RAIS MAGUFULI ATAKA MKUU WA SHULE ILIYOUNGUA AACHIWE
> Rais Magufuli amewataka Polisi kumuachia Mkuu wa Shule ya Msingi Islamic Byamungu, upelelezi unaweza fanywa akiwa nje
> Shule hiyo iliungua mabweni na kuua watoto 10 na wengine 6 kujeruhiwa
Soma https://jamii.app/MkuuShuleKagera
#JFSiasa
> Rais Magufuli amewataka Polisi kumuachia Mkuu wa Shule ya Msingi Islamic Byamungu, upelelezi unaweza fanywa akiwa nje
> Shule hiyo iliungua mabweni na kuua watoto 10 na wengine 6 kujeruhiwa
Soma https://jamii.app/MkuuShuleKagera
#JFSiasa
TANZANIA YAFUNGUA ANGA KWA NDEGE ZA KENYA KUTUA
> Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeruhusu mashirika ya Ndege kutoka #Kenya kutua nchini baada ya Kenya kuondoa sharti la raia wa #Tanzania kukaa karantini kwa siku 14 wanapoingia nchini humo
Soma https://jamii.app/TCAAVsKE
#JFLeo
> Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeruhusu mashirika ya Ndege kutoka #Kenya kutua nchini baada ya Kenya kuondoa sharti la raia wa #Tanzania kukaa karantini kwa siku 14 wanapoingia nchini humo
Soma https://jamii.app/TCAAVsKE
#JFLeo
ILANI YA UCHAGUZI YA NCCR INASEMA NINI KUHUSU SERA YA ELIMU?
- Kubadili sera ya elimu ya Taifa kwa kuipa maudhui na upeo kulingana na mahitaji ya kimaadili ya maendeleo
- Itaweka 30% kuwa kiwango cha chini cha bajeti ya Taifa ya elimu
Soma https://jamii.app/IlaniNCCR
#Uchaguzi2020
- Kubadili sera ya elimu ya Taifa kwa kuipa maudhui na upeo kulingana na mahitaji ya kimaadili ya maendeleo
- Itaweka 30% kuwa kiwango cha chini cha bajeti ya Taifa ya elimu
Soma https://jamii.app/IlaniNCCR
#Uchaguzi2020
ILANI YA CHADEMA INASEMA NINI KUHUSU MASLAHI YA WALIMU?
- Bila mwalimu mwenye motisha na aliyepewa mafunzo vizuri hakuna chochote tutakachofanikiwa
- Walimu hawathaminiwi; mishahara, marupurupu, maslahi hayalingani na kazi yao ngumu
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
- Bila mwalimu mwenye motisha na aliyepewa mafunzo vizuri hakuna chochote tutakachofanikiwa
- Walimu hawathaminiwi; mishahara, marupurupu, maslahi hayalingani na kazi yao ngumu
Soma https://jamii.app/IlaniCDM
#Uchaguzi2020
ZANZIBAR: KESI YA ULAWITI YAFUTWA BAADA YA MASHAHIDI KUTOFIKA MAHAKAMANI
> Mahakama ya Mkoani Wete imeiondoa kesi iliyokuwa inamkabili Khamis Abdalla Khamis(35) aliyetuhumiwa kumwingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume mwenye miaka 10
Soma https://jamii.app/PembaKesi
#JFLeo
> Mahakama ya Mkoani Wete imeiondoa kesi iliyokuwa inamkabili Khamis Abdalla Khamis(35) aliyetuhumiwa kumwingilia kinyume na maumbile mtoto wa kiume mwenye miaka 10
Soma https://jamii.app/PembaKesi
#JFLeo
SULTAN WA ZANZIBAR JAMSHID BIN ABDULLAH ARUHUSIWA KUINGIA OMAN
> Sultan wa mwisho wa Zanzibar ameruhusiwa kuingia Oman toka apinduliwe Januari 12, 1964
> Alipewa hifadhi nchini Uingereza ambako ameishi kwa miaka 50 katika mji wa Portsmouth
Soma https://jamii.app/SultanZnzOman
#JFLeo
> Sultan wa mwisho wa Zanzibar ameruhusiwa kuingia Oman toka apinduliwe Januari 12, 1964
> Alipewa hifadhi nchini Uingereza ambako ameishi kwa miaka 50 katika mji wa Portsmouth
Soma https://jamii.app/SultanZnzOman
#JFLeo
ILANI YA UCHAGUZI YA SAU INASEMA NINI KUHUSU ELIMU?
