PROF. LIPUMBA: UCHAGUZI USIWE CHANZO CHA UVUNJIFU WA AMANI
> Mgombea Urais kupitia CUF amesema, Tanzania imekuwa Kisiwa cha Amani kwa kipindi kirefu hivyo watanzania wanao wajibu wa kuhakikisha amani hiyo inadumu hasa kipindi hiki
Soma - https://jamii.app/LipumbaAmaniTZ
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais kupitia CUF amesema, Tanzania imekuwa Kisiwa cha Amani kwa kipindi kirefu hivyo watanzania wanao wajibu wa kuhakikisha amani hiyo inadumu hasa kipindi hiki
Soma - https://jamii.app/LipumbaAmaniTZ
#Uchaguzi2020
MUHAS YATAJWA KAMA CHUO NO.1 TANZANIA
> Ni kwa mujibu wa University Ranking by Academic Performance (URAP)
> Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kinashika nafasi ya 1,551 duniani, huku UDSM ikiwa ya 2,047 na SUA 2,206
Soma https://jamii.app/URAPRankings
> Ni kwa mujibu wa University Ranking by Academic Performance (URAP)
> Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kinashika nafasi ya 1,551 duniani, huku UDSM ikiwa ya 2,047 na SUA 2,206
Soma https://jamii.app/URAPRankings
MAJALIWA: KITI CHA URAIS SIO MCHEZO, KINAHITAJI MTU MAKINI
> Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM amesema, βUongozi wa nchi siyo jambo la mchezo, linataka kiongozi makini, anayetetea rasilimali na anayetetea wanyonge dhidi ya rushwa na ufisadi"
Soma https://jamii.app/KitiUraisMajaliwa
#Uchaguzi2020
> Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM amesema, βUongozi wa nchi siyo jambo la mchezo, linataka kiongozi makini, anayetetea rasilimali na anayetetea wanyonge dhidi ya rushwa na ufisadi"
Soma https://jamii.app/KitiUraisMajaliwa
#Uchaguzi2020
RASMI: SAMATTA AJIUNGA NA FENERBAHCE YA UTURUKI
> Mbwana Samatta amejiunga na Fenerbahce kwa mkopo wa mwaka mmoja huku Fenerbahce wakieleza kuwa baada ya muda huo wamekubaliana kumpatia Samatta mkataba wa miaka minne
Soma - https://jamii.app/SamattaUsajili
#JFMichezo
> Mbwana Samatta amejiunga na Fenerbahce kwa mkopo wa mwaka mmoja huku Fenerbahce wakieleza kuwa baada ya muda huo wamekubaliana kumpatia Samatta mkataba wa miaka minne
Soma - https://jamii.app/SamattaUsajili
#JFMichezo
POLEPOLE: TUME YA UCHAGUZI IMEWAPENDELEA UPINZANI
> Msemaji wa CCM, Humphrey Polepole amesema, Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ingefuata Sheria bila kutumia Hekima wagombea wasingerudishwa kwenye Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/PolepoleNEC
#Uchaguzi2020
> Msemaji wa CCM, Humphrey Polepole amesema, Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ingefuata Sheria bila kutumia Hekima wagombea wasingerudishwa kwenye Uchaguzi Mkuu
Soma https://jamii.app/PolepoleNEC
#Uchaguzi2020
MANYARA: TAKUKURU YAAGIZA KUONDOLEWA KWA MILANGO 83 YA KITUO CHA AFYA KWA KUKOSA UBORA
> Milango hiyo inayodaiwa kuwa ni mipya ktk kituo cha Hirbada imeonekana kupasuka huku mingine ikiwa imepinda na kuvunjika kabla ya kituo kuanza kutumika
Soma - https://jamii.app/MilangoUbora
> Milango hiyo inayodaiwa kuwa ni mipya ktk kituo cha Hirbada imeonekana kupasuka huku mingine ikiwa imepinda na kuvunjika kabla ya kituo kuanza kutumika
Soma - https://jamii.app/MilangoUbora
FAHAMU SABABU ZA MAMA KUJIFUNGUA MTOTO NJITI
- Umri mdogo wa Mama unaweza kupelekea ajifungue kabla ya miezi tisa kutimia kwasababu maumbile yao yanakuwa hayapo tayari kubeba mtoto
- Magonjwa au maambukizi aliyonayo Mama yanaweza kuathiri ujauzito na kusababisha ajifungue mapema
Soma - https://jamii.app/WatotoNjiti
#JFAfya
