DC ARUSHA: SITARAJII WANANCHI KUINGIA KATIKA MAANDAMANO YA UVUNJIFU WA AMANI
> Kenani Kihongosi ameonya wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja ili kuepuka kupata matatizo
> Pia amesema, Serikali haitavumilia wenye mipango ovu
Soma https://jamii.app/AmaniArushaDC
#Uchaguzi2020
> Kenani Kihongosi ameonya wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja ili kuepuka kupata matatizo
> Pia amesema, Serikali haitavumilia wenye mipango ovu
Soma https://jamii.app/AmaniArushaDC
#Uchaguzi2020
JAJI MUTUNGI: TUSIMAMIE HAKI ILI KUSIWE NA TAFRANI
> Msajili wa Vyama vya Siasa amevitaka Vyama vya Siasa na Wadau kuheshimu Sheria za Uchaguzi ili kuepuka migogoro
> Amewaomba kuimarisha Demokrasia kwa kufanya siasa kistaarabu
Soma https://jamii.app/JajiMutungi
#Uchaguzi2020
> Msajili wa Vyama vya Siasa amevitaka Vyama vya Siasa na Wadau kuheshimu Sheria za Uchaguzi ili kuepuka migogoro
> Amewaomba kuimarisha Demokrasia kwa kufanya siasa kistaarabu
Soma https://jamii.app/JajiMutungi
#Uchaguzi2020
ACT-WAZALENDO YAZINDUA ILANI YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR
> Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa Ilani hiyo yenye Sura 19
> Baadhi ya masuala yaliyomo katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama
Soma - https://jamii.app/IlaniACT-ZNZ
#Uchaguzi2020
> Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa Ilani hiyo yenye Sura 19
> Baadhi ya masuala yaliyomo katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama
Soma - https://jamii.app/IlaniACT-ZNZ
#Uchaguzi2020
SIMANJIRO, MANYARA: BWENI LA SHULE YA SEKONDARI OLJORO LATEKETEA KWA MOTO
> Chanzo cha moto huo ulioteketeza bweni la wasichana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi bado hakijafahamika
Soma - https://jamii.app/MotoShuleOljoro
> Chanzo cha moto huo ulioteketeza bweni la wasichana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi bado hakijafahamika
Soma - https://jamii.app/MotoShuleOljoro
CHADEMA: LISSU HATOENDELEA NA MIKUTANO YA KAMPENI
> Mbowe amesema Lissu hatokosa cha kufanya ktk siku 7 kwasababu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
> CHADEMA itampangia programu mahususi na atafanya majukumu ya kijamii na kisiasa
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#Uchaguzi2020
> Mbowe amesema Lissu hatokosa cha kufanya ktk siku 7 kwasababu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
> CHADEMA itampangia programu mahususi na atafanya majukumu ya kijamii na kisiasa
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#Uchaguzi2020
MUOSHA HUOSHWA: BAADA YA KUIPIGA MAN. CITY 5-2, LEICESTER YAPIGWA 3-0 NA WEST HAM
- Leicester City ikiwa nyumbani (King Power Stadium) imekutana na kipigo cha 3-0 kutoka kwa West Ham katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Soka England
- Katika mchezo mwingine, klabu ya Southampton imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya West Brom
#Michezo #JFSports
- Leicester City ikiwa nyumbani (King Power Stadium) imekutana na kipigo cha 3-0 kutoka kwa West Ham katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Soka England
- Katika mchezo mwingine, klabu ya Southampton imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya West Brom
#Michezo #JFSports
MBOWE: CHADEMA INAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
> Mwenyekiti wa Chama hicho amesema Mgombea wao, Said Issa Mohamed ameridhia kumuachia Maalim Seif awe Mgombea ambaye CHADEMA watamuunga mkono ktk Uchaguzi Mkuu wa Okt. 28
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#TZ2020
> Mwenyekiti wa Chama hicho amesema Mgombea wao, Said Issa Mohamed ameridhia kumuachia Maalim Seif awe Mgombea ambaye CHADEMA watamuunga mkono ktk Uchaguzi Mkuu wa Okt. 28
