KENYA: WANAFUNZI WA DARASA LA 4, 8 NA KIDATO CHA 4 KUREJEA SHULE JUMATATU IJAYO
> Shule zimetakiwa kuendelea kufuata kanuni za kudhibiti maambukizi ya #COVID19 kama kuvaa barakoa, kupima joto la Wanafunzi na Walimu pamoja na kunawa mikono
Soma https://jamii.app/SchoolResumeKE
> Shule zimetakiwa kuendelea kufuata kanuni za kudhibiti maambukizi ya #COVID19 kama kuvaa barakoa, kupima joto la Wanafunzi na Walimu pamoja na kunawa mikono
Soma https://jamii.app/SchoolResumeKE
RAIS WA #MALAWI KUFANYA ZIARA NCHINI #TANZANIA
> Rais Dkt. Lazarus Chakwera anatarajiwa kufanya ziara ya kitaifa kuanzia Oktoba 7 - 9, 2020
> Yeye na Rais Magufuli wataweka jiwe la msingi ktk Kituo cha Mabasi ya Mkoani cha Mbezi Mwisho, Dar
Soma https://jamii.app/ZiaraRaisMalawi
> Rais Dkt. Lazarus Chakwera anatarajiwa kufanya ziara ya kitaifa kuanzia Oktoba 7 - 9, 2020
> Yeye na Rais Magufuli wataweka jiwe la msingi ktk Kituo cha Mabasi ya Mkoani cha Mbezi Mwisho, Dar
Soma https://jamii.app/ZiaraRaisMalawi
RAIA WA KIGENI KUDHIBITIWA KUSHIRIKI KTK UCHAGUZI
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imezielekeza Kamati za Ulinzi na Usalama zilizopo mipakani kuwadhibiti raia wa kigeni kushiriki ktk Uchaguzi Mkuu, kwa kuwa kitendo hicho ni kinyume na Sheria
Soma https://jamii.app/NECWageniUchaguzi
#TZ2020
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imezielekeza Kamati za Ulinzi na Usalama zilizopo mipakani kuwadhibiti raia wa kigeni kushiriki ktk Uchaguzi Mkuu, kwa kuwa kitendo hicho ni kinyume na Sheria
Soma https://jamii.app/NECWageniUchaguzi
#TZ2020
IMF YAIDHINISHA MSAADA WA DHARURA KWA NCHI 28 IKIWEMO TANZANIA
> Msaada wa Shirika la Fedha unalenga kuzisaidia nchi kupunguza madeni na kukabiliana na athari za #COVID19
> Hii ni awamu ya pili ya msaada huo, awamu ya kwanza ilihusisha nchi 25
Soma https://jamii.app/IMFAidTZ
> Msaada wa Shirika la Fedha unalenga kuzisaidia nchi kupunguza madeni na kukabiliana na athari za #COVID19
> Hii ni awamu ya pili ya msaada huo, awamu ya kwanza ilihusisha nchi 25
Soma https://jamii.app/IMFAidTZ
JamiiForums: TUTATOWEKA HEWANI KWA DAKIKA KADHAA NA KUREJEA
> Mtandao wetu wa JamiiForums.com utatoweka hewani kwa dakika kadhaa ili kurekebisha masuala kadhaa na kuboresha upatikanaji wa huduma
> Zoezi hili linatarajiwa kutumia takribani dakika 30. Tunashukuru kwa uelewa na uvumilivu wako
> Mtandao wetu wa JamiiForums.com utatoweka hewani kwa dakika kadhaa ili kurekebisha masuala kadhaa na kuboresha upatikanaji wa huduma
> Zoezi hili linatarajiwa kutumia takribani dakika 30. Tunashukuru kwa uelewa na uvumilivu wako
QUEEN SENDIGA: MABORESHO KATIKA SEKTA YA KILIMO NI MUHIMU
> Mgombea Urais wa JMT kupitia ADC, akiwa Wilaya ya Liwale amesisitiza maboresho ktk Sekta ya Kilimo ni ya muhimu na ndio tiba pekee ya kuwapelekea wananchi maendeleo ya kweli
Soma - https://jamii.app/ADCLiwale
#uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia ADC, akiwa Wilaya ya Liwale amesisitiza maboresho ktk Sekta ya Kilimo ni ya muhimu na ndio tiba pekee ya kuwapelekea wananchi maendeleo ya kweli
Soma - https://jamii.app/ADCLiwale
#uchaguzi2020
UPDATE: ZITTO NA WENZAKE WANAENDELEA VIZURI
> Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema anaendelea vizuri kufuatia ajali aliyopata jana mkoani Kigoma
> Amesema yeye na wenzake ni wazima na kuwashukuru Wahudumu na Madaktari
Soma - https://jamii.app/ZittoAjaliKgm
> Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema anaendelea vizuri kufuatia ajali aliyopata jana mkoani Kigoma
