ZANZIBAR: HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS
> Waziri wa Ulinzi wa JMT, Dkt. Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
> Anakuwa mtu wa 5 kuchukua fomu kwa lengo la kuomba ridhaa ya CCM kuwa mgombea
Soma https://jamii.app/MwinyiFomuZNZ
#Uchaguzi2020
> Waziri wa Ulinzi wa JMT, Dkt. Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
> Anakuwa mtu wa 5 kuchukua fomu kwa lengo la kuomba ridhaa ya CCM kuwa mgombea
Soma https://jamii.app/MwinyiFomuZNZ
#Uchaguzi2020
ZANZIBAR: OMAR SHEHA MUSSA (CCM) ACHUKUA FOMU YA URAIS
- Omar Sheha Mussa amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM
- Wengine waliochukua fomu ni Mbwana Bakari Juma, Ali Abeid Karume, Mbwana Yahya Mwinyi na Dkt. Hussein Mwinyi
Soma - https://jamii.app/OmarShehaFomuUrais
- Omar Sheha Mussa amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM
- Wengine waliochukua fomu ni Mbwana Bakari Juma, Ali Abeid Karume, Mbwana Yahya Mwinyi na Dkt. Hussein Mwinyi
Soma - https://jamii.app/OmarShehaFomuUrais
MICHUANO YA KLABU BINGWA ULAYA YATARAJIWA KUMALIZIWA NDANI YA SIKU 12
> Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA), linatarajiwa kumaliza mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mwezi Agosti mpango utakaoamuliwa leo kwenye kikao cha Kamati Tendaji
> Hatua za robo fainali, nusu fainali na fainali zitachezwa jijini Lisbon kuanzia Agosti 12-23
Soma - https://jamii.app/UEFALeague
> Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA), linatarajiwa kumaliza mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mwezi Agosti mpango utakaoamuliwa leo kwenye kikao cha Kamati Tendaji
> Hatua za robo fainali, nusu fainali na fainali zitachezwa jijini Lisbon kuanzia Agosti 12-23
Soma - https://jamii.app/UEFALeague
UGANDA: KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA KIDIJITALI
- Kutokana na #COVID19, Tume ya Uchaguzi imewataka wagombea kuendesha kampeni kwa kutumia vyombo vya habari
- Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika kati ya Januari 10 na Februari 8, 2021
Soma - https://jamii.app/KampeniUchaguziUG
- Kutokana na #COVID19, Tume ya Uchaguzi imewataka wagombea kuendesha kampeni kwa kutumia vyombo vya habari
- Uchaguzi Mkuu unatarajiwa kufanyika kati ya Januari 10 na Februari 8, 2021
Soma - https://jamii.app/KampeniUchaguziUG
CHADEMA: WANACHAMA 11 WAJITOKEZA KUWANIA NAFASI YA URAIS
> Baadhi ya Wagombea hao ni pamoja na Isaya Mwita, Tundu Lissu, Mch. Peter Msigwa, Wakili Nikodemus Gaspar, Naro Opio
> Wengine ni Lazaro Nyalandu, Dkt. Majinge Maryrose, Manyama Leornard na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe
Soma https://jamii.app/UraisTZCDM
> Baadhi ya Wagombea hao ni pamoja na Isaya Mwita, Tundu Lissu, Mch. Peter Msigwa, Wakili Nikodemus Gaspar, Naro Opio
> Wengine ni Lazaro Nyalandu, Dkt. Majinge Maryrose, Manyama Leornard na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe
Soma https://jamii.app/UraisTZCDM
CHINA: WALIOPEWA CHANJO YA #CORONA WATHIBITIKA KUPATA KINGAMWILI
> Matokeo yameonesha kuwa baada ya kupewa chanjo hiyo, hakuna mtu aliyekuwa na dalili mbaya na wote wamepata kingamwili dhidi ya virusi vya #COVID19
