SIASA SIO UADUI, LEMA NA GAMBO WAPIGA PICHA YA PAMOJA
> Wagombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo (CCM) na Godbless Lema (CHADEMA) wamepiga picha ya pamoja
> Tukio hili linadhihirisha Siasa sio sababu ya kuchukiana au kutoana uhai
Soma https://jamii.app/SiasaSioUadui
#JFSiasa
> Wagombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo (CCM) na Godbless Lema (CHADEMA) wamepiga picha ya pamoja
> Tukio hili linadhihirisha Siasa sio sababu ya kuchukiana au kutoana uhai
Soma https://jamii.app/SiasaSioUadui
#JFSiasa
KATIBU MKUU WA UN: HATUTAKIWI KUYASAHAU MAISHA YA MTU ALIYETUTOKA
> Antonio Guterres: Dunia haitakiwi kuyasahau maisha ya hata mtu mmoja aliyefariki kutokana na #COVID19
> Hadi sasa vifo vinavyotokana na #CoronaVirus vimezidi watu milioni 1
Soma > https://jamii.app/GuterresCovid19
> Antonio Guterres: Dunia haitakiwi kuyasahau maisha ya hata mtu mmoja aliyefariki kutokana na #COVID19
> Hadi sasa vifo vinavyotokana na #CoronaVirus vimezidi watu milioni 1
Soma > https://jamii.app/GuterresCovid19
LIJUE GEREZA AMBALO WAFUNGWA WANAJITAFUTIA CHAKULA
> Gereza la Sanganer lililopo India hutoa sehemu ya kulala tu kwa wafungwa, nao hulazimika kufanya kazi ili kupata mahitaji ya kila siku
> Wanaharakati wanataka magereza kama hayo yaongezeke
Soma https://jamii.app/GerezaSanganer
#JFLeo
> Gereza la Sanganer lililopo India hutoa sehemu ya kulala tu kwa wafungwa, nao hulazimika kufanya kazi ili kupata mahitaji ya kila siku
> Wanaharakati wanataka magereza kama hayo yaongezeke
Soma https://jamii.app/GerezaSanganer
#JFLeo
PROF. LIPUMBA: MAZINGIRA YA KUFANYIA BIASHARA NI MAGUMU SANA TANZANIA
> Amesema ni kwa mujibu wa Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mazingira ya Kufanya Biashara ya mwaka 2020 ambapo Tanzania ni ya 141 kati ya nchi 190
Soma > https://jamii.app/LipumbaBiasharaTz
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
> Amesema ni kwa mujibu wa Ripoti ya Benki ya Dunia ya Mazingira ya Kufanya Biashara ya mwaka 2020 ambapo Tanzania ni ya 141 kati ya nchi 190
Soma > https://jamii.app/LipumbaBiasharaTz
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #JamiiForums
NEC: WENYE MAHITAJI MAALUM WAMEANDALIWA MAZINGIRA RAFIKI KUSHIRIKI UCHAGUZI
> Watu hao ni Wajawazito, Wanaonyonyesha, Wazee na Walemavu
> Aidha, Wasioona (Wasiotumia Nukta Nundu) na wasiojua kusoma wanaruhusiwa kuwa na wanayemuamini
Soma https://jamii.app/WalemavuUchaguzi
#TZ2020
> Watu hao ni Wajawazito, Wanaonyonyesha, Wazee na Walemavu
> Aidha, Wasioona (Wasiotumia Nukta Nundu) na wasiojua kusoma wanaruhusiwa kuwa na wanayemuamini
Soma https://jamii.app/WalemavuUchaguzi
#TZ2020
SEPTEMBA 30, SIKU YA KIMATAIFA YA KUFASIRI
> UN inatambua umuhimu wa kufasiri ktk kuleta mataifa pamoja
> Tamko la Haki za Binadamu Duniani linashikilia rekodi ya kuwa nyaraka iliyofasiriwa zaidi
Soma https://jamii.app/InternationalTranslationDay
#JFLeo
> UN inatambua umuhimu wa kufasiri ktk kuleta mataifa pamoja
> Tamko la Haki za Binadamu Duniani linashikilia rekodi ya kuwa nyaraka iliyofasiriwa zaidi
Soma https://jamii.app/InternationalTranslationDay
#JFLeo
MBEYA: DKT. MAGUFULI AMUOMBA KURA 'SUGU'
> Mgombea huyo amesema, "naomba kura kwa watu wote, hata Sugu ninamuomba kura"
> Ameongeza kuwa, Dhamira yake ni kuibadilisha Mbeya kabla muda wake haujaisha ili liwe Jiji la mfano kitaifa na kimataifa
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
> Mgombea huyo amesema, "naomba kura kwa watu wote, hata Sugu ninamuomba kura"
