DROO YA ROBO FAINALI YA MICHUANO YA KLABU BINGWA ULAYA
- Atakayepita katika mchezo kati ya Bayern Munich na Chelsea atakutana na atakayepita kati ya Barcelona na Napoli
- Aidha, atakayepita kati ya Manchester City na Real Madrid atakutana na atakayepita kati ya Juventus na Lyon
- Michezo yote ya robo fainali itachezwa kati ya Agosti 12-15. Michuano hiyo itachezwa kwa siku 12 huko Ureno na fainali itakuwa Agosti 23 Jijini Lisbon
#Michezo #Sports #JFSports #JamiiForums #JFMichezo
- Atakayepita katika mchezo kati ya Bayern Munich na Chelsea atakutana na atakayepita kati ya Barcelona na Napoli
- Aidha, atakayepita kati ya Manchester City na Real Madrid atakutana na atakayepita kati ya Juventus na Lyon
- Michezo yote ya robo fainali itachezwa kati ya Agosti 12-15. Michuano hiyo itachezwa kwa siku 12 huko Ureno na fainali itakuwa Agosti 23 Jijini Lisbon
#Michezo #Sports #JFSports #JamiiForums #JFMichezo
DROO YA ROBO FAINALI - MICHUANO YA LIGI YA EUROPA
- Michezo ya hatua ya 16 bora ambayo haikuchezwa kutokana na #CoronaVirus itachezwa Agosti 5-6
- Michezo ya robo fainali inatarajiwa kuchezwa Agosti 10-11 nchini Ujerumani huko Cologne, Dusseldorf, Duisburg au Gelsenkirchen
#Michezo #JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports
- Michezo ya hatua ya 16 bora ambayo haikuchezwa kutokana na #CoronaVirus itachezwa Agosti 5-6
- Michezo ya robo fainali inatarajiwa kuchezwa Agosti 10-11 nchini Ujerumani huko Cologne, Dusseldorf, Duisburg au Gelsenkirchen
#Michezo #JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports
Baadhi ya maneno ya Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli akimsifia Rais wa Zanzibar anayemaliza muda wake, Dkt. Ali Mohammed Shein
- Rais Magufuli amemsifia Rais Shein katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa ilipokuwa inachagua mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho
#Uchaguzi2020 #JFSiasa #Siasa
- Rais Magufuli amemsifia Rais Shein katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa ilipokuwa inachagua mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho
#Uchaguzi2020 #JFSiasa #Siasa
ARUSHA: KIZIMBANI KWA KUKUTWA NA KG 1,378.4 ZA BANGI
> Seuri Kisamu (34) na Losieku Mollel (35), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakikabiliwa na kesi mbili tofauti za uhujumu uchumi ikiwamo kukutwa na Bangi
Soma https://jamii.app/UhujumuUchumi
> Seuri Kisamu (34) na Losieku Mollel (35), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakikabiliwa na kesi mbili tofauti za uhujumu uchumi ikiwamo kukutwa na Bangi
Soma https://jamii.app/UhujumuUchumi
MALAWI: WANANCHI WANAANDAMANA KUPINGA TEUZI ZA RAIS
> Ni baada ya Rais Lazarus Chakwera kuwateua watu ambao ni ndugu kwenye Baraza la Mawaziri
> Rais Chakwera aliwahi kumkosoa Rais Mutharika kwa tabia hiyo alipokuwa madarakani
Soma https://jamii.app/MalawiDemonstrations
> Ni baada ya Rais Lazarus Chakwera kuwateua watu ambao ni ndugu kwenye Baraza la Mawaziri
> Rais Chakwera aliwahi kumkosoa Rais Mutharika kwa tabia hiyo alipokuwa madarakani
Soma https://jamii.app/MalawiDemonstrations
UTEUZI WA BALOZI: DAVID CONCAR KUCHUKUA NAFASI YA SARAH COOKE
> David Concar ameteuliwa kuwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania akichukua nafasi ya aliyekuwa Balozi wa Uingereza nchini, Sarah Cooke ambaye amepangiwa majukumu mengine ya kidiplomasia
Soma https://jamii.app/UbaloziUingerezaTZ
> David Concar ameteuliwa kuwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania akichukua nafasi ya aliyekuwa Balozi wa Uingereza nchini, Sarah Cooke ambaye amepangiwa majukumu mengine ya kidiplomasia