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#TZ2020
FAHAMU MAWAKALA WA UCHAGUZI KWA MUJIBU WA SHERIA
> Wakala wa Chama cha Siasa ktk Uchaguzi huteuliwa na Chama baada ya kupata ridhaa ya Mgombea
> Ili kuwa Wakala wa Uchaguzi, mtu anatakiwa awe na akili timamu, na umri wa miaka 18 na kuendelea
Soma https://jamii.app/MawakalaUchaguzi
#TZ2020
> Wakala wa Chama cha Siasa ktk Uchaguzi huteuliwa na Chama baada ya kupata ridhaa ya Mgombea
> Ili kuwa Wakala wa Uchaguzi, mtu anatakiwa awe na akili timamu, na umri wa miaka 18 na kuendelea
Soma https://jamii.app/MawakalaUchaguzi
#TZ2020
DHAHAMA: MAN. UTD YAKUNG’UTWA GOLI 6-1 OLD TRAFFORD
- Manchester United imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 6-1 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England, mzunguko wa 4
- Man. Utd imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza. Huu ni mchezo wao wa 1,079 katika michuano hii
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
- Manchester United imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 6-1 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England, mzunguko wa 4
- Man. Utd imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza. Huu ni mchezo wao wa 1,079 katika michuano hii
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
LIVERPOOL YAKUMBANA NA KIPIGO CHA ‘MBWA KOKO’ KUTOKA KWA ASTON VILLA
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo
ATHARI ZA #COVID19: BENKI YA DUNIA YAHIMIZA NCHI MASIKINI KUSAMEHEWA MADENI
> Rais wa Benki hiyo amesema #COVID19 inaweza kusababisha changamoto ya kulipa madeni
> Wawekezaji watakiwa kuwa tayari kutoa misaada inayoweza kujumuisha madeni kufutwa
Soma https://jamii.app/CoronaDebtsWB
> Rais wa Benki hiyo amesema #COVID19 inaweza kusababisha changamoto ya kulipa madeni
> Wawekezaji watakiwa kuwa tayari kutoa misaada inayoweza kujumuisha madeni kufutwa
Soma https://jamii.app/CoronaDebtsWB
INDIA: MAOFISA 5 WA POLISI WAFUKUZWA KWA KUHARIBU USHAHIDI
> Wanatuhumiwa kuharibu ushahidi wa tukio la binti (19) kubakwa na kuuliwa na wanaume 4
> Waliuchoma mwili wa marehemu bila ridhaa ya familia na kuzuia Wanahabari kuongea na familia
Soma https://jamii.app/GangRapeIndia
> Wanatuhumiwa kuharibu ushahidi wa tukio la binti (19) kubakwa na kuuliwa na wanaume 4
> Waliuchoma mwili wa marehemu bila ridhaa ya familia na kuzuia Wanahabari kuongea na familia
Soma https://jamii.app/GangRapeIndia
MALEZI YA WATOTO NJITI: UTUNZAJI WA KANGARUU
> Utunzaji huu ulipewa jina la Kangaruu kwa kurejelea jinsi Mnyama Kangaruu wanavyowatunza ndama wake
> Njia hii ni bora ktk kuwatunza Watoto waliozaliwa chini ya wiki 37 za ujauzito na uzani wa chini
Soma > https://jamii.app/MaleziKangaruu
#WatotoNjiti
> Utunzaji huu ulipewa jina la Kangaruu kwa kurejelea jinsi Mnyama Kangaruu wanavyowatunza ndama wake
> Njia hii ni bora ktk kuwatunza Watoto waliozaliwa chini ya wiki 37 za ujauzito na uzani wa chini
Soma > https://jamii.app/MaleziKangaruu
#WatotoNjiti
SIKU YA MWALIMU: #COVID19 YATAJWA KUWAATHIRI WALIMU KISAIKOLOJIA
> Leo ni maadhimisho ya #WorldTeachersDay. Iliasisiwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na UNICEF na ILO
> Changamoto kubwa bado ni idadi kubwa ya wanafunzi kuliko Walimu
Soma https://jamii.app/TeachersDay
> Leo ni maadhimisho ya #WorldTeachersDay. Iliasisiwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na UNICEF na ILO
> Changamoto kubwa bado ni idadi kubwa ya wanafunzi kuliko Walimu
Soma https://jamii.app/TeachersDay
KENYA: VURUGU KATI YA WAFUASI WA KENYATTA NA RUTO ZAPELEKEA VIFO 2
