DHAHAMA: MAN. UTD YAKUNGβUTWA GOLI 6-1 OLD TRAFFORD
- Manchester United imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 6-1 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England, mzunguko wa 4
- Man. Utd imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza. Huu ni mchezo wao wa 1,079 katika michuano hii
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
- Manchester United imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 6-1 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England, mzunguko wa 4
- Man. Utd imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza. Huu ni mchezo wao wa 1,079 katika michuano hii
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
LIVERPOOL YAKUMBANA NA KIPIGO CHA βMBWA KOKOβ KUTOKA KWA ASTON VILLA
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo
ATHARI ZA #COVID19: BENKI YA DUNIA YAHIMIZA NCHI MASIKINI KUSAMEHEWA MADENI
> Rais wa Benki hiyo amesema #COVID19 inaweza kusababisha changamoto ya kulipa madeni
> Wawekezaji watakiwa kuwa tayari kutoa misaada inayoweza kujumuisha madeni kufutwa
Soma https://jamii.app/CoronaDebtsWB
> Rais wa Benki hiyo amesema #COVID19 inaweza kusababisha changamoto ya kulipa madeni
> Wawekezaji watakiwa kuwa tayari kutoa misaada inayoweza kujumuisha madeni kufutwa
Soma https://jamii.app/CoronaDebtsWB
INDIA: MAOFISA 5 WA POLISI WAFUKUZWA KWA KUHARIBU USHAHIDI
> Wanatuhumiwa kuharibu ushahidi wa tukio la binti (19) kubakwa na kuuliwa na wanaume 4
> Waliuchoma mwili wa marehemu bila ridhaa ya familia na kuzuia Wanahabari kuongea na familia
Soma https://jamii.app/GangRapeIndia
> Wanatuhumiwa kuharibu ushahidi wa tukio la binti (19) kubakwa na kuuliwa na wanaume 4
> Waliuchoma mwili wa marehemu bila ridhaa ya familia na kuzuia Wanahabari kuongea na familia
Soma https://jamii.app/GangRapeIndia
MALEZI YA WATOTO NJITI: UTUNZAJI WA KANGARUU
> Utunzaji huu ulipewa jina la Kangaruu kwa kurejelea jinsi Mnyama Kangaruu wanavyowatunza ndama wake
> Njia hii ni bora ktk kuwatunza Watoto waliozaliwa chini ya wiki 37 za ujauzito na uzani wa chini
Soma > https://jamii.app/MaleziKangaruu
#WatotoNjiti
> Utunzaji huu ulipewa jina la Kangaruu kwa kurejelea jinsi Mnyama Kangaruu wanavyowatunza ndama wake
> Njia hii ni bora ktk kuwatunza Watoto waliozaliwa chini ya wiki 37 za ujauzito na uzani wa chini
Soma > https://jamii.app/MaleziKangaruu
#WatotoNjiti
SIKU YA MWALIMU: #COVID19 YATAJWA KUWAATHIRI WALIMU KISAIKOLOJIA
> Leo ni maadhimisho ya #WorldTeachersDay. Iliasisiwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na UNICEF na ILO
> Changamoto kubwa bado ni idadi kubwa ya wanafunzi kuliko Walimu
Soma https://jamii.app/TeachersDay
> Leo ni maadhimisho ya #WorldTeachersDay. Iliasisiwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na UNICEF na ILO
> Changamoto kubwa bado ni idadi kubwa ya wanafunzi kuliko Walimu
Soma https://jamii.app/TeachersDay
KENYA: VURUGU KATI YA WAFUASI WA KENYATTA NA RUTO ZAPELEKEA VIFO 2
> Polisi wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu waliokuwa wakishambuliana
> Wafuasi wa Rais Kenyatta wamekuwa wakidai Ruto ameanza kampeni miaka 2 kabla ya Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/VuruguVifoKE
> Polisi wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu waliokuwa wakishambuliana
> Wafuasi wa Rais Kenyatta wamekuwa wakidai Ruto ameanza kampeni miaka 2 kabla ya Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/VuruguVifoKE
MAALIM SEIF: TUTAONGEZA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amesema watapandisha mshahara kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 500,000
> Atawafutia Wazanzibar deni wanalodaiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu
Soma https://jamii.app/KimaMshahara
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amesema watapandisha mshahara kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 500,000
> Atawafutia Wazanzibar deni wanalodaiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu
Soma https://jamii.app/KimaMshahara
#Uchaguzi2020
UCHAGUZI 2020: JE, UNAFAHAMU MAJUKUMU YA TUME YA UCHAGUZI?
> Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura ktk Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa JMT
> Kutoa elimu ya mpiga kura nchi nzima, kuratibu na kusimamia wanaotoa elimu hiyo
Soma - https://jamii.app/MajukumuNEC
#Uchaguzi2020
> Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura ktk Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa JMT
> Kutoa elimu ya mpiga kura nchi nzima, kuratibu na kusimamia wanaotoa elimu hiyo
Soma - https://jamii.app/MajukumuNEC
#Uchaguzi2020
QUEEN SENDIGA: UZURI WA VIPAUMBELE VYA ADC UTANIPA USHINDI
> Amesema, Ilani ya Chama imetoa kipaumbele kwa Elimu, Afya na Kilimo kutokana na umuhimu wake kwa kila mtu
> Mgombea huyo wa Urais anaamini Uchaguzi Mkuu utakuwa Huru na wa Haki
Soma - https://jamii.app/QueenUshindiADC
#TZ2020
> Amesema, Ilani ya Chama imetoa kipaumbele kwa Elimu, Afya na Kilimo kutokana na umuhimu wake kwa kila mtu
> Mgombea huyo wa Urais anaamini Uchaguzi Mkuu utakuwa Huru na wa Haki
Soma - https://jamii.app/QueenUshindiADC
#TZ2020
DAR: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA NA 10 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
> Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo eneo la Chang'ombe
> Ajali hiyo imehusisha daladala ya Temeke-Muhimbili na lori la mchanga
Angalia - https://youtu.be/6gtvsgBJsoU
> Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo eneo la Chang'ombe
> Ajali hiyo imehusisha daladala ya Temeke-Muhimbili na lori la mchanga
Angalia - https://youtu.be/6gtvsgBJsoU
YouTube
Dar: Watu 5 wafariki dunia na 10 kujeruhiwa kwenye ajali ya Daladala na Lori
DAR: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA NA 10 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali iliyopelekea watu watano kupoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa
Ajali hiyo imetokea leo asubuhiβ¦
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali iliyopelekea watu watano kupoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa
Ajali hiyo imetokea leo asubuhiβ¦
SERIKALI YAFUTA MTAALA WA UALIMU WA NGAZI YA CHETI
> Wizara ya Elimu imetangaza kufuta Mtaala wa Ualimu wa ngazi ya Cheti kwa Elimu ya Awali na Msingi ili kuboresha Sekta hiyo
> Imesema, hakuna Mwalimu atakayefukuzwa kazi kutokana na hilo
Soma - https://jamii.app/MtaalaUalimuCheti
> Wizara ya Elimu imetangaza kufuta Mtaala wa Ualimu wa ngazi ya Cheti kwa Elimu ya Awali na Msingi ili kuboresha Sekta hiyo
> Imesema, hakuna Mwalimu atakayefukuzwa kazi kutokana na hilo
Soma - https://jamii.app/MtaalaUalimuCheti
LADY JAYDEE ADAIWA KUHAMASISHA MATUMIZI YA BANGI KWENYE WIMBO WAKE
> Msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura anadaiwa kufanya hivyo kwenye wimbo wake mpya wa βOne Timeβ
> BASATA wanaendelea kufanya uchunguzi wa kisheria kuhusiana na Wimbo huo
Soma https://jamii.app/JayDeeBangi
> Msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura anadaiwa kufanya hivyo kwenye wimbo wake mpya wa βOne Timeβ
> BASATA wanaendelea kufanya uchunguzi wa kisheria kuhusiana na Wimbo huo
Soma https://jamii.app/JayDeeBangi
SIKU YA MAKAZI DUNIANI: WENYE KIPATO CHA CHINI KUWEZESHWA KUPATA NYUMBA BORA
> Ktk kuadhimisha siku hii, Waziri wa Nyumba na Makazi amesema Serikali ipo kwenye mchakato wa kuandaa Sera ambayo itawezesha upatikanaji wa nyumba za gharama nafuu
