ZANZIBAR KUFUNGUA SHULE NA SHUGHULI ZA KIJAMII KUANZIA JUNI 29
> Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein ametangaza kufungua skuli zote pamoja na shughuli za kijamii kuanzia Juni 29 baada ya kupungua kwa maradhi ya #COVID19
> Pia, amevunja Baraza la Wawakilishi la 9 huko Chukwani
Soma - https://jamii.app/ShuleZbarJuni29
> Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein ametangaza kufungua skuli zote pamoja na shughuli za kijamii kuanzia Juni 29 baada ya kupungua kwa maradhi ya #COVID19
> Pia, amevunja Baraza la Wawakilishi la 9 huko Chukwani
Soma - https://jamii.app/ShuleZbarJuni29
Jamii Forums tunapenda kutambua uwepo, umuhimu, Jitihada na changamoto ambazo hupitiwa na wale wote ambao wanaheshimu na kuthamini nafasi zao kama baba kwa watoto wao wa kuwazaa na kuwalea
Tunatambua kama walezi si kazi rahisi, hivyo tungependa kutumia nafasi hii kuwakumbusha na kuwasihi kutokata tamaa kwasababu Watoto na familia hufarijika pale wanapofanya Jitihada za makusudi kuwalea, kuwatunza na kuwa karibu nao Kimahitaji ya kisaikolojia, kiuchumi na hata Faraja
Kheri ya siku ya akina baba duniani
Tunatambua kama walezi si kazi rahisi, hivyo tungependa kutumia nafasi hii kuwakumbusha na kuwasihi kutokata tamaa kwasababu Watoto na familia hufarijika pale wanapofanya Jitihada za makusudi kuwalea, kuwatunza na kuwa karibu nao Kimahitaji ya kisaikolojia, kiuchumi na hata Faraja
Kheri ya siku ya akina baba duniani
UNA MTAZAMO GANI KUHUSU BUNGE LA 11? UNAKUMBUKA TUKIO GANI LILILOTOKEA
> Baadhi ya wadau wamesema kwa miaka 5 ya Bunge la 11 lilikuwa na upitishaji wa sheria zinazokinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
> Mkurugenzi THRDC, Onesmo Olengurumwa, amesema halikufanya jukumu lake la uwakilishi bali ilikuwa sehemu ya kutetea Serikali
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/MaoniBunge11
> Baadhi ya wadau wamesema kwa miaka 5 ya Bunge la 11 lilikuwa na upitishaji wa sheria zinazokinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
> Mkurugenzi THRDC, Onesmo Olengurumwa, amesema halikufanya jukumu lake la uwakilishi bali ilikuwa sehemu ya kutetea Serikali
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/MaoniBunge11
DARAJA LA WAMI KUFUNGWA KWA MUDA KWA SIKU 3 KUANZIA JUNI 25
- Litafungwa kwa saa 2, kuanzia 8 usiku hadi saa 10 alfajiri kwa siku 3 kuanzia Juni 25-27
- Ni kutokana na ukaguzi na matengenezo ya daraja hilo kwenye barabara ya Chalinze-Segera
Soma https://jamii.app/KufungwaDarajaWami
- Litafungwa kwa saa 2, kuanzia 8 usiku hadi saa 10 alfajiri kwa siku 3 kuanzia Juni 25-27
- Ni kutokana na ukaguzi na matengenezo ya daraja hilo kwenye barabara ya Chalinze-Segera
Soma https://jamii.app/KufungwaDarajaWami
MEMBE: TUNAFANYAJE UCHAGUZI BILA TUME HURU NA WAANGALIZI WA KIMATAIFA?
> Adai hivi sasa Ma-DC, RC na DED wamejawa na hofu ya kupoteza nafasi zao endapo mtu wa Upinzani atashinda uchaguzi
> Ahoji utayari wa kuwa na Uchaguzi usio na waangalizi wa Kimataifa
Angalia > https://youtu.be/vweXBFaMi6s
#SiasaTZ #Siasa
> Adai hivi sasa Ma-DC, RC na DED wamejawa na hofu ya kupoteza nafasi zao endapo mtu wa Upinzani atashinda uchaguzi
> Ahoji utayari wa kuwa na Uchaguzi usio na waangalizi wa Kimataifa
Angalia > https://youtu.be/vweXBFaMi6s
#SiasaTZ #Siasa
YouTube
Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru na Waangalizi wa Kimataifa?
