MPANDA: JELA MIAKA 60 KWA KUMTOROSHA NA KUMBAKA MWANAFUNZI
> Said Selemani(20), amekutwa na hatia ya kumbaka Mwanafunzi wa Kidato cha Pili
> Katika utetezi mshtakiwa alidai alikuwa naye ili amsaidie kumrejesha kwao kwani alikuwa amefukuzwa
Soma https://jamii.app/Jela60Kubaka
#JFLeo
> Said Selemani(20), amekutwa na hatia ya kumbaka Mwanafunzi wa Kidato cha Pili
> Katika utetezi mshtakiwa alidai alikuwa naye ili amsaidie kumrejesha kwao kwani alikuwa amefukuzwa
Soma https://jamii.app/Jela60Kubaka
#JFLeo
ZANZIBAR: TAMWA YALAANI WATOTO KUCHOMWA SINDANO BILA SABABU
> Septemba 15, 2020 iliripotiwa tukio la watoto 3 kuchomwa sindano na mtu asiyejulikana
> Tukio kama hilo si la kwanza, TAMWA wanaona huo ni udhalilishaji unaopaswa kukemewa
Soma https://jamii.app/WatotoZnz
#JFLeo
> Septemba 15, 2020 iliripotiwa tukio la watoto 3 kuchomwa sindano na mtu asiyejulikana
> Tukio kama hilo si la kwanza, TAMWA wanaona huo ni udhalilishaji unaopaswa kukemewa
Soma https://jamii.app/WatotoZnz
#JFLeo
YAJUE MAMLAKA YA POLISI
> Polisi ana mamlaka kukamata, kufanya upekuzi, kushikilia, kumpeleleza mtuhumiwa, kumhoji shahidi na kufanya mahojiano na mtuhumiwa
> Kutawanya waandamanaji wenye nia ovu na kuhakikisha usalama katika jamii
Soma https://jamii.app/UmuhimuWaPolisi
#JFMaarifa
> Polisi ana mamlaka kukamata, kufanya upekuzi, kushikilia, kumpeleleza mtuhumiwa, kumhoji shahidi na kufanya mahojiano na mtuhumiwa
> Kutawanya waandamanaji wenye nia ovu na kuhakikisha usalama katika jamii
Soma https://jamii.app/UmuhimuWaPolisi
#JFMaarifa
ILANI YA UCHAGUZI YA CHADEMA INAAHIDI NINI KUHUSU SEKTA YA AFYA?
> CHADEMA itatoa motisha kwa watendaji wa Sekta ya Afya kulingana na nafasi zao
> Itaboresha mifumo ya huduma za dharura ktk maeneo yote ya utoaji huduma za afya
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
> CHADEMA itatoa motisha kwa watendaji wa Sekta ya Afya kulingana na nafasi zao
> Itaboresha mifumo ya huduma za dharura ktk maeneo yote ya utoaji huduma za afya
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
DAR: AFISA MAUDHUI WA CHADEMA KIZIMBANI
> Dominic Mgaya amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchapisha maudhui bila kuwa na leseni ya TCRA
> Alifanya hivyo kupitia channel ya CHADEMA MEDIA TV kati ya Oktoba 14, 2017 na Septemba 1, 2020
Soma https://jamii.app/MakosaYaMtandaoCHADEMA
#JFLeo
> Dominic Mgaya amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchapisha maudhui bila kuwa na leseni ya TCRA
> Alifanya hivyo kupitia channel ya CHADEMA MEDIA TV kati ya Oktoba 14, 2017 na Septemba 1, 2020
Soma https://jamii.app/MakosaYaMtandaoCHADEMA
#JFLeo
KATIBU MKUU WA CCM AKEMEA VIKALI WANAOJIPANGA KUKISALITI CHAMA
- Dkt. Bashiru ameeleza kuwa kuna WanaCCM wamepanga kukisaliti chama hicho kwa maslahi yao
- Aahidi kuwa watawachukulia hatua kali watakaobainika ikiwemo kuwafukuza Uanachama
Soma > https://jamii.app/WasalitiCCM
#JFLeo
- Dkt. Bashiru ameeleza kuwa kuna WanaCCM wamepanga kukisaliti chama hicho kwa maslahi yao
- Aahidi kuwa watawachukulia hatua kali watakaobainika ikiwemo kuwafukuza Uanachama
Soma > https://jamii.app/WasalitiCCM
#JFLeo
Dkt. Bashiru: Wanaohama kutoka CCM wakidhani wana nguvu, wakitoka wanakuwa kama vichaa!
