#COVID19: AFRIKA KUSINI YAFUNGUA MIPAKA KWA NCHI ZA AFRIKA
> Wasafiri kutoka nchi zenye idadi kubwa ya visa na vifo kuliko Afrika Kusini hawataruhusiwa kuingia kwa ajili ya utalii
> Nchi hiyo ina visa 674,339, vifo 16,734 na 608,112 wamepona
Soma https://jamii.app/SAOpensBorders
> Wasafiri kutoka nchi zenye idadi kubwa ya visa na vifo kuliko Afrika Kusini hawataruhusiwa kuingia kwa ajili ya utalii
> Nchi hiyo ina visa 674,339, vifo 16,734 na 608,112 wamepona
Soma https://jamii.app/SAOpensBorders
JESHI LA POLISI LAWATAKA WANANCHI KUTII SHERIA
> Wakati huu wa Uchaguzi, Jeshi limetoa rai kwa wananchi kuepuka matusi, kujichukulia Sheria mkononi na kutotoa taarifa za uongo ambazo zinalenga kuleta chuki miongoni mwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/SheriaPolisiUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Wakati huu wa Uchaguzi, Jeshi limetoa rai kwa wananchi kuepuka matusi, kujichukulia Sheria mkononi na kutotoa taarifa za uongo ambazo zinalenga kuleta chuki miongoni mwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/SheriaPolisiUchaguzi
#Uchaguzi2020
LISSU: CHADEMA YA LEO SIO ILE YA 2015, TUTAWEKA MAWAKALA KILA MAHALI
> Amesema hivi sasa wana uongozi na matawi kwenye takriban kila Kijiji
> Amesema hawatokubali Mawakala wao wasiapishwe, watatumia mbinu zote kuhakikisha wanaapishwa
Soma https://jamii.app/CHADEMAPress
#Uchaguzi2020
> Amesema hivi sasa wana uongozi na matawi kwenye takriban kila Kijiji
> Amesema hawatokubali Mawakala wao wasiapishwe, watatumia mbinu zote kuhakikisha wanaapishwa
Soma https://jamii.app/CHADEMAPress
#Uchaguzi2020
DPP AIDHINISHA MASHTAKA YA KUUAWA KWA KADA WA CCM IRINGA
> DPP Biswalo Mganga ameidhinisha mashtaka dhidi watuhumiwa 4 (3 ni Makada wa CHADEMA) ambao wamekiri kumteka na kumuua Emmanuel Mlelwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Vyuo Vikuu Iringa
Soma https://jamii.app/DPPMauajiMlelwa
> DPP Biswalo Mganga ameidhinisha mashtaka dhidi watuhumiwa 4 (3 ni Makada wa CHADEMA) ambao wamekiri kumteka na kumuua Emmanuel Mlelwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Vyuo Vikuu Iringa
Soma https://jamii.app/DPPMauajiMlelwa
TUNDU LISSU ATAKIWA KURIPOTI POLISI
> IGP Simon Sirro amemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA kuripoti Kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aeleze aliyofanya jana
> Amesema ameona mara kadhaa Lissu akigombana na viongozi wa Polisi
Angalia - https://youtu.be/ylpcJW4hG6Q
> IGP Simon Sirro amemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA kuripoti Kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aeleze aliyofanya jana
> Amesema ameona mara kadhaa Lissu akigombana na viongozi wa Polisi
Angalia - https://youtu.be/ylpcJW4hG6Q
YouTube
IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro kwa kile alichokofanya jana
DKT. MAGUFULI: MKINICHANGANYIA MBUNGE SILETI MRADI WA MAJI
> Mgombea Urais kupitia CCM amesema wana mipango ya kutoa maji Ileje kwenda Tunduma Muhula ujao
> Amewataka wananchi kumchagua Silinde (CCM) na hii ni mara ya mwisho kuwabembeleza
Tazama https://youtu.be/xjJ1nLDvm9k
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CCM amesema wana mipango ya kutoa maji Ileje kwenda Tunduma Muhula ujao
> Amewataka wananchi kumchagua Silinde (CCM) na hii ni mara ya mwisho kuwabembeleza
Tazama https://youtu.be/xjJ1nLDvm9k
#TZ2020
YouTube
Dkt. Magufuli akiwa Tunduma: Msinichanganyie, Mkiniletea hao Maji hamuyapati
KAMPUNI YA INDIANA YAFUNGUA KESI YA MADAI YA TAKRIBANI TSH. BILIONI 220 DHIDI YA TANZANIA
> Indiana Resources inadai fidia baada ya kuathirika na mabadiliko ya Sheria ya Madini nchini
> Tanzania ilizifuta leseni za uhifadhi zilizotolewa kabla ya 2018
Soma https://jamii.app/MadaiBilion220
