FREEMAN MBOWE AHAMISHIWA DAR KUTOKEA DODOMA
- Ametolewa katika hospitali ya DCMC na kusafirishwa kwenda jijini Dar kwa matibabu zaidi
- Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Esther Bulaya amesema wataeleza baadaye ni hospitali gani anakwenda
Soma https://jamii.app/MboweAttack
#JFLeo
- Ametolewa katika hospitali ya DCMC na kusafirishwa kwenda jijini Dar kwa matibabu zaidi
- Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Esther Bulaya amesema wataeleza baadaye ni hospitali gani anakwenda
Soma https://jamii.app/MboweAttack
#JFLeo
NIMR: UTAFITI WA DAWA YA #COVID19 YA MADAGASCAR UNAENDELEA
- Taasisi ya Taifa ya Kupambana na Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema kuwa inaendelea na utafiti wa dawa ya #CoronaVirus kutoka Madagascar, na utakapokamilika itatolewa kwa Umma
Soma https://jamii.app/UtafitiDawaMDGSR
#JFLeo
- Taasisi ya Taifa ya Kupambana na Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema kuwa inaendelea na utafiti wa dawa ya #CoronaVirus kutoka Madagascar, na utakapokamilika itatolewa kwa Umma
Soma https://jamii.app/UtafitiDawaMDGSR
#JFLeo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
WAZIRI MKUU MIONGONI MWA VIONGOZI WALIOMJULIA HALI MBOWE
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemjulia hali Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Hispitali ya Ntyuka Jijini Dodoma kabla Kiongozi huyo kusafirishwa kwenda Dar
- Viongozi wengine waliomjulia hali Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai ni pamoja na Spika wa Bunge, Job Ndugai na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson
#JFSiasa #Siasa #JamiiForums
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemjulia hali Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Hispitali ya Ntyuka Jijini Dodoma kabla Kiongozi huyo kusafirishwa kwenda Dar
- Viongozi wengine waliomjulia hali Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai ni pamoja na Spika wa Bunge, Job Ndugai na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson
#JFSiasa #Siasa #JamiiForums
RAIS WA BURUNDI, PIERRE NKURUNZIZA AFARIKI DUNIA
- Amefariki akiwa na miaka 55 na kwa mujibu wa Serikali ya Burundi ni kutokana na Mshtuko wa Moyo
- Hivi karibuni Mke wake, Denise Bucumi alilazwa nchini Kenya kwa matibabu ya #COVID19
Soma https://jamii.app/PierreNkurunzizaAfariki
#JFLeo
- Amefariki akiwa na miaka 55 na kwa mujibu wa Serikali ya Burundi ni kutokana na Mshtuko wa Moyo
- Hivi karibuni Mke wake, Denise Bucumi alilazwa nchini Kenya kwa matibabu ya #COVID19
Soma https://jamii.app/PierreNkurunzizaAfariki
#JFLeo
KENYA YATANGAZA ONGEZEKO LA WAGONJWA 127 WA #COVID19 AKIWEMO MTOTO WA WIKI 3
- Ni baada ya sampuli 2,247 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita. Idadi ya visa imefikia 2,989
- Wagonjwa 124 ni Wakenya na 3 ni wageni; 84 ni Wanaume na 33 ni Wanawake
Soma https://jamii.app/COVID19KE-2989
#JFCOVID19_Updates
- Ni baada ya sampuli 2,247 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita. Idadi ya visa imefikia 2,989
- Wagonjwa 124 ni Wakenya na 3 ni wageni; 84 ni Wanaume na 33 ni Wanawake
Soma https://jamii.app/COVID19KE-2989
#JFCOVID19_Updates
UCHAGUZI 2020: WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA RUSHWA
> Waandishi wa habari wameonywa kutojihusisha na rushwa kwa kutumiwa na Wanasiasa
> Wametakiwa kuzingatia miiko na maadili ya kazi. Kutoa elimu kwa raia ili wachague viongozi sahihi
Soma https://jamii.app/TAKUKURUWaandishi
#JFLeo
> Waandishi wa habari wameonywa kutojihusisha na rushwa kwa kutumiwa na Wanasiasa
> Wametakiwa kuzingatia miiko na maadili ya kazi. Kutoa elimu kwa raia ili wachague viongozi sahihi
Soma https://jamii.app/TAKUKURUWaandishi
#JFLeo
TETESI: CHELSEA INATAKA KUMSAJILI KAI HAVERTZ KUTOKA LEVERKUSEN
