MWANAMKE WA PILI AJITOKEZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
- Kada wa CCM, Hasna Attai Masoud amekuwa mwanamke wa pili kujitokeza kuomba ridhaa ya chama kugombea Urais wa #Zanzibar
- Anakuwa mwanachama wa 25 kuchukua fomu hiyo kupitia chama hicho
Soma https://jamii.app/HasnaAttaiZNZ
#Uchaguzi2020
- Kada wa CCM, Hasna Attai Masoud amekuwa mwanamke wa pili kujitokeza kuomba ridhaa ya chama kugombea Urais wa #Zanzibar
- Anakuwa mwanachama wa 25 kuchukua fomu hiyo kupitia chama hicho
Soma https://jamii.app/HasnaAttaiZNZ
#Uchaguzi2020
ZITTO NA WENZAKE WAHAMISHIWA LINDI. BWEGE ATOLEWA HOSPITALI
- ACT Wazalendo imeeleza kuwa Zitto na viongozi wenzake 6 walisafirishwa jana usiku kwa gari la wazi kutoka Kilwa hadi Kituo cha Polisi Lindi
- Aidha, Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara (Bwege) ambaye hali yake imetengemaa amefikishwa Lindi na kujumuishwa na wenzake
Soma https://jamii.app/ZittoBwegeLindi
- ACT Wazalendo imeeleza kuwa Zitto na viongozi wenzake 6 walisafirishwa jana usiku kwa gari la wazi kutoka Kilwa hadi Kituo cha Polisi Lindi
- Aidha, Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara (Bwege) ambaye hali yake imetengemaa amefikishwa Lindi na kujumuishwa na wenzake
Soma https://jamii.app/ZittoBwegeLindi
RUKWA: AIBA MTOTO NA KUDANGANYA AMETEKETEA KWA MOTO
> Mwanamke huyo amesema, sababu ya kumuiba mtoto wa wiki moja wa nduguye ni kuwa ametafuta mtoto kwa muda mrefu bila mafanikio
> Taratibu za kisheria zinafanyika ili afikishwe Mahakamani
Soma https://jamii.app/MtotoWiki1
#JFLeo
> Mwanamke huyo amesema, sababu ya kumuiba mtoto wa wiki moja wa nduguye ni kuwa ametafuta mtoto kwa muda mrefu bila mafanikio
> Taratibu za kisheria zinafanyika ili afikishwe Mahakamani
Soma https://jamii.app/MtotoWiki1
#JFLeo
AWA BILIONEA BAADA YA KUPATA TANZANITE YA THAMANI YA TSH. BILIONI 7.8
> Saninniu Laizer amepata mawe ya Tanzanite, moja likiwa na Kg 9.2 na lingine kg 5.8
> Wizara ya Madini imesema mawe ya uzito huo hayajawahi kupatikana tangu machimbo yaanze
Soma https://jamii.app/MadiniBilioneaTZ
#JFLeo
> Saninniu Laizer amepata mawe ya Tanzanite, moja likiwa na Kg 9.2 na lingine kg 5.8
> Wizara ya Madini imesema mawe ya uzito huo hayajawahi kupatikana tangu machimbo yaanze
Soma https://jamii.app/MadiniBilioneaTZ
#JFLeo
VIONGOZI WA ARUSHA WALIOSAMEHEWA NA RAIS MAGUFULI WAHAMISHWA VITUO
> Aliyekuwa Mkuu wa Usalama Mkoa Arusha anahamishiwa Mkoa mwingine
> Mkuu wa TAKUKURU Mkoa, Frida Wikes, amehamishiwa Makao Makuu
> Pia, Kamanda wa Polisi Mkoa, Jonathan Shanna amehamishiwa Chuo cha Polisi (CCP) Kilimanjaro
Soma https://jamii.app/VigogoWahamishwa
#JFSiasa
> Aliyekuwa Mkuu wa Usalama Mkoa Arusha anahamishiwa Mkoa mwingine
> Mkuu wa TAKUKURU Mkoa, Frida Wikes, amehamishiwa Makao Makuu
