NEC YAMFUNGIA TUNDU LISSU KUFANYA KAMPENI KWA SIKU 7
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia Mgombea huyo wa Urais wa JMT kufanya kampeni kwa siku saba
> NEC imefikia uamuzi huo kwa madai ya kuwa Lissu amekiuka Maadili ya Uchaguzi
Soma > https://jamii.app/LissuVsNEC
#Uchaguzi2020
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia Mgombea huyo wa Urais wa JMT kufanya kampeni kwa siku saba
> NEC imefikia uamuzi huo kwa madai ya kuwa Lissu amekiuka Maadili ya Uchaguzi
Soma > https://jamii.app/LissuVsNEC
#Uchaguzi2020
#NAMIBIA: WANAFUNZI ZAIDI YA 300 WAKUTWA NA #CORONAVIRUS
> Wizara ya Afya nchini humo imesema wanafunzi walioambukizwa wengi wao wanasoma Shule za Bweni
> Mpaka sasa #Namibia imethibitisha kuwa na jumla ya maambukizi 11,373 vya #CoronaVirus
Soma https://jamii.app/COVID19Namibia
> Wizara ya Afya nchini humo imesema wanafunzi walioambukizwa wengi wao wanasoma Shule za Bweni
> Mpaka sasa #Namibia imethibitisha kuwa na jumla ya maambukizi 11,373 vya #CoronaVirus
Soma https://jamii.app/COVID19Namibia
ORCI: WAGONJWA WENGI WA SARATANI WANAKIMBILIA KWA WAGANGA NA IBADANI
> Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), amesema sababu kubwa ni kurubuniwa na matangazo yasiyo rasmi kuhusu dawa katika Mitandao ya Kijamii
Soma https://jamii.app/SarataniTibaWaganga
> Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), amesema sababu kubwa ni kurubuniwa na matangazo yasiyo rasmi kuhusu dawa katika Mitandao ya Kijamii
Soma https://jamii.app/SarataniTibaWaganga
SAMIA: HAMNA HAJA YA KUPOTEZA NGUVU ZENU KUPIGIA KURA UPANDE MWINGINE
> Amesema "Ni sawa na kwamba unachukua fedha yako unatia shimoni. Haina faida, haina tija"
> Amewataka wananchi waipigie kura CCM ili kuendelea na safari ya maendeleo
Soma https://jamii.app/SamiaSingida
#TZ2020
> Amesema "Ni sawa na kwamba unachukua fedha yako unatia shimoni. Haina faida, haina tija"
> Amewataka wananchi waipigie kura CCM ili kuendelea na safari ya maendeleo
Soma https://jamii.app/SamiaSingida
#TZ2020
LISSU: UAMUZI WA NEC HAUKUBALIKI, KAMPENI ZITAENDELEA JUMAPILI
> Amesema hajapokea malalamiko ya ukiukwaji wa Maadili ya Uchaguzi na hajawasilisha utetezi wake
> Pia, amesema hajapokea nakala ya kusimamishwa japokuwa ipo mitandaoni
Soma - https://jamii.app/LissuVsTume
#Uchaguzi2020
> Amesema hajapokea malalamiko ya ukiukwaji wa Maadili ya Uchaguzi na hajawasilisha utetezi wake
> Pia, amesema hajapokea nakala ya kusimamishwa japokuwa ipo mitandaoni
Soma - https://jamii.app/LissuVsTume
#Uchaguzi2020
KENYATTA: NABADILI KATIBA KUWEKA UMOJA WA KITAIFA SIO KUBAKI MADARAKANI
> Rais wa #Kenya amekanusha kutaka kugombea kwa muhula wa 3
> Mabadiliko yanayopendekezwa ni kuundwa Ofisi ya Waziri Mkuu mwenye Mamlaka na Rais atakayechaguliwa na Bunge
Soma https://jamii.app/KenyattaKatiba
> Rais wa #Kenya amekanusha kutaka kugombea kwa muhula wa 3
> Mabadiliko yanayopendekezwa ni kuundwa Ofisi ya Waziri Mkuu mwenye Mamlaka na Rais atakayechaguliwa na Bunge
Soma https://jamii.app/KenyattaKatiba
#TAKUKURU: UDSM INAONGOZA KWA RUSHWA YA NGONO
> Utafiti uliofanyika kuhusu rushwa ya ngono ktk Chuo cha Dar na Dodoma umegundua UDSM inaongoza kwa 40.5% na UDOM 38.6%
> Mbinu zinazotumika kurubuni ni ahadi ya kuolewa, Cheo na kuongezewa ufaulu
Soma https://jamii.app/RushwaNgonoVyuoni
> Utafiti uliofanyika kuhusu rushwa ya ngono ktk Chuo cha Dar na Dodoma umegundua UDSM inaongoza kwa 40.5% na UDOM 38.6%
