CHINA: RAIA WAWILI WA CANADA WASHTAKIWA KWA UJASUSI
- Michael Kovrig na Michael Spavor wanashikiliwa China tangu Desemba 2018
- Wawili hao wamefunguliwa mashtaka ya kupeleleza siri za kitaifa na kutoa taarifa za kiintelijensia kwa vyombo vya nje
Soma https://jamii.app/ChinaCanadaSpyingCharges
- Michael Kovrig na Michael Spavor wanashikiliwa China tangu Desemba 2018
- Wawili hao wamefunguliwa mashtaka ya kupeleleza siri za kitaifa na kutoa taarifa za kiintelijensia kwa vyombo vya nje
Soma https://jamii.app/ChinaCanadaSpyingCharges
ZANZIBAR: HAJI RASHID PANDU ACHUKUA FOMU YA URAIS
- Haji Rashid Pandu amechukua fomu za kugombea Urais visiwani Zanzibar kupitia CCM
- Pandu anakuwa Mgombea wa 12 kuchukua fomu tangu kuanza kwa zoezi hilo
Soma - https://jamii.app/PanduUraisZNZ
#Uchaguzi2020
- Haji Rashid Pandu amechukua fomu za kugombea Urais visiwani Zanzibar kupitia CCM
- Pandu anakuwa Mgombea wa 12 kuchukua fomu tangu kuanza kwa zoezi hilo
Soma - https://jamii.app/PanduUraisZNZ
#Uchaguzi2020
SPIKA NDUGAI: KUNA WABUNGE WANATUMIA BANGI NA KUNYWA GONGO
> Amesema βNi ukweli usiopingika kwamba yako mambo Watanzania hawayajui na huwa hatupendi sana kusema. Ni kweli baadhi ya Wabunge na hasa hao wenye fujo wanatumia #DawaZaKulevya, bangi, wanakunywa konyagi au gongo, anakuja pale sio yeyeβ
Soma - https://jamii.app/WabungeBangi
> Amesema βNi ukweli usiopingika kwamba yako mambo Watanzania hawayajui na huwa hatupendi sana kusema. Ni kweli baadhi ya Wabunge na hasa hao wenye fujo wanatumia #DawaZaKulevya, bangi, wanakunywa konyagi au gongo, anakuja pale sio yeyeβ
Soma - https://jamii.app/WabungeBangi
SAKATA LA MORRISON: YANGA YAISHTAKI SIMBA TFF
> Uongozi wa klabu ya Yanga umepeleka rasmi malalamiko kwa Shirikisho la Soka nchini (TFF) dhidi ya Klabu ya Simba ukidai Simba inamshawishi winga wake, Bernard Morrison kujiunga nayo kinyume cha sheria
> Wasema tayari ushahidi umekusanywa ikiwa ni pamoja na kumhoji mchezaji na vielelezo vingine vinavyohusiana na suala hilo
Soma - https://jamii.app/SimbaYangaTFF
> Uongozi wa klabu ya Yanga umepeleka rasmi malalamiko kwa Shirikisho la Soka nchini (TFF) dhidi ya Klabu ya Simba ukidai Simba inamshawishi winga wake, Bernard Morrison kujiunga nayo kinyume cha sheria
> Wasema tayari ushahidi umekusanywa ikiwa ni pamoja na kumhoji mchezaji na vielelezo vingine vinavyohusiana na suala hilo
Soma - https://jamii.app/SimbaYangaTFF
JINSI FAMILIA ZINAVYOWEZA KUISHI HUKU ZIKIENDELEA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA #COVID19
- Dawa na boksi la huduma ya kwanza, vifaa vya kufanyia usafi na chakula
- Dhibiti wageni kwani dalili huweza kutoonekana hadi baada ya siku 14
Kwa ufafanuzi, fungua > https://jamii.app/COVID19VsFamilia
#IshiNaCOVID19
- Dawa na boksi la huduma ya kwanza, vifaa vya kufanyia usafi na chakula
- Dhibiti wageni kwani dalili huweza kutoonekana hadi baada ya siku 14
Kwa ufafanuzi, fungua > https://jamii.app/COVID19VsFamilia
#IshiNaCOVID19
YEMEN: HUENDA MAMILIONI YA WATU WAKAPATA #CORONA NA MAELFU WAKAPOTEZA MAISHA
- Makadirio hayo yametolewa na Kamati ya Shirika la Kimataifa la Kutoa Misaada (IRC)
- Kutokana na vita, Yemen haina mfumo wa utoaji huduma za afya
Soma - https://jamii.app/CoronaYemen
#JFCOVID19_Updates
- Makadirio hayo yametolewa na Kamati ya Shirika la Kimataifa la Kutoa Misaada (IRC)
- Kutokana na vita, Yemen haina mfumo wa utoaji huduma za afya
Soma - https://jamii.app/CoronaYemen
#JFCOVID19_Updates
UFARANSA: JOGOO ALIYESHTAKIWA KWA KUPIGA KELELE AFARIKI AKIWA NA MIAKA 6
> Jogoo Maurice aliwahi kushtakiwa kwa kupiga kelele na wanandoa waliostaafu waliokuwa likizoni ktk Kisiwa cha OlΓ©ron
> Mmiliki amesema Jogoo huyo alikufa Mwezi Mei lakini alisubiri muda mwafaka wa kutangaza kifo chake kutokana na uwepo wa Janga la #Corona na watu kuwa Karantini