Hakuna mwana-CCM maarufu kuliko CCM, ukiona wewe maarufu ujue umeazimwa umaarufu na chama chako
Siku chama kikikutupa/ukikitupa na umaarufu unakoma hapohapo
Tazama👇🏾
https://youtu.be/RdpuGk2NSPw
Hakuna mwana-CCM maarufu kuliko CCM, ukiona wewe maarufu ujue umeazimwa umaarufu na chama chako
Siku chama kikikutupa/ukikitupa na umaarufu unakoma hapohapo
Tazama👇🏾
https://youtu.be/RdpuGk2NSPw
YouTube
Dk. Bashiru: Hakuna Mwana-CCM maarufu kuliko CCM. Aonya wanaotaka kusaliti
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
UGANDA: JENGO LA UTAWALA LA CHUO KIKUU CHA MAKERERE LATEKETEA KWA MOTO
> Moto huo mkubwa umezuka usiku wa kuamkia leo
> Hadi sasa chanzo na kiwango cha hasara iloyosababishwa na moto huo havijajulikana
Soma > https://jamii.app/MakerereFire
#MakerereFire #Makerere #MakerereUniversity
> Moto huo mkubwa umezuka usiku wa kuamkia leo
> Hadi sasa chanzo na kiwango cha hasara iloyosababishwa na moto huo havijajulikana
Soma > https://jamii.app/MakerereFire
#MakerereFire #Makerere #MakerereUniversity
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
UCHAGUZI 2020: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia CCM, Askofu Josephat Gwajima akiulizwa maswali na mpiga kura wa Jimbo hilo wakati wa kampeni zake
> Je, wananchi wanatambua majukumu na wajibu wa Mbunge wanayemchagua? Je, Wabunge wanatambua wajibu wao kwa wananchi?
#Uchaguzi2020 #TZ2020
> Je, wananchi wanatambua majukumu na wajibu wa Mbunge wanayemchagua? Je, Wabunge wanatambua wajibu wao kwa wananchi?
#Uchaguzi2020 #TZ2020
LIGI KUU ENGLAND: TOTTENHAM YASHINDA. LIVERPOOL NA CHELSEA KUVAANA BAADAYE
- Tottenham imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Southampton huku Heung-Min Son akiibuka nyota wa mchezo baada ya kufunga magoli manne
- Mchezo unaoendelea sasa ni kati ya Newcastle na Brighton. Majira ya saa 12:30 jioni (Saa za Afrika Mashariki), Chelsea itakutana na Liverpool
#JFSports #Michezo
- Tottenham imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Southampton huku Heung-Min Son akiibuka nyota wa mchezo baada ya kufunga magoli manne
- Mchezo unaoendelea sasa ni kati ya Newcastle na Brighton. Majira ya saa 12:30 jioni (Saa za Afrika Mashariki), Chelsea itakutana na Liverpool
#JFSports #Michezo
CUF YAAHIDI KUWAJALI WALEMAVU
> Mgombea Mwenza (CUF), Hamida Huweishi amesema, CUF ikishinda Uchaguzi nafasi ya Urais, itatenga Fungu Maalum la kuwawezesha watu wenye ulemavu wapate elimu pamoja na kutoa mafunzo stahiki ili waweze kuwaajiri
Soma https://jamii.app/CUFVsWalemavu
> Mgombea Mwenza (CUF), Hamida Huweishi amesema, CUF ikishinda Uchaguzi nafasi ya Urais, itatenga Fungu Maalum la kuwawezesha watu wenye ulemavu wapate elimu pamoja na kutoa mafunzo stahiki ili waweze kuwaajiri
Soma https://jamii.app/CUFVsWalemavu
IVORY COAST: RAIS WA ZAMANI ATAKA WANANCHI KUPINGA RAIS WA SASA KUWANIA MUHULA WA 3
> Konan Bedie ni miongoni mwa wanaompinga Rais Alassane Ouatarra (78)
> Tume ya Uchaguzi imewaondoa wagombea 40 akiwemo Rais wa zamani, Laurent Gbagbo
Soma https://jamii.app/ElectionsIvoryCoast
> Konan Bedie ni miongoni mwa wanaompinga Rais Alassane Ouatarra (78)
> Tume ya Uchaguzi imewaondoa wagombea 40 akiwemo Rais wa zamani, Laurent Gbagbo
Soma https://jamii.app/ElectionsIvoryCoast
CUF: KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI
> Mwenyekiti CUF Wilayani Chakechake Pemba amesema, hawako tayari kufanya fujo wala ghasia kwa kuwaandamanisha vijana
> Ameongeza, hiyo ndio tofauti kubwa kati yao (CUF) na vyama vingine
Soma https://jamii.app/UchaguziAmani
> Mwenyekiti CUF Wilayani Chakechake Pemba amesema, hawako tayari kufanya fujo wala ghasia kwa kuwaandamanisha vijana
> Ameongeza, hiyo ndio tofauti kubwa kati yao (CUF) na vyama vingine
Soma https://jamii.app/UchaguziAmani
SEPTEMBA 21: MAADHIMISHO YA SIKU YA AMANI DUNIANI
> Ni siku ya kuimarisha amani ktk nchi, kati ya mataifa na kwa wananchi