Soma https://jamii.app/UbaloziUingerezaTZ
JOSHUA LAWRENCE ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS KUPITIA ACT WAZALENDO
- Amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania Urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo
- Ameahidi kushughulikia Kilimo na Ufugaji akihakikisha kila mwananchi anafuga Kuku wasiopungua 1,000
Soma https://jamii.app/UraisACT2020
#Uchaguzi2020
- Amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania Urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo
- Ameahidi kushughulikia Kilimo na Ufugaji akihakikisha kila mwananchi anafuga Kuku wasiopungua 1,000
Soma https://jamii.app/UraisACT2020
#Uchaguzi2020
MWENYEKITI WA CCM, DKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA WANAOHAMIA CCM NA KUPEWA UONGOZI
- Amesema, "Tatizo moja la siasa zetu tunajiwekea vizingiti kwamba akija huyu atashinda lakini mkiachiwa ninyi hamshindi! Nafikiri meseji mmeipata"
Angalia Video; https://youtu.be/YQh8RPGHccc
#Uchaguzi2020
- Amesema, "Tatizo moja la siasa zetu tunajiwekea vizingiti kwamba akija huyu atashinda lakini mkiachiwa ninyi hamshindi! Nafikiri meseji mmeipata"
Angalia Video; https://youtu.be/YQh8RPGHccc
#Uchaguzi2020
YouTube
Rais Magufuli azungumzia wapinzani wanaohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kugombea
Rais Magufuli amesema hilo lilipaswa kuzungumziwa kwenye Kamati ya vikao vya CCM Wilaya au Mkoa kwamba wanaokuja kule huwahitaji. Lakini chama cha CCM ni cha watu, kina misingi yake, kinameza watu wote
Rais ameongeza kuwa CCM ina watu wengi ambao walikuwaβ¦
Rais ameongeza kuwa CCM ina watu wengi ambao walikuwaβ¦
MALEZI: FAIDA ZA MTOTO KULELEWA NA BABA NA MAMA
> Wadau wa JamiiForums wanadai mtoto akilelewa na mzazi mmoja atakua lakini tafiti zinaonesha wanaolelewa na pande zote mbili huwa na tabia bora zaidi
> Mtoto akilelewa na mzazi mmoja huweza kukosa baadhi ya mahitaji endapo mzazi husika hana uchumi imara
Je, una maoni gani kuhusiana na hoja hiyo?
Kujadili, tembelea https://jamii.app/WatotoMalezi
#JFMalezi
> Wadau wa JamiiForums wanadai mtoto akilelewa na mzazi mmoja atakua lakini tafiti zinaonesha wanaolelewa na pande zote mbili huwa na tabia bora zaidi
> Mtoto akilelewa na mzazi mmoja huweza kukosa baadhi ya mahitaji endapo mzazi husika hana uchumi imara
Je, una maoni gani kuhusiana na hoja hiyo?
Kujadili, tembelea https://jamii.app/WatotoMalezi
#JFMalezi
AHUKUMIWA JELA MIAKA MIWILI AU FAINI YA TSH. 500,000 KWA KUMILIKI KOBE BILA KIBALI
> Daniel Chizua wa Masaki, Dar amekiri kukutwa na Kobe wawili wenye thamani ya Tsh. 320,000
> Pia, ametakiwa kulipa Tsh. 650,000 baada ya kuongea na DPP
Soma https://jamii.app/KobeLeseniNyara
> Daniel Chizua wa Masaki, Dar amekiri kukutwa na Kobe wawili wenye thamani ya Tsh. 320,000
> Pia, ametakiwa kulipa Tsh. 650,000 baada ya kuongea na DPP
Soma https://jamii.app/KobeLeseniNyara
UMUHIMU WA KUFANYA βCHECK UPβ YA MIFUMO YA UMEME KWENYE GARI LAKO
> Kutokagua mifumo ya umeme inaweza kukufanya uingie gharama kubwa na hata kugharimu maisha kutokana na hitilafu zinazoweza kutokea
> Gari likiwa na shida ya umeme betri hutumika hata ukizima gari, hivyo betri hufa mapema. Usiporekebisha, hata betri jipya litakufa ndani ya muda mfupi
Soma https://jamii.app/GariUmemeUkaguzi
#JFGarage
> Kutokagua mifumo ya umeme inaweza kukufanya uingie gharama kubwa na hata kugharimu maisha kutokana na hitilafu zinazoweza kutokea