> Mbinu zinazotumika kurubuni ni ahadi ya kuolewa, Cheo na kuongezewa ufaulu
Soma https://jamii.app/RushwaNgonoVyuoni
#COVID19-UGANDA: WAGONJWA WASIOONESHA DALILI KUTOKA HOSPITALI BILA KUPIMWA
> Ni baada ya Serikali kurekebisha mwongozo wake wa kukabiliana na Virusi hivyo
> Awali, wagonjwa walipimwa mara 2 kabla ya kutoka, hatua ambayo baadhi waliilalamikia
Soma https://jamii.app/Corona-UG
> Ni baada ya Serikali kurekebisha mwongozo wake wa kukabiliana na Virusi hivyo
> Awali, wagonjwa walipimwa mara 2 kabla ya kutoka, hatua ambayo baadhi waliilalamikia
Soma https://jamii.app/Corona-UG
MSAJILI: NI MUHIMU KUEPUKA MIGONGANO NA SERIKALI SIKU ZILIZOSALIA
> Jaji Mstaafu Francis Mutungi amewataka wenye malalamiko kufika Tume ya Uchaguzi
> Amesema hafurahishwi na baadhi ya kauli za Wagombea zinazoenda kinyume na Kanuni
Soma - https://jamii.app/MsajiliUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Jaji Mstaafu Francis Mutungi amewataka wenye malalamiko kufika Tume ya Uchaguzi
> Amesema hafurahishwi na baadhi ya kauli za Wagombea zinazoenda kinyume na Kanuni
Soma - https://jamii.app/MsajiliUchaguzi
#Uchaguzi2020
MAJAJI WA USKOCHI, URUGUAY NA UGANDA KUSIMAMIA KESI YA KABUGA
> Majaji 3 watasimamia kesi ya Felicien Kabuga anayetuhumiwa kufadhili mauaji ya Kimbari ya #Rwanda 1994
> Kesi hiyo itasikilizwa Jijini Arusha na tarehe ya kusikilizwa haijatajwa
Soma https://jamii.app/UNArushaMajaji
> Majaji 3 watasimamia kesi ya Felicien Kabuga anayetuhumiwa kufadhili mauaji ya Kimbari ya #Rwanda 1994
> Kesi hiyo itasikilizwa Jijini Arusha na tarehe ya kusikilizwa haijatajwa
Soma https://jamii.app/UNArushaMajaji
QUEEN SENDIGA: MKULIMA KUTUMIA JEMBE LA MKONO NI JAMBO LA HURUMA
> Akiwa Pwani, amesema Mkulima anahitaji nyenzo bora, pembejeo za kisasa na uhakika wa kuuza mazao
> Amesema ataweka mkazo ktk hayo endapo atapigiwa kura Oktoba 28
Angalia https://youtu.be/lm-d8er9kZ4
#Uchaguzi2020
> Akiwa Pwani, amesema Mkulima anahitaji nyenzo bora, pembejeo za kisasa na uhakika wa kuuza mazao
> Amesema ataweka mkazo ktk hayo endapo atapigiwa kura Oktoba 28
Angalia https://youtu.be/lm-d8er9kZ4
#Uchaguzi2020
YouTube
Mgombea urais wa JMT wa ADC, Queen Sendiga: Kutumia jembe la Mkono ni jambo la huruma
PROF. LIPUMBA: NITATUMIA ELIMU YANGU KUKUZA UCHUMI NA KUFUTA UMASIKINI
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CUF, Msomi wa Uchumi, Prof. Ibrahim Lipumba amesema ukuaji wa Uchumi haujapunguza idadi ya masikini
> Amedai umasikini umeongezeka
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaUchumi
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CUF, Msomi wa Uchumi, Prof. Ibrahim Lipumba amesema ukuaji wa Uchumi haujapunguza idadi ya masikini
> Amedai umasikini umeongezeka
Soma https://jamii.app/ProfLipumbaUchumi
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI NA DKT. MWINYI KUENDELEA NA KAMPENI ZANZIBAR
> Mgombea Urais JMT na Mgombea Urais Zanzibar (CCM) watafanya kampeni leo ktk Viwanja vya Mnazi Mmoja
> Magufuli aliwasili jana na kumtembelea Kada wa CCM aliyeshambuliwa kwa mapanga
Soma https://jamii.app/MagufuliMwinyi
#TZ2020
> Mgombea Urais JMT na Mgombea Urais Zanzibar (CCM) watafanya kampeni leo ktk Viwanja vya Mnazi Mmoja
> Magufuli aliwasili jana na kumtembelea Kada wa CCM aliyeshambuliwa kwa mapanga
Soma https://jamii.app/MagufuliMwinyi
#TZ2020
RAIS TRUMP AFIKISHWA HOSPITALI KWA HELIKOPTA
> Ni baada ya kupata #COVID19. Rais huyo amepewa kingamwili ya majaribio na alikuwa na uchovu