> Amesema yeye na wenzake ni wazima na kuwashukuru Wahudumu na Madaktari
Soma - https://jamii.app/ZittoAjaliKgm
TLS KUMSAIDIA FATMA KARUME KUKATA RUFAA YA ADHABU ALIYOPEWA
> Baraza la Uongozi wa TLS limegundua Mwanasheria Mkuu aliwasilisha upya malalamiko yake kwa Kamati ya Mawakili kinyume na amri na maelekezo ya Jaji Kiongozi
> Muundo wa Kamati ya Mawakili una uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa upendeleo au muonekano wa upendeleo
Soma - https://jamii.app/TKSRufaniFatma
> Baraza la Uongozi wa TLS limegundua Mwanasheria Mkuu aliwasilisha upya malalamiko yake kwa Kamati ya Mawakili kinyume na amri na maelekezo ya Jaji Kiongozi
> Muundo wa Kamati ya Mawakili una uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa upendeleo au muonekano wa upendeleo
Soma - https://jamii.app/TKSRufaniFatma
TLP, UDP ZAJITOA KUMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CCM
> Ni baada ya Ofisi ya Msajili kuvitaarifu kuwa havikufuata Kanuni na Sheria za Uchaguzi
> UDP wameendelea na kazi za kampeni, wakiwa na Mgombea wao. TLP ambao waliweka mabango wameyatoa
Soma https://jamii.app/TLP-UDPMagufuli
#TZ2020
> Ni baada ya Ofisi ya Msajili kuvitaarifu kuwa havikufuata Kanuni na Sheria za Uchaguzi
> UDP wameendelea na kazi za kampeni, wakiwa na Mgombea wao. TLP ambao waliweka mabango wameyatoa
Soma https://jamii.app/TLP-UDPMagufuli
#TZ2020
MICHEZO: Bodi ya Ligi Kuu imesema Mechi ya Yanga na Simba iliyokuwa ichezwe Oktoba 18, 2020 imesogezwa mbele hadi Novemba 7
> Sababu ni uwezekano wa kuwepo kwa vikwazo vya usafiri kwa wachezaji wa Kimataifa kutokana na kalenda za FIFA
Soma - https://jamii.app/HairishoSimbaYanga
> Sababu ni uwezekano wa kuwepo kwa vikwazo vya usafiri kwa wachezaji wa Kimataifa kutokana na kalenda za FIFA
Soma - https://jamii.app/HairishoSimbaYanga
DKT. MWINYI: ZANZIBAR KUNA UBAGUZI WA KIDINI, KIJINSIA NA KIKANDA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM ameahidi kupambana na vitendo hivyo na kusema, mtu anayetafuta uongozi wa nchi hawajibiki kwa wanaompigia kura tu, bali hata kwa Mungu
Soma - https://jamii.app/UbaguziZbar
#TZ2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM ameahidi kupambana na vitendo hivyo na kusema, mtu anayetafuta uongozi wa nchi hawajibiki kwa wanaompigia kura tu, bali hata kwa Mungu
Soma - https://jamii.app/UbaguziZbar
#TZ2020
MAASKOFU WAHIMIZA NEC KUSIMAMIA UCHAGUZI KWA HAKI
> Chama cha Maaskofu na Wachungaji (TPA) kimesema Watanzania wanatarajia kuona Tume ya Uchaguzi inasimamia haki na kufuata Sheria za Uchaguzi kuepuka malalamiko yanayoanza kujitokeza
Soma - https://jamii.app/TPA-NECUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Chama cha Maaskofu na Wachungaji (TPA) kimesema Watanzania wanatarajia kuona Tume ya Uchaguzi inasimamia haki na kufuata Sheria za Uchaguzi kuepuka malalamiko yanayoanza kujitokeza
Soma - https://jamii.app/TPA-NECUchaguzi
#Uchaguzi2020
ECOWAS YAIONDOLEA VIKWAZO MALI BAADA YA KUUNDA SERIKALI YA MPITO
> Imefikia uamuzi huo kwa kuzingatia hatua ambazo Mali imepiga kurudi katika Mfumo wa Kikatiba
> Mali iliwekewa vikwazo kufuatia mapinduzi yaliyomtoa Ibrahim Keita madarakani
Soma - https://jamii.app/VikwazoMali
> Imefikia uamuzi huo kwa kuzingatia hatua ambazo Mali imepiga kurudi katika Mfumo wa Kikatiba
> Mali iliwekewa vikwazo kufuatia mapinduzi yaliyomtoa Ibrahim Keita madarakani
Soma - https://jamii.app/VikwazoMali
RAIS WA MALAWI, DKT. LAZARUS CHAKWERA AWASILI NCHINI
