UCHAGUZI 2020: JE, UNAFAHAMU MAJUKUMU YA TUME YA UCHAGUZI?
> Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura ktk Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa JMT
> Kutoa elimu ya mpiga kura nchi nzima, kuratibu na kusimamia wanaotoa elimu hiyo
Soma - https://jamii.app/MajukumuNEC
#Uchaguzi2020
> Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura ktk Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa JMT
> Kutoa elimu ya mpiga kura nchi nzima, kuratibu na kusimamia wanaotoa elimu hiyo
Soma - https://jamii.app/MajukumuNEC
#Uchaguzi2020
QUEEN SENDIGA: UZURI WA VIPAUMBELE VYA ADC UTANIPA USHINDI
> Amesema, Ilani ya Chama imetoa kipaumbele kwa Elimu, Afya na Kilimo kutokana na umuhimu wake kwa kila mtu
> Mgombea huyo wa Urais anaamini Uchaguzi Mkuu utakuwa Huru na wa Haki
Soma - https://jamii.app/QueenUshindiADC
#TZ2020
> Amesema, Ilani ya Chama imetoa kipaumbele kwa Elimu, Afya na Kilimo kutokana na umuhimu wake kwa kila mtu
> Mgombea huyo wa Urais anaamini Uchaguzi Mkuu utakuwa Huru na wa Haki
Soma - https://jamii.app/QueenUshindiADC
#TZ2020
DAR: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA NA 10 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
> Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo eneo la Chang'ombe
> Ajali hiyo imehusisha daladala ya Temeke-Muhimbili na lori la mchanga
Angalia - https://youtu.be/6gtvsgBJsoU
> Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo eneo la Chang'ombe
> Ajali hiyo imehusisha daladala ya Temeke-Muhimbili na lori la mchanga
Angalia - https://youtu.be/6gtvsgBJsoU
YouTube
Dar: Watu 5 wafariki dunia na 10 kujeruhiwa kwenye ajali ya Daladala na Lori
DAR: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA NA 10 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali iliyopelekea watu watano kupoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa
Ajali hiyo imetokea leo asubuhiβ¦
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha kutokea kwa ajali iliyopelekea watu watano kupoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa
Ajali hiyo imetokea leo asubuhiβ¦
SERIKALI YAFUTA MTAALA WA UALIMU WA NGAZI YA CHETI
> Wizara ya Elimu imetangaza kufuta Mtaala wa Ualimu wa ngazi ya Cheti kwa Elimu ya Awali na Msingi ili kuboresha Sekta hiyo
> Imesema, hakuna Mwalimu atakayefukuzwa kazi kutokana na hilo
Soma - https://jamii.app/MtaalaUalimuCheti
> Wizara ya Elimu imetangaza kufuta Mtaala wa Ualimu wa ngazi ya Cheti kwa Elimu ya Awali na Msingi ili kuboresha Sekta hiyo
> Imesema, hakuna Mwalimu atakayefukuzwa kazi kutokana na hilo
Soma - https://jamii.app/MtaalaUalimuCheti
LADY JAYDEE ADAIWA KUHAMASISHA MATUMIZI YA BANGI KWENYE WIMBO WAKE
> Msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura anadaiwa kufanya hivyo kwenye wimbo wake mpya wa βOne Timeβ
> BASATA wanaendelea kufanya uchunguzi wa kisheria kuhusiana na Wimbo huo
Soma https://jamii.app/JayDeeBangi
> Msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura anadaiwa kufanya hivyo kwenye wimbo wake mpya wa βOne Timeβ
> BASATA wanaendelea kufanya uchunguzi wa kisheria kuhusiana na Wimbo huo
Soma https://jamii.app/JayDeeBangi
SIKU YA MAKAZI DUNIANI: WENYE KIPATO CHA CHINI KUWEZESHWA KUPATA NYUMBA BORA
> Ktk kuadhimisha siku hii, Waziri wa Nyumba na Makazi amesema Serikali ipo kwenye mchakato wa kuandaa Sera ambayo itawezesha upatikanaji wa nyumba za gharama nafuu
Soma https://jamii.app/SeraMakazi
> Ktk kuadhimisha siku hii, Waziri wa Nyumba na Makazi amesema Serikali ipo kwenye mchakato wa kuandaa Sera ambayo itawezesha upatikanaji wa nyumba za gharama nafuu