> Pia, Kamanda wa Polisi Mkoa, Jonathan Shanna amehamishiwa Chuo cha Polisi (CCP) Kilimanjaro
Soma https://jamii.app/VigogoWahamishwa
#JFSiasa
LOWASSA NA MKEWE WAMDHAMINI RAIS MAGUFULI
- Edward Lowassa na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atetee Urais Oktoba 2020
- Rais Magufuli ndiye pekee aliyechukua fomu ya kuwania Urais Tanzania kupitia CCM
Soma https://jamii.app/LowassaAmdhaminiMagufuli
#Uchaguzi2020
- Edward Lowassa na mkewe, Regina Lowassa wamemdhamini Rais Magufuli ili atetee Urais Oktoba 2020
- Rais Magufuli ndiye pekee aliyechukua fomu ya kuwania Urais Tanzania kupitia CCM
Soma https://jamii.app/LowassaAmdhaminiMagufuli
#Uchaguzi2020
MAWE MAKUBWA YA TANZANITE YANUNULIWA NA SERIKALI. YATAWEKWA MAKUMBUSHO
> Rais Magufuli amempigia simu na kumpongeza mchimbaji Saniniu Laizer na aliamuru mawe hayo yanunuliwe na Serikali ili mchimbaji asidhulumiwe
Soma https://jamii.app/MadiniBilioneaTZ
#JFLeo
> Rais Magufuli amempigia simu na kumpongeza mchimbaji Saniniu Laizer na aliamuru mawe hayo yanunuliwe na Serikali ili mchimbaji asidhulumiwe
Soma https://jamii.app/MadiniBilioneaTZ
#JFLeo
MWANAMKE WA TATU AJITOKEZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
- Kada wa CCM, Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama kugombea urais wa #Zanzibar
- Anakuwa mwanachama wa 26 kuomba fomu hiyo kupitia chama hicho
Soma https://jamii.app/FatmaKomboZNZ
#Uchaguzi2020
- Kada wa CCM, Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama kugombea urais wa #Zanzibar
- Anakuwa mwanachama wa 26 kuomba fomu hiyo kupitia chama hicho
Soma https://jamii.app/FatmaKomboZNZ
#Uchaguzi2020
MGOMBEA WA KWANZA WA URAIS ZANZIBAR KUPITIA NCCR-MAGEUZI ACHUKUA FOMU
- Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tanzania Visiwani, Ambari Haji Khamis amekuwa wa kwanza kuchukua fomu kuomba ridhaa ya chama kumteua kuwa Mgombea Urais #Zanzibar
Soma https://jamii.app/UchaguziNCCRZnz
#Uchaguzi2020
- Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tanzania Visiwani, Ambari Haji Khamis amekuwa wa kwanza kuchukua fomu kuomba ridhaa ya chama kumteua kuwa Mgombea Urais #Zanzibar
Soma https://jamii.app/UchaguziNCCRZnz
#Uchaguzi2020
KAMATI YA NIDHAMU TFF YAWAFUNGIA MKUDE NA MORRISON
> Mchezaji wa Simba SC, Jonas Mkude na wa Yanga SC, Benard Morrison watakiwa kulipa Tsh. 500,000 na kutocheza mechi mbili
> Ni baada ya kuwapiga viwiko wachezaji wenzao katika mechi
Soma https://jamii.app/MkudeMorrisonTFF
#JFMichezo
> Mchezaji wa Simba SC, Jonas Mkude na wa Yanga SC, Benard Morrison watakiwa kulipa Tsh. 500,000 na kutocheza mechi mbili
> Ni baada ya kuwapiga viwiko wachezaji wenzao katika mechi
Soma https://jamii.app/MkudeMorrisonTFF
#JFMichezo
BUNDA: BABA AMTONGOZA MWANAYE KWA TSH. 5,000, ALIPOKATAA AKAMBAKA
> Mtoto huyo alisema hiyo ni mara ya pili baba yake kumfanyia ukatili huo