> Imesisitizwa kuwa, amefikishwa Hospitali kama tahadhari na ataendelea kufanya kazi kutoka hapo
Soma - https://jamii.app/TrumpHospCorona
> Ni baada ya kupata #COVID19. Rais huyo amepewa kingamwili ya majaribio na alikuwa na uchovu
> Imesisitizwa kuwa, amefikishwa Hospitali kama tahadhari na ataendelea kufanya kazi kutoka hapo
Soma - https://jamii.app/TrumpHospCorona
KENYA: CHAMA TAWALA CHAPENDEKEZA NAIBU RAIS KUFUTWA UONGOZI
> Jubilee kimependekeza William Ruto kuondolewa ktk nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama
> Katibu Mkuu wa Jubilee, amedai Ruto ni mjeuri, ana dharau na hamuheshimu Rais Kenyatta
Soma https://jamii.app/JubileeRutoKE
> Jubilee kimependekeza William Ruto kuondolewa ktk nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama
> Katibu Mkuu wa Jubilee, amedai Ruto ni mjeuri, ana dharau na hamuheshimu Rais Kenyatta
Soma https://jamii.app/JubileeRutoKE
KAMATI YA MAADILI: TAFSIRI YA KWAMBA LISSU AMEADHIBIWA NA NEC SIO SAHIHI
> Katibu wa Kamati ya Maadili ya Kitaifa amesema Lissu ameadhibiwa na Kamati ambayo inajumuisha wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi wa Rais
Soma - https://jamii.app/KamatiMaadiliLissu
#Uchaguzi2020
> Katibu wa Kamati ya Maadili ya Kitaifa amesema Lissu ameadhibiwa na Kamati ambayo inajumuisha wawakilishi wa vyama vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi wa Rais
Soma - https://jamii.app/KamatiMaadiliLissu
#Uchaguzi2020
POLEPOLE: WAPINZANI HAWAONGEZEKI HADI CCM WAWE NA MGOGORO NDANI YA CHAMA
> Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema awamu hii CCM haikuwa na migogoro ya ndani hivyo imekuwa ngumu kwa Upinzani kuongezeka
Soma https://jamii.app/UpinzaniCCM
#Uchaguzi2020
> Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema awamu hii CCM haikuwa na migogoro ya ndani hivyo imekuwa ngumu kwa Upinzani kuongezeka
Soma https://jamii.app/UpinzaniCCM
#Uchaguzi2020
DKT. MWINYI: MUUNGANO UNALETA UMOJA WA KITAIFA
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Mwinyi amesema, Muungano unaleta amani, utulivu na unatoa fursa kwa Wazanzibari kufanya biashara na kumiliki ardhi Tanzania Bara
Soma https://jamii.app/DktMwinyiMuungano
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Mwinyi amesema, Muungano unaleta amani, utulivu na unatoa fursa kwa Wazanzibari kufanya biashara na kumiliki ardhi Tanzania Bara
Soma https://jamii.app/DktMwinyiMuungano
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: MIPAKA YA TANZANIA SIO YA KURITHI KWA WAKOLONI
> Amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka iliyowekwa na kipindi cha Ukoloni lakini Muungano wa #Tanganyika na #Zanzibar unaifanya #Tanzania kuwa nchi isiyo na mipaka ya kurithi
Soma https://jamii.app/TzMipakaUkoloni
#TZ2020
> Amesema nchi nyingi za Afrika zina mipaka iliyowekwa na kipindi cha Ukoloni lakini Muungano wa #Tanganyika na #Zanzibar unaifanya #Tanzania kuwa nchi isiyo na mipaka ya kurithi
Soma https://jamii.app/TzMipakaUkoloni
#TZ2020
DKT. MAGUFULI: NIKICHAGULIWA, NITAPATA SHIDA KUMPATA WAZIRI WA ULINZI
> Amesema Waziri wa Ulinzi ana uwezo hata wa kupindua nchi kutokana na vifaa vyote kuwa chini yake
> Amesema ni vigumu kumpata mtu mwadilifu kama alivyokuwa Dkt. Mwinyi
Soma https://jamii.app/WaziriUlinziRais
#TZ2020
> Amesema Waziri wa Ulinzi ana uwezo hata wa kupindua nchi kutokana na vifaa vyote kuwa chini yake
> Amesema ni vigumu kumpata mtu mwadilifu kama alivyokuwa Dkt. Mwinyi
Soma https://jamii.app/WaziriUlinziRais
#TZ2020