> Gari likiwa na shida ya umeme betri hutumika hata ukizima gari, hivyo betri hufa mapema. Usiporekebisha, hata betri jipya litakufa ndani ya muda mfupi
Soma https://jamii.app/GariUmemeUkaguzi
#JFGarage
DODOMA: DAS WA HANDENI AFARIKI KWENYE AJALI, MBUNGE AJERUHIWA
> Watu 3 wamefariki akiwemo Katibu Tawala wa Wilaya ya Handeni, Mwalimu Boniface Maiga baada ya gari mbili kugongana
> Polisi wamethibitisha Mbunge wa Handeni, Omary Abdallah Kigoda kuwa mmoja wa majeruhi
Soma https://jamii.app/AjaliDodomaDAS
> Watu 3 wamefariki akiwemo Katibu Tawala wa Wilaya ya Handeni, Mwalimu Boniface Maiga baada ya gari mbili kugongana
> Polisi wamethibitisha Mbunge wa Handeni, Omary Abdallah Kigoda kuwa mmoja wa majeruhi
Soma https://jamii.app/AjaliDodomaDAS
FACEBOOK YAFUTA VIDEO YA GWAJIMA ILIYOHUSISHA #COVID19 NA 5G
> Askofu Gwajima alidai janga la #CoronaVirus lina uhusiano na Teknolojia ya kisasa ya mawasiliano ya 5G
> Facebook walishatangaza kudhibiti taarifa za kupotosha kuhusu #COVID19
Soma https://jamii.app/GwajimaFBCOVID19
> Askofu Gwajima alidai janga la #CoronaVirus lina uhusiano na Teknolojia ya kisasa ya mawasiliano ya 5G
> Facebook walishatangaza kudhibiti taarifa za kupotosha kuhusu #COVID19
Soma https://jamii.app/GwajimaFBCOVID19
IBRAHIM LIPUMBA: FURAHA KWA WATANZANIA INAWEZEKANA
> Profesa Ibrahim Lipumba, amesema katika uchaguzi wa 2020 CUF inakuja na ajenda ya βFuraha kwa Watanzania inawezekanaβ
> Pia, amewaomba CCM kupambana kwa hoja katika kipindi cha kampeni
Soma https://jamii.app/MkutanoCCM2020
#JFSiasa
> Profesa Ibrahim Lipumba, amesema katika uchaguzi wa 2020 CUF inakuja na ajenda ya βFuraha kwa Watanzania inawezekanaβ
> Pia, amewaomba CCM kupambana kwa hoja katika kipindi cha kampeni
Soma https://jamii.app/MkutanoCCM2020
#JFSiasa
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MZEE MWINYI: MAGUFULI APEWE KIPINDI KINGINE CHA βASANTEβ
> Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amesema βNi muhimu kuifuata Katiba lakini tunaweza kumuongezea Rais Magufuli kipindi kingine cha βAsanteββ
Soma https://jamii.app/MkutanoCCM2020
#JFSiasa
> Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi amesema βNi muhimu kuifuata Katiba lakini tunaweza kumuongezea Rais Magufuli kipindi kingine cha βAsanteββ
Soma https://jamii.app/MkutanoCCM2020
#JFSiasa
RAIS MAGUFULI AWAOMBA WAZANZIBARI WASIMCHAGULIE MTU ATAKAYEMUAMKIA
> Rais Magufuli amesema amemzidi umri mgombea Urais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi
> Amewaomba wasimchagulie mtu ambaye akienda kuongea naye lazima aanze na βshikamooβ kwani zinachosha
Soma https://jamii.app/MkutanoCCM2020
#JFSiasa
> Rais Magufuli amesema amemzidi umri mgombea Urais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi
> Amewaomba wasimchagulie mtu ambaye akienda kuongea naye lazima aanze na βshikamooβ kwani zinachosha
Soma https://jamii.app/MkutanoCCM2020
#JFSiasa
RAIS MAGUFULI APITISHWA KUWA MGOMBEA URAIS WA CCM KWA 100% YA KURA ZA WAJUMBE
> Amepita kwa kupata kura za βNdiyoβ 1,822 zilizopigwa na Wajumbe 1,822
> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally alisema, Rais Magufuli ni mgombea pekee kwani hakuna mwingine aliyejitokeza kuchukua fomu
Soma https://jamii.app/MkutanoCCM2020
#JFSiasa
> Amepita kwa kupata kura za βNdiyoβ 1,822 zilizopigwa na Wajumbe 1,822
> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally alisema, Rais Magufuli ni mgombea pekee kwani hakuna mwingine aliyejitokeza kuchukua fomu
Soma https://jamii.app/MkutanoCCM2020
#JFSiasa