Akisoma Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2025/26 Bungeni, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Katika Bajeti ya 2024/25, Serikali ilipanga kukusanya Tsh. Trilioni 50.29, hadi Mei 25, 2025 Tsh. Trilioni 45.07 zimekusanywa sawa na Asilimia 86.6 ya lengo la Mwaka
Ameongeza kwa kusema "Serikali ya Awamu ya Sita imefanya mageuzi makubwa ambayo yameongeza mapato ya ndani, hivyo kila Mtanzania anatakiwa kuelewa kuwa Kodi yetu ndio Maendeleo yetu na Maendeleo hayawezi kupatikana kwa kutegemea Misaada, ni lazima tulipe kodi"
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji
Ameongeza kwa kusema "Serikali ya Awamu ya Sita imefanya mageuzi makubwa ambayo yameongeza mapato ya ndani, hivyo kila Mtanzania anatakiwa kuelewa kuwa Kodi yetu ndio Maendeleo yetu na Maendeleo hayawezi kupatikana kwa kutegemea Misaada, ni lazima tulipe kodi"
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema uwiano wa mapato ya ndani kwa Pato la Taifa umeongezeka kufikia 15.0% Mwaka 2023/24 kutoka 13.7% Mwaka 2020/21, ambapo amesema Mwenendo huu chanya unadhihirisha mageuzi makubwa kwenye ukusanyaji wa mapato
Aidha, amesema kuwa hadi Mei 2025, Serikali imefanikiwa kusaini mikataba 169 na wawekezaji mbalimbali. Amesema, hii itatusaidia kuondoa uwezekano wa kulea utovu wa tija (inefficiency) kwa wale wanaopata vivutio na kuhakikisha kuwa wanakuwa na kuhitimu kutoka katika mahitaji ya kulindwa.
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Aidha, amesema kuwa hadi Mei 2025, Serikali imefanikiwa kusaini mikataba 169 na wawekezaji mbalimbali. Amesema, hii itatusaidia kuondoa uwezekano wa kulea utovu wa tija (inefficiency) kwa wale wanaopata vivutio na kuhakikisha kuwa wanakuwa na kuhitimu kutoka katika mahitaji ya kulindwa.
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Serikali imesema baadhi ya maeneo yaliyopelekewa Fedha katika kipindi cha Julai 2024 hadi Mei 2025 ni ugharamiaji wa Deni la Serikali Tsh. Trilioni 11.16, ugharamiaji wa Mishahara ya Watumishi wa Umma Tsh. Trilioni 10.27; na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 Tsh. Bilioni 741.5.
Akisoma Bajeti Kuu Bungeni, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kulipa madeni yaliyohakikiwa ya Wakandarasi, Wazabuni na Watoa Huduma katika kujenga Taifa, ambapo kiasi cha Tsh. Trilioni 1.01 kimelipwa
Amesema ulipaji wa Madeni umesaidia kulinda Mitaji na kuchochea shughuli za kiuchumi Nchini
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji
Akisoma Bajeti Kuu Bungeni, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kulipa madeni yaliyohakikiwa ya Wakandarasi, Wazabuni na Watoa Huduma katika kujenga Taifa, ambapo kiasi cha Tsh. Trilioni 1.01 kimelipwa
Amesema ulipaji wa Madeni umesaidia kulinda Mitaji na kuchochea shughuli za kiuchumi Nchini
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji
Serikali imesema Tsh. Trilioni 1.58 zilitolewa katika ujenzi wa Barabara, Madaraja na Viwanja vya Ndege; Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Reli ikiwemo Mradi wa ujenzi wa Reli ya Kiwango cha Kimataifa (SGR) Tsh. Trilioni 1.68
Aidha, Mradi wa Kufua Umeme katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) MW 2,115 na Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) zilitolewa Tsh. Bilioni 574.8; na Ujenzi na Ukarabati wa Viwanja vya Mpira kwa ajili ya Maandalizi ya AFCON 2027 Tsh. Bilioni 179.8
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Aidha, Mradi wa Kufua Umeme katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) MW 2,115 na Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) zilitolewa Tsh. Bilioni 574.8; na Ujenzi na Ukarabati wa Viwanja vya Mpira kwa ajili ya Maandalizi ya AFCON 2027 Tsh. Bilioni 179.8
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Serikali imesema Tsh. Bilioni 636.0 zimetolewa katika Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu na Vyuo vya Kati; Programu ya Elimu ya Msingi na Sekondari bila Ada Tsh. Bilioni 444.7
Waziri Mwigulu Nchemba amefafanua kuwa Miradi ya Maji Mijini na Vijijini Tsh. Bilioni 378.7; Ununuzi wa Dawa, Vifaa, Vifaa tiba na Vitendanishi kwa ajili ya Hospitali za Mikoa, Kanda na Rufaa Tsh. Bilioni 414.7; Ujenzi na Ukarabati wa Hospitali za Wilaya, Mikoa, Kanda na Rufaa Tsh. Bilioni 47.2; na Ujenzi wa Vituo vya Afya na Zahanati Tsh. Bilioni 7.3.
