SERIKALI YAKANUSHA WATENDAJI WA HALMASHAURI KUITWA DODOMA
> Imekanusha taarifa iliyotolewa na Tundu Lissu aliyesema Wakurugenzi wa Halmashauri nchi nzima wameitwa Dodoma na Mgombea Urais(CCM), Dkt. Magufuli ili kupewa maelekezo ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/WatendajiDodoma
#TZ2020
> Imekanusha taarifa iliyotolewa na Tundu Lissu aliyesema Wakurugenzi wa Halmashauri nchi nzima wameitwa Dodoma na Mgombea Urais(CCM), Dkt. Magufuli ili kupewa maelekezo ya Uchaguzi
Soma - https://jamii.app/WatendajiDodoma
#TZ2020
MARA: TUNDU LISSU AKUTANA NA FAMILIA YA MWALIMU NYERERE
> Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, amekutana na familia ya Hayati Baba wa Taifa huko Mwitongo
> Miongoni mwa wanafamilia waliomkaribisha ni Mtoto wa Mwalimu, Madaraka Nyerere
Soma https://jamii.app/LissuNyerere
> Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, amekutana na familia ya Hayati Baba wa Taifa huko Mwitongo
> Miongoni mwa wanafamilia waliomkaribisha ni Mtoto wa Mwalimu, Madaraka Nyerere
Soma https://jamii.app/LissuNyerere
MDAU: KUNA WAKATI INABIDI UMLEE MTOTO KAMA VILE HUJAMZAA WEWE
> Mdau wa Jamiiforums.com anasema lengo sio kumkomoa au kumuumiza mtoto bali ni kumtengenezea njia nzuri yenye ushujaa na ustahimilivu pindi atakapokuwa mwenyewe
> Baadhi ya watu hujikuta kwenye makundi ya watu wenye tabia mbaya katika jamii kwasababu wazazi wao waliwalea kwa kuwadekeza sana
Una maoni gani kuhusu hoja ya mdau?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/KudekezaWatoto
> Mdau wa Jamiiforums.com anasema lengo sio kumkomoa au kumuumiza mtoto bali ni kumtengenezea njia nzuri yenye ushujaa na ustahimilivu pindi atakapokuwa mwenyewe
> Baadhi ya watu hujikuta kwenye makundi ya watu wenye tabia mbaya katika jamii kwasababu wazazi wao waliwalea kwa kuwadekeza sana
Una maoni gani kuhusu hoja ya mdau?
Mjadala zaidi - https://jamii.app/KudekezaWatoto
LISSU: TUTAFUTA SHERIA ZINAZONYIMA DHAMANA KWA MAKOSA YOTE
> Tundu Lissu amesema, CHADEMA ikiingia madarakani itaruhusu makosa yote kuwa na dhamana kwa kuwa kutuhumiwa sio kuwa na hatia na hii ni ili mtu asifungwe kabla ya kukutwa na hatia
Soma https://jamii.app/LissuSirariSheria
> Tundu Lissu amesema, CHADEMA ikiingia madarakani itaruhusu makosa yote kuwa na dhamana kwa kuwa kutuhumiwa sio kuwa na hatia na hii ni ili mtu asifungwe kabla ya kukutwa na hatia
Soma https://jamii.app/LissuSirariSheria
MAN. CITY YACHEZEA KIPIGO KIZITO MBELE YA LEICESTER
> Manchester City ikiwa nyumbani katika uwanja wa Etihad imejikuta ikiambulia kipigo cha goli 5-2 kutoka kwa Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England
> Leicester City inaongoza Ligi kwa tofauti ya magoli ikiwa na alama 9 huku Manchester City ikiwa katika nafasi ya 13 na alama 3
-
#JamiiForums #JFMichezo #Michezo #Sports #JFSports
> Manchester City ikiwa nyumbani katika uwanja wa Etihad imejikuta ikiambulia kipigo cha goli 5-2 kutoka kwa Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England
> Leicester City inaongoza Ligi kwa tofauti ya magoli ikiwa na alama 9 huku Manchester City ikiwa katika nafasi ya 13 na alama 3
-
#JamiiForums #JFMichezo #Michezo #Sports #JFSports
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MKURUGENZI WA UCHAGUZI NEC: WATANZANIA WANATAKA BARABARA, HAWATAKI BLAH! BLAH!