> Majaribio hayo yalifanyika kwa siku 66 chini ya uongozi wa Kituo cha Kinga na Udhibiti wa Magonjwa cha Henan
Soma - https://jamii.app/VaccineCorona
#JFCOVID19_Updates
> Matokeo yameonesha kuwa baada ya kupewa chanjo hiyo, hakuna mtu aliyekuwa na dalili mbaya na wote wamepata kingamwili dhidi ya virusi vya #COVID19
> Majaribio hayo yalifanyika kwa siku 66 chini ya uongozi wa Kituo cha Kinga na Udhibiti wa Magonjwa cha Henan
Soma - https://jamii.app/VaccineCorona
#JFCOVID19_Updates
KENYA: VISA VYA #CORONAVIRUS VYAFIKIA 4,044
- Visa vipya 184 vimethibitishwa baada ya sampuli 2,518 kupimwa. Idadi hiyo ni kubwa zaidi kurekodiwa kwa siku 1
- Wagonjwa waliopona hadi sasa ni 1,353 na vifo vilivyorekodiwa ni 107
Soma - https://jamii.app/Corona4044KE
#JFCOVID19_Updates
- Visa vipya 184 vimethibitishwa baada ya sampuli 2,518 kupimwa. Idadi hiyo ni kubwa zaidi kurekodiwa kwa siku 1
- Wagonjwa waliopona hadi sasa ni 1,353 na vifo vilivyorekodiwa ni 107
Soma - https://jamii.app/Corona4044KE
#JFCOVID19_Updates
HONDURAS: RAIS JUAN HERNΓNDEZ, MKEWE WAAMBUKIZWA #CORONAVIRUS
- Rais Juan Orlando HernΓ‘ndez, Mkewe Ana GarcΓa CarΓas na wafanyakazi 2 wamepata #COVID19
- Nchi ya Honduras iliyopo Amerika Kusini imerekodi visa 9,656 na vifo 330
Soma - https://jamii.app/CoronaRaisHonduras
#JFCOVID19_Updates
- Rais Juan Orlando HernΓ‘ndez, Mkewe Ana GarcΓa CarΓas na wafanyakazi 2 wamepata #COVID19
- Nchi ya Honduras iliyopo Amerika Kusini imerekodi visa 9,656 na vifo 330
Soma - https://jamii.app/CoronaRaisHonduras
#JFCOVID19_Updates
#CORONAVIRUS: MWONGOZO KWA WAFANYABIASHARA NA WATOA HUDUMA KATIKA SEKTA YA UTALII
- 1. Uvaaji wa Barakoa uzingatiwe
- 2. Wahudumu, wafanyabiashara waepuke ukaribu usio lazima
- 3. Wasafirishaji wazingatie Social Distancing
- 4. Sheria kali za unawaji wa mikono ziwekwe kwenye maeneo yote yanayohusu sekta ya utalii
- 5. Waongozaji wa watalii wanapaswa kuwa na namba za mamlaka zinazohusika na suala zima la COVID19 endapo dharura itatokea ya mtalii kuonesha dalili
- 6. Waongozaji wa watalii wawasihi watalii kutojihusisha kingono na wazawa na wawaonye pia wazawa ambao hutumia ngono kama fursa ya kupata manufaa kifedha
- 7. Mamlaka ziwashauri watalii kutotumia usafiri wa umma ili kuepusha kueneza maambukizi
Soma > https://jamii.app/UtaliiVsCOVID19
#IshiNaCOVID19
- 1. Uvaaji wa Barakoa uzingatiwe
- 2. Wahudumu, wafanyabiashara waepuke ukaribu usio lazima
- 3. Wasafirishaji wazingatie Social Distancing
- 4. Sheria kali za unawaji wa mikono ziwekwe kwenye maeneo yote yanayohusu sekta ya utalii
- 5. Waongozaji wa watalii wanapaswa kuwa na namba za mamlaka zinazohusika na suala zima la COVID19 endapo dharura itatokea ya mtalii kuonesha dalili
- 6. Waongozaji wa watalii wawasihi watalii kutojihusisha kingono na wazawa na wawaonye pia wazawa ambao hutumia ngono kama fursa ya kupata manufaa kifedha
- 7. Mamlaka ziwashauri watalii kutotumia usafiri wa umma ili kuepusha kueneza maambukizi
Soma > https://jamii.app/UtaliiVsCOVID19
#IshiNaCOVID19
RC SHIGELLA APIGA MARUFUKU WATANZANIA KUPIMWA #CORONA KENYA
> Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella amepiga marufuku madereva wa Tanzania kupimwa #COVID19 Kenya baada ya kuwa wamepimwa hapa nchini
> Asema kurudiwa kupimwa kunaweza kuwasababishia matatizo ya ubongo kwa kuchokonolewa kila baada ya siku 14
Soma - https://jamii.app/UpimajiCoronaKE
> Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella amepiga marufuku madereva wa Tanzania kupimwa #COVID19 Kenya baada ya kuwa wamepimwa hapa nchini
> Asema kurudiwa kupimwa kunaweza kuwasababishia matatizo ya ubongo kwa kuchokonolewa kila baada ya siku 14
Soma - https://jamii.app/UpimajiCoronaKE
BUNDA: BABA AWABAKA MABINTI ZAKE NA KUMPA MMOJA UJAUZITO
> Mama wa watoto hao, Gaudensia Michael amesema siku ya kwanza aliyomfuma mume wake kitandani na mwanaye, aliamua kusamehe kwa kuamini asingerudia
> Amewabaka watoto 2 kwa nyakati tofauti huku mmoja wa miaka 13 akipata ujauzito
Soma - https://jamii.app/BabaUbakajiWatoto
> Mama wa watoto hao, Gaudensia Michael amesema siku ya kwanza aliyomfuma mume wake kitandani na mwanaye, aliamua kusamehe kwa kuamini asingerudia
> Amewabaka watoto 2 kwa nyakati tofauti huku mmoja wa miaka 13 akipata ujauzito
Soma - https://jamii.app/BabaUbakajiWatoto
WANAFUNZI ZAIDI YA 70,000 WACHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA 5
> Wanafunzi 73,101 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha 5 mwaka 2020 na kutakiwa kuripoti Julai 18 ili kuanza masomo Julai 20
> Wanafunzi 1,572 wamechaguliwa kujiunga na shule za vipaji maalumu na 9,264 wamechaguliwa kujiunga na vyuo ktk ngazi ya Stashahada
Soma - https://jamii.app/NafasiKidato5
> Wanafunzi 73,101 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha 5 mwaka 2020 na kutakiwa kuripoti Julai 18 ili kuanza masomo Julai 20
> Wanafunzi 1,572 wamechaguliwa kujiunga na shule za vipaji maalumu na 9,264 wamechaguliwa kujiunga na vyuo ktk ngazi ya Stashahada
Soma - https://jamii.app/NafasiKidato5
BURUNDI: RAIS MTEULE KUAPISHWA KESHO. MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA KUHUDHURIA
> Evariste Ndayishimiye anatarajiwa kuapishwa kesho, tarehe 18 Juni 2020, badala ya Agosti kama ilivyopangwa hapo awali
> Makamu wa Rais nchini, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza ujumbe wa Tanzania kuhudhuria sherehe hizo
Soma - https://jamii.app/NdayishimiyeKuapishwa
> Evariste Ndayishimiye anatarajiwa kuapishwa kesho, tarehe 18 Juni 2020, badala ya Agosti kama ilivyopangwa hapo awali
> Makamu wa Rais nchini, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza ujumbe wa Tanzania kuhudhuria sherehe hizo
Soma - https://jamii.app/NdayishimiyeKuapishwa
#CORONAVIRUS UPDATE: RAIS WA HONDURAS ALAZWA HOSPITALI
- Rais Juan Orlando HernΓ‘ndez ambaye pia anaumwa #COVID19 amelazwa akitibiwa Homa ya Mapafu (Pneumonia)
- Rais huyo yupo Hospitali ya Jeshi na anapatiwa dawa kwa kutumia dripu
Soma https://jamii.app/CoronaRaisHonduras
#JFCOVID19_Updates
- Rais Juan Orlando HernΓ‘ndez ambaye pia anaumwa #COVID19 amelazwa akitibiwa Homa ya Mapafu (Pneumonia)
- Rais huyo yupo Hospitali ya Jeshi na anapatiwa dawa kwa kutumia dripu
Soma https://jamii.app/CoronaRaisHonduras
#JFCOVID19_Updates