Benard Membe ambaye alifukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya CCM Februari mwaka huu, amesema haamini nchi inafanya uchaguzi kutokana na hali ya Corona
Amesema alitarajia ungefanywa uchambuzi mkubwa sana kabla ya kuamua kuingia kwenye uchaguzi katika mazingiraβ¦
Amesema alitarajia ungefanywa uchambuzi mkubwa sana kabla ya kuamua kuingia kwenye uchaguzi katika mazingiraβ¦
CUF: WABUNGE, MADIWANI WALIOPOKELEWA NA ACT WALISHAJITENGA NA CHAMA
- Mkurugenzi wa Habari, Eng. Ngulangwa amesema Wabunge na madiwani hao walishajitenga
- Amesema CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya kodi za wananchi
Soma - https://jamii.app/WabungeMadiwaniCUF
- Mkurugenzi wa Habari, Eng. Ngulangwa amesema Wabunge na madiwani hao walishajitenga
- Amesema CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya kodi za wananchi
Soma - https://jamii.app/WabungeMadiwaniCUF
MEMBE: KAMATI KUU IKITAMKA LEO KUWA ILIKOSEA KUNIFUKUZA NACHUKUA FOMU JUMATATU
> Adai tamko likitolewa kwa wakati, kesho Jumatatu atachukua fomu ya βkujipimaβ na Rais
> Ameonya kuwa bila yeye Uchaguzi hautonoga kama ule wa Zanzibar
> Aomba utulivu kwani Oktoba ni mbali na lolote linaweza kutokea
Angalia https://youtu.be/YDReKJ5mBD0
> Adai tamko likitolewa kwa wakati, kesho Jumatatu atachukua fomu ya βkujipimaβ na Rais
> Ameonya kuwa bila yeye Uchaguzi hautonoga kama ule wa Zanzibar
> Aomba utulivu kwani Oktoba ni mbali na lolote linaweza kutokea
Angalia https://youtu.be/YDReKJ5mBD0
YouTube
Membe: Kamati Kuu ilitamka kunifukuza kinyume na taratibu. Bila mimi Uchaguzi haunogi
Amesema licha ya kwamba anamheshimu Mwenyekiti na Kamati kuu ya CCM, haikuwa na mamlaka ya kusema wamemfuta uanachama kwani adhabu hutolewa na Halmashauri Ku...
RAIS MAGUFULI ATEUA WAKUU WA WILAYA MOROGORO NA MONDULI
- Rais Magufuli amemteua Bakari Msulwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro
- Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Edward Jotham Balele ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha
Soma https://jamii.app/RaisAfanyaUteuzi
- Rais Magufuli amemteua Bakari Msulwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro
- Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Edward Jotham Balele ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha
Soma https://jamii.app/RaisAfanyaUteuzi
MAREKANI: RAIS TRUMP AANZA VIBAYA KAMPENI, ASHINDWA KUJAZA UWANJA WA WATU 19,000
- Ni kampeni yake ya kwanza tangu kuanza kwa mlipuko wa #CoronaVirus
- Amesema vyombo vya habari na waandamanaji wamesababisha wanaomuunga mkono wasihudhurie
Soma https://jamii.app/TrumpTulsaRally
- Ni kampeni yake ya kwanza tangu kuanza kwa mlipuko wa #CoronaVirus
- Amesema vyombo vya habari na waandamanaji wamesababisha wanaomuunga mkono wasihudhurie
Soma https://jamii.app/TrumpTulsaRally
WAZIRI MKUU: WATAKAOJIHUSISHA NA RUSHWA KIPINDI CHA UCHAGUZI WAKAMATWE
> Maagizo hayo yametolewa ili kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu unakuwa huru na wa haki, hivyo kuwawezesha wananchi kuchagua viongozi wanaowahitaji na si kwa msukumo wa rushwa
Soma - https://jamii.app/RushwaUchaguzi
