KESI DHIDI YA JF: JAMHURI YAOMBA HATI YA KUKAMATWA SHAHIDI, MAHAKAMA YARIDHIA
> Jamhuri imeiomba Mahakama ya Kisutu iruhusu kukamatwa kwa Shahidi ktk shauri namba 458 la mwaka 2016
> Ni Tully Esther Mwambapa ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasiliano kwa Umma (CRDB)
Soma https://jamii.app/TullyArrest
> Jamhuri imeiomba Mahakama ya Kisutu iruhusu kukamatwa kwa Shahidi ktk shauri namba 458 la mwaka 2016
> Ni Tully Esther Mwambapa ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasiliano kwa Umma (CRDB)
Soma https://jamii.app/TullyArrest
DODOMA: AFISA MIPANGO MIJI ASIMAMISHWA KAZI KWA KUSHINDWA KUTENDA HAKI
- DC wa Dodoma, Patrobasi Katambi amemsimamisha kazi Hadson Magomba
- Ni kutokana na kumnyanyasa na kushindwa kumpa eneo lake mjane Mdala Anna na kulibadilishia matumizi
Soma https://jamii.app/MipangoMijiDom
#JFLeo
- DC wa Dodoma, Patrobasi Katambi amemsimamisha kazi Hadson Magomba
- Ni kutokana na kumnyanyasa na kushindwa kumpa eneo lake mjane Mdala Anna na kulibadilishia matumizi
Soma https://jamii.app/MipangoMijiDom
#JFLeo
ZANZIBAR: PEREIRA AME SILIMA AWA WA 27 KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
> Kada wa CCM, Pereira Ame Silima aliyekuwa Mbunge wa Chumbuni 2010-2015, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Urais Zanzibar
Soma https://jamii.app/PereiraUraisZnz
#JFSiasa
> Kada wa CCM, Pereira Ame Silima aliyekuwa Mbunge wa Chumbuni 2010-2015, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Urais Zanzibar
Soma https://jamii.app/PereiraUraisZnz
#JFSiasa
JE, WAVIJUA VIPENGELE VYA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI (2016)?
> 1. Vyombo vya Habari vya Uchapishaji (Magazeti) vinalazimika kupata leseni kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo (Kifungu 8)
> Ukinyimwa leseni, mamlaka ya rufaa yapo kwa Waziri
Soma > https://jamii.app/SheriaHudumaHabari
#UhuruWaKujieleza
> 1. Vyombo vya Habari vya Uchapishaji (Magazeti) vinalazimika kupata leseni kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo (Kifungu 8)
> Ukinyimwa leseni, mamlaka ya rufaa yapo kwa Waziri
Soma > https://jamii.app/SheriaHudumaHabari
#UhuruWaKujieleza
UBALOZI WA MAREKANI WASIKITISHWA UKIDAI TANZANIA INAMINYA DEMOKRASIA
> Wasikitishwa na kukamatwa kwa Viongozi wa Upinzani wakiwa katika mikutano na kufutiwa leseni gazeti la upinzani
> Wamesema hivi ni vitisho kwa Upinzani, Asasi za Kiraia na Wanahabari
Soma https://jamii.app/UbaloziDemokrasia
#JFSiasa
> Wasikitishwa na kukamatwa kwa Viongozi wa Upinzani wakiwa katika mikutano na kufutiwa leseni gazeti la upinzani
> Wamesema hivi ni vitisho kwa Upinzani, Asasi za Kiraia na Wanahabari
Soma https://jamii.app/UbaloziDemokrasia
#JFSiasa
MWANACHAMA WA 28 WA CCM ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR
- Kada wa CCM, Idd hamad Idd amechukua fomu kuwania kuteuliwa kugombe Urais wa Zanzibar kupitia CCM Oktoba 2020
- Anakuwa mwanachama wa 28 wa chama hicho kuchukua fomu hiyo
Soma https://jamii.app/IddHamadZNZ
#Uchaguzi2020
- Kada wa CCM, Idd hamad Idd amechukua fomu kuwania kuteuliwa kugombe Urais wa Zanzibar kupitia CCM Oktoba 2020
- Anakuwa mwanachama wa 28 wa chama hicho kuchukua fomu hiyo
Soma https://jamii.app/IddHamadZNZ
#Uchaguzi2020
#CORONAVIRUS: MAREKANI IMERIPOTI ZAIDI YA WAGONJWA WAPYA 34,500 NDANI YA SAA 24
- Imeripoti wagonjwa wapya 34,516 na vifo 751 kwa mujibu wa Chuo cha John Hopkins
- Idadi ya visa imefikia 2,381,538, vifo 121,979 na waliopona 987,669
Soma https://jamii.app/COVID19Updates
#JFCOVID19_Updates
- Imeripoti wagonjwa wapya 34,516 na vifo 751 kwa mujibu wa Chuo cha John Hopkins
