QUEEN SENDIGA: TUTAHAKIKISHA KILA MVUVI ANAKUWA MVUVI BORA
> Mgombea Urais kupitia ADC amesema watahakikisha Mvuvi wa Kitanzania anakuwa Mvuvi bora kwa kupatiwa elimu ya Uvuvi, vitendea kazi bora na kuondolewa tozo zisizoendana na uwezo wake
Soma https://jamii.app/SendigaBagamoyo
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia ADC amesema watahakikisha Mvuvi wa Kitanzania anakuwa Mvuvi bora kwa kupatiwa elimu ya Uvuvi, vitendea kazi bora na kuondolewa tozo zisizoendana na uwezo wake
Soma https://jamii.app/SendigaBagamoyo
#TZ2020
CHINA YATOA CHANJO YA MAJARIBIO YA #COVID19
> Maelfu wametumia chanjo licha ya kwamba hatua ya 3 ya majaribio kuthibitisha ubora wake ilikuwa haijakamilika
> Maafisa wa Afya wanasema hatua hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Soma https://jamii.app/CoronaVaccineCH
> Maelfu wametumia chanjo licha ya kwamba hatua ya 3 ya majaribio kuthibitisha ubora wake ilikuwa haijakamilika
> Maafisa wa Afya wanasema hatua hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)
Soma https://jamii.app/CoronaVaccineCH
MICHEZO: YANGA SC YASITISHA MKATABA WAKE NA KOCHA ZLATKO KRMPOTIC
> Hatua hii imefikiwa kwa maafikiano baina ya pande zote mbili
> Mwalimu Zlatko Krmpotic alitangazwa rasmi kujiunga na Yanga SC mnamo 28 Agosti 2020
Soma > https://jamii.app/YangaVsZlatko
> Hatua hii imefikiwa kwa maafikiano baina ya pande zote mbili
> Mwalimu Zlatko Krmpotic alitangazwa rasmi kujiunga na Yanga SC mnamo 28 Agosti 2020
Soma > https://jamii.app/YangaVsZlatko
PROF. LIPUMBA: SERIKALI YA CUF ITAHAKIKISHA 50% YA SHULE ZA UMMA ZINATUMIA TEHAMA IFIKAPO 2025
> Akiwa Shinyanga, Mgombea huyo amesema hatua hiyo itawezesha wanafunzi kusoma Shule zitakapofungwa kwa dharura kama ilivyokuwa wakati wa #COVID19
Soma https://jamii.app/CUF-Elimu
#TZ2020
> Akiwa Shinyanga, Mgombea huyo amesema hatua hiyo itawezesha wanafunzi kusoma Shule zitakapofungwa kwa dharura kama ilivyokuwa wakati wa #COVID19
Soma https://jamii.app/CUF-Elimu
#TZ2020
DC ARUSHA: SITARAJII WANANCHI KUINGIA KATIKA MAANDAMANO YA UVUNJIFU WA AMANI
> Kenani Kihongosi ameonya wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja ili kuepuka kupata matatizo
> Pia amesema, Serikali haitavumilia wenye mipango ovu
Soma https://jamii.app/AmaniArushaDC
#Uchaguzi2020
> Kenani Kihongosi ameonya wanaopanga kufanya maandamano kuacha mara moja ili kuepuka kupata matatizo
> Pia amesema, Serikali haitavumilia wenye mipango ovu
Soma https://jamii.app/AmaniArushaDC
#Uchaguzi2020
JAJI MUTUNGI: TUSIMAMIE HAKI ILI KUSIWE NA TAFRANI
> Msajili wa Vyama vya Siasa amevitaka Vyama vya Siasa na Wadau kuheshimu Sheria za Uchaguzi ili kuepuka migogoro
> Amewaomba kuimarisha Demokrasia kwa kufanya siasa kistaarabu
Soma https://jamii.app/JajiMutungi
#Uchaguzi2020
> Msajili wa Vyama vya Siasa amevitaka Vyama vya Siasa na Wadau kuheshimu Sheria za Uchaguzi ili kuepuka migogoro
> Amewaomba kuimarisha Demokrasia kwa kufanya siasa kistaarabu
Soma https://jamii.app/JajiMutungi
#Uchaguzi2020
ACT-WAZALENDO YAZINDUA ILANI YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR
> Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa Ilani hiyo yenye Sura 19
> Baadhi ya masuala yaliyomo katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama
Soma - https://jamii.app/IlaniACT-ZNZ
#Uchaguzi2020
> Katiba ya Zanzibar imesaidia kutoa mwongozo wa Ilani hiyo yenye Sura 19
> Baadhi ya masuala yaliyomo katika Ilani ni Mamlaka ya Zanzibar, Muungano, Uongozi, Ulinzi na Usalama