> Polisi wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu waliokuwa wakishambuliana
> Wafuasi wa Rais Kenyatta wamekuwa wakidai Ruto ameanza kampeni miaka 2 kabla ya Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/VuruguVifoKE
> Polisi wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu waliokuwa wakishambuliana
> Wafuasi wa Rais Kenyatta wamekuwa wakidai Ruto ameanza kampeni miaka 2 kabla ya Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/VuruguVifoKE
MAALIM SEIF: TUTAONGEZA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amesema watapandisha mshahara kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 500,000
> Atawafutia Wazanzibar deni wanalodaiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu
Soma https://jamii.app/KimaMshahara
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amesema watapandisha mshahara kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 500,000
> Atawafutia Wazanzibar deni wanalodaiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu
Soma https://jamii.app/KimaMshahara
#Uchaguzi2020
UCHAGUZI 2020: JE, UNAFAHAMU MAJUKUMU YA TUME YA UCHAGUZI?
> Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura ktk Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa JMT
> Kutoa elimu ya mpiga kura nchi nzima, kuratibu na kusimamia wanaotoa elimu hiyo
Soma - https://jamii.app/MajukumuNEC
#Uchaguzi2020
> Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura ktk Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa JMT
> Kutoa elimu ya mpiga kura nchi nzima, kuratibu na kusimamia wanaotoa elimu hiyo
Soma - https://jamii.app/MajukumuNEC
#Uchaguzi2020
QUEEN SENDIGA: UZURI WA VIPAUMBELE VYA ADC UTANIPA USHINDI
> Amesema, Ilani ya Chama imetoa kipaumbele kwa Elimu, Afya na Kilimo kutokana na umuhimu wake kwa kila mtu
> Mgombea huyo wa Urais anaamini Uchaguzi Mkuu utakuwa Huru na wa Haki
Soma - https://jamii.app/QueenUshindiADC
#TZ2020
> Amesema, Ilani ya Chama imetoa kipaumbele kwa Elimu, Afya na Kilimo kutokana na umuhimu wake kwa kila mtu
> Mgombea huyo wa Urais anaamini Uchaguzi Mkuu utakuwa Huru na wa Haki
Soma - https://jamii.app/QueenUshindiADC
#TZ2020
DAR: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA NA 10 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
> Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo eneo la Chang'ombe
> Ajali hiyo imehusisha daladala ya Temeke-Muhimbili na lori la mchanga
Angalia - https://youtu.be/6gtvsgBJsoU
> Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo eneo la Chang'ombe
> Ajali hiyo imehusisha daladala ya Temeke-Muhimbili na lori la mchanga
Angalia - https://youtu.be/6gtvsgBJsoU
YouTube
Dar: Watu 5 wafariki dunia na 10 kujeruhiwa kwenye ajali ya Daladala na Lori
DAR: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA NA 10 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali iliyopelekea watu watano kupoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa
Ajali hiyo imetokea leo asubuhi…
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali iliyopelekea watu watano kupoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa
Ajali hiyo imetokea leo asubuhi…
SERIKALI YAFUTA MTAALA WA UALIMU WA NGAZI YA CHETI
> Wizara ya Elimu imetangaza kufuta Mtaala wa Ualimu wa ngazi ya Cheti kwa Elimu ya Awali na Msingi ili kuboresha Sekta hiyo
> Imesema, hakuna Mwalimu atakayefukuzwa kazi kutokana na hilo
Soma - https://jamii.app/MtaalaUalimuCheti
> Wizara ya Elimu imetangaza kufuta Mtaala wa Ualimu wa ngazi ya Cheti kwa Elimu ya Awali na Msingi ili kuboresha Sekta hiyo
> Imesema, hakuna Mwalimu atakayefukuzwa kazi kutokana na hilo
Soma - https://jamii.app/MtaalaUalimuCheti