- Idadi ya visa imefikia 2,381,538, vifo 121,979 na waliopona 987,669
Soma https://jamii.app/COVID19Updates
#JFCOVID19_Updates
MWANACHAMA WA 29 WA CCM ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR
- Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaame Simai Mcha ambaye ni Mwandishi wa Habari amechukua fomu kuwania kuteuliwa kugombe Urais wa #Zanzibar kupitia CCM, Oktoba 2020
Soma https://jamii.app/ShaameMchaZNZ
#Uchaguzi2020
- Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaame Simai Mcha ambaye ni Mwandishi wa Habari amechukua fomu kuwania kuteuliwa kugombe Urais wa #Zanzibar kupitia CCM, Oktoba 2020
Soma https://jamii.app/ShaameMchaZNZ
#Uchaguzi2020
MWANZA: WATU 4 WAFARIKI, 27 WAJERUHIWA KWA KUPIGWA NA RADI ZIWA VICTORIA
> Waliofariki ni Nahodha na msaidizi wake, pamoja na abiria wawili Deogratius Mulungu na Ndege Abdu
> Majeruhi 27 wamelazwa katika Zahanati ya Bukiko na Kituo cha Afya Bwisya
Soma https://jamii.app/RadiMwanza4
#JFLeo
> Waliofariki ni Nahodha na msaidizi wake, pamoja na abiria wawili Deogratius Mulungu na Ndege Abdu
> Majeruhi 27 wamelazwa katika Zahanati ya Bukiko na Kituo cha Afya Bwisya
Soma https://jamii.app/RadiMwanza4
#JFLeo
MANYARA: MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM MBARONI KWA TUHUMA ZA RUSHWA
> TAKUKURU inawashikilia viongozi wa CCM Tawi la Maisaka Kati, kwa kuomba na kupokea Tsh 200,000 kutoka kwa Mwinjilisti
> Waliomba ili wamuachie kiwanja walichodai ni cha CCM
Soma https://jamii.app/RushwaManyaraCCM
> TAKUKURU inawashikilia viongozi wa CCM Tawi la Maisaka Kati, kwa kuomba na kupokea Tsh 200,000 kutoka kwa Mwinjilisti
> Waliomba ili wamuachie kiwanja walichodai ni cha CCM
Soma https://jamii.app/RushwaManyaraCCM
VYAMA VYA SIASA 12 VYAMTAKA MSAJILI KUMCHUKULIA HATUA MAALIM SEIF
- Vimedai kauli za Maalim Seif kama βLazima tujipange kwa loloteβ βkama noma na iwe nomaβ ni za kichochoezi
- Vyama hivyo ni Demokrasia Makini, DP, SAU, TLP, UPDP, CCK, NLD, NCCR, ADA TADEA, AFP, ADC na UDP
Soma https://jamii.app/MaalimSeifHatua
- Vimedai kauli za Maalim Seif kama βLazima tujipange kwa loloteβ βkama noma na iwe nomaβ ni za kichochoezi
- Vyama hivyo ni Demokrasia Makini, DP, SAU, TLP, UPDP, CCK, NLD, NCCR, ADA TADEA, AFP, ADC na UDP
Soma https://jamii.app/MaalimSeifHatua
TABORA: MTUHUMIWA SUGU WA MAUAJI AKAMATWA
> Polisi wamemkamata Juma Nassibu maarufu Juma Macho aliyekuwa akisakwa kwa muda mrefu
> Pia, wamefanikiwa kumkamata kinara wa wizi wa pikipiki mwenye mtandao Tabora, Mwanza, Shinyanga na Mara
Soma https://jamii.app/MuuajiSugu
> Polisi wamemkamata Juma Nassibu maarufu Juma Macho aliyekuwa akisakwa kwa muda mrefu
> Pia, wamefanikiwa kumkamata kinara wa wizi wa pikipiki mwenye mtandao Tabora, Mwanza, Shinyanga na Mara
Soma https://jamii.app/MuuajiSugu
#CORONAVIRUS: IDADI YA VISA KENYA YAFIKIA 5,384
- Wagonjwa 178 wameongezeka baada ya sampuli 3,918 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita
- Wagonjwa 34 wamepona na waliopona wamefikia 1,857. Waliofariki ni 132 baada ya 2 kuongezeka
Soma https://jamii.app/COVID19KE-5384
#JFCOVID19_Updates
- Wagonjwa 178 wameongezeka baada ya sampuli 3,918 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita
- Wagonjwa 34 wamepona na waliopona wamefikia 1,857. Waliofariki ni 132 baada ya 2 kuongezeka
Soma https://jamii.app/COVID19KE-5384
#JFCOVID19_Updates
WATU 9 WAFARIKI NA 51 KUOKOLEWA BAADA YA BOTI KUPINDUKA ZIWA TANGANYIKA
- MV Nzeimana inayofanya safari zake kati ya Sibwesa na Ikola imezama leo eneo la Rasini
- Inasemekana ilikuwa na watu 60 na ilizama baada ya kupinduka kutokana na dhoruba kali
Soma https://jamii.app/MVNzeimanaYazama
