NGEMELA LUBINGA: MEMBE ANAWEZA KUSHTAKIWA KWA KUMSHAMBULIA AMIRI JESHI
> Kanali mstaafu Ngemela Lubinga amemkumbusha Bernard Membe kuheshimu kiapo
> Amesema Askari akistaafu atadumu kuheshimu kiapo na kuwatii Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama hasa Amiri Jeshi Mkuu
Soma https://jamii.app/LubingaMembe
#JFSiasa
> Kanali mstaafu Ngemela Lubinga amemkumbusha Bernard Membe kuheshimu kiapo
> Amesema Askari akistaafu atadumu kuheshimu kiapo na kuwatii Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama hasa Amiri Jeshi Mkuu
Soma https://jamii.app/LubingaMembe
#JFSiasa
TAARIFA ZILIZOPIGWA MARUFUKU KUTOLEWA NA KUSAMBAZWA NA VYOMBO VYA HABARI(KIFUNGU CHA 7 SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI (2016)
1. Taarifa zitakazodhoofisha usalama wa nchi au upelelezi
2. Zinazokwamisha taratibu za sheria au kuhatarisha usalama wa maisha
Soma > https://jamii.app/SheriaHudumaHabari
#UhuruWaKujieleza
1. Taarifa zitakazodhoofisha usalama wa nchi au upelelezi
2. Zinazokwamisha taratibu za sheria au kuhatarisha usalama wa maisha
Soma > https://jamii.app/SheriaHudumaHabari
#UhuruWaKujieleza
BURUNDI: PIERRE NKURUNZIZA KUZIKWA LEO, JUNI 26
> Aliyekuwa rais wa Burundi Pierre Nkurunziza atazikwa kwenye makaburi ya mji wa Gitega
> Nkurunziza alifariki Juni 8, kutokana na mshtuko wa moyo kama ilivyotangazwa na Serikali ya nchi hiyo
Soma https://jamii.app/PiereBurundi
#JFLeo
> Aliyekuwa rais wa Burundi Pierre Nkurunziza atazikwa kwenye makaburi ya mji wa Gitega
> Nkurunziza alifariki Juni 8, kutokana na mshtuko wa moyo kama ilivyotangazwa na Serikali ya nchi hiyo
Soma https://jamii.app/PiereBurundi
#JFLeo
TANGA: MWANACHUO ATUHUMIWA KUMUUA MWENZAKE
> Waziri Ramadhani anadaiwa kumuua Hussein Daud kwa kumchoma kisu baada ya kumkuta ktk chumba cha rafiki yake wa kike
> Polisi wamesema tukio hilo si fumanizi. Wanamshikilia binti, mtuhumiwa amekimbia
Soma https://jamii.app/MapenziMauaji
> Waziri Ramadhani anadaiwa kumuua Hussein Daud kwa kumchoma kisu baada ya kumkuta ktk chumba cha rafiki yake wa kike
> Polisi wamesema tukio hilo si fumanizi. Wanamshikilia binti, mtuhumiwa amekimbia
Soma https://jamii.app/MapenziMauaji
CHADEMA: HATUNA IMANI NA UCHUNGUZI WA POLISI
- Wamesema hawana imani na uchunguzi wa Polisi kuhusiana na tukio la Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe
- Wamesema "Ajitokeze daktari aliyempokea Mbowe na kumpima ulevi na Polisi itoe ushahidi"
Soma https://jamii.app/CDMPolisiMbowe
#JFSiasa
- Wamesema hawana imani na uchunguzi wa Polisi kuhusiana na tukio la Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe
- Wamesema "Ajitokeze daktari aliyempokea Mbowe na kumpima ulevi na Polisi itoe ushahidi"
Soma https://jamii.app/CDMPolisiMbowe
#JFSiasa
URUSI: WAKUSANYA KURA ZA MAONI KUBADILI KATIBA ILI PUTIN AENDELEE KUWA RAIS
> Mamlaka imefungua vituo vya kupigia kura Juni 25 ili kuepusha mikusanyiko
> Putin ni kiongozi aliyetawala kwa kipindi kirefu zaidi tangu Joseph Stalin
Soma https://jamii.app/UraisUrusi2036
#JFLeo
> Mamlaka imefungua vituo vya kupigia kura Juni 25 ili kuepusha mikusanyiko
> Putin ni kiongozi aliyetawala kwa kipindi kirefu zaidi tangu Joseph Stalin
Soma https://jamii.app/UraisUrusi2036
#JFLeo
SERIKALI YAZITAKA SHULE BINAFSI KUTOWEKA ONGEZEKO LA ADA
- Imesema ada zilipwe kulingana na makubaliano yaliyofanyika mwanzoni mwa mwaka wa masomo
- Wazazi wametakiwa kuzingatia kuwa ada hukadiriwa kwa kuzingatia gharama za uendeshaji wa shule
Soma https://jamii.app/AdaShuleBinafsi
#JFElimu
