya ikiwemo jezi ya nyumbani, ya ugenini na jezi namba 3
> Oktoba 11, 2020 Tanzania itacheza mchezo wa kirafiki na Burundi
Soma https://jamii.app/JeziTaifaStars
> Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetambulisha jezi mpya ikiwemo jezi ya nyumbani, ya ugenini na jezi namba 3
> Oktoba 11, 2020 Tanzania itacheza mchezo wa kirafiki na Burundi
Soma https://jamii.app/JeziTaifaStars
AFISA HABARI WA ACT-WAZALENDO ATUHUMIWA KUSAMBAZA MAUDHUI YA NGONO TWITTER
> Dotto Rangimoto amefikishwa Mahakama ya Kisutu akidaiwa kutenda kosa hilo kwa jina la James Michael
> Amepata dhamana (Mdhamini 1 ambaye ni Mkazi wa Dar) na Bondi ya Tsh. Milioni 5
Soma https://jamii.app/DottoKizimbani
> Dotto Rangimoto amefikishwa Mahakama ya Kisutu akidaiwa kutenda kosa hilo kwa jina la James Michael
> Amepata dhamana (Mdhamini 1 ambaye ni Mkazi wa Dar) na Bondi ya Tsh. Milioni 5
Soma https://jamii.app/DottoKizimbani
MAJALIWA: TANZANIA INAHITAJI KIONGOZI ANAYEWEZA KUPAMBANA NA MAFISADI
> Amesema Kiongozi anatakiwa kusimamia Serikali na kuhakikisha aliowateua wanatekeleza majukumu
> Amewataka wananchi wasichague viongozi kwa ushabiki ili wasije kujilaumu
Soma https://jamii.app/MajaliwaKiongoziTZ
#TZ2020
> Amesema Kiongozi anatakiwa kusimamia Serikali na kuhakikisha aliowateua wanatekeleza majukumu
> Amewataka wananchi wasichague viongozi kwa ushabiki ili wasije kujilaumu
Soma https://jamii.app/MajaliwaKiongoziTZ
#TZ2020