Soma - https://jamii.app/CockMouriceDies
> Jogoo Maurice aliwahi kushtakiwa kwa kupiga kelele na wanandoa waliostaafu waliokuwa likizoni ktk Kisiwa cha OlΓ©ron
> Mmiliki amesema Jogoo huyo alikufa Mwezi Mei lakini alisubiri muda mwafaka wa kutangaza kifo chake kutokana na uwepo wa Janga la #Corona na watu kuwa Karantini
Soma - https://jamii.app/CockMouriceDies
#CORONAVIRUS KENYA: VISA VIPYA 117 VYAREKODIWA, MAAMBUKIZI YAFIKIA 4,374
- Katika visa vilivyotangazwa leo, 112 ni Wakenya na 5 ni raia wa kigeni
- Jumla ya vifo 119 vimerekodiwa nchini humo na wagonjwa 1,550 wamepona hadi sasa
Soma - https://jamii.app/Corona4374-KE
#JFCOVID19_Updates
- Katika visa vilivyotangazwa leo, 112 ni Wakenya na 5 ni raia wa kigeni
- Jumla ya vifo 119 vimerekodiwa nchini humo na wagonjwa 1,550 wamepona hadi sasa
Soma - https://jamii.app/Corona4374-KE
#JFCOVID19_Updates
UTEUZI WA RC ARUSHA NA DC ARUSHA WATENGULIWA
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa RC Mrisho Gambo na nafasi yake imechukuliwa na Idd Kimanta
- Aidha, pia ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro na nafasi yake imechukuliwa na Kenan Kihongosi
Soma https://jamii.app/GamboAtumbuliwa
- Rais Magufuli ametengua uteuzi wa RC Mrisho Gambo na nafasi yake imechukuliwa na Idd Kimanta
- Aidha, pia ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro na nafasi yake imechukuliwa na Kenan Kihongosi
Soma https://jamii.app/GamboAtumbuliwa
MBUNGE NCHAMBI NA WENZAKE WAKIRI MAKOSA YA UHUJUMU UCHUMI
> Mbunge wa Kishapu, Suleiman Masoud Nchambi (CCM) na wenzake 2 wamekiri makosa na kuamuliwa kulipa faini au kwenda Jela
> Wote kwa pamoja wamelipa faini ya Tsh. Milioni 32.5
Soma https://jamii.app/NchambiUhujumu
> Mbunge wa Kishapu, Suleiman Masoud Nchambi (CCM) na wenzake 2 wamekiri makosa na kuamuliwa kulipa faini au kwenda Jela
> Wote kwa pamoja wamelipa faini ya Tsh. Milioni 32.5
Soma https://jamii.app/NchambiUhujumu
SAKATA LA OFISI: ACT WAWATAKA CUF KWENDA MAHAKAMANI SIO KWA VYOMBO VYA HABARI
> Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema kama CUF wanadai Ofisi zao zilizopo Zanzibar zimechukuliwa, basi wapeleke malalamiko yao Mahakamani na siyo kwenye vyombo vya habari
> Asema wamejipanga vilivyo kugombea nafasi ya Urais na hawafuati mkumbo na wamefanya maandalizi muhimu
Soma - https://jamii.app/CUFVsACTWazalendo
> Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema kama CUF wanadai Ofisi zao zilizopo Zanzibar zimechukuliwa, basi wapeleke malalamiko yao Mahakamani na siyo kwenye vyombo vya habari
> Asema wamejipanga vilivyo kugombea nafasi ya Urais na hawafuati mkumbo na wamefanya maandalizi muhimu
Soma - https://jamii.app/CUFVsACTWazalendo
TANZANIA BADO NI YA 4 KWA WAGONJWA WENGI WA SELIMUNDU (SICKLE CELL) DUNIANI
- Waziri Ummy Mwalimu amezindua Mwongozo wa Taifa wa Matibabu kwa wagonjwa wa Selimundu
- Ameagiza Kliniki maalumu kuanzishwa katika ngazi ya Mikoa na Wilaya
Soma https://jamii.app/SickleCellDay2020
- Waziri Ummy Mwalimu amezindua Mwongozo wa Taifa wa Matibabu kwa wagonjwa wa Selimundu
- Ameagiza Kliniki maalumu kuanzishwa katika ngazi ya Mikoa na Wilaya
Soma https://jamii.app/SickleCellDay2020
#CORONAVIRUS: BRAZIL YAREKODI VISA ZAIDI YA MILIONI 1
- Jumla ya visa 1,038,568 vimerekodiwa nchini humo. Brazil ni nchi ya pili duniani kuwa na visa zaidi ya Milioni 1
- Wagonjwa 520,360 wamepona na idadi ya vifo imefikia 49,090
Soma https://jamii.app/COVID19Updates
#JFCOVID19_Updates
- Jumla ya visa 1,038,568 vimerekodiwa nchini humo. Brazil ni nchi ya pili duniani kuwa na visa zaidi ya Milioni 1
- Wagonjwa 520,360 wamepona na idadi ya vifo imefikia 49,090
Soma https://jamii.app/COVID19Updates
