LADY JAYDEE ADAIWA KUHAMASISHA MATUMIZI YA BANGI KWENYE WIMBO WAKE
> Msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura anadaiwa kufanya hivyo kwenye wimbo wake mpya wa ‘One Time’
> BASATA wanaendelea kufanya uchunguzi wa kisheria kuhusiana na Wimbo huo
Soma https://jamii.app/JayDeeBangi
> Msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura anadaiwa kufanya hivyo kwenye wimbo wake mpya wa ‘One Time’
> BASATA wanaendelea kufanya uchunguzi wa kisheria kuhusiana na Wimbo huo
Soma https://jamii.app/JayDeeBangi
SIKU YA MAKAZI DUNIANI: WENYE KIPATO CHA CHINI KUWEZESHWA KUPATA NYUMBA BORA
> Ktk kuadhimisha siku hii, Waziri wa Nyumba na Makazi amesema Serikali ipo kwenye mchakato wa kuandaa Sera ambayo itawezesha upatikanaji wa nyumba za gharama nafuu
Soma https://jamii.app/SeraMakazi
> Ktk kuadhimisha siku hii, Waziri wa Nyumba na Makazi amesema Serikali ipo kwenye mchakato wa kuandaa Sera ambayo itawezesha upatikanaji wa nyumba za gharama nafuu
Soma https://jamii.app/SeraMakazi
CHAMA CHA DEMOKRASIA MAKINI CHAMTAKA MBOWE AOMBE RADHI KWA KAULI ALIYOITOA
> Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha Uchaguzi huu washindani ni CHADEMA na CCM, vyama vingine vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Soma https://jamii.app/UpinzaniKutumika
#TZ2020
> Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha Uchaguzi huu washindani ni CHADEMA na CCM, vyama vingine vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Soma https://jamii.app/UpinzaniKutumika
#TZ2020
RAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI 3
> Amepokea Hati za utambulisho wa Balozi wa Uingereza nchini, David William Concar, Balozi wa Pakistan nchini, Muhammad Saleem na Balozi wa Uswisi nchini, Didier Chassot
Soma - https://jamii.app/HatiMabalozi3
> Amepokea Hati za utambulisho wa Balozi wa Uingereza nchini, David William Concar, Balozi wa Pakistan nchini, Muhammad Saleem na Balozi wa Uswisi nchini, Didier Chassot
Soma - https://jamii.app/HatiMabalozi3
RAIS MAGUFULI ATENGUA KUFUTWA KWA MAFUNZO YA UALIMU KWA NGAZI YA CHETI
> Amewataka Walimu kupuuza taarifa inayoeleza kuwa Serikali imefuta mafunzo ya Ualimu wa Shule za Msingi na Awali kwa ngazi ya cheti na kuwa mafunzo yataanzia diploma
Soma - https://jamii.app/TenguziUalimuCheti
> Amewataka Walimu kupuuza taarifa inayoeleza kuwa Serikali imefuta mafunzo ya Ualimu wa Shule za Msingi na Awali kwa ngazi ya cheti na kuwa mafunzo yataanzia diploma
Soma - https://jamii.app/TenguziUalimuCheti
LIBERIA: RAIS WEAH AWASHUKIA WANAOMTUKANA WAKATI WAKIOMBA MSAADA
> Rais George Weah amesema hatatoa msaada wowote kwa watu ambao wameonesha kumvunjia heshima
> Pia, amekemea tabia ya vijana kutaka kujitegemea badala ya kukaa kwa wazazi
Soma - https://jamii.app/RaisMsaadaLBR
> Rais George Weah amesema hatatoa msaada wowote kwa watu ambao wameonesha kumvunjia heshima
> Pia, amekemea tabia ya vijana kutaka kujitegemea badala ya kukaa kwa wazazi
Soma - https://jamii.app/RaisMsaadaLBR
DKT. BASHIRU: TUNAZO FEDHA ZA KUENDESHA UCHAGUZI, HATUHITAJI MSAADA
> Katibu Mkuu wa CCM, amesema wamejipanga kwasababu walijua kuna Uchaguzi
> Amesema wanaotembeza mabakuli ya pesa hawajajiandaa kwasababu Uchaguzi ulijulikana tangu 2015
Soma - https://jamii.app/DktBashiruZNZ
#TZ2020
> Katibu Mkuu wa CCM, amesema wamejipanga kwasababu walijua kuna Uchaguzi
> Amesema wanaotembeza mabakuli ya pesa hawajajiandaa kwasababu Uchaguzi ulijulikana tangu 2015
Soma - https://jamii.app/DktBashiruZNZ