> Indiana Resources inadai fidia baada ya kuathirika na mabadiliko ya Sheria ya Madini nchini
> Tanzania ilizifuta leseni za uhifadhi zilizotolewa kabla ya 2018
Soma https://jamii.app/MadaiBilion220
LISSU: BARUA YA POLISI HAIKUELEZA KOSA, NAENDELEA NA RATIBA ZANGU
> Lissu amedai barua haikutaja kosa na imeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chama, hivyo ataendelea na ratiba zake
> Jana, IGP Sirro alimshutumu Lissu kugombana na Wakuu wa Polisi
Soma https://jamii.app/BaruaPolisiRatiba
#Uchaguzi2020
> Lissu amedai barua haikutaja kosa na imeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chama, hivyo ataendelea na ratiba zake
> Jana, IGP Sirro alimshutumu Lissu kugombana na Wakuu wa Polisi
Soma https://jamii.app/BaruaPolisiRatiba
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: BAJETI YA KILIMO ITAKUWA 15% YA BAJETI YOTE
> Mgombea huyo amesema, Dira ya mabadiliko ya CUF inatoa kipaumbele kwa Kilimo ktk mikakati ya kukuza Uchumi na kuondoa umasikini ili kuhakikisha Tanzania ina chakula cha kutosha
Soma https://jamii.app/LipumbaSimiyu
#Uchaguzi2020
> Mgombea huyo amesema, Dira ya mabadiliko ya CUF inatoa kipaumbele kwa Kilimo ktk mikakati ya kukuza Uchumi na kuondoa umasikini ili kuhakikisha Tanzania ina chakula cha kutosha
Soma https://jamii.app/LipumbaSimiyu
#Uchaguzi2020
RAIS TRUMP NA MKEWE WAKUTWA NA #COVID19
> Rais Trump alifanyiwa vipimo baada ya Msaidizi wake kukutwa na maambukizi na tayari wanaanza kukaa Karantini
> Hali hii itasababisha ugumu wa yeye kuendelea na Kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Novemba 3
Soma https://jamii.app/COVID19TrumpAndWife
#JFLeo
> Rais Trump alifanyiwa vipimo baada ya Msaidizi wake kukutwa na maambukizi na tayari wanaanza kukaa Karantini
> Hali hii itasababisha ugumu wa yeye kuendelea na Kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Novemba 3
Soma https://jamii.app/COVID19TrumpAndWife
#JFLeo
MKOA WA NJOMBE WAONGOZA KWA TATIZO LA UDUMAVU KWA WATOTO
> Njombe inakabiliwa na udumavu kwa 53.6%, Rukwa 47.9%, Iringa 47.1%, Songwe 43.3% na Kigoma 42.3%
> Serikali imeandaa mpango mkakati wa kitaifa wa masuala ya lishe kuondoa tatizo hilo
Soma https://jamii.app/UdumavuWatoto
> Njombe inakabiliwa na udumavu kwa 53.6%, Rukwa 47.9%, Iringa 47.1%, Songwe 43.3% na Kigoma 42.3%
> Serikali imeandaa mpango mkakati wa kitaifa wa masuala ya lishe kuondoa tatizo hilo
Soma https://jamii.app/UdumavuWatoto
SIKU YA KIMATAIFA YA KUTOKUWA NA VURUGU DUNIANI
> #NonViolenceDay huazimishwa kila Oktoba 2 na iliazimiwa na Umoja wa Mataifa 2007
> Pia, ni siku ya kuzaliwa ya Mahatma Gandhi anayetajwa kama Mwasisi na Kiongozi wa kudai haki bila vurugu
Soma https://jamii.app/NonViolenceDay
> #NonViolenceDay huazimishwa kila Oktoba 2 na iliazimiwa na Umoja wa Mataifa 2007
> Pia, ni siku ya kuzaliwa ya Mahatma Gandhi anayetajwa kama Mwasisi na Kiongozi wa kudai haki bila vurugu
Soma https://jamii.app/NonViolenceDay
UBALOZI WA MAREKANI: HATUMUUNGI MKONO MGOMBEA YEYOTE
> Ubalozi huo umesema matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa #Tanzania ni muhimu kwa kanda nzima ya #Afrika Mashariki
> Wamesema wanaunga mkono mchakato wa Kidemokrasia, Uhuru, Haki na Uwazi
Soma https://jamii.app/MarekaniUchaguziTZ
#Uchaguzi2020
> Ubalozi huo umesema matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa #Tanzania ni muhimu kwa kanda nzima ya #Afrika Mashariki
> Wamesema wanaunga mkono mchakato wa Kidemokrasia, Uhuru, Haki na Uwazi
Soma https://jamii.app/MarekaniUchaguziTZ
#Uchaguzi2020
JESHI LA POLISI LASITISHA WITO KWA LISSU
> Limemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuendelea na ratiba zake za kampeni
> Limesema limeona ni busara kumuacha Mgombea huyo kuendelea na kampeni
Angalia - https://youtu.be/IVP7Ma95a4o
#Uchaguzi2020
> Limemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuendelea na ratiba zake za kampeni
> Limesema limeona ni busara kumuacha Mgombea huyo kuendelea na kampeni
Angalia - https://youtu.be/IVP7Ma95a4o
#Uchaguzi2020
YouTube
Jeshi la Polisi lasitisha wito wa Tundu Lissu na kumtaka aendelee na kampeni zake
JESHI LA POLISI LASITISHA WITO WA KUMUITA LISSU
-
Jeshi la Polisi limemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuendelea na ratiba zake za kampeni
-
Limesema limeona ni busara kumuacha Mgombea huyo kuendelea zake kuelekea Uchaguzi Mkuu…
-
Jeshi la Polisi limemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuendelea na ratiba zake za kampeni
-
Limesema limeona ni busara kumuacha Mgombea huyo kuendelea zake kuelekea Uchaguzi Mkuu…
KATAVI: AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUCHANA MABANGO YA CCM
> Augustino Laurent (27) anatuhumiwa kuchana bango lenye picha ya Mgombea Urais na tangazo la Mgombea Ubunge na Udiwani
> Amekosa dhamana na ameendelea kuwekwa chini ya ulinzi
Soma https://jamii.app/MabangoCCM
#Uchaguzi2020
> Augustino Laurent (27) anatuhumiwa kuchana bango lenye picha ya Mgombea Urais na tangazo la Mgombea Ubunge na Udiwani
> Amekosa dhamana na ameendelea kuwekwa chini ya ulinzi
Soma https://jamii.app/MabangoCCM
#Uchaguzi2020
NEC YAMFUNGIA TUNDU LISSU KUFANYA KAMPENI KWA SIKU 7
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia Mgombea huyo wa Urais wa JMT kufanya kampeni kwa siku saba
> NEC imefikia uamuzi huo kwa madai ya kuwa Lissu amekiuka Maadili ya Uchaguzi
Soma > https://jamii.app/LissuVsNEC
#Uchaguzi2020
> Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia Mgombea huyo wa Urais wa JMT kufanya kampeni kwa siku saba
> NEC imefikia uamuzi huo kwa madai ya kuwa Lissu amekiuka Maadili ya Uchaguzi
Soma > https://jamii.app/LissuVsNEC
#Uchaguzi2020
#NAMIBIA: WANAFUNZI ZAIDI YA 300 WAKUTWA NA #CORONAVIRUS
> Wizara ya Afya nchini humo imesema wanafunzi walioambukizwa wengi wao wanasoma Shule za Bweni
> Mpaka sasa #Namibia imethibitisha kuwa na jumla ya maambukizi 11,373 vya #CoronaVirus
Soma https://jamii.app/COVID19Namibia
> Wizara ya Afya nchini humo imesema wanafunzi walioambukizwa wengi wao wanasoma Shule za Bweni
> Mpaka sasa #Namibia imethibitisha kuwa na jumla ya maambukizi 11,373 vya #CoronaVirus
Soma https://jamii.app/COVID19Namibia
ORCI: WAGONJWA WENGI WA SARATANI WANAKIMBILIA KWA WAGANGA NA IBADANI
> Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), amesema sababu kubwa ni kurubuniwa na matangazo yasiyo rasmi kuhusu dawa katika Mitandao ya Kijamii
Soma https://jamii.app/SarataniTibaWaganga
> Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI), amesema sababu kubwa ni kurubuniwa na matangazo yasiyo rasmi kuhusu dawa katika Mitandao ya Kijamii
Soma https://jamii.app/SarataniTibaWaganga
SAMIA: HAMNA HAJA YA KUPOTEZA NGUVU ZENU KUPIGIA KURA UPANDE MWINGINE
> Amesema "Ni sawa na kwamba unachukua fedha yako unatia shimoni. Haina faida, haina tija"
> Amewataka wananchi waipigie kura CCM ili kuendelea na safari ya maendeleo
Soma https://jamii.app/SamiaSingida
#TZ2020
> Amesema "Ni sawa na kwamba unachukua fedha yako unatia shimoni. Haina faida, haina tija"
> Amewataka wananchi waipigie kura CCM ili kuendelea na safari ya maendeleo
Soma https://jamii.app/SamiaSingida
#TZ2020
LISSU: UAMUZI WA NEC HAUKUBALIKI, KAMPENI ZITAENDELEA JUMAPILI
> Amesema hajapokea malalamiko ya ukiukwaji wa Maadili ya Uchaguzi na hajawasilisha utetezi wake
> Pia, amesema hajapokea nakala ya kusimamishwa japokuwa ipo mitandaoni
Soma - https://jamii.app/LissuVsTume
#Uchaguzi2020
> Amesema hajapokea malalamiko ya ukiukwaji wa Maadili ya Uchaguzi na hajawasilisha utetezi wake
> Pia, amesema hajapokea nakala ya kusimamishwa japokuwa ipo mitandaoni
Soma - https://jamii.app/LissuVsTume
#Uchaguzi2020