> Inasema, itatoa ajira mpya kwa Walimu ili kupata Walimu wa kutosha na kufikia uwiano wa Wanafunzi 20-29 kwa Mwalimu 1
> Watahakikisha Elimu ya Awali (Chekechea) inaboreshwa na kuzingatiwa
Soma https://jamii.app/IlaniSAU
#Uchaguzi2020
> Inasema, itatoa ajira mpya kwa Walimu ili kupata Walimu wa kutosha na kufikia uwiano wa Wanafunzi 20-29 kwa Mwalimu 1
> Watahakikisha Elimu ya Awali (Chekechea) inaboreshwa na kuzingatiwa
Soma https://jamii.app/IlaniSAU
#Uchaguzi2020
NEC YAWEKA WAZI MASHARTI YA KUZINGATIWA SIKU YA KUPIGA KURA (28 OKTOBA 2020)
-
Haitaruhusiwa mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura
> Wasimamizi wa Kituo ndio watakao ruhusiwa
Soma > https://jamii.app/NECMashartiUchaguzi
#Uchaguzi2020
-
Haitaruhusiwa mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura
> Wasimamizi wa Kituo ndio watakao ruhusiwa
Soma > https://jamii.app/NECMashartiUchaguzi
#Uchaguzi2020
JAPAN: YOSHIHIDE SUGA ATHIBITISHWA KUWA WAZIRI MKUU
> Bunge limemthibitisha Yoshihide Suga(71) kuwa Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Shinzo Abe ambaye alijiuzulu kutokana na changamoto za kiafya
> Bunge limempitisha kwa theluthi mbili ya kura
Soma https://jamii.app/SugaPMJapan
#JFLeo
> Bunge limemthibitisha Yoshihide Suga(71) kuwa Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Shinzo Abe ambaye alijiuzulu kutokana na changamoto za kiafya
> Bunge limempitisha kwa theluthi mbili ya kura
Soma https://jamii.app/SugaPMJapan
#JFLeo
GEITA: MBARONI KWA KUWAUNGUZA WATOTO KUTOKANA NA KULA SAMAKI WA WAGENI
> Ester John anatuhumiwa kuwaunguza na majimoto watoto wake 2 wa kambo na kuwafungia ndani bila kuwapatia matibabu yoyote
> Watoto hao ni wa miaka nane na mwingine minne
Soma https://jamii.app/GeitaMajiMoto
#JFLeo
> Ester John anatuhumiwa kuwaunguza na majimoto watoto wake 2 wa kambo na kuwafungia ndani bila kuwapatia matibabu yoyote
> Watoto hao ni wa miaka nane na mwingine minne
Soma https://jamii.app/GeitaMajiMoto
#JFLeo
ZANZIBAR: ACT-WAZALENDO YAWATAKA POLISI KUMUACHIA AU KUMFIKISHA MAHAKAMANI MWENYEKITI WA JIMBO LA OLE
> ACT-Wazalendo wamedai Rashid Ali Hamadi anashikiliwa kwa tuhuma za uchochezi
> Wamedai ana wiki yuko rumande na amenyimwa dhamana
Soma https://jamii.app/PolisiVsACT
#JFSiasa
> ACT-Wazalendo wamedai Rashid Ali Hamadi anashikiliwa kwa tuhuma za uchochezi
> Wamedai ana wiki yuko rumande na amenyimwa dhamana
Soma https://jamii.app/PolisiVsACT
#JFSiasa
LISSU: TUME IKITAKA AMANI, IHAKIKISHE UCHAGUZI UNAKUWA WA HAKI
-
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amewataka NEC wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa
> Asema wakikosewa watadai haki kwa namna wanavyojua
Soma https://jamii.app/HakiItaletaAmani
#Uchaguzi2020
-
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amewataka NEC wawarudishe wagombea wote wa CHADEMA walioenguliwa
> Asema wakikosewa watadai haki kwa namna wanavyojua
Soma https://jamii.app/HakiItaletaAmani
#Uchaguzi2020
MEMBE: ATAKA MSAIDIZI WAKE ARUDI BILA MCHUBUKO
> Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Bernard Membe amesema waliomteka Jerome Luanda wamuachie
> Aidha, amesema sio vyema kutumia Polisi kama kichaka cha kujificha
Soma https://jamii.app/MembeLuanda10
#JFSiasa
> Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Bernard Membe amesema waliomteka Jerome Luanda wamuachie
> Aidha, amesema sio vyema kutumia Polisi kama kichaka cha kujificha
Soma https://jamii.app/MembeLuanda10
#JFSiasa
ALIYEKUWA KAIMU MKURUGENZI WA BONDE LA RUFIJI AFUNGWA MIAKA 14
> Aloyce Masanja, amesomewa hukumu hiyo kwa hatia ya kosa la wizi wa Shilingi Milioni 86.