CHINA KUSAMEHE MADENI KWA BAADHI YA NCHI ZA AFRIKA
- Rais wa China Xi Jinping ameahidi kufuta madeni yasiyo na riba kwa baadhi ya mataifa
- Pia, amesema atashirikiana na wakopeshaji wa kimataifa kusaidia nchi zilizoathirika zaidi na #Corona
Soma https://jamii.app/ChinaMadeniAfrika
- Rais wa China Xi Jinping ameahidi kufuta madeni yasiyo na riba kwa baadhi ya mataifa
- Pia, amesema atashirikiana na wakopeshaji wa kimataifa kusaidia nchi zilizoathirika zaidi na #Corona
Soma https://jamii.app/ChinaMadeniAfrika
ZANZIBAR: SHAMSI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU YA URAIS
- Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha amechukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM
- Nahodha alikuwa Waziri Kiongozi kuanzia mwaka 2000 β 2010
Soma - https://jamii.app/ShamsiUraisZnz
#Uchaguzi2020
- Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha amechukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM
- Nahodha alikuwa Waziri Kiongozi kuanzia mwaka 2000 β 2010
Soma - https://jamii.app/ShamsiUraisZnz
#Uchaguzi2020
WADHAMINI WAIOMBA MAHAKAMA ITOE HATI YA KUMKAMATA TUNDU LISSU
> Mahakama ya Kisutu, imetoa siku 7 kwa upande wa Jamhuri kuwasilisha majibu ya kiapo kinzani na maombi ya wadhamini hao
> Wadhamini wamefungua maombi wakiiomba Mahakama itoe hati ya kumkamata kwani wameshindwa kumpata na kumfikisha Mahakamani
Soma https://jamii.app/KukamatwaLissu
> Mahakama ya Kisutu, imetoa siku 7 kwa upande wa Jamhuri kuwasilisha majibu ya kiapo kinzani na maombi ya wadhamini hao
> Wadhamini wamefungua maombi wakiiomba Mahakama itoe hati ya kumkamata kwani wameshindwa kumpata na kumfikisha Mahakamani
Soma https://jamii.app/KukamatwaLissu
TWITTER YATAMBULISHA HUDUMA YA UJUMBE WA SAUTI (AUDIO TWEETS)
- Watumiaji wa Mtandao huo wataweza kutuma ujumbe wa sauti wenye sekunde 140
- Hivi sasa, huduma ya Audio Tweets inapatikana kwa baadhi ya watumiaji wenye mfumo wa iOS
Soma - https://jamii.app/AudioTweets
- Watumiaji wa Mtandao huo wataweza kutuma ujumbe wa sauti wenye sekunde 140
- Hivi sasa, huduma ya Audio Tweets inapatikana kwa baadhi ya watumiaji wenye mfumo wa iOS
Soma - https://jamii.app/AudioTweets
MICHEZO: CHELSEA YAMSAJILI TIMO WERNER KUTOKA RB LEIPZIG
- Timo Werner (24) anajiunga Chelsea kwa ada ya Paundi Milioni 53 (Tsh. 153,621,501,700)
- Mshambuliaji huyo wa Kimataifa wa Ujerumani amesaini kandarasi ya miaka 5 na anatarajia kulipwa Paundi 175,000 kwa wiki
#JFSports
- Timo Werner (24) anajiunga Chelsea kwa ada ya Paundi Milioni 53 (Tsh. 153,621,501,700)
- Mshambuliaji huyo wa Kimataifa wa Ujerumani amesaini kandarasi ya miaka 5 na anatarajia kulipwa Paundi 175,000 kwa wiki
#JFSports
ZANZIBAR: MOHAMED JAFFAR JUMANNE ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
- Mohammed Jaffar Jumanne amekuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM
- Anakuwa mgombea wa 7 kuchukua fomu hiyo kupitia CCM
Soma https://jamii.app/CCMUraisZnz
#Uchaguzi2020 #JFLeo
- Mohammed Jaffar Jumanne amekuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM
- Anakuwa mgombea wa 7 kuchukua fomu hiyo kupitia CCM
Soma https://jamii.app/CCMUraisZnz
#Uchaguzi2020 #JFLeo