Soma https://jamii.app/SeraMakazi
CHAMA CHA DEMOKRASIA MAKINI CHAMTAKA MBOWE AOMBE RADHI KWA KAULI ALIYOITOA
> Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha Uchaguzi huu washindani ni CHADEMA na CCM, vyama vingine vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Soma https://jamii.app/UpinzaniKutumika
#TZ2020
> Freeman Mbowe alisema "Mwenendo wa kampeni unadhihirisha Uchaguzi huu washindani ni CHADEMA na CCM, vyama vingine vinakisaidia Chama Cha Mapinduzi kutafuta uhalali"
Soma https://jamii.app/UpinzaniKutumika
#TZ2020
RAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI 3
> Amepokea Hati za utambulisho wa Balozi wa Uingereza nchini, David William Concar, Balozi wa Pakistan nchini, Muhammad Saleem na Balozi wa Uswisi nchini, Didier Chassot
Soma - https://jamii.app/HatiMabalozi3
> Amepokea Hati za utambulisho wa Balozi wa Uingereza nchini, David William Concar, Balozi wa Pakistan nchini, Muhammad Saleem na Balozi wa Uswisi nchini, Didier Chassot
Soma - https://jamii.app/HatiMabalozi3
RAIS MAGUFULI ATENGUA KUFUTWA KWA MAFUNZO YA UALIMU KWA NGAZI YA CHETI
> Amewataka Walimu kupuuza taarifa inayoeleza kuwa Serikali imefuta mafunzo ya Ualimu wa Shule za Msingi na Awali kwa ngazi ya cheti na kuwa mafunzo yataanzia diploma
Soma - https://jamii.app/TenguziUalimuCheti
> Amewataka Walimu kupuuza taarifa inayoeleza kuwa Serikali imefuta mafunzo ya Ualimu wa Shule za Msingi na Awali kwa ngazi ya cheti na kuwa mafunzo yataanzia diploma
Soma - https://jamii.app/TenguziUalimuCheti
LIBERIA: RAIS WEAH AWASHUKIA WANAOMTUKANA WAKATI WAKIOMBA MSAADA
> Rais George Weah amesema hatatoa msaada wowote kwa watu ambao wameonesha kumvunjia heshima
> Pia, amekemea tabia ya vijana kutaka kujitegemea badala ya kukaa kwa wazazi
Soma - https://jamii.app/RaisMsaadaLBR
> Rais George Weah amesema hatatoa msaada wowote kwa watu ambao wameonesha kumvunjia heshima
> Pia, amekemea tabia ya vijana kutaka kujitegemea badala ya kukaa kwa wazazi
Soma - https://jamii.app/RaisMsaadaLBR
DKT. BASHIRU: TUNAZO FEDHA ZA KUENDESHA UCHAGUZI, HATUHITAJI MSAADA
> Katibu Mkuu wa CCM, amesema wamejipanga kwasababu walijua kuna Uchaguzi
> Amesema wanaotembeza mabakuli ya pesa hawajajiandaa kwasababu Uchaguzi ulijulikana tangu 2015
Soma - https://jamii.app/DktBashiruZNZ
#TZ2020
> Katibu Mkuu wa CCM, amesema wamejipanga kwasababu walijua kuna Uchaguzi
> Amesema wanaotembeza mabakuli ya pesa hawajajiandaa kwasababu Uchaguzi ulijulikana tangu 2015
Soma - https://jamii.app/DktBashiruZNZ
#TZ2020
MTAALAM: MATUMIZI YA LIMAO KUSAFISHIA UKE NI HATARI KIAFYA
> Dkt. Fatima Abdulahi ktk hospitali ya Marie Stopes, Abuja amesema Limao inasadikiwa kuwa na kiwango cha juu cha Tindikali cha 14/1/14 wakati uke una kiwango cha 3.8/14 na 4.5/14
Soma - https://jamii.app/LemonVagina
> Dkt. Fatima Abdulahi ktk hospitali ya Marie Stopes, Abuja amesema Limao inasadikiwa kuwa na kiwango cha juu cha Tindikali cha 14/1/14 wakati uke una kiwango cha 3.8/14 na 4.5/14
Soma - https://jamii.app/LemonVagina
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2020: SIFA ZA MTU ANAYESTAHILI KUPIGA KURA
- (i) Awe amejiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura:
- (ii) Awe ana Kadi ya Mpiga Kura iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
- (iii) Awe katika kituo alichojiandikisha kupiga kura
Zaidi, soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
- (i) Awe amejiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura:
- (ii) Awe ana Kadi ya Mpiga Kura iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
- (iii) Awe katika kituo alichojiandikisha kupiga kura