- Umri mdogo wa Mama unaweza kupelekea ajifungue kabla ya miezi tisa kutimia kwasababu maumbile yao yanakuwa hayapo tayari kubeba mtoto
- Magonjwa au maambukizi aliyonayo Mama yanaweza kuathiri ujauzito na kusababisha ajifungue mapema
Soma - https://jamii.app/WatotoNjiti
#JFAfya
LISSU: TUTASHINDA UCHAGUZI HUU, OLE WAO WALIOENGUA WAGOMBEA WETU
> Amesema, Serikali ya CHADEMA haitakaa na mtu ambaye hajachaguliwa na Wananchi
> Amesema, Uchaguzi utarudiwa kwa Majimbo na Kata zote ambazo wagombea wao wameenguliwa
Soma - https://jamii.app/KampeniMisungwi
#Uchaguzi2020
> Amesema, Serikali ya CHADEMA haitakaa na mtu ambaye hajachaguliwa na Wananchi
> Amesema, Uchaguzi utarudiwa kwa Majimbo na Kata zote ambazo wagombea wao wameenguliwa
Soma - https://jamii.app/KampeniMisungwi
#Uchaguzi2020
MBEYA: MWALIMU MKUU MBARONI KWA RUSHWA YA NGONO
> Adelhard Mjingo (44) anashikiliwa kwa kuomba rushwa ya ngono kwa Mwanafunzi (14)
> Aliahidi kumsaidia Mtihani wa Darasa la 7 huku akitishia kuwa, akikataa atahakikisha hafaulu
Soma - https://jamii.app/RushwaMwl-MBY
#KemeaRushwa
> Adelhard Mjingo (44) anashikiliwa kwa kuomba rushwa ya ngono kwa Mwanafunzi (14)
> Aliahidi kumsaidia Mtihani wa Darasa la 7 huku akitishia kuwa, akikataa atahakikisha hafaulu
Soma - https://jamii.app/RushwaMwl-MBY
#KemeaRushwa
SHIBUDA: VYAMA VIJENGE HOJA, UONGO WA SIASA HUZAA DHULUMA
> Mwenyekiti huyo wa Baraza la Vyama vya Siasa amesema mfumo wa vyama vingi ni kichocheo cha maendeleo sio mafarakano
> Amewataka wagombea kuepuka kupandikiza chuki ktk taifa
Soma https://jamii.app/ShibudaVyamaHoja
#Uchaguzi2020
> Mwenyekiti huyo wa Baraza la Vyama vya Siasa amesema mfumo wa vyama vingi ni kichocheo cha maendeleo sio mafarakano
> Amewataka wagombea kuepuka kupandikiza chuki ktk taifa
Soma https://jamii.app/ShibudaVyamaHoja
#Uchaguzi2020
MAADILI YA UCHAGUZI: KUKOSOANA KWA WAGOMBEA/VYAMA KUJIKITE KATIKA SERA
> Hairuhusiwi kubeba sanamu/kinyago kinachoonesha kudhalilisha, kebehi au kufedhehesha chama kingine cha siasa, kiongozi wake au Serikali katika mkutano wa kisiasa
Soma - https://jamii.app/MaadiliUchaguzi
#Uchaguzi2020
> Hairuhusiwi kubeba sanamu/kinyago kinachoonesha kudhalilisha, kebehi au kufedhehesha chama kingine cha siasa, kiongozi wake au Serikali katika mkutano wa kisiasa
Soma - https://jamii.app/MaadiliUchaguzi
#Uchaguzi2020
WFP: WAKIMBIZI WENGI WA #MSUMBIJI WANAKIMBILIA #TANZANIA KUTOKANA NA MAPIGANO
> Makadirio ya Shirika la Chakula Duniani ni kuwa, idadi ya wakimbizi hao ni takriban 1000 ambapo inasemekana baadhi hutumia boti huku wengine wakiogolea Mto Ruvuma
Soma - https://jamii.app/WakimbiziMsumbiji
> Makadirio ya Shirika la Chakula Duniani ni kuwa, idadi ya wakimbizi hao ni takriban 1000 ambapo inasemekana baadhi hutumia boti huku wengine wakiogolea Mto Ruvuma
Soma - https://jamii.app/WakimbiziMsumbiji
AMBER RUTY, MUMEWE NA JAMES DELICIOUS WAHUKUMIWA MIAKA 5 JELA
> Wamehukumiwa kifungo hicho au kulipa faini (Amber Rutty milioni. 3, Mume wa Amber milioni. 3 na James milioni. 5)
> Wameshindwa kulipa faini na hivyo kupelekwa gerezani
Soma - https://jamii.app/HukumuAmberRuty
> Wamehukumiwa kifungo hicho au kulipa faini (Amber Rutty milioni. 3, Mume wa Amber milioni. 3 na James milioni. 5)
> Wameshindwa kulipa faini na hivyo kupelekwa gerezani
Soma - https://jamii.app/HukumuAmberRuty
Bodi, Menejimenti na Watendaji wa Jamii Forums tunatuma salamu za pongezi katika maadhimisho ya miaka 25 ya kulinda na kutetea haki za binadamu kwa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).