- Havertz (20) ana magoli 15 na pasi 8 za magoli kwa msimu wa 2019/20 hadi sasa
- Chelsea imemsajili Hakim Ziyech na inadaiwa kuwa kwenye makubaliano ya awali kumsajili Timo Werner wa RB Leipzig
- Aidha, Beki wa kushoto wa Leicester City, Ben Chilwell anaendelea kuwa mchezaji anayehitajika zaidi Stamford Bridge
#JFSports #Sports
- Havertz (20) ana magoli 15 na pasi 8 za magoli kwa msimu wa 2019/20 hadi sasa
- Chelsea imemsajili Hakim Ziyech na inadaiwa kuwa kwenye makubaliano ya awali kumsajili Timo Werner wa RB Leipzig
- Aidha, Beki wa kushoto wa Leicester City, Ben Chilwell anaendelea kuwa mchezaji anayehitajika zaidi Stamford Bridge
#JFSports #Sports
JIKINGE DHIDI YA MAAMBUKIZI YA #CORONAVIRUS KWA KUZIJUA SEHEMU HATARISHI KWA WASAFIRI
> Msafiri yuko kwenye hatari kubwa ya kuambukizwa #COVID19 awapo safarini
> Ni muhimu kwa wasafiri kuzijua njia zote za kujikinga na hatari hiyo
Soma > https://jamii.app/COVID19VsWasafiri
#IshiNaCOVID19
> Msafiri yuko kwenye hatari kubwa ya kuambukizwa #COVID19 awapo safarini
> Ni muhimu kwa wasafiri kuzijua njia zote za kujikinga na hatari hiyo
Soma > https://jamii.app/COVID19VsWasafiri
#IshiNaCOVID19
BUNGENI, DODOMA: DAVID SILINDE ATANGAZA KUJIUNGA CCM
> Mbunge huyo wa Jimbo la Momba alijiuzulu nafasi zote baada ya CHADEMA kumtaka kufanya hivyo
> Spika Ndugai amempokea na alimuhamisha ili akae upande wa viti vya Wabunge wa CCM
Soma https://jamii.app/SilindeAhamiaCCM
#JFSiasa
> Mbunge huyo wa Jimbo la Momba alijiuzulu nafasi zote baada ya CHADEMA kumtaka kufanya hivyo
> Spika Ndugai amempokea na alimuhamisha ili akae upande wa viti vya Wabunge wa CCM
Soma https://jamii.app/SilindeAhamiaCCM
#JFSiasa
IRINGA: WATU 8 MBARONI KWA KUPOKEA MISHAHARA MIWILI KINYUME NA SHERIA
> TAKUKURU imewafikisha Mahakamani waajiriwa wa Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (RUCU)
> Wanatuhumiwa kufundisha Chuo hicho huku wakiwa ni waajiriwa wa Serikali
Soma https://jamii.app/WiziMilioni500
#JFLeo
> TAKUKURU imewafikisha Mahakamani waajiriwa wa Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (RUCU)
> Wanatuhumiwa kufundisha Chuo hicho huku wakiwa ni waajiriwa wa Serikali
Soma https://jamii.app/WiziMilioni500
#JFLeo
MTWARA: KIJANA ATUHUMIWA KUMUUA MZEE KWA PANGA ILI KUIBA KUKU NA SOLA
> Mukhsin Selemani(24) anatuhumiwa kumuua Hassan Mtipa (67) ktk tukio la wizi nyumbani kwa marehemu
> Polisi wamesema baada ya kukamatwa, mtuhumiwa alikiri kuiba na kufanya mauaji
Soma https://jamii.app/WiziMauajiMtwara
#JFLeo
> Mukhsin Selemani(24) anatuhumiwa kumuua Hassan Mtipa (67) ktk tukio la wizi nyumbani kwa marehemu
> Polisi wamesema baada ya kukamatwa, mtuhumiwa alikiri kuiba na kufanya mauaji
Soma https://jamii.app/WiziMauajiMtwara
#JFLeo
CHINA: DAWA YA #COVID19 KUJARIBIWA KWA MWANADAMU
> Dawa hiyo inayoitwa JS016, itajaribiwa kama haina madhara kwa mwanadamu
> Pia, dawa hiyo inachunguzwa kama inaweza kutumika yenyewe au itahitaji uwepo wa dawa nyingine
Soma https://jamii.app/ChinaDawaCOVID19
#JFCOVID19_Updates
> Dawa hiyo inayoitwa JS016, itajaribiwa kama haina madhara kwa mwanadamu
> Pia, dawa hiyo inachunguzwa kama inaweza kutumika yenyewe au itahitaji uwepo wa dawa nyingine
Soma https://jamii.app/ChinaDawaCOVID19
#JFCOVID19_Updates
UN: WATU MILIONI 49 WANAWEZA KUINGIA KWENYE UMASIKINI ULIOKITHIRI
> Umaskini uliokithiri utaongezeka kutokana na athari za #COVID19
> Pia, idadi ya watu watakao kuwa na upungufu wa chakula au ukosefu wa lishe bora itaongezeka haraka
Soma https://jamii.app/UmasikiniUliokithiri
#JFLeo
> Umaskini uliokithiri utaongezeka kutokana na athari za #COVID19
> Pia, idadi ya watu watakao kuwa na upungufu wa chakula au ukosefu wa lishe bora itaongezeka haraka
Soma https://jamii.app/UmasikiniUliokithiri
#JFLeo
UBELGIJI: SANAMU YA MFALME LEOPOLD II YAONDOLEWA ANTWERP