- Imesema ada zilipwe kulingana na makubaliano yaliyofanyika mwanzoni mwa mwaka wa masomo
- Wazazi wametakiwa kuzingatia kuwa ada hukadiriwa kwa kuzingatia gharama za uendeshaji wa shule
Soma https://jamii.app/AdaShuleBinafsi
#JFElimu
KIGOMA: POLISI JAMII MBARONI KWA KUPOKEA RUSHWA YA TSH 40,000
> TAKUKURU imemfikisha Mahakamani Mandela Batromeo (36) kwa tuhuma za kuomba Tsh. 300,000 na kupokea Tsh. 40,000
> Aliomba hela hiyo ili kufuta kesi ambayo mlalamikaji aliifungua
Soma https://jamii.app/KigomaPolisiJamii
#JFLeo
> TAKUKURU imemfikisha Mahakamani Mandela Batromeo (36) kwa tuhuma za kuomba Tsh. 300,000 na kupokea Tsh. 40,000
> Aliomba hela hiyo ili kufuta kesi ambayo mlalamikaji aliifungua
Soma https://jamii.app/KigomaPolisiJamii
#JFLeo
DODOMA: TAKUKURU WAMRUDISHIA MILIONI 10 MSTAAFU ALIYEDHULUMIWA
> Frida Nahamani (62) alikopa Tsh. Milioni 15, Swahili Trust Microfinance na kuacha kadi yake ya Benki
> Uchunguzi ulionesha Taasisi hiyo ilizidisha Tsh. Milioni 10 katika marejesho
Soma https://jamii.app/Milioni10Mstaafu
#JFLeo
> Frida Nahamani (62) alikopa Tsh. Milioni 15, Swahili Trust Microfinance na kuacha kadi yake ya Benki
> Uchunguzi ulionesha Taasisi hiyo ilizidisha Tsh. Milioni 10 katika marejesho
Soma https://jamii.app/Milioni10Mstaafu
#JFLeo
TANGA: MENEJA WA BANDARI YA KIPUMBWI MBARONI KWA KUOMBA RUSHWA
- TAKUKURU inamshikilia Meneja wa Bandari ya Kipumbwi, Stephen Elly Mbakweni kwa kuomba na kushawishi Hongo ya Tsh. 900,000 kutoka kwa mteja wake ili aweze kumruhusu kusafirisha mzigo
Soma https://jamii.app/MenejaKipumbwi
- TAKUKURU inamshikilia Meneja wa Bandari ya Kipumbwi, Stephen Elly Mbakweni kwa kuomba na kushawishi Hongo ya Tsh. 900,000 kutoka kwa mteja wake ili aweze kumruhusu kusafirisha mzigo
Soma https://jamii.app/MenejaKipumbwi
MATAIFA 40 YAICHANGIA SUDAN DOLA BILIONI 1.8
- Mataifa hayo yameahidi mchango wa Dola Bilioni 1.8 ikiwemo Dola Milioni 400 kutoka Benki ya Dunia kuisaidia Sudan inayoandamwa na hali mbaya ya uchumi, tangu kung'olewa madarakani Rais Omar al-Bashir
Soma https://jamii.app/SudanDolaBilioni
#JFSiasa
- Mataifa hayo yameahidi mchango wa Dola Bilioni 1.8 ikiwemo Dola Milioni 400 kutoka Benki ya Dunia kuisaidia Sudan inayoandamwa na hali mbaya ya uchumi, tangu kung'olewa madarakani Rais Omar al-Bashir
Soma https://jamii.app/SudanDolaBilioni
#JFSiasa
WAKILI TEMBA AUNGANISHWA KWENYE UPOTEVU WA BILIONI 8 TPA
> Aliyekuwa Meneja wa TPA, Japhet Jiroro na Wakili Arnold Temba wamejumuishwa katika sakata la wizi wa Tsh. Bilioni 8
> Pia, Tsh. Milioni 10 itatolewa kwa mwenye taarifa za Chrispine Iranque
Soma https://jamii.app/Bil8TAKUKURU
#JFLeo
> Aliyekuwa Meneja wa TPA, Japhet Jiroro na Wakili Arnold Temba wamejumuishwa katika sakata la wizi wa Tsh. Bilioni 8
> Pia, Tsh. Milioni 10 itatolewa kwa mwenye taarifa za Chrispine Iranque
Soma https://jamii.app/Bil8TAKUKURU
#JFLeo
MWANACHAMA WA 30 WA CCM ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR
- Kada wa CCM, Mussa Aboud Jumbe amechukua fomu kuwania kuteuliwa kugombe Urais wa Zanzibar kupitia CCM Oktoba 2020
- Mussa Aboud Jumbe ni mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe
Soma https://jamii.app/MussaJumbeZNZ
#Uchaguzi2020
- Kada wa CCM, Mussa Aboud Jumbe amechukua fomu kuwania kuteuliwa kugombe Urais wa Zanzibar kupitia CCM Oktoba 2020
- Mussa Aboud Jumbe ni mtoto wa Rais wa zamani wa Zanzibar, Aboud Jumbe
Soma https://jamii.app/MussaJumbeZNZ
#Uchaguzi2020
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