> Ameongeza kuwa, Dhamira yake ni kuibadilisha Mbeya kabla muda wake haujaisha ili liwe Jiji la mfano kitaifa na kimataifa
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
LISSU: HATUNA MASLAHI NA URAIS ZANZIBAR, NDIO MAANA TUNAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF
> Tundu Lissu amesema hawatatangaza Muungano bali wataungana mkono ktk maeneo ambayo hawana maslahi
> Amesema hiyo haikatazwi kisheria kwa kuwa sio Muungano
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#JFLeo
> Tundu Lissu amesema hawatatangaza Muungano bali wataungana mkono ktk maeneo ambayo hawana maslahi
> Amesema hiyo haikatazwi kisheria kwa kuwa sio Muungano
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#JFLeo
DKT. MAGUFULI: HAMKUWA NA MBUNGE WA KUWASEMEA BALI MLIPATA MSANII
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM amewaambia wananchi wa Mbeya kwamba hawakuwa na Mbunge wa kuwasemea bali walikuwa na Msanii (Sugu) ambaye sio mkali kama Diamond na Alikiba
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
> Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM amewaambia wananchi wa Mbeya kwamba hawakuwa na Mbunge wa kuwasemea bali walikuwa na Msanii (Sugu) ambaye sio mkali kama Diamond na Alikiba
Soma https://jamii.app/MagufuliSugu
#JFLeo
MAHAKAMA YA AFRIKA MASHARIKI YASEMA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UPO KIHALALI
> Wanaharakati walifungua kesi kuhoji uhalali wa Muungano
> Kanuni ilitaka malalamiko yawasilishwe siku 60 tangu tukio lilipotokea lakini imeshapita miaka 56
Soma https://jamii.app/MuunganoTanzania
#JFLeo
> Wanaharakati walifungua kesi kuhoji uhalali wa Muungano
> Kanuni ilitaka malalamiko yawasilishwe siku 60 tangu tukio lilipotokea lakini imeshapita miaka 56
Soma https://jamii.app/MuunganoTanzania
#JFLeo
LISSU: KILA MTU ANA HAKI YA KULINDWA FARAGHA YAKE
> Amesema, #Katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kulindwa faragha yake
> Amesema, Maisha ya chumbani na mkeo au yeyote yule ni marufuku kwa Serikali kuchungulia
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#Uchaguzi2020
> Amesema, #Katiba ya Tanzania inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kulindwa faragha yake
> Amesema, Maisha ya chumbani na mkeo au yeyote yule ni marufuku kwa Serikali kuchungulia
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#Uchaguzi2020
SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR AIRWAYS LAINGIA MAKUBALIANO NA AIR TANZANIA
> Abiria wataweza kusafiri kwa urahisi kati ya Afrika na Doha kwa kuunganisha na Asia, Pasifiki, Amerika, Ulaya na Mashariki ya Kati
Soma > https://jamii.app/AirTzVsQatarAir
#AirTanzania #QatarAirways #JFLeo
> Abiria wataweza kusafiri kwa urahisi kati ya Afrika na Doha kwa kuunganisha na Asia, Pasifiki, Amerika, Ulaya na Mashariki ya Kati
Soma > https://jamii.app/AirTzVsQatarAir
#AirTanzania #QatarAirways #JFLeo
KESI YA MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KIMBARI RWANDA KUSIKILIZWA TANZANIA
> Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa imekubali Felicein Kabuga kushtakiwa Tanzania
> Kabuga alikamatwa baada ya kujificha kwa miaka 26. Anatuhumiwa kufadhili mauaji ya 1994
Soma https://jamii.app/KabugaKushtakiwa
#JFLeo
> Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa imekubali Felicein Kabuga kushtakiwa Tanzania
> Kabuga alikamatwa baada ya kujificha kwa miaka 26. Anatuhumiwa kufadhili mauaji ya 1994
Soma https://jamii.app/KabugaKushtakiwa
#JFLeo
PROF. LUHANGA ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BARAZA LA CHUO KIKUU MZUMBE