Soma https://jamii.app/SeraMakazi
> Ktk kuadhimisha siku hii, Waziri wa Nyumba na Makazi amesema Serikali ipo kwenye mchakato wa kuandaa Sera ambayo itawezesha upatikanaji wa nyumba za gharama nafuu
Soma https://jamii.app/SeraMakazi
CHAMA CHA DEMOKRASIA MAKINI CHAMTAKA MBOWE AOMBE RADHI KWA KAULI ALIYOITOA
> Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha Uchaguzi huu washindani ni CHADEMA na CCM, vyama vingine vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Soma https://jamii.app/UpinzaniKutumika
#TZ2020
> Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha Uchaguzi huu washindani ni CHADEMA na CCM, vyama vingine vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Soma https://jamii.app/UpinzaniKutumika
#TZ2020
RAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI 3
> Amepokea Hati za utambulisho wa Balozi wa Uingereza nchini, David William Concar, Balozi wa Pakistan nchini, Muhammad Saleem na Balozi wa Uswisi nchini, Didier Chassot
Soma - https://jamii.app/HatiMabalozi3
> Amepokea Hati za utambulisho wa Balozi wa Uingereza nchini, David William Concar, Balozi wa Pakistan nchini, Muhammad Saleem na Balozi wa Uswisi nchini, Didier Chassot
Soma - https://jamii.app/HatiMabalozi3
RAIS MAGUFULI ATENGUA KUFUTWA KWA MAFUNZO YA UALIMU KWA NGAZI YA CHETI
> Amewataka Walimu kupuuza taarifa inayoeleza kuwa Serikali imefuta mafunzo ya Ualimu wa Shule za Msingi na Awali kwa ngazi ya cheti na kuwa mafunzo yataanzia diploma
Soma - https://jamii.app/TenguziUalimuCheti
> Amewataka Walimu kupuuza taarifa inayoeleza kuwa Serikali imefuta mafunzo ya Ualimu wa Shule za Msingi na Awali kwa ngazi ya cheti na kuwa mafunzo yataanzia diploma
Soma - https://jamii.app/TenguziUalimuCheti
LIBERIA: RAIS WEAH AWASHUKIA WANAOMTUKANA WAKATI WAKIOMBA MSAADA
> Rais George Weah amesema hatatoa msaada wowote kwa watu ambao wameonesha kumvunjia heshima
> Pia, amekemea tabia ya vijana kutaka kujitegemea badala ya kukaa kwa wazazi
Soma - https://jamii.app/RaisMsaadaLBR
> Rais George Weah amesema hatatoa msaada wowote kwa watu ambao wameonesha kumvunjia heshima
> Pia, amekemea tabia ya vijana kutaka kujitegemea badala ya kukaa kwa wazazi
Soma - https://jamii.app/RaisMsaadaLBR
DKT. BASHIRU: TUNAZO FEDHA ZA KUENDESHA UCHAGUZI, HATUHITAJI MSAADA
> Katibu Mkuu wa CCM, amesema wamejipanga kwasababu walijua kuna Uchaguzi
> Amesema wanaotembeza mabakuli ya pesa hawajajiandaa kwasababu Uchaguzi ulijulikana tangu 2015
Soma - https://jamii.app/DktBashiruZNZ
#TZ2020
> Katibu Mkuu wa CCM, amesema wamejipanga kwasababu walijua kuna Uchaguzi
> Amesema wanaotembeza mabakuli ya pesa hawajajiandaa kwasababu Uchaguzi ulijulikana tangu 2015
Soma - https://jamii.app/DktBashiruZNZ
#TZ2020
MTAALAM: MATUMIZI YA LIMAO KUSAFISHIA UKE NI HATARI KIAFYA
> Dkt. Fatima Abdulahi ktk hospitali ya Marie Stopes, Abuja amesema Limao inasadikiwa kuwa na kiwango cha juu cha Tindikali cha 14/1/14 wakati uke una kiwango cha 3.8/14 na 4.5/14
Soma - https://jamii.app/LemonVagina
> Dkt. Fatima Abdulahi ktk hospitali ya Marie Stopes, Abuja amesema Limao inasadikiwa kuwa na kiwango cha juu cha Tindikali cha 14/1/14 wakati uke una kiwango cha 3.8/14 na 4.5/14
Soma - https://jamii.app/LemonVagina