> Dkt. Charles Mahera amesema, watanzania wanataka Afya iliyoimarika, miradi ya umeme na viongozi watakaolinda madini na sio watakaopeleka madini kwa wageni nje
Soma https://jamii.app/MkurugeziWaUchaguzi
#JFSiasa
> Dkt. Charles Mahera amesema, watanzania wanataka Afya iliyoimarika, miradi ya umeme na viongozi watakaolinda madini na sio watakaopeleka madini kwa wageni nje
Soma https://jamii.app/MkurugeziWaUchaguzi
#JFSiasa
LISSU: SIWEZI KUACHA KAMPENI KUITIKIA MAMBO YA MTANDAONI
> Tundu Lissu amesema hajapokea malalamiko wala wito wa kufika Tume ya Taifa ya Uchaguzi
> Jana (Septemba 27), Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera alisema wamemuandikia barua Lissu
Soma https://jamii.app/NECLissuMaadili
> Tundu Lissu amesema hajapokea malalamiko wala wito wa kufika Tume ya Taifa ya Uchaguzi
> Jana (Septemba 27), Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera alisema wamemuandikia barua Lissu
Soma https://jamii.app/NECLissuMaadili
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
MGOMBEA URAIS WA ADC AAHIDI KUFUTA TOZO NA KODI ZISIZO NA MASHIKO
> Septemba 27, Queen Sendiga alitembelea Soko la Stereo Temeke na kuwaahidi wafanyabiashara kufuta tozo na kodi
> Pia, alifanya Mkutano Mbagala katika Viwanja vya Kurasini Mpya
Soma https://jamii.app/QueenSendiga
#TZ2020
> Septemba 27, Queen Sendiga alitembelea Soko la Stereo Temeke na kuwaahidi wafanyabiashara kufuta tozo na kodi
> Pia, alifanya Mkutano Mbagala katika Viwanja vya Kurasini Mpya
Soma https://jamii.app/QueenSendiga
#TZ2020
ACT-WAZALENDO: WATAKAOIBA KURA WATAADHIBIWA NA MUNGU
> Mwenyekiti wa Ngome ya Wazee ya ACT-Wazalendo, Yassin Mohammed amesema maombi ya aliyedhulumiwa hukubaliwa haraka
> Pia, amewataka wananchi wachague Chama kinachojali maslahi ya wananchi
Soma https://jamii.app/ACTKuraKampeni
#JFLeo
> Mwenyekiti wa Ngome ya Wazee ya ACT-Wazalendo, Yassin Mohammed amesema maombi ya aliyedhulumiwa hukubaliwa haraka
> Pia, amewataka wananchi wachague Chama kinachojali maslahi ya wananchi
Soma https://jamii.app/ACTKuraKampeni
#JFLeo
TIK TOK YAFUTA MAMIA YA VIDEO BAADA YA KUPOKEA MAOMBI 296 KUTOKA SERIKALI YA URUSI
> Baada ya kupokea maombi hayo wameondoa maudhui 711
> Aidha, video 104,543,719 zimeondolewa kwenye mtandao huo kutoka maeneo mbalimbali duniani
Soma > https://jamii.app/TikTokUrusi
#TikTok
> Baada ya kupokea maombi hayo wameondoa maudhui 711
> Aidha, video 104,543,719 zimeondolewa kwenye mtandao huo kutoka maeneo mbalimbali duniani
Soma > https://jamii.app/TikTokUrusi
#TikTok
AFRIKA KUSINI: WAZIRI AKATWA MSHAHARA MIEZI MITATU KWA KUCHANGANYA CHAMA NA SERIKALI
> Nosiviwe Mapisa-Nqakula alikuwa ktk ziara rasmi ya kitaifa nchini #Zimbabwe Septemba 9 na aliwabeba abiria wengine wanachama wa ANC kwa hisani.