> Shangazi yake alimlazimisha kujisafisha sehemu za siri ili asionekane kama amebakwa
Soma https://jamii.app/MtotoBabaUbakaji
#JFLeo
> Mtoto huyo alisema hiyo ni mara ya pili baba yake kumfanyia ukatili huo
> Shangazi yake alimlazimisha kujisafisha sehemu za siri ili asionekane kama amebakwa
Soma https://jamii.app/MtotoBabaUbakaji
#JFLeo
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
THRDC YALAANI KUKAMATWA KWA WAKUFUNZI WAKE NA KUSITISHWA KWA MAFUNZO
> Walikamatwa na Polisi wakiwa katika mafunzo ya kuwajengea uwezo wanachama wapya 30
> Polisi walidai mafunzo hayo hayakufuata utaratibu na baadaye kuwaachia Wakufunzi hao
Soma https://jamii.app/THRDCYalaaniUonevu
#JFLeo
> Walikamatwa na Polisi wakiwa katika mafunzo ya kuwajengea uwezo wanachama wapya 30
> Polisi walidai mafunzo hayo hayakufuata utaratibu na baadaye kuwaachia Wakufunzi hao
Soma https://jamii.app/THRDCYalaaniUonevu
#JFLeo
LINDI: ZITTO KABWE NA VIONGOZI WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA
- Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na wenzake 7 wameachiwa kwa dhamana ya wadhamini 2 kila mmoja na kutakiwa kuripoti Polisi Lindi Julai 01, 2020
- Awali, walikuwa wanashtakiwa kwa kufanya maandamano bila kibali cha Polisi lakini baadaye shtaka likageuzwa na kuwa kutishia uvunjifu wa amani
Soma https://jamii.app/ZittoBwegeLindi
#Siasa
- Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na wenzake 7 wameachiwa kwa dhamana ya wadhamini 2 kila mmoja na kutakiwa kuripoti Polisi Lindi Julai 01, 2020
- Awali, walikuwa wanashtakiwa kwa kufanya maandamano bila kibali cha Polisi lakini baadaye shtaka likageuzwa na kuwa kutishia uvunjifu wa amani
Soma https://jamii.app/ZittoBwegeLindi
#Siasa
#CORONAVIRUS-KENYA: MAAMBUKIZI YAFIKA 5,206 NA VIFO 130
> Watu 254 wamekutwa na maambukizi ya #COVID19 katika sampuli 4,859 zilizopimwa saa 24 zilizopita
> Pia, watu 1,823 wameripotiwa kupona huku vifo vikifikia 130
Soma https://jamii.app/KECOVID19Cases
#JFCOVID19_Updates
> Watu 254 wamekutwa na maambukizi ya #COVID19 katika sampuli 4,859 zilizopimwa saa 24 zilizopita
> Pia, watu 1,823 wameripotiwa kupona huku vifo vikifikia 130
Soma https://jamii.app/KECOVID19Cases
#JFCOVID19_Updates
FAIDA ZA MAFUTA YA MKARATUSI
> Mafuta haya hukamuliwa kutoka kwenye majani na huweza kutumika kama tiba
> Mafuta ya Mkaratusi hutuliza maradhi yanayohusika na kifua na mafua. Hufukuza wadudu, hutibu vidonda na pia hukipa kinywa harufu nzuri
Soma zaidi https://jamii.app/MkaratusiFaida
#JFAfya
> Mafuta haya hukamuliwa kutoka kwenye majani na huweza kutumika kama tiba
> Mafuta ya Mkaratusi hutuliza maradhi yanayohusika na kifua na mafua. Hufukuza wadudu, hutibu vidonda na pia hukipa kinywa harufu nzuri
Soma zaidi https://jamii.app/MkaratusiFaida
#JFAfya