> Rais Magufuli amemteua Prof. Matthew Luhanga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe kwa Kipindi cha Pili
> Uteuzi huo unaanza Septemba 30, 2020
Soma https://jamii.app/LuhangaMwenyekiti
#JFLeo
> Rais Magufuli amemteua Prof. Matthew Luhanga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Mzumbe kwa Kipindi cha Pili
> Uteuzi huo unaanza Septemba 30, 2020
Soma https://jamii.app/LuhangaMwenyekiti
#JFLeo
LISSU: DUNIA HAIHITAJI TANZANIA ILA TANZANIA INAIHITAJI DUNIA
> Amesema bidhaa kama Dhahabu, Korosho na Chai zinaweza kupatikana ktk nchi nyingine hivyo, Serikali yake (CHADEMA) itahakikisha inashirikiana vyema na Mataifa mengine
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#TZ2020
> Amesema bidhaa kama Dhahabu, Korosho na Chai zinaweza kupatikana ktk nchi nyingine hivyo, Serikali yake (CHADEMA) itahakikisha inashirikiana vyema na Mataifa mengine
Soma https://jamii.app/PoliticalCoalition
#TZ2020
SIKU YA WAZEE DUNIANI: DUNIA NA JAMII TUWAJIBIKE KUWATUNZA WAZEE
> Oktoba 1 kila mwaka, ni Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani inayotumiwa kutambua Ustawi wa Wazee
> Tanzania imefanikiwa kupunguza mauaji na kuboresha Huduma na Vituo vya Wazee
Soma https://jamii.app/SikuYaWazee
> Oktoba 1 kila mwaka, ni Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani inayotumiwa kutambua Ustawi wa Wazee
> Tanzania imefanikiwa kupunguza mauaji na kuboresha Huduma na Vituo vya Wazee
Soma https://jamii.app/SikuYaWazee
MTU WA KWANZA KUTIBIWA UKIMWI, AFARIKI KWA SARATANI
> Raia wa Marekani, Timothy Ray Brown (54), alipata UKIMWI 1995, alipandikizwa Uboho (Bone Marrow) wa mtu aliyekuwa na kinga ya VVU
> Njia iliyotumika kumtibu ni ghali sana lakini ilileta tumaini Duniani
Soma https://jamii.app/UKIMWISaratani
> Raia wa Marekani, Timothy Ray Brown (54), alipata UKIMWI 1995, alipandikizwa Uboho (Bone Marrow) wa mtu aliyekuwa na kinga ya VVU
> Njia iliyotumika kumtibu ni ghali sana lakini ilileta tumaini Duniani
Soma https://jamii.app/UKIMWISaratani
ZANZIBAR: MAALIM SEIF AAHIDI MUUNGANO WA SERIKALI 3
> Akiwa Pemba, amewataka wananchi kumpa kura na kumuwezesha kuleta mabadiliko
> Pia, amesema akipewa ridhaa, atazungumza na Serikali ya Muungano kuhusu muundo wa Jeshi la Polisi
Soma - https://jamii.app/MaalimKampeniZNZ
#Uchaguzi2020
> Akiwa Pemba, amewataka wananchi kumpa kura na kumuwezesha kuleta mabadiliko
> Pia, amesema akipewa ridhaa, atazungumza na Serikali ya Muungano kuhusu muundo wa Jeshi la Polisi
Soma - https://jamii.app/MaalimKampeniZNZ
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI: SERIKALI IKO PAMOJA NA WAZEE
> Ktk kuadhimisha Siku ya Wazee(Oktoba 1) amesema, Serikali imehakikisha Wazee wanatibiwa bure kwenye hospitali za Serikali
> Changamoto chache zilizobaki watazishughulikia miaka 5 inayokuja
Soma https://jamii.app/MagufuliMbalizi
#Uchaguzi2020
> Ktk kuadhimisha Siku ya Wazee(Oktoba 1) amesema, Serikali imehakikisha Wazee wanatibiwa bure kwenye hospitali za Serikali
> Changamoto chache zilizobaki watazishughulikia miaka 5 inayokuja
Soma https://jamii.app/MagufuliMbalizi
#Uchaguzi2020
DAR: SERIKALI YAZINDUA CHUO CHA MAFUNZO YA ELIMU YA MICHEZO NA UKOCHA
> Chuo hicho cha Maendeleo ya Michezo kinatoa Stashahada ya Utawala na Uongozi ktk #Michezo na Stashahada ya Ukocha nchini kwa kuzingatia Mitaala iliyopitishwa Kimataifa
Soma https://jamii.app/ChuoMichezo
> Chuo hicho cha Maendeleo ya Michezo kinatoa Stashahada ya Utawala na Uongozi ktk #Michezo na Stashahada ya Ukocha nchini kwa kuzingatia Mitaala iliyopitishwa Kimataifa
Soma https://jamii.app/ChuoMichezo