- MV Nzeimana inayofanya safari zake kati ya Sibwesa na Ikola imezama leo eneo la Rasini
- Inasemekana ilikuwa na watu 60 na ilizama baada ya kupinduka kutokana na dhoruba kali
Soma https://jamii.app/MVNzeimanaYazama
ARUSHA: AFISA ARDHI AFUKUZWA KAZI KWA KUSABABISHA HASARA YA TSH. BILIONI 5
> Nikodemus Hilu ameisababishia Serikali hasara kwa kurejesha kwa Mwananchi hati ya ardhi ya ekari zaidi ya 3,000 zilizofutwa na Rais Magufuli na Mahakama kuamuru Serikali ilipe fidia
Soma https://jamii.app/AfisaArdhiArusha
> Nikodemus Hilu ameisababishia Serikali hasara kwa kurejesha kwa Mwananchi hati ya ardhi ya ekari zaidi ya 3,000 zilizofutwa na Rais Magufuli na Mahakama kuamuru Serikali ilipe fidia
Soma https://jamii.app/AfisaArdhiArusha
NJOMBE: MBARONI KWA KUMLAWITI MTOTO WA MIAKA 15
> Peter Paulo Chaula(30) wa Makambako anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumlawiti kijana mwenye miaka 15
> Baada ya mahojiano ilionekana kuna mazoea na aliyelawiti amedai wao ni wapenzi
Soma https://jamii.app/MbaroniLawiti
#JFLeo
> Peter Paulo Chaula(30) wa Makambako anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumlawiti kijana mwenye miaka 15
> Baada ya mahojiano ilionekana kuna mazoea na aliyelawiti amedai wao ni wapenzi
Soma https://jamii.app/MbaroniLawiti
#JFLeo
IRAN: WATU 3 WAKAMATWA KWA KUWAUZA WATOTO WACHANGA INSTAGRAM
> Watu hao huwatafuta wajawazito masikini na kuwalipia gharama za kujifungua na kuchukua watoto baada ya kujifungua
> Polisi wamesema watoto walinunuliwa kwa takriban Tsh. 1,157,000
Soma https://jamii.app/IranBiasharaWatoto
#JFLeo
> Watu hao huwatafuta wajawazito masikini na kuwalipia gharama za kujifungua na kuchukua watoto baada ya kujifungua
> Polisi wamesema watoto walinunuliwa kwa takriban Tsh. 1,157,000
Soma https://jamii.app/IranBiasharaWatoto
#JFLeo
SIKU YA MABAHARIA (SEAFARERS) DUNIANI
> Juni 25 ni siku ya Mabaharia duniani, kutokana na #COVID19 Mabaharia wamepata changamoto ya kutoruhusiwa kutoka katika meli zao
> Zaidi ya 80% ya biashara duniani hutumia bahari, Mabaharia hufanikisha hilo
Soma https://jamii.app/SeafarersDay
#JFLeo
> Juni 25 ni siku ya Mabaharia duniani, kutokana na #COVID19 Mabaharia wamepata changamoto ya kutoruhusiwa kutoka katika meli zao
> Zaidi ya 80% ya biashara duniani hutumia bahari, Mabaharia hufanikisha hilo
Soma https://jamii.app/SeafarersDay
#JFLeo
MASTER J ATANGAZA NIA KUGOMBEA UBUNGE ROMBO
> Muandaaji muziki Joachim Marunda Kimaryo maarufu kama βMaster Jβ ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo, Kilimanjaro kwa tiketi ya CCM
> Amesema yupo CCM tangu zamani
Soma https://jamii.app/MasterJRombo
#JFSiasa
> Muandaaji muziki Joachim Marunda Kimaryo maarufu kama βMaster Jβ ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo, Kilimanjaro kwa tiketi ya CCM
> Amesema yupo CCM tangu zamani
Soma https://jamii.app/MasterJRombo
#JFSiasa
LIVERPOOL YATAWAZWA KUWA MABINGWA WA ENGLAND. SHUKRANI KWA CHELSEA
- Klabu ya Liverpool imetawazwa kuwa Bingwa wa Ligi Kuu Soka nchini England 2019/20 baada ya Chelsea kuifunga Manchester City goli 2-1
- Kwa matokeo hayo Liverpool yenye alama 86 baada ya michezo 31 haiwezi kufikiwa kwa alama na Manchester City yenye alama 63 huku michezo 7 ikiwa imebaki
- Liverpool ilikuwa na kiu ya kuchukua Kombe hilo kwa takriban miaka 30
- Klabu ya Liverpool imetawazwa kuwa Bingwa wa Ligi Kuu Soka nchini England 2019/20 baada ya Chelsea kuifunga Manchester City goli 2-1
- Kwa matokeo hayo Liverpool yenye alama 86 baada ya michezo 31 haiwezi kufikiwa kwa alama na Manchester City yenye alama 63 huku michezo 7 ikiwa imebaki
- Liverpool ilikuwa na kiu ya kuchukua Kombe hilo kwa takriban miaka 30