IRINGA: MADEREVA WA MABASI WALIOKUWA WANAKIMBIZANA WACHUKULIWA HATUA
> Kamanda Muslimu amesema Sheria inamruhusu kuwaondolea sifa ya kuendesha magari ya mizigo na biashara kwa miezi 6
> Aidha, amesema wanamtafuta mtu aliyekuwa anahamasisha
Soma https://jamii.app/MaderevaWamebeti
> Kamanda Muslimu amesema Sheria inamruhusu kuwaondolea sifa ya kuendesha magari ya mizigo na biashara kwa miezi 6
> Aidha, amesema wanamtafuta mtu aliyekuwa anahamasisha
Soma https://jamii.app/MaderevaWamebeti
#COVID19 KENYA: MAAMBUKIZI YAFIKIA 5,533
> Kenya imetangaza maambukizi mapya 149 ya #COVID19 na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 5,533
> Watu 48 zaidi wamepona na idadi ya jumla imefikia 1,905. Waliofariki wamefikia 137
Soma https://jamii.app/COVID19KE5533
#JFCOVID19_Updates
> Kenya imetangaza maambukizi mapya 149 ya #COVID19 na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 5,533
> Watu 48 zaidi wamepona na idadi ya jumla imefikia 1,905. Waliofariki wamefikia 137
Soma https://jamii.app/COVID19KE5533
#JFCOVID19_Updates
WATU KUTOKA NCHI 11 ZA AFRIKA WANATARAJIA KURUHUSIWA KUINGIA ULAYA KUANZIA JULAI
- Orodha ya awali inadaiwa kuonesha raia wa Msumbiji, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria na Morocco wataruhusiwa kuingia nchi za EU
Soma https://jamii.app/Nchi11Afrika-EU
- Orodha ya awali inadaiwa kuonesha raia wa Msumbiji, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria na Morocco wataruhusiwa kuingia nchi za EU
Soma https://jamii.app/Nchi11Afrika-EU
MAKUNDI MANNE YA DAWA ZA KULEVYA NA MADHARA YAKE
> #DawaZaKulevya zipo katika makundi 4 ambayo ni Vipumbaza, Vichangamsho, Vileta njozi na Viyeyushi
> Dawa hizi huleta uraibu (Utegemezi), kuharibu mfumo wa fahamu na utendaji kazi wa Ubongo
Soma https://jamii.app/DawaKulevya2020
#JFLeo
> #DawaZaKulevya zipo katika makundi 4 ambayo ni Vipumbaza, Vichangamsho, Vileta njozi na Viyeyushi
> Dawa hizi huleta uraibu (Utegemezi), kuharibu mfumo wa fahamu na utendaji kazi wa Ubongo
Soma https://jamii.app/DawaKulevya2020
#JFLeo
DAR: POLISI WAUA WATUHUMIWA 2 WA UJAMBAZI NA KUKAMATA BASTOLA 2
> Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar limewaua watuhumiwa hao katika matukio mawili tofauti
> Matukio yote yalihusisha watuhumiwa kuanza kurusha risasi kwa Polisi
Soma https://jamii.app/PolisiDarSilaha
> Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar limewaua watuhumiwa hao katika matukio mawili tofauti
> Matukio yote yalihusisha watuhumiwa kuanza kurusha risasi kwa Polisi
Soma https://jamii.app/PolisiDarSilaha
JENISTA MHAGAMA: UINGIZAJI WA DAWA ZA KULEVYA UMEPUNGUA KWA 90%
> Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 73,920 tangu 2015 hadi Juni 2020
> Waziri huyo ameitaka jamii kuendeleza ushirikiano kupiga vita biashara hii
Soma https://jamii.app/DawaZaKulevya90
#JFLeo
> Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 73,920 tangu 2015 hadi Juni 2020
> Waziri huyo ameitaka jamii kuendeleza ushirikiano kupiga vita biashara hii
Soma https://jamii.app/DawaZaKulevya90
#JFLeo
FACEBOOK YAPOTEZA MTEJA WAKE MKUBWA WA MATANGAZO
> Kampuni ya Unilever imeacha kutumia hela kutangaza bidhaa zake Facebook na Instagram
> Ilifikia uamuzi huo baada ya Facebook kutochukua hatua dhidi ya maudhui ya chuki ya Rais Trump
Soma https://jamii.app/FBAdsCustomer
> Kampuni ya Unilever imeacha kutumia hela kutangaza bidhaa zake Facebook na Instagram
> Ilifikia uamuzi huo baada ya Facebook kutochukua hatua dhidi ya maudhui ya chuki ya Rais Trump
Soma https://jamii.app/FBAdsCustomer