> Kaulimbiu ni "Kujenga Amani Pamoja" na Watu wametakiwa kusherehekea kwa kuwa wakarimu na kusambaza matumaini
Soma https://jamii.app/PeaceDay2020
#WorldPeaceDay
> Ni siku ya kuimarisha amani ktk nchi, kati ya mataifa na kwa wananchi
> Kaulimbiu ni "Kujenga Amani Pamoja" na Watu wametakiwa kusherehekea kwa kuwa wakarimu na kusambaza matumaini
Soma https://jamii.app/PeaceDay2020
#WorldPeaceDay
SIMIYU: CHEYO (UDP) ATOA WITO KWA WANANCHI KUMCHAGUA DKT. MAGUFULI (CCM)
> Amesema, Chama hicho kinamuunga mkono Mgombea Urais wa CCM kutokana na jitihada zake kwenye kuwasikiliza wananchi wakiwemo wanasiasa kutoka Vyama vya Upinzani
Soma - https://jamii.app/CheyoKuraMagufuli
#Uchaguzi2020
> Amesema, Chama hicho kinamuunga mkono Mgombea Urais wa CCM kutokana na jitihada zake kwenye kuwasikiliza wananchi wakiwemo wanasiasa kutoka Vyama vya Upinzani
Soma - https://jamii.app/CheyoKuraMagufuli
#Uchaguzi2020
KESI YA JAMIIFORUMS: HUKUMU KUTOLEWA OKTOBA 30
> Kesi namba 458 ya mwaka 2016 imeendelea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar
> Hakimu Huruma Shaidi amepanga kutoa hukumu ya shauri hili tarehe 30 Oktoba 2020
Soma https://jamii.app/JFKesiHukumu
> Kesi namba 458 ya mwaka 2016 imeendelea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar
> Hakimu Huruma Shaidi amepanga kutoa hukumu ya shauri hili tarehe 30 Oktoba 2020
Soma https://jamii.app/JFKesiHukumu
DKT. MAGUFULI: KUNA CHAMA KINA SERA YA KUTENGENEZA MAJIMBO, HUO NDIO MWANZO WA MFARAKANO
> Mgombea Urais wa CCM amesema, wananchi wasikubali kuingizwa kwenye uongozi wa majaribio kwasababu wanaosema hivyo wana lengo la kuvuruga nchi
Soma - https://jamii.app/MagufuliMajimbo
#Uchaguzi2020
> Mgombea Urais wa CCM amesema, wananchi wasikubali kuingizwa kwenye uongozi wa majaribio kwasababu wanaosema hivyo wana lengo la kuvuruga nchi
Soma - https://jamii.app/MagufuliMajimbo
#Uchaguzi2020
#CORONAVIRUS-UGANDA: SHULE NA VYUO VIKUU KUFUNGULIWA OKTOBA 15
> Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa Shule na Taasisi za Elimu ya Juu zitafunguliwa tena kuanzia tarehe 15 Oktoba na mikakati imewekwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama
Soma - https://jamii.app/UGSchoolOpen
> Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa Shule na Taasisi za Elimu ya Juu zitafunguliwa tena kuanzia tarehe 15 Oktoba na mikakati imewekwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa salama
Soma - https://jamii.app/UGSchoolOpen
FAHAMU ILANI YA CUF INASEMAJE KUHUSU MSINGI WA KATIBA KATIKA UONGOZI
> Mchakato wa uandaaji wa #Katiba utafufuliwa katika kipindi cha miezi 3 baada ya Serikali kuapishwa kwa kuboresha Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba
Fahamu zaidi - https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020
> Mchakato wa uandaaji wa #Katiba utafufuliwa katika kipindi cha miezi 3 baada ya Serikali kuapishwa kwa kuboresha Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba
Fahamu zaidi - https://jamii.app/IlaniCUF
#Uchaguzi2020
MALEZI: TABIA ZA WAZAZI ZINAZOWEZA KUSABABISHA WATOTO KUTOFANIKIWA
> Wazazi wasiowahamasisha watoto kujitegemea. Wazazi wanapaswa kufanya hivi kwani inasaidia Mtoto kujua mabaya na mazuri anapokutana na vishawishi
> Wazazi wanaokaripia watoto wao mara kwa mara. Kumkaripia, kumtukana, kumsema kwa kejeli humfanya Mtoto kuwa muoga wa kila kitu
> Tabia ya kutaka kujua kila kinachoendelea. Kuendesha kila kitu cha Mtoto kutampelekea kuwa na wasiwasi, hatoweza kufanya uamuzi bila Mzazi
Soma - https://jamii.app/TabiaWazaziWatoto
> Wazazi wasiowahamasisha watoto kujitegemea. Wazazi wanapaswa kufanya hivi kwani inasaidia Mtoto kujua mabaya na mazuri anapokutana na vishawishi
> Wazazi wanaokaripia watoto wao mara kwa mara. Kumkaripia, kumtukana, kumsema kwa kejeli humfanya Mtoto kuwa muoga wa kila kitu
> Tabia ya kutaka kujua kila kinachoendelea. Kuendesha kila kitu cha Mtoto kutampelekea kuwa na wasiwasi, hatoweza kufanya uamuzi bila Mzazi
Soma - https://jamii.app/TabiaWazaziWatoto