#JFCOVID19_Updates
MKUTANO WA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
- Katibu Mkuu, Ado Shaibu amesema wanapokea watu 21 waliokuwa Wabunge
- Wamepokea Madiwani kutoka Dar na wanapokea Madiwani Tanga. Pia, watawapa heshima Madiwani 9 walijiunga kutoka CUF
- Pia, kuna Wanasiasa mashuhuri watapata kadi
Fuatilia https://jamii.app/ACT21MPs
- Katibu Mkuu, Ado Shaibu amesema wanapokea watu 21 waliokuwa Wabunge
- Wamepokea Madiwani kutoka Dar na wanapokea Madiwani Tanga. Pia, watawapa heshima Madiwani 9 walijiunga kutoka CUF
- Pia, kuna Wanasiasa mashuhuri watapata kadi
Fuatilia https://jamii.app/ACT21MPs
Orodha ya Wabunge na Madiwani wa Dar es Salaam waliopewa Kadi za uanachama wa ACT-Wazalendo leo Juni 20, 2020
Zaidi, soma https://jamii.app/ACT21MPs
Zaidi, soma https://jamii.app/ACT21MPs
MAREKANI: MWENDESHA MASHTAKA DHIDI YA WASHIRIKA WA RAIS TRUMP AKANUSHA KUJIUZULU
- Geoffrey Berman amesema hajajiuzulu na hana mpango huo
- Amesema amesikia anajiuzulu kupitia taarifa iliyotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, William Barr
Soma https://jamii.app/GeoffreyBermanDeniesResigning
- Geoffrey Berman amesema hajajiuzulu na hana mpango huo
- Amesema amesikia anajiuzulu kupitia taarifa iliyotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, William Barr
Soma https://jamii.app/GeoffreyBermanDeniesResigning
MWENYEKITI WA ZAMANI WA TUME YA UCHAGUZI (ZEC) ACHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR
> Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu kuomba kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kupitia CCM
> Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)
Soma https://jamii.app/JechaTena
> Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu kuomba kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kupitia CCM
> Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)
Soma https://jamii.app/JechaTena
SHUGHULI MPAKANI MWA TANZANIA NA UGANDA ZAREJEA BAADA YA MAKUBALIANO
> Makubaliano yanahusisha Madereva wa Malori kupima #COVID19 kwa mujibu wa miongozo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ya kudhibiti maambukizi mipakani na kukabiliana na usumbufu wa kibiashara
> Upimaji umelenga kuhakikisha hatari za kiafya zinazohusiana na #CoronaVirus zinapunguzwa
Soma - https://jamii.app/MakubalianoMutukula
> Makubaliano yanahusisha Madereva wa Malori kupima #COVID19 kwa mujibu wa miongozo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ya kudhibiti maambukizi mipakani na kukabiliana na usumbufu wa kibiashara
> Upimaji umelenga kuhakikisha hatari za kiafya zinazohusiana na #CoronaVirus zinapunguzwa
Soma - https://jamii.app/MakubalianoMutukula
MSAJILI: VYAMA VYENYE NIA YA KUSHIRIKIANA UCHAGUZI MKUU VIMESHACHELEWA
- Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa amesema hawajapata mkataba wa makubaliano ya ushirikiano kutoka Chama chochote. Vyama vitakavyofanya hivyo vitaenda kinyume na Sheria
Soma https://jamii.app/UshirikianoVyamaSiasa
- Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa amesema hawajapata mkataba wa makubaliano ya ushirikiano kutoka Chama chochote. Vyama vitakavyofanya hivyo vitaenda kinyume na Sheria
Soma https://jamii.app/UshirikianoVyamaSiasa
UFARANSA: VIWANJA VYA MPIRA KURUHUSU MASHABIKI KUANZIA JULAI 11
- Serikali imetangaza viwanja vya mpira vitafunguliwa kuanzia Julai 11 mwaka huu
- Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu imesema watu 5,000 pekee ndio wataruhusiwa uwanjani
Soma - https://jamii.app/COVID19Updates
- Serikali imetangaza viwanja vya mpira vitafunguliwa kuanzia Julai 11 mwaka huu
- Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu imesema watu 5,000 pekee ndio wataruhusiwa uwanjani
Soma - https://jamii.app/COVID19Updates