Tunawatakia kila lililo jema katika muendelezo wa kazi zote mnazozifanya.
"Haki ni maendeleo, simamia haki."
#HakiZaBinadamu #JamiiForums #LHRC
Tunawatakia kila lililo jema katika muendelezo wa kazi zote mnazozifanya.
"Haki ni maendeleo, simamia haki."
#HakiZaBinadamu #JamiiForums #LHRC
DAR: BAADHI YA VIONGOZI WA ACT-WAZALENDO WADAIWA KUCHUKULIWA NA POLISI
> Inaelezwa Arodia Peter, Dotto Rangimoto (Afisa Msaidizi Kitengo cha Habari) na Dahlia Majid, wamechukuliwa na Polisi huku Dotto akituhumiwa kwa Makosa ya Kimtandao
Soma - https://jamii.app/PolisiViongoziACT
> Inaelezwa Arodia Peter, Dotto Rangimoto (Afisa Msaidizi Kitengo cha Habari) na Dahlia Majid, wamechukuliwa na Polisi huku Dotto akituhumiwa kwa Makosa ya Kimtandao
Soma - https://jamii.app/PolisiViongoziACT
UKRAINE: 22 WAFARIKI DUNIA BAADA YA NDEGE YA KIJESHI KUANGUKA
> Watu 27 walikuwemo katika ndege hiyo, wawili wamejeruhiwa vibaya na wengine 3 bado wanatafutwa
> Chanzo cha kuanguka kwa ndege hiyo bado hakijafahamika na uchunguzi unaendelea
Soma - https://jamii.app/UkraineCrash
> Watu 27 walikuwemo katika ndege hiyo, wawili wamejeruhiwa vibaya na wengine 3 bado wanatafutwa
> Chanzo cha kuanguka kwa ndege hiyo bado hakijafahamika na uchunguzi unaendelea
Soma - https://jamii.app/UkraineCrash
ACT-WAZALENDO YATAKA POLISI KUWAACHIA MAAFISA WAO
> Imetaka waachiwe bila masharti au wafikishwe Mahakamani kama kuna kosa
> Arodia Peter, Dotto Rangimoto na Dahlia Majid walikamatwa jana katika Ofisi za Chama hicho zilizopo Magomeni
Soma - https://jamii.app/ACTMaafisaPolisi
> Imetaka waachiwe bila masharti au wafikishwe Mahakamani kama kuna kosa
> Arodia Peter, Dotto Rangimoto na Dahlia Majid walikamatwa jana katika Ofisi za Chama hicho zilizopo Magomeni
Soma - https://jamii.app/ACTMaafisaPolisi
TOGO: WAZIRI MKUU NA SERIKALI YAKE WAJIUZULU
> Taarifa ya Rais Faure Gnassingbe imesema Komi Klassou amejiuzulu pamoja na Serikali yake
> Kumekuwa na matarajio ya mabadiliko ktk Serikali baada ya Rais huyo kushinda Uchaguzi mapema mwaka huu
Soma https://jamii.app/TogoGovtResigns
> Taarifa ya Rais Faure Gnassingbe imesema Komi Klassou amejiuzulu pamoja na Serikali yake
> Kumekuwa na matarajio ya mabadiliko ktk Serikali baada ya Rais huyo kushinda Uchaguzi mapema mwaka huu
Soma https://jamii.app/TogoGovtResigns
SERIKALI: WANANCHI KUWENI MAKINI KABLA YA KUNUNUA MAGARI JAPAN
> Ubalozi wa Tanzania nchini Japan umesema ni vigumu kwa fedha ambayo imeshatumwa kurejeshwa
> Wanaoagiza magari wametakiwa kuangalia tovuti zaidi ya moja kufahamu bei za wastani
Soma https://jamii.app/MagariJapan
> Ubalozi wa Tanzania nchini Japan umesema ni vigumu kwa fedha ambayo imeshatumwa kurejeshwa
> Wanaoagiza magari wametakiwa kuangalia tovuti zaidi ya moja kufahamu bei za wastani
Soma https://jamii.app/MagariJapan
KAMATI YA AMANI YAPIGA MARUFUKU NYUMBA ZA IBADA KUTUMIKA KISIASA
> Kamati ya Amani inayoongozwa na Sheikh Mkuu wa Dar imepiga marufuku Makanisa na Misikiti kutumika kumfanyia kampeni mgombea wa kisiasa kwani ni kuwanyima haki waumini
Soma - https://jamii.app/KampeniNyumbaIbada
#Uchaguzi2020
> Kamati ya Amani inayoongozwa na Sheikh Mkuu wa Dar imepiga marufuku Makanisa na Misikiti kutumika kumfanyia kampeni mgombea wa kisiasa kwani ni kuwanyima haki waumini
Soma - https://jamii.app/KampeniNyumbaIbada
#Uchaguzi2020