Soma https://jamii.app/WaziriAfrikaKusini
#JFLeo
> Nosiviwe Mapisa-Nqakula alikuwa ktk ziara rasmi ya kitaifa nchini #Zimbabwe Septemba 9 na aliwabeba abiria wengine wanachama wa ANC kwa hisani.
Soma https://jamii.app/WaziriAfrikaKusini
#JFLeo
TARIME: POLISI WAKANUSHA KUSHAMBULIA MSAFARA WA LISSU
- Kamanda wa Polisi, ACP Mkonda amesema wamewapiga mabomu ya machozi waliokuwa wanawarushia mawe Polisi
- Msafara wa Lissu upo njiani kuelekea Serengeti ukiongozwa na Polisi
Soma https://youtu.be/TWn9fTZN5hg
#Uchaguzi2020
- Kamanda wa Polisi, ACP Mkonda amesema wamewapiga mabomu ya machozi waliokuwa wanawarushia mawe Polisi
- Msafara wa Lissu upo njiani kuelekea Serengeti ukiongozwa na Polisi
Soma https://youtu.be/TWn9fTZN5hg
#Uchaguzi2020
YouTube
Tarime - Rorya: Polisi Wakanusha kupiga Mabomu ya Machozi Msafara wa Tundu Lissu
BILIONEA AGAWA MALI ZOTE ILI AISHI MAISHA YA KAWAIDA
> Charles Feeney alianzisha Atlantic Philanthropies Foundation na ametoa Dola bilioni 8 sawa na Tsh. trilioni 18.56
> Hivi sasa anaishi kwenye nyumba ya vyumba viwili na Mkewe huko San Francisco
Soma https://jamii.app/BilioneaHelaHai
#JFLeo
> Charles Feeney alianzisha Atlantic Philanthropies Foundation na ametoa Dola bilioni 8 sawa na Tsh. trilioni 18.56
> Hivi sasa anaishi kwenye nyumba ya vyumba viwili na Mkewe huko San Francisco
Soma https://jamii.app/BilioneaHelaHai
#JFLeo
LISSU: NITABADILI KATIBA ILI WABUNGE WAWE NA MAAMUZI JUU YA FEDHA ZA SERIKALI
> Tundu Lissu amesema kwa Katiba ya sasa mamlaka juu ya maamuzi ya fedha yapo kwa Rais
> Amesema hali hiyo inawafanya Wabunge wawe omba omba kwa Rais
Soma https://jamii.app/LissuKatibaMpya
#Uchaguzi2020
> Tundu Lissu amesema kwa Katiba ya sasa mamlaka juu ya maamuzi ya fedha yapo kwa Rais
> Amesema hali hiyo inawafanya Wabunge wawe omba omba kwa Rais
Soma https://jamii.app/LissuKatibaMpya
#Uchaguzi2020
WAZIRI WA ARDHI ZANZIBAR ATOA WITO KWA WANAWAKE KUWALINDA WATOTO DHIDI YA #COVID19
> Salama Aboud Talib ni miongoni mwa watu waliopata virusi hivyo na kulazwa
> Amesema ni muhimu kuchukua tahadhari ili kuhakikisha gonjwa hilo halitorejea tena
Soma https://jamii.app/ZnzCOVID19Women
#JFLeo
> Salama Aboud Talib ni miongoni mwa watu waliopata virusi hivyo na kulazwa
> Amesema ni muhimu kuchukua tahadhari ili kuhakikisha gonjwa hilo halitorejea tena
Soma https://jamii.app/ZnzCOVID19Women
#JFLeo
MDAU: SERIKALI FUNGENI SHULE ZA MSINGI ZA BWENI. NI UZEMBE WA MALEZI
> Anasema hakuna sababu ya kumpeleka Mtoto wa Shule ya Msingi shule bweni