#TZ2020
MTAALAM: MATUMIZI YA LIMAO KUSAFISHIA UKE NI HATARI KIAFYA
> Dkt. Fatima Abdulahi ktk hospitali ya Marie Stopes, Abuja amesema Limao inasadikiwa kuwa na kiwango cha juu cha Tindikali cha 14/1/14 wakati uke una kiwango cha 3.8/14 na 4.5/14
Soma - https://jamii.app/LemonVagina
> Dkt. Fatima Abdulahi ktk hospitali ya Marie Stopes, Abuja amesema Limao inasadikiwa kuwa na kiwango cha juu cha Tindikali cha 14/1/14 wakati uke una kiwango cha 3.8/14 na 4.5/14
Soma - https://jamii.app/LemonVagina
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2020: SIFA ZA MTU ANAYESTAHILI KUPIGA KURA
- (i) Awe amejiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura:
- (ii) Awe ana Kadi ya Mpiga Kura iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
- (iii) Awe katika kituo alichojiandikisha kupiga kura
Zaidi, soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
- (i) Awe amejiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura:
- (ii) Awe ana Kadi ya Mpiga Kura iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
- (iii) Awe katika kituo alichojiandikisha kupiga kura
Zaidi, soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
NEC: SHERIA ZA NCHI ZISIVUNJWE KWA KIGEZO CHA UCHAGUZI
> Tume imesema wakati huu nchi inapoelekea katika Uchaguzi, Sheria nyingine hazijasimama
> Wagombea wametakiwa kuzingatia Maadili ya Uchaguzi na kuepuka lugha za kashfa na uchochezi
Soma https://jamii.app/NECVyamaSheria
#TZ2020
> Tume imesema wakati huu nchi inapoelekea katika Uchaguzi, Sheria nyingine hazijasimama
> Wagombea wametakiwa kuzingatia Maadili ya Uchaguzi na kuepuka lugha za kashfa na uchochezi
Soma https://jamii.app/NECVyamaSheria
#TZ2020
JE, UTARATIBU GANI UTATUMIKA SIKU YA KUPIGA KURA? (28.10.2020)
> Mpiga Kura anatakiwa kwenda kwenye kituo cha kupigia kura alichojiandikisha akiwa na kadi yake
> Anatakiwa kupanga mstari na kusubiri hadi zamu yake
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
> Mpiga Kura anatakiwa kwenda kwenye kituo cha kupigia kura alichojiandikisha akiwa na kadi yake
> Anatakiwa kupanga mstari na kusubiri hadi zamu yake
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
JE, UTARATIBU GANI UTATUMIKA SIKU YA KUPIGA KURA? (28.10.2020)
> Mpiga kura anatakiwa afuate maelekezo yote atakayopewa na msimamizi wa kituo muda wote akiwa kituoni
> Baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kurudi nyumbani
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020
> Mpiga kura anatakiwa afuate maelekezo yote atakayopewa na msimamizi wa kituo muda wote akiwa kituoni
> Baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kurudi nyumbani
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: NITAKUWA RAIS WA WANYONGE, WAVUVI WATAPATA STAHIKI ZAO
> Akiwa Mkoani Mwanza, Mgombea huyo amesema atawasimamia wavuvi ili wapate stahiki zao
> Pia, atahakikisha kila mvuvi aliyenyang'anywa na kuchomewa nyavu analipwa fidia
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaMWZ
#TZ2020
> Akiwa Mkoani Mwanza, Mgombea huyo amesema atawasimamia wavuvi ili wapate stahiki zao
> Pia, atahakikisha kila mvuvi aliyenyang'anywa na kuchomewa nyavu analipwa fidia
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaMWZ
#TZ2020
RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA DKT. SEMAKAFU
> Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
> Nafasi yake itajazwa baadaye
Soma > http://jamii.app/AvemariaOut
> Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