> Mfalme Leopold II anajulikana kwa kuwa na utawala wa chuma na katika utawala wake aliwaua takriban raia wa Congo milioni 10
> Alitawala kuanzia mwaka 1885 hadi mwaka 1908
Soma https://jamii.app/SanamuLeopoldII
#JFLeo
> Mfalme Leopold II anajulikana kwa kuwa na utawala wa chuma na katika utawala wake aliwaua takriban raia wa Congo milioni 10
> Alitawala kuanzia mwaka 1885 hadi mwaka 1908
Soma https://jamii.app/SanamuLeopoldII
#JFLeo
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
TUHUMA ZA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA: WABUNGE 69 WA CHADEMA KUHOJIWA TAKUKURU
- TAKUKURU inawahoji Wabunge 69, Wanachama na waliokuwa Wanachama wa CHADEMA
- Baadhi ya Wabunge walidai kukatwa fedha kwenye mishahara yao bila kujua matumizi yake
Soma https://jamii.app/CHADEMA-TAKUKURU
- TAKUKURU inawahoji Wabunge 69, Wanachama na waliokuwa Wanachama wa CHADEMA
- Baadhi ya Wabunge walidai kukatwa fedha kwenye mishahara yao bila kujua matumizi yake
Soma https://jamii.app/CHADEMA-TAKUKURU
UINGEREZA: MUME WA MALKIA ELIZABETH II, MWANAMFALME PHILIP ATIMIZA MIAKA 99
- Philip, amemuoa Malkia wa Uingereza, Elizabeth II (94) kwa zaidi ya miongo 7 iliyopita
- Kutokana na #COVID19, amejifungia na Mkewe katika nyumba ya Kifalme ya Windsor hivyo Wanafamilia wengine watatuma salamu kwa njia ya simu
Soma https://jamii.app/PrincePhilip99
#JFLeo
- Philip, amemuoa Malkia wa Uingereza, Elizabeth II (94) kwa zaidi ya miongo 7 iliyopita
- Kutokana na #COVID19, amejifungia na Mkewe katika nyumba ya Kifalme ya Windsor hivyo Wanafamilia wengine watatuma salamu kwa njia ya simu
Soma https://jamii.app/PrincePhilip99
#JFLeo
DKT. MOLLEL ASEMA WANASHUGHULIKIA TATIZO LA MADEREVA NAMANGA
- Amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya, Namanga na kuzungumza na madereva wa malori
- Madereva wamedai kuombwa Ksh. 2,000 (Tsh. 43,443) na Maafisa wa Kenya ili kuandikiwa hawana #COVID19
Soma https://jamii.app/MollelNamanga
#JFLeo
- Amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya, Namanga na kuzungumza na madereva wa malori
- Madereva wamedai kuombwa Ksh. 2,000 (Tsh. 43,443) na Maafisa wa Kenya ili kuandikiwa hawana #COVID19
Soma https://jamii.app/MollelNamanga
#JFLeo
MOROGORO: TAKUKURU INAMCHUNGUZA MBUNGE DKT. CHRISTINE
- Mbunge wa Viti Maalum(CCM), Dkt. Christine Ishengoma anachunguzwa akituhumiwa kugawa rushwa kwa wapiga kura
- Pia, aliyewahi kuwa Meya wa Morogoro, Amir Nondo amefikishwa Mahakamani kwa makosa ya uhujumu uchumi
Soma https://jamii.app/IshengomaTAKUKURU
- Mbunge wa Viti Maalum(CCM), Dkt. Christine Ishengoma anachunguzwa akituhumiwa kugawa rushwa kwa wapiga kura
- Pia, aliyewahi kuwa Meya wa Morogoro, Amir Nondo amefikishwa Mahakamani kwa makosa ya uhujumu uchumi
Soma https://jamii.app/IshengomaTAKUKURU
MOROGORO: HEKARI 100 ZA BANGI ZABAINIKA, VIONGOZI WA VIJIJI WATAKIWA KURIPOTI POLISI
> Polisi wamehoji Viongozi walikuwa wapi wakati shughuli hizo zikiendelea
> Afisa Mtendaji asema umbali kutoka makazi ya watu ni sababu ya kutogundua mashamba hayo mapema
Soma https://jamii.app/BangiHeka100
> Polisi wamehoji Viongozi walikuwa wapi wakati shughuli hizo zikiendelea
> Afisa Mtendaji asema umbali kutoka makazi ya watu ni sababu ya kutogundua mashamba hayo mapema
Soma https://jamii.app/BangiHeka100
BURUNDI: SPIKA KUONGOZA NCHI HADI NDAYISHIMIYE ATAKAPOAPISHWA
> Kwa mujibu wa Katiba ya nchi hiyo, Spika wa Bunge ataongoza hadi aliyeshinda Urais atakapoapishwa
> #Burundi imetangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 7 kufuatia kifo cha Rais Pierre
Soma https://jamii.app/BurundiSpikaRais
> Kwa mujibu wa Katiba ya nchi hiyo, Spika wa Bunge ataongoza hadi aliyeshinda Urais atakapoapishwa
> #Burundi imetangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 7 kufuatia kifo cha Rais Pierre
Soma https://jamii.app/BurundiSpikaRais