Soma - https://jamii.app/IlaniACT-ZNZ
#Uchaguzi2020
SIMANJIRO, MANYARA: BWENI LA SHULE YA SEKONDARI OLJORO LATEKETEA KWA MOTO
> Chanzo cha moto huo ulioteketeza bweni la wasichana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi bado hakijafahamika
Soma - https://jamii.app/MotoShuleOljoro
> Chanzo cha moto huo ulioteketeza bweni la wasichana na kusababisha uharibifu wa miundombinu pamoja na vifaa vya wanafunzi bado hakijafahamika
Soma - https://jamii.app/MotoShuleOljoro
CHADEMA: LISSU HATOENDELEA NA MIKUTANO YA KAMPENI
> Mbowe amesema Lissu hatokosa cha kufanya ktk siku 7 kwasababu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
> CHADEMA itampangia programu mahususi na atafanya majukumu ya kijamii na kisiasa
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#Uchaguzi2020
> Mbowe amesema Lissu hatokosa cha kufanya ktk siku 7 kwasababu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
> CHADEMA itampangia programu mahususi na atafanya majukumu ya kijamii na kisiasa
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#Uchaguzi2020
MUOSHA HUOSHWA: BAADA YA KUIPIGA MAN. CITY 5-2, LEICESTER YAPIGWA 3-0 NA WEST HAM
- Leicester City ikiwa nyumbani (King Power Stadium) imekutana na kipigo cha 3-0 kutoka kwa West Ham katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Soka England
- Katika mchezo mwingine, klabu ya Southampton imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya West Brom
#Michezo #JFSports
- Leicester City ikiwa nyumbani (King Power Stadium) imekutana na kipigo cha 3-0 kutoka kwa West Ham katika mchezo wa mzunguko wa nne wa Ligi Kuu Soka England
- Katika mchezo mwingine, klabu ya Southampton imepata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya West Brom
#Michezo #JFSports
MBOWE: CHADEMA INAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
> Mwenyekiti wa Chama hicho amesema Mgombea wao, Said Issa Mohamed ameridhia kumuachia Maalim Seif awe Mgombea ambaye CHADEMA watamuunga mkono ktk Uchaguzi Mkuu wa Okt. 28
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#TZ2020
> Mwenyekiti wa Chama hicho amesema Mgombea wao, Said Issa Mohamed ameridhia kumuachia Maalim Seif awe Mgombea ambaye CHADEMA watamuunga mkono ktk Uchaguzi Mkuu wa Okt. 28
Soma - https://jamii.app/TamkoCHADEMA
#TZ2020
FAHAMU MAWAKALA WA UCHAGUZI KWA MUJIBU WA SHERIA
> Wakala wa Chama cha Siasa ktk Uchaguzi huteuliwa na Chama baada ya kupata ridhaa ya Mgombea
> Ili kuwa Wakala wa Uchaguzi, mtu anatakiwa awe na akili timamu, na umri wa miaka 18 na kuendelea
Soma https://jamii.app/MawakalaUchaguzi
#TZ2020
> Wakala wa Chama cha Siasa ktk Uchaguzi huteuliwa na Chama baada ya kupata ridhaa ya Mgombea
> Ili kuwa Wakala wa Uchaguzi, mtu anatakiwa awe na akili timamu, na umri wa miaka 18 na kuendelea
Soma https://jamii.app/MawakalaUchaguzi
#TZ2020
DHAHAMA: MAN. UTD YAKUNG’UTWA GOLI 6-1 OLD TRAFFORD
- Manchester United imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 6-1 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England, mzunguko wa 4
- Man. Utd imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza. Huu ni mchezo wao wa 1,079 katika michuano hii
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
- Manchester United imejikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa goli 6-1 na Tottenham Hotspurs katika mchezo wa Ligi Kuu Soka England, mzunguko wa 4