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji
Waziri Mwigulu Nchemba amefafanua kuwa Miradi ya Maji Mijini na Vijijini Tsh. Bilioni 378.7; Ununuzi wa Dawa, Vifaa, Vifaa tiba na Vitendanishi kwa ajili ya Hospitali za Mikoa, Kanda na Rufaa Tsh. Bilioni 414.7; Ujenzi na Ukarabati wa Hospitali za Wilaya, Mikoa, Kanda na Rufaa Tsh. Bilioni 47.2; na Ujenzi wa Vituo vya Afya na Zahanati Tsh. Bilioni 7.3.
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akisoma Bajeti Kuu Bungeni, amesema Hadi Aprili 2025, Deni la Serikali lilikuwa Tsh. Trilioni 107.70, ambapo kati ya kiasi hicho, Deni la nje ni Tsh. Trilioni 72.94 na Deni la ndani ni Tsh. Trilioni 34.76
Amesema, tathmini ya Uhimilivu wa Deni iliyofanyika Oktoba 2024 imeonesha kuwa deni ni Himilivu katika kipindi cha muda mfupi, wa kati na mrefu
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji
Amesema, tathmini ya Uhimilivu wa Deni iliyofanyika Oktoba 2024 imeonesha kuwa deni ni Himilivu katika kipindi cha muda mfupi, wa kati na mrefu
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji
Serikali imesema Mwaka 1961 tulikuwa na Shule za Msingi 3,270, Walimu 9,885 na Wanafunzi 486,470. Shule za Sekondari 41, Walimu 764 na Wanafunzi 11,832. Vyuo vya Ualimu 8, Walimu 164, na Wanafunzi 1,723, Chuo kikuu kimoja, Wahadhiri 6 na Wanafunzi 14.
Hadi kufikia Mwaka 2024, Tanzania ilifikisha Shule za Msingi 20,533, Walimu 229,840 na Wanafunzi 11,391,185. Shule za Sekondari 6,269, Walimu 128,686 na Wanafunzi 3,314,198. Vyuo vya Ualimu 65, Walimu 1,633 na Wanafunzi 16,002, Vyuo Vikuu 79, Wahadhiri 8,625 na Wanafunzi 334,854
Serikali pia imeendelea kuongeza Vyumba vya Madarasa ya Elimu ya Msingi kutoka 128,425 Mwaka 2020 hadi Madarasa 155,330 Mwaka 2024 na Vyumba vya Madarasa ya Elimu ya Sekondari kutoka 46,928 Mwaka 2020 hadi 81,052 Mwaka 2024.
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Hadi kufikia Mwaka 2024, Tanzania ilifikisha Shule za Msingi 20,533, Walimu 229,840 na Wanafunzi 11,391,185. Shule za Sekondari 6,269, Walimu 128,686 na Wanafunzi 3,314,198. Vyuo vya Ualimu 65, Walimu 1,633 na Wanafunzi 16,002, Vyuo Vikuu 79, Wahadhiri 8,625 na Wanafunzi 334,854
Serikali pia imeendelea kuongeza Vyumba vya Madarasa ya Elimu ya Msingi kutoka 128,425 Mwaka 2020 hadi Madarasa 155,330 Mwaka 2024 na Vyumba vya Madarasa ya Elimu ya Sekondari kutoka 46,928 Mwaka 2020 hadi 81,052 Mwaka 2024.
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema "Kipindi cha Serikali ya Awamu ya 4 ulitokea uhalifu wenye sura ya Ugaidi uliohusisha urushwaji wa Mabomu kwenye Nyumba za Ibada, Mikusanyiko ya Watu na Mashambulizi ya Mtu mmoja mmoja wakiwemo Watu wenye Ulemavu wa Ngozi. Tumesahau hili? Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama vilisimama imara na kukomesha Uhalifu huo”
Ameongeza "Kipindi cha Serikali ya Awamu ya 5, ulitokea uhalifu wa Watoto kutekwa na kuuwawa, Mtu mmoja mmoja kupigwa risasi kwenye makazi yake au katika Utekelezaji wa majukumu yake. Waliuawa Wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji na Mitaa wanaotokana na CCM na tulishuhudia pia miili iliyokuwa kwenye Magunia na Mifuko ikiwa imetupwa Baharini. Na haya tumesahau? Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama vilisimama imara na kukomesha Uhalifu huo.”
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Ameongeza "Kipindi cha Serikali ya Awamu ya 5, ulitokea uhalifu wa Watoto kutekwa na kuuwawa, Mtu mmoja mmoja kupigwa risasi kwenye makazi yake au katika Utekelezaji wa majukumu yake. Waliuawa Wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji na Mitaa wanaotokana na CCM na tulishuhudia pia miili iliyokuwa kwenye Magunia na Mifuko ikiwa imetupwