UCHAGUZI MAREKANI: MIKE POMPEO AKATALIWA KUONANA NA PAPA FRANCIS
> Wanadiplomasia wa juu wa Vatican wamesema uamuzi huo umefikiwa kwasababu Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliweka wazi kuwa Wanasiasa hawatapokelewa kipindi cha Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/PompeoVatican
> Wanadiplomasia wa juu wa Vatican wamesema uamuzi huo umefikiwa kwasababu Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliweka wazi kuwa Wanasiasa hawatapokelewa kipindi cha Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/PompeoVatican
VYAMA VINAVYOTAKA KUUNGANA OKTOBA 03 VYATAKIWA KUACHA MPANGO HUO
> Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa amevitaka kutofanya hivyo kwasababu ni ukiukwaji wa Sheria
> Amesema, Ofisi yake imeshaviandikia barua vyama hivyo
Soma - https://jamii.app/MsajiliVyamaOkt3
#Uchaguzi2020
> Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa amevitaka kutofanya hivyo kwasababu ni ukiukwaji wa Sheria
> Amesema, Ofisi yake imeshaviandikia barua vyama hivyo
Soma - https://jamii.app/MsajiliVyamaOkt3
#Uchaguzi2020
DKT. MAGUFULI AAHIDI TSH. MILIONI 5 YA KUJENGEA MADARASA YA SHULE YA MSINGI ULANGA
> Ameahidi hela hiyo baada ya mwanafunzi aliyekuwa kwenye mkutano kutaja madarasa kuwa changamoto
> Amesema hakutoa palepale kuepuka rushwa ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MagufuliTshMil5
#Uchaguzi2020
> Ameahidi hela hiyo baada ya mwanafunzi aliyekuwa kwenye mkutano kutaja madarasa kuwa changamoto
> Amesema hakutoa palepale kuepuka rushwa ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/MagufuliTshMil5
#Uchaguzi2020
π1
MAGANJA: TANZANIA INGEONGOZWA VIZURI TANGU UHURU BASI INGEKUWA UJERUMANI YA AFRIKA
> Mgombea Urais wa JMT kupitia NCCR, Yeremia Maganja amesema chanzo cha haya ni utekelezaji wa Azimio la Arusha ambao haukuzingatia mazingira ya watu wake
Soma - https://jamii.app/MgombeaNCCR
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa JMT kupitia NCCR, Yeremia Maganja amesema chanzo cha haya ni utekelezaji wa Azimio la Arusha ambao haukuzingatia mazingira ya watu wake
Soma - https://jamii.app/MgombeaNCCR
#Uchaguzi2020
GUINEA: VIKOSI VYA USALAMA VYALAUMIWA KUUA WATU 50 KATIKA MAANDAMANO
> Ripoti zinataja watu 50 kuuawa, 200 kujeruhiwa na 70 kuzuiliwa kinyume cha Sheria mwaka 2019
> Ni katika maandamano ya kupinga Rais Alpha CondΓ© kuongeza Muhula wa Tatu
Soma https://jamii.app/Maandamano50Guinea
> Ripoti zinataja watu 50 kuuawa, 200 kujeruhiwa na 70 kuzuiliwa kinyume cha Sheria mwaka 2019
> Ni katika maandamano ya kupinga Rais Alpha CondΓ© kuongeza Muhula wa Tatu
Soma https://jamii.app/Maandamano50Guinea
RAIS MAGUFULI AFUTA TOZO YA TSH. 50,000 KWA WAJAWAZITO WANAOCHELEWA KLINIKI
> Amesema kumekuwa na malalamiko dhidi ya kampeni ya Mama Kamandoo ya kuwatoza wajawazito wanaochelewa kujiandikisha kliniki Tsh. 50,000
> Amewataka Viongozi wa Serikali na Wizara ya Afya kusimamia utekelezaji wa agizo hilo kuhusu tozo
Angalia https://youtu.be/4OQ-dYNWxOI
#Uchaguzi2020
> Amesema kumekuwa na malalamiko dhidi ya kampeni ya Mama Kamandoo ya kuwatoza wajawazito wanaochelewa kujiandikisha kliniki Tsh. 50,000
> Amewataka Viongozi wa Serikali na Wizara ya Afya kusimamia utekelezaji wa agizo hilo kuhusu tozo
Angalia https://youtu.be/4OQ-dYNWxOI
#Uchaguzi2020
YouTube
Rais Magufuli: Marufuku kampeni ya βMama Komandooβ kuendelea
Asema wanawake wasisumbuliwe, waachwe wabebe mimba na kuzaa bila bughudha
#COVID19: AFRIKA KUSINI YAFUNGUA MIPAKA KWA NCHI ZA AFRIKA
> Wasafiri kutoka nchi zenye idadi kubwa ya visa na vifo kuliko Afrika Kusini hawataruhusiwa kuingia kwa ajili ya utalii
> Nchi hiyo ina visa 674,339, vifo 16,734 na 608,112 wamepona
Soma https://jamii.app/SAOpensBorders
> Wasafiri kutoka nchi zenye idadi kubwa ya visa na vifo kuliko Afrika Kusini hawataruhusiwa kuingia kwa ajili ya utalii
> Nchi hiyo ina visa 674,339, vifo 16,734 na 608,112 wamepona
Soma https://jamii.app/SAOpensBorders
JESHI LA POLISI LAWATAKA WANANCHI KUTII SHERIA
> Wakati huu wa Uchaguzi, Jeshi limetoa rai kwa wananchi kuepuka matusi, kujichukulia Sheria mkononi na kutotoa taarifa za uongo ambazo zinalenga kuleta chuki miongoni mwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/SheriaPolisiUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Wakati huu wa Uchaguzi, Jeshi limetoa rai kwa wananchi kuepuka matusi, kujichukulia Sheria mkononi na kutotoa taarifa za uongo ambazo zinalenga kuleta chuki miongoni mwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/SheriaPolisiUchaguzi
#Uchaguzi2020
LISSU: CHADEMA YA LEO SIO ILE YA 2015, TUTAWEKA MAWAKALA KILA MAHALI
> Amesema hivi sasa wana uongozi na matawi kwenye takriban kila Kijiji
> Amesema hawatokubali Mawakala wao wasiapishwe, watatumia mbinu zote kuhakikisha wanaapishwa
Soma https://jamii.app/CHADEMAPress
#Uchaguzi2020
> Amesema hivi sasa wana uongozi na matawi kwenye takriban kila Kijiji
> Amesema hawatokubali Mawakala wao wasiapishwe, watatumia mbinu zote kuhakikisha wanaapishwa
Soma https://jamii.app/CHADEMAPress
#Uchaguzi2020
DPP AIDHINISHA MASHTAKA YA KUUAWA KWA KADA WA CCM IRINGA
> DPP Biswalo Mganga ameidhinisha mashtaka dhidi watuhumiwa 4 (3 ni Makada wa CHADEMA) ambao wamekiri kumteka na kumuua Emmanuel Mlelwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Vyuo Vikuu Iringa
Soma https://jamii.app/DPPMauajiMlelwa
> DPP Biswalo Mganga ameidhinisha mashtaka dhidi watuhumiwa 4 (3 ni Makada wa CHADEMA) ambao wamekiri kumteka na kumuua Emmanuel Mlelwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Vyuo Vikuu Iringa
Soma https://jamii.app/DPPMauajiMlelwa
TUNDU LISSU ATAKIWA KURIPOTI POLISI
> IGP Simon Sirro amemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA kuripoti Kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aeleze aliyofanya jana
> Amesema ameona mara kadhaa Lissu akigombana na viongozi wa Polisi
Angalia - https://youtu.be/ylpcJW4hG6Q
> IGP Simon Sirro amemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA kuripoti Kituo cha Polisi Kilimanjaro ili aeleze aliyofanya jana
> Amesema ameona mara kadhaa Lissu akigombana na viongozi wa Polisi
Angalia - https://youtu.be/ylpcJW4hG6Q
YouTube
IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha Polisi Kilimanjaro kwa kile alichokofanya jana
DKT. MAGUFULI: MKINICHANGANYIA MBUNGE SILETI MRADI WA MAJI
> Mgombea Urais kupitia CCM amesema wana mipango ya kutoa maji Ileje kwenda Tunduma Muhula ujao
> Amewataka wananchi kumchagua Silinde (CCM) na hii ni mara ya mwisho kuwabembeleza
Tazama https://youtu.be/xjJ1nLDvm9k
#TZ2020
> Mgombea Urais kupitia CCM amesema wana mipango ya kutoa maji Ileje kwenda Tunduma Muhula ujao
> Amewataka wananchi kumchagua Silinde (CCM) na hii ni mara ya mwisho kuwabembeleza
Tazama https://youtu.be/xjJ1nLDvm9k
#TZ2020
YouTube
Dkt. Magufuli akiwa Tunduma: Msinichanganyie, Mkiniletea hao Maji hamuyapati
KAMPUNI YA INDIANA YAFUNGUA KESI YA MADAI YA TAKRIBANI TSH. BILIONI 220 DHIDI YA TANZANIA
> Indiana Resources inadai fidia baada ya kuathirika na mabadiliko ya Sheria ya Madini nchini
> Tanzania ilizifuta leseni za uhifadhi zilizotolewa kabla ya 2018
Soma https://jamii.app/MadaiBilion220
> Indiana Resources inadai fidia baada ya kuathirika na mabadiliko ya Sheria ya Madini nchini
> Tanzania ilizifuta leseni za uhifadhi zilizotolewa kabla ya 2018
Soma https://jamii.app/MadaiBilion220
LISSU: BARUA YA POLISI HAIKUELEZA KOSA, NAENDELEA NA RATIBA ZANGU
> Lissu amedai barua haikutaja kosa na imeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chama, hivyo ataendelea na ratiba zake
> Jana, IGP Sirro alimshutumu Lissu kugombana na Wakuu wa Polisi
Soma https://jamii.app/BaruaPolisiRatiba
#Uchaguzi2020
> Lissu amedai barua haikutaja kosa na imeelekezwa kwa Mwenyekiti wa Chama, hivyo ataendelea na ratiba zake
> Jana, IGP Sirro alimshutumu Lissu kugombana na Wakuu wa Polisi
Soma https://jamii.app/BaruaPolisiRatiba
#Uchaguzi2020
PROF. LIPUMBA: BAJETI YA KILIMO ITAKUWA 15% YA BAJETI YOTE
> Mgombea huyo amesema, Dira ya mabadiliko ya CUF inatoa kipaumbele kwa Kilimo ktk mikakati ya kukuza Uchumi na kuondoa umasikini ili kuhakikisha Tanzania ina chakula cha kutosha
Soma https://jamii.app/LipumbaSimiyu
#Uchaguzi2020
> Mgombea huyo amesema, Dira ya mabadiliko ya CUF inatoa kipaumbele kwa Kilimo ktk mikakati ya kukuza Uchumi na kuondoa umasikini ili kuhakikisha Tanzania ina chakula cha kutosha
Soma https://jamii.app/LipumbaSimiyu
#Uchaguzi2020
RAIS TRUMP NA MKEWE WAKUTWA NA #COVID19
> Rais Trump alifanyiwa vipimo baada ya Msaidizi wake kukutwa na maambukizi na tayari wanaanza kukaa Karantini
> Hali hii itasababisha ugumu wa yeye kuendelea na Kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Novemba 3
Soma https://jamii.app/COVID19TrumpAndWife
#JFLeo