Zaidi, soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
NEC: SHERIA ZA NCHI ZISIVUNJWE KWA KIGEZO CHA UCHAGUZI
> Tume imesema wakati huu nchi inapoelekea katika Uchaguzi, Sheria nyingine hazijasimama
> Wagombea wametakiwa kuzingatia Maadili ya Uchaguzi na kuepuka lugha za kashfa na uchochezi
Soma https://jamii.app/NECVyamaSheria
#TZ2020
> Tume imesema wakati huu nchi inapoelekea katika Uchaguzi, Sheria nyingine hazijasimama
> Wagombea wametakiwa kuzingatia Maadili ya Uchaguzi na kuepuka lugha za kashfa na uchochezi
Soma https://jamii.app/NECVyamaSheria
#TZ2020
JE, UTARATIBU GANI UTATUMIKA SIKU YA KUPIGA KURA? (28.10.2020)
> Mpiga Kura anatakiwa kwenda kwenye kituo cha kupigia kura alichojiandikisha akiwa na kadi yake
> Anatakiwa kupanga mstari na kusubiri hadi zamu yake
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
> Mpiga Kura anatakiwa kwenda kwenye kituo cha kupigia kura alichojiandikisha akiwa na kadi yake
> Anatakiwa kupanga mstari na kusubiri hadi zamu yake
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
JE, UTARATIBU GANI UTATUMIKA SIKU YA KUPIGA KURA? (28.10.2020)
> Mpiga kura anatakiwa afuate maelekezo yote atakayopewa na msimamizi wa kituo muda wote akiwa kituoni
> Baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kurudi nyumbani
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020
> Mpiga kura anatakiwa afuate maelekezo yote atakayopewa na msimamizi wa kituo muda wote akiwa kituoni
> Baada ya kupiga kura, mpiga kura anatakiwa kurudi nyumbani
Soma > https://jamii.app/KupigaKura
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: NITAKUWA RAIS WA WANYONGE, WAVUVI WATAPATA STAHIKI ZAO
> Akiwa Mkoani Mwanza, Mgombea huyo amesema atawasimamia wavuvi ili wapate stahiki zao
> Pia, atahakikisha kila mvuvi aliyenyang'anywa na kuchomewa nyavu analipwa fidia
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaMWZ
#TZ2020
> Akiwa Mkoani Mwanza, Mgombea huyo amesema atawasimamia wavuvi ili wapate stahiki zao
> Pia, atahakikisha kila mvuvi aliyenyang'anywa na kuchomewa nyavu analipwa fidia
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaMWZ
#TZ2020
RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA DKT. SEMAKAFU
> Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
> Nafasi yake itajazwa baadaye
Soma > http://jamii.app/AvemariaOut
> Alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
> Nafasi yake itajazwa baadaye
Soma > http://jamii.app/AvemariaOut
DKT. MWINYI: KILA NITAKAYEMTEUA ATAWAJIBIKA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE
> Mgombea Urais Zanzibar (CCM) amesema atajenga mawasiliano na wafanyakazi ili kusikiliza changamoto zao na kuzitatua
> Hatakuwa na huruma kwa wabadhirifu na wala rushwa
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiMwinyi
#TZ2020
> Mgombea Urais Zanzibar (CCM) amesema atajenga mawasiliano na wafanyakazi ili kusikiliza changamoto zao na kuzitatua
> Hatakuwa na huruma kwa wabadhirifu na wala rushwa
Soma - https://jamii.app/UwajibikajiMwinyi
#TZ2020
ZEC: KURA YA MAPEMA HAITAHUSISHA ASKARI WOTE
> Tume ya Uchaguzi imesema watakaopiga kura Oktoba 27 ni watu maalum ikiwemo Watumishi wa Tume, Wasimamizi wa Uchaguzi na Askari ambao watahusika katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28
Soma https://jamii.app/KuraMapemaZNZ
#Uchaguzi2020
> Tume ya Uchaguzi imesema watakaopiga kura Oktoba 27 ni watu maalum ikiwemo Watumishi wa Tume, Wasimamizi wa Uchaguzi na Askari ambao watahusika katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28
Soma https://jamii.app/KuraMapemaZNZ
#Uchaguzi2020