KUTOIJUA SHERIA HAKUKUFANYI USIWE MKOSAJI
> Sheria zinatambua kuwa tunazifahamu. Kusema ulikuwa hujui sheria Mahakamani kama utetezi, haikusaidii kitu
> Hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuzifahamu sheria za nchi au mahali alipo
Soma zaidi https://jamii.app/KutoijuaSheria
#JFSheria
> Sheria zinatambua kuwa tunazifahamu. Kusema ulikuwa hujui sheria Mahakamani kama utetezi, haikusaidii kitu
> Hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuzifahamu sheria za nchi au mahali alipo
Soma zaidi https://jamii.app/KutoijuaSheria
#JFSheria
NAMNA NZURI YA KUFANYA βGROWTH HACKINGβ ILI KUKUA KWA HARAKA
> Tangaza biashara ionekane kuna uhaba. Mfano, Ofa ya muda mfupi au bidhaa zinazokaribia kuisha
> Cheza na saikolojia. Mfano; unauza Laptop, usiandike Nunua Laptop kwa 400,000 nikupunguzie 15% ya begi na hard disk, bali andika Lipia Laptop Tsh 590,000 upate begi na Hard Disk bure
Soma https://jamii.app/GrowthHacking
#JFBiashara
> Tangaza biashara ionekane kuna uhaba. Mfano, Ofa ya muda mfupi au bidhaa zinazokaribia kuisha
> Cheza na saikolojia. Mfano; unauza Laptop, usiandike Nunua Laptop kwa 400,000 nikupunguzie 15% ya begi na hard disk, bali andika Lipia Laptop Tsh 590,000 upate begi na Hard Disk bure
Soma https://jamii.app/GrowthHacking
#JFBiashara
NJOMBE: KIJANA WA MIAKA 19 AJINYONGA KWA KUTUMIA SHUKA
> Chesco Mtega(19) mkazi Kijiji cha Ludewa amejinyonga huku Msongo wa mawazo ukidaiwa kuwa sababu
> Hata hivyo uchunguzi unaendelea ili kubaini kulikuwa na mgogoro gani kwenye familia
Soma https://jamii.app/NjombeShuka
#JFLeo
> Chesco Mtega(19) mkazi Kijiji cha Ludewa amejinyonga huku Msongo wa mawazo ukidaiwa kuwa sababu
> Hata hivyo uchunguzi unaendelea ili kubaini kulikuwa na mgogoro gani kwenye familia
Soma https://jamii.app/NjombeShuka
#JFLeo
KATAVI: MAITI 2 ZA WATOTO WACHANGA ZAPOTEA NDANI YA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI
> Mkuu wa Mkoa aagiza wasimamizi wa chumba cha kuhifadhia maiti kusimamishwa kazi
> Ahusisha tukio na imani za kishirikina, awataka wanasiasa na wadau wa madini kutofanya hivyo
Soma https://jamii.app/MaitiWatotoKatavi
#JFLeo
> Mkuu wa Mkoa aagiza wasimamizi wa chumba cha kuhifadhia maiti kusimamishwa kazi
> Ahusisha tukio na imani za kishirikina, awataka wanasiasa na wadau wa madini kutofanya hivyo
Soma https://jamii.app/MaitiWatotoKatavi
#JFLeo
TANGA INAKADIRIWA KUWA NA WAATHIRIKA 5,190 WA HEROINE
> Waziri wa Afya amezindua Kliniki ya Methodone Mkoani Tanga ili kutoa huduma kwa waathirika
> Aitaka jamii kuwafichua wauzaji na wasambazaji wa #DawaZaKulevya
Soma https://jamii.app/Tanga5190
#JFLeo
> Waziri wa Afya amezindua Kliniki ya Methodone Mkoani Tanga ili kutoa huduma kwa waathirika
> Aitaka jamii kuwafichua wauzaji na wasambazaji wa #DawaZaKulevya
Soma https://jamii.app/Tanga5190
#JFLeo