> Rais Chakwera amepokelewa na Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Pia, akiwa JNIA amekagua gwaride la heshima aliloandaliwa
>Marais hao wawili wanatarajia kufanya mazungumzo baadaye
Soma - https://jamii.app/RaisChakweraTZ
> Rais Chakwera amepokelewa na Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Pia, akiwa JNIA amekagua gwaride la heshima aliloandaliwa
>Marais hao wawili wanatarajia kufanya mazungumzo baadaye
Soma - https://jamii.app/RaisChakweraTZ
SINGAPORE: SERIKALI KUWALIPA WANANCHI ILI WAZAE KIPINDI HIKI CHA #COVID19
> Wananchi wengi waliokusudia kupata watoto wanadaiwa kusitisha hilo kutokana na kukosa fedha/ajira
> #Singapore ni nchi yenye kiwango kidogo cha watu kuzaliana
Soma - https://jamii.app/BirthPaySingap
> Wananchi wengi waliokusudia kupata watoto wanadaiwa kusitisha hilo kutokana na kukosa fedha/ajira
> #Singapore ni nchi yenye kiwango kidogo cha watu kuzaliana
Soma - https://jamii.app/BirthPaySingap
TABORA: WAHAMIAJI HARAMU 32 WAKUTWA NA KADI ZA KUPIGIA KURA
> Raia hao wa Burundi wamekamatwa Mkoani Tabora wakitokea Kigoma kuelekea Dar na Mbeya
> 25 walikamatwa Wilayani Urambo ndani ya Treni na 7 walikamatwa Kituo Kikuu cha Mabasi Tabora
Soma https://jamii.app/WahamiajiKadiKura
> Raia hao wa Burundi wamekamatwa Mkoani Tabora wakitokea Kigoma kuelekea Dar na Mbeya
> 25 walikamatwa Wilayani Urambo ndani ya Treni na 7 walikamatwa Kituo Kikuu cha Mabasi Tabora
Soma https://jamii.app/WahamiajiKadiKura
ARUSHA: WATU WATANO MBARONI KWA MAKOSA YA KIMTANDAO
> Walikamatwa ktk ofisi za aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema
> Wanadaiwa kuingilia mifumo ya mawasiliano ya kibenki na kuendesha mafunzo ya kutenda uhalifu wa kijinai
Soma https://jamii.app/Kada5CDMUhalifu
> Walikamatwa ktk ofisi za aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema
> Wanadaiwa kuingilia mifumo ya mawasiliano ya kibenki na kuendesha mafunzo ya kutenda uhalifu wa kijinai
Soma https://jamii.app/Kada5CDMUhalifu
RAIS CHAKWERA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI, ATAMANI KUSHIKILIA KOTI LAKE
> Rais Chakwera amesema, "Nilimwambia Rais Magufuli kama inawezekana ningependa kushikilia koti lake tu ili anapokimbia aweze kunivuta nami niende haraka kwa kasi yake"
> Naye Rais Magufuli amesema Tanzania na Malawi wamekuwa marafiki tangu ukoloni na watawafundisha mbinu za kukusanya kodi kama Tanzania ilivyofanikiwa
Soma - https://jamii.app/JPMChakweraIkulu
> Rais Chakwera amesema, "Nilimwambia Rais Magufuli kama inawezekana ningependa kushikilia koti lake tu ili anapokimbia aweze kunivuta nami niende haraka kwa kasi yake"
> Naye Rais Magufuli amesema Tanzania na Malawi wamekuwa marafiki tangu ukoloni na watawafundisha mbinu za kukusanya kodi kama Tanzania ilivyofanikiwa
Soma - https://jamii.app/JPMChakweraIkulu
TUNDU LISSU ATEMBELEA SOKO LA KARIAKOO HUKU AKITUMIA USAFIRI WA UMMA
> Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, leo ameamua kutembelea viunga vya Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam huku akitumia usafiri wa Mwendokasi kutokea Kinondoni Morocco
Angalia https://youtu.be/89_XiJwLC5Q
#JFSiasa
> Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, leo ameamua kutembelea viunga vya Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam huku akitumia usafiri wa Mwendokasi kutokea Kinondoni Morocco
Angalia https://youtu.be/89_XiJwLC5Q
#JFSiasa
YouTube
Tundu Lissu atembelea Soko la Kariakoo Dar Es Salaam kwa kutumia Usafiri wa Umma