> Maagizo hayo yametolewa ili kuhakikisha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu unakuwa huru na wa haki, hivyo kuwawezesha wananchi kuchagua viongozi wanaowahitaji na si kwa msukumo wa rushwa
Soma - https://jamii.app/RushwaUchaguzi
#CORONAVIRUS-BRAZIL: WATU 7,285 WAMEFARIKI NDANI YA WIKI MOJA
- Imeripoti vifo vipya 641 kwa siku ya jana na kufanya jumla ya vifo kufikia 50,617
- Pia, imerekodi Wagonjwa wapya 17,459 na kufanya jumla ya visa kufikia 1,085,038
Soma https://jamii.app/COVID19Updates
#JFCOVID19_Updates
- Imeripoti vifo vipya 641 kwa siku ya jana na kufanya jumla ya vifo kufikia 50,617
- Pia, imerekodi Wagonjwa wapya 17,459 na kufanya jumla ya visa kufikia 1,085,038
Soma https://jamii.app/COVID19Updates
#JFCOVID19_Updates
ALIYEKUWA WAZIRI WA HABARI, RASHID JUMA ACHUKUA FOMU YA URAIS
- Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utalii na Utamaduni Zanzibar, Rashid Ali Juma amechukua fomu kuwania urais Zanzibar kupitia CCM
- Amekuwa Mgombea wa 16 kujitokeza kuchukua fomu hiyo
Soma https://jamii.app/RashidJumaZNZ
#JFSiasa
- Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utalii na Utamaduni Zanzibar, Rashid Ali Juma amechukua fomu kuwania urais Zanzibar kupitia CCM
- Amekuwa Mgombea wa 16 kujitokeza kuchukua fomu hiyo
Soma https://jamii.app/RashidJumaZNZ
#JFSiasa
KATIBU MKUU WA WIZARA YA FEDHA ZANZIBAR ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS
- Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Khamis Mussa Omar amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar
- Amechukua fomu hiyo kupitia CCM na amekuwa mgombea wa 17 kuchukua fomu hiyo
Soma https://jamii.app/KhamisOmarZNZ
#JFSiasa
- Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Khamis Mussa Omar amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar
- Amechukua fomu hiyo kupitia CCM na amekuwa mgombea wa 17 kuchukua fomu hiyo
Soma https://jamii.app/KhamisOmarZNZ
#JFSiasa
IKULU, DAR: RAIS MAGUFULI AMUAPISHA MKUU WA MKOA ARUSHA
- Rais Magufuli amemuapisha Mkuu wa Mkoa mteule wa Arusha, Idd Hassan Kimanta
- Mkuu huyo aliteuliwa juzi kuchukua nafasi ya Mrisho Gambo ambaye uteuzi wake ulitenguliwa
Fuatilia - https://jamii.app/Uapisho-RCArusha
#JFSiasa
- Rais Magufuli amemuapisha Mkuu wa Mkoa mteule wa Arusha, Idd Hassan Kimanta
- Mkuu huyo aliteuliwa juzi kuchukua nafasi ya Mrisho Gambo ambaye uteuzi wake ulitenguliwa
Fuatilia - https://jamii.app/Uapisho-RCArusha
#JFSiasa
WAZIRI WA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS
- Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi, Mmanga Mjengo Mjawiri amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar
- Amechukua fomu hiyo kupitia CCM na amekuwa mgombea wa 18 kuchukua fomu hiyo
Soma https://jamii.app/MjengoMjawiri-ZNZ
#JFSiasa #Uchaguzi2020
- Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi, Mmanga Mjengo Mjawiri amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar
- Amechukua fomu hiyo kupitia CCM na amekuwa mgombea wa 18 kuchukua fomu hiyo
Soma https://jamii.app/MjengoMjawiri-ZNZ
#JFSiasa #Uchaguzi2020
ZANZIBAR: NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, HAMAD MASAUNI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS
- Hamad Masauni amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM
- Anakuwa mwanachama wa 19 wa chama hicho kujitosa kwenye kinyang'anyiro hicho
Soma https://jamii.app/MasauniZanzibar2020
#JFSiasa
- Hamad Masauni amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM
- Anakuwa mwanachama wa 19 wa chama hicho kujitosa kwenye kinyang'anyiro hicho
Soma https://jamii.app/MasauniZanzibar2020
#JFSiasa
ZANZIBAR: WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS
- Mohammed Aboud Mohammed amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM
- Amekuwa mwanachama wa 20 wa chama hicho kujitosa kwenye kinyang'anyiro hicho
Soma https://jamii.app/MohammedUraisZNZ
#JFSiasa
- Mohammed Aboud Mohammed amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM
- Amekuwa mwanachama wa 20 wa chama hicho kujitosa kwenye kinyang'anyiro hicho
Soma https://jamii.app/MohammedUraisZNZ
#JFSiasa
RAIS MAGUFULI AWATAKA ANAOWATEUA KURIDHIKA NA NAFASI ZAO
- Amesema atashangaa mtu akiacha nafasi yake na kwenda kugombea Ubunge ili ateuliwe kuwa Waziri
- Asema wanaoenda kugombea Ubunge anaweza kuwakata hata kwenye kura za maoni wasipite
Angalia https://youtu.be/9PXRDMLnuLg
- Amesema atashangaa mtu akiacha nafasi yake na kwenda kugombea Ubunge ili ateuliwe kuwa Waziri
- Asema wanaoenda kugombea Ubunge anaweza kuwakata hata kwenye kura za maoni wasipite
Angalia https://youtu.be/9PXRDMLnuLg
YouTube
Rais Magufuli awataka Viongozi anaowateua kuridhika na nafasi zao
Akiwa anamuapisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Idd Hassan Kimanta, Rais Magufuli amesema atashangaa mtu akiacha nafasi yake na kwenda kugombea Ubunge ili ateuliwe kuwa Waziri
Amesema wanaoenda kugombea Ubunge anaweza kuwakata hata kwenye kura za maoni wasipite
Amesema wanaoenda kugombea Ubunge anaweza kuwakata hata kwenye kura za maoni wasipite
RAIS MAGUFULI ATAJA SABABU YA KUTENGUA UONGOZI WA ARUSHA
> Rais Magufuli amesema ametengua uteuzi wa RC Mrisho Gambo, DC Gabriel Daqarro na Mkurugenzi wa Arusha, Dkt. Maulid Madeni kwa kuwa zaidi ya miaka miwili viongozi hao wamekuwa wakigombana huku kila mmoja akitaka kuwa bosi wa mwingine
Angalia; https://youtu.be/-7XtOPFg25c
#JFLeo
> Rais Magufuli amesema ametengua uteuzi wa RC Mrisho Gambo, DC Gabriel Daqarro na Mkurugenzi wa Arusha, Dkt. Maulid Madeni kwa kuwa zaidi ya miaka miwili viongozi hao wamekuwa wakigombana huku kila mmoja akitaka kuwa bosi wa mwingine
Angalia; https://youtu.be/-7XtOPFg25c
#JFLeo
YouTube
Rais Mafuguli ataja sababu za kutengua uteuzi wa RC Mrisho Gambo
Rais Magufuli ameeleza sababu za kutengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa Arusha, Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Arusha kuwa ni kutokana na Viongozi hao kutoelewana ...
ASKARI POLISI AFUKUZWA KAZI KWA TUHUMA ZA KUSAFIRISHA BANGI
> Koplo Anthony Francis wa Kituo cha Polisi Kisarawe amekamatwa akiwa na Kg 76 za Bangi kwenye gari yake, Mkoani Morogoro
> Pia, Polisi inawashikilia watu 22 kwa kuhusika na biashara hiyo
Soma https://jamii.app/BangiPolisi
> Koplo Anthony Francis wa Kituo cha Polisi Kisarawe amekamatwa akiwa na Kg 76 za Bangi kwenye gari yake, Mkoani Morogoro
> Pia, Polisi inawashikilia watu 22 kwa kuhusika na biashara hiyo
Soma https://jamii.app/BangiPolisi