- Man. Utd imefungwa magoli manne katika kipindi cha kwanza kwenye mchezo wa Premier League kwa mara ya kwanza. Huu ni mchezo wao wa 1,079 katika michuano hii
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Michezo #Sports
LIVERPOOL YAKUMBANA NA KIPIGO CHA ‘MBWA KOKO’ KUTOKA KWA ASTON VILLA
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo
ATHARI ZA #COVID19: BENKI YA DUNIA YAHIMIZA NCHI MASIKINI KUSAMEHEWA MADENI
> Rais wa Benki hiyo amesema #COVID19 inaweza kusababisha changamoto ya kulipa madeni
> Wawekezaji watakiwa kuwa tayari kutoa misaada inayoweza kujumuisha madeni kufutwa
Soma https://jamii.app/CoronaDebtsWB
> Rais wa Benki hiyo amesema #COVID19 inaweza kusababisha changamoto ya kulipa madeni
> Wawekezaji watakiwa kuwa tayari kutoa misaada inayoweza kujumuisha madeni kufutwa
Soma https://jamii.app/CoronaDebtsWB
INDIA: MAOFISA 5 WA POLISI WAFUKUZWA KWA KUHARIBU USHAHIDI
> Wanatuhumiwa kuharibu ushahidi wa tukio la binti (19) kubakwa na kuuliwa na wanaume 4
> Waliuchoma mwili wa marehemu bila ridhaa ya familia na kuzuia Wanahabari kuongea na familia
Soma https://jamii.app/GangRapeIndia
> Wanatuhumiwa kuharibu ushahidi wa tukio la binti (19) kubakwa na kuuliwa na wanaume 4
> Waliuchoma mwili wa marehemu bila ridhaa ya familia na kuzuia Wanahabari kuongea na familia
Soma https://jamii.app/GangRapeIndia
MALEZI YA WATOTO NJITI: UTUNZAJI WA KANGARUU
> Utunzaji huu ulipewa jina la Kangaruu kwa kurejelea jinsi Mnyama Kangaruu wanavyowatunza ndama wake
> Njia hii ni bora ktk kuwatunza Watoto waliozaliwa chini ya wiki 37 za ujauzito na uzani wa chini
Soma > https://jamii.app/MaleziKangaruu
#WatotoNjiti
> Utunzaji huu ulipewa jina la Kangaruu kwa kurejelea jinsi Mnyama Kangaruu wanavyowatunza ndama wake
> Njia hii ni bora ktk kuwatunza Watoto waliozaliwa chini ya wiki 37 za ujauzito na uzani wa chini
Soma > https://jamii.app/MaleziKangaruu
#WatotoNjiti
SIKU YA MWALIMU: #COVID19 YATAJWA KUWAATHIRI WALIMU KISAIKOLOJIA
> Leo ni maadhimisho ya #WorldTeachersDay. Iliasisiwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na UNICEF na ILO
> Changamoto kubwa bado ni idadi kubwa ya wanafunzi kuliko Walimu
Soma https://jamii.app/TeachersDay
> Leo ni maadhimisho ya #WorldTeachersDay. Iliasisiwa na Shirika la UNESCO kwa kushirikiana na UNICEF na ILO
> Changamoto kubwa bado ni idadi kubwa ya wanafunzi kuliko Walimu
Soma https://jamii.app/TeachersDay
KENYA: VURUGU KATI YA WAFUASI WA KENYATTA NA RUTO ZAPELEKEA VIFO 2
> Polisi wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu waliokuwa wakishambuliana
> Wafuasi wa Rais Kenyatta wamekuwa wakidai Ruto ameanza kampeni miaka 2 kabla ya Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/VuruguVifoKE
> Polisi wametumia mabomu ya machozi kutawanya watu waliokuwa wakishambuliana
> Wafuasi wa Rais Kenyatta wamekuwa wakidai Ruto ameanza kampeni miaka 2 kabla ya Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/VuruguVifoKE
MAALIM SEIF: TUTAONGEZA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amesema watapandisha mshahara kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 500,000
> Atawafutia Wazanzibar deni wanalodaiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu
Soma https://jamii.app/KimaMshahara
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amesema watapandisha mshahara kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 500,000
> Atawafutia Wazanzibar deni wanalodaiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu
Soma https://jamii.app/KimaMshahara
#Uchaguzi2020