> Mahakama yaamuru alipe fidia ya Milioni 86
Soma > https://jamii.app/AloyceMasanjaJela
#JFLeo #JamiiForums #JamiiTalks #KemeaRushwa
> Aloyce Masanja, amesomewa hukumu hiyo kwa hatia ya kosa la wizi wa Shilingi Milioni 86.
> Mahakama yaamuru alipe fidia ya Milioni 86
Soma > https://jamii.app/AloyceMasanjaJela
#JFLeo #JamiiForums #JamiiTalks #KemeaRushwa
KATAVI: MBARONI KWA KUCHOMA NYUMBA 100 ZA WAVUVI
> Wanaoshikiliwa na Polisi kwa mahojiano ni Sungusungu wawili huku wengine wakiendelea kusakwa
> Tukio hilo lilitokea Septemba 16, 2020 saa 8 mchana katika Kata ya Itenka, Wilayani Mpanda
Soma https://jamii.app/KataviSungusungu
#JFLeo
> Wanaoshikiliwa na Polisi kwa mahojiano ni Sungusungu wawili huku wengine wakiendelea kusakwa
> Tukio hilo lilitokea Septemba 16, 2020 saa 8 mchana katika Kata ya Itenka, Wilayani Mpanda
Soma https://jamii.app/KataviSungusungu
#JFLeo
FAHAMU ILANI YA ACT-WAZALENDO INASEMA NINI KUHUSU ELIMU YA JUU
> ACT itarudisha uhuru wa wanataaluma na watafiti ktk kuzalisha na kukuza fikra za kimapinduzi.
> Kutoa ruzuku ya 40% ili Vyuo Vikuu vifanye tafiti
Soma > https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
> ACT itarudisha uhuru wa wanataaluma na watafiti ktk kuzalisha na kukuza fikra za kimapinduzi.
> Kutoa ruzuku ya 40% ili Vyuo Vikuu vifanye tafiti
Soma > https://jamii.app/IlaniACT
#Uchaguzi2020 #TZ2020 #Siasa
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DKT. MAGUFULI: WASANII NI WATU MUHIMU KATIKA MAENDELEO
> Mgombea urais kupitia CCM amesema Tasnia ya Sanaa na Michezo imekuwa ya tatu katika kukuza uchumi wa nchi
> Amesema, Wasanii ni watu muhimu katika kuelimisha jamii na kuburudisha
Angalia - https://youtu.be/xEm7tLulNVE
> Mgombea urais kupitia CCM amesema Tasnia ya Sanaa na Michezo imekuwa ya tatu katika kukuza uchumi wa nchi
> Amesema, Wasanii ni watu muhimu katika kuelimisha jamii na kuburudisha
Angalia - https://youtu.be/xEm7tLulNVE
KITAMBI KINAWEZA KUATHIRI MFUMO WA UPUMUAJI NA KUPUNGUZA UWEZO WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA
- Dkt. Makala anasema, Mafuta yana faida mwilini lakini yanapozidi husababisha msuli wa upumuaji (diaphragm) kukosa nafasi nzuri ya kushuka na kupanda
Soma https://jamii.app/AthariKitambi
#JFAfya
- Dkt. Makala anasema, Mafuta yana faida mwilini lakini yanapozidi husababisha msuli wa upumuaji (diaphragm) kukosa nafasi nzuri ya kushuka na kupanda
Soma https://jamii.app/AthariKitambi
#JFAfya
DAR: AFIKISHWA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUKWEPA KODI ZAIDI YA TSH. MILIONI 48
> Geoffrey Kilimba ameshtakiwa kwa uhujumu uchumi na kuisababishia TRA hasara
> Pia, amedaiwa kujihusisha na genge la uhalifu Agosti 29, 2013 hadi Agosti 8, 2020
Soma https://jamii.app/Milioni48Uhujumu
#JFLeo
> Geoffrey Kilimba ameshtakiwa kwa uhujumu uchumi na kuisababishia TRA hasara
> Pia, amedaiwa kujihusisha na genge la uhalifu Agosti 29, 2013 hadi Agosti 8, 2020
Soma https://jamii.app/Milioni48Uhujumu
#JFLeo
MAALIM SEIF: MKINICHAGUA WAKULIMA WA KARAFUU NA VIUNGO WATAKUWA HURU KUUZA MAZAO YAO POPOTE DUNIANI
> Kazi ya Serikali yake itakuwa ni kukusanya kodi ndogo ili kuwafanya wakulima wapate faida kubwa ili waweze kuendeleza kazi yao
Soma > https://jamii.app/SeifWakulimaZNZ
#Uchaguzi2020
> Kazi ya Serikali yake itakuwa ni kukusanya kodi ndogo ili kuwafanya wakulima wapate faida kubwa ili waweze kuendeleza kazi yao
Soma > https://jamii.app/SeifWakulimaZNZ
#Uchaguzi2020