> Nafasi yake itajazwa baadaye
Soma > http://jamii.app/AvemariaOut
DKT. MWINYI: KILA NITAKAYEMTEUA ATAWAJIBIKA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE
> Mgombea Urais Zanzibar (CCM) amesema atajenga mawasiliano na wafanyakazi ili kusikiliza changamoto zao na kuzitatua
> Hatakuwa na huruma kwa wabadhirifu na wala rushwa
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiMwinyi
#TZ2020
> Mgombea Urais Zanzibar (CCM) amesema atajenga mawasiliano na wafanyakazi ili kusikiliza changamoto zao na kuzitatua
> Hatakuwa na huruma kwa wabadhirifu na wala rushwa
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiMwinyi
#TZ2020
ZEC: KURA YA MAPEMA HAITAHUSISHA ASKARI WOTE
> Tume ya Uchaguzi imesema watakaopiga kura Oktoba 27 ni watu maalum ikiwemo Watumishi wa Tume, Wasimamizi wa Uchaguzi na Askari ambao watahusika katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28
Soma https://jamii.app/KuraMapemaZNZ
#Uchaguzi2020
> Tume ya Uchaguzi imesema watakaopiga kura Oktoba 27 ni watu maalum ikiwemo Watumishi wa Tume, Wasimamizi wa Uchaguzi na Askari ambao watahusika katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28
Soma https://jamii.app/KuraMapemaZNZ
#Uchaguzi2020
NEC: VYAMA VYA SIASA VIMERUHUSIWA KUWEKA WAKALA KILA KITUO OKTOBA 28
> NEC imesema, tayari vyama vyote vinavyoshiriki Uchaguzi vimepata nakala tepe ya orodha ya wapiga kura ili kuwawezesha Mawakala kuhakiki wapiga kura wanaofika kituoni
Soma - https://jamii.app/WakalaUchaguzi
#TZ2020
> NEC imesema, tayari vyama vyote vinavyoshiriki Uchaguzi vimepata nakala tepe ya orodha ya wapiga kura ili kuwawezesha Mawakala kuhakiki wapiga kura wanaofika kituoni
Soma - https://jamii.app/WakalaUchaguzi
#TZ2020
MAMBO YASIYOTAKIWA KUFANYWA NA WATENDAJI WA SERIKALI WAKATI WA UCHAGUZI
> Mawaziri, RC na DC kuchanganya ziara za kikazi na shughuli za kiuchaguzi
> Kutangaza katika vyombo vya habari au kwa namna yoyote misaada au ahadi ya aina yoyote
> Kutoa ahadi za shughuli za maendeleo ya jamii
> Kutumia madaraka au rasilimali za Serikali kwa shughuli za kampeni za uchaguzi
Soma > https://jamii.app/UchaguziMaadili
#TZ2020
> Mawaziri, RC na DC kuchanganya ziara za kikazi na shughuli za kiuchaguzi
> Kutangaza katika vyombo vya habari au kwa namna yoyote misaada au ahadi ya aina yoyote
> Kutoa ahadi za shughuli za maendeleo ya jamii
> Kutumia madaraka au rasilimali za Serikali kwa shughuli za kampeni za uchaguzi
Soma > https://jamii.app/UchaguziMaadili
#TZ2020
MAREKANI: RAIS TRUMP ATOKA HOSPITALI, AWATAKA WATU WASIOGOPE #COVID19
> Rais Donald Trump amesema anajisikia vizuri na amewataka watu wasiruhusu #CoronaVirus itawale maisha yao
> Pia, Rais huyo amesema atarejea kufanya kampeni hivi karibuni
Soma https://jamii.app/TrumpCovidUS
> Rais Donald Trump amesema anajisikia vizuri na amewataka watu wasiruhusu #CoronaVirus itawale maisha yao
> Pia, Rais huyo amesema atarejea kufanya kampeni hivi karibuni
Soma https://jamii.app/TrumpCovidUS
SHAMBULIO LA WESTGATE, KENYA: HUKUMU YA WATUHUMIWA WA UGAIDI KUTOLEWA LEO
> Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa leo baada ya kuahirishwa jana
> Watu 67 walifariki ktk shambulio hilo la Septemba 2013, ambalo kundi la Al-Shabaab lilidai kuhusika
Soma https://jamii.app/WestgateCase
> Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa leo baada ya kuahirishwa jana
> Watu 67 walifariki ktk shambulio hilo la Septemba 2013, ambalo kundi la Al-Shabaab lilidai kuhusika
Soma https://jamii.app/WestgateCase