> Umri wa miaka 6 hadi 13 ni umri wa kujifunza na kupata tabia pamoja na ulinzi maalumu kutoka kwa Wazazi. Vyote hivi hatavipata shuleni
Soma > https://jamii.app/WatotoShuleBweni
> Anasema hakuna sababu ya kumpeleka Mtoto wa Shule ya Msingi shule bweni
> Umri wa miaka 6 hadi 13 ni umri wa kujifunza na kupata tabia pamoja na ulinzi maalumu kutoka kwa Wazazi. Vyote hivi hatavipata shuleni
Soma > https://jamii.app/WatotoShuleBweni
DAR: BINTI WA MIAKA 25 AKAMATWA NA GRAMU 448.12 ZA HEROINE
> Maria Edson Mtambo amekamatwa akiwa maeneo ya Tegeta Kwa Ndevu
> Alizificha ndani ya vifurushi viwili vya vitabu akijiandaa kuvisafirisha kwenda India kwa mpenzi wake
Soma > https://jamii.app/BintiHeroinDar
#JFLeo #Heroine
> Maria Edson Mtambo amekamatwa akiwa maeneo ya Tegeta Kwa Ndevu
> Alizificha ndani ya vifurushi viwili vya vitabu akijiandaa kuvisafirisha kwenda India kwa mpenzi wake
Soma > https://jamii.app/BintiHeroinDar
#JFLeo #Heroine
UTEUZI: RAIS MAGUFULI AMEMTEUA DKT. MJINGO KUWA MKURUGENZI MKUU TAWIRI
> Kabla ya Uteuzi huu, alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Tiba za Wanyamapori na Huduma za Maabara wa TAWIRI
> Anachukua nafasi ya Dkt. Mduma ambaye amestaafu
Soma > https://jamii.app/UteuziTAWIRI
#JamiiForums #JFLeo
> Kabla ya Uteuzi huu, alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Tiba za Wanyamapori na Huduma za Maabara wa TAWIRI
> Anachukua nafasi ya Dkt. Mduma ambaye amestaafu
Soma > https://jamii.app/UteuziTAWIRI
#JamiiForums #JFLeo
RUKWA: WAPIGA KURA WADAIWA KUUZA KADI ZAO
> Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Sumbawanga Mjini amesema baadhi ya wananchi wanauza kadi za kupigia kura kisirisiri
> Amewatahadharisha kuhusu kitendo hicho ambacho ni Kinyume cha Sheria
Soma https://jamii.app/RukwaVitambulisho
#TZ2020
> Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Sumbawanga Mjini amesema baadhi ya wananchi wanauza kadi za kupigia kura kisirisiri
> Amewatahadharisha kuhusu kitendo hicho ambacho ni Kinyume cha Sheria
Soma https://jamii.app/RukwaVitambulisho
#TZ2020
UN: AFRIKA INAPOTEZA TSH. TRILIONI 206.521 KWA MWAKA KWA UHUJUMU UCHUMI
> Fedha zinazopotea ni zaidi ya fedha za misaada zinazopokelewa Afrika
> Nusu ya fedha hizo ni mapato ya bidhaa zinazouzwa nje kama Dhahabu, Almasi na Madini ya Platinum
Soma https://jamii.app/AfrikaFedhaUhujumu
#JFLeo
> Fedha zinazopotea ni zaidi ya fedha za misaada zinazopokelewa Afrika
> Nusu ya fedha hizo ni mapato ya bidhaa zinazouzwa nje kama Dhahabu, Almasi na Madini ya Platinum
Soma https://jamii.app/AfrikaFedhaUhujumu
#JFLeo