> Rais Trump alifanyiwa vipimo baada ya Msaidizi wake kukutwa na maambukizi na tayari wanaanza kukaa Karantini
> Hali hii itasababisha ugumu wa yeye kuendelea na Kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Novemba 3
Soma https://jamii.app/COVID19TrumpAndWife
#JFLeo
MKOA WA NJOMBE WAONGOZA KWA TATIZO LA UDUMAVU KWA WATOTO
> Njombe inakabiliwa na udumavu kwa 53.6%, Rukwa 47.9%, Iringa 47.1%, Songwe 43.3% na Kigoma 42.3%
> Serikali imeandaa mpango mkakati wa kitaifa wa masuala ya lishe kuondoa tatizo hilo
Soma https://jamii.app/UdumavuWatoto
> Njombe inakabiliwa na udumavu kwa 53.6%, Rukwa 47.9%, Iringa 47.1%, Songwe 43.3% na Kigoma 42.3%
> Serikali imeandaa mpango mkakati wa kitaifa wa masuala ya lishe kuondoa tatizo hilo
Soma https://jamii.app/UdumavuWatoto
SIKU YA KIMATAIFA YA KUTOKUWA NA VURUGU DUNIANI
> #NonViolenceDay huazimishwa kila Oktoba 2 na iliazimiwa na Umoja wa Mataifa 2007
> Pia, ni siku ya kuzaliwa ya Mahatma Gandhi anayetajwa kama Mwasisi na Kiongozi wa kudai haki bila vurugu
Soma https://jamii.app/NonViolenceDay
> #NonViolenceDay huazimishwa kila Oktoba 2 na iliazimiwa na Umoja wa Mataifa 2007
> Pia, ni siku ya kuzaliwa ya Mahatma Gandhi anayetajwa kama Mwasisi na Kiongozi wa kudai haki bila vurugu
Soma https://jamii.app/NonViolenceDay
UBALOZI WA MAREKANI: HATUMUUNGI MKONO MGOMBEA YEYOTE
> Ubalozi huo umesema matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa #Tanzania ni muhimu kwa kanda nzima ya #Afrika Mashariki
> Wamesema wanaunga mkono mchakato wa Kidemokrasia, Uhuru, Haki na Uwazi
Soma https://jamii.app/MarekaniUchaguziTZ
#Uchaguzi2020
> Ubalozi huo umesema matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa #Tanzania ni muhimu kwa kanda nzima ya #Afrika Mashariki
> Wamesema wanaunga mkono mchakato wa Kidemokrasia, Uhuru, Haki na Uwazi
Soma https://jamii.app/MarekaniUchaguziTZ
#Uchaguzi2020
JESHI LA POLISI LASITISHA WITO KWA LISSU
> Limemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuendelea na ratiba zake za kampeni
> Limesema limeona ni busara kumuacha Mgombea huyo kuendelea na kampeni
Angalia - https://youtu.be/IVP7Ma95a4o
#Uchaguzi2020
> Limemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuendelea na ratiba zake za kampeni
> Limesema limeona ni busara kumuacha Mgombea huyo kuendelea na kampeni
Angalia - https://youtu.be/IVP7Ma95a4o
#Uchaguzi2020
YouTube
Jeshi la Polisi lasitisha wito wa Tundu Lissu na kumtaka aendelee na kampeni zake
JESHI LA POLISI LASITISHA WITO WA KUMUITA LISSU
-
Jeshi la Polisi limemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuendelea na ratiba zake za kampeni
-
Limesema limeona ni busara kumuacha Mgombea huyo kuendelea zake kuelekea Uchaguzi Mkuuβ¦
-
Jeshi la Polisi limemtaka Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuendelea na ratiba zake za kampeni
-
Limesema limeona ni busara kumuacha Mgombea huyo kuendelea zake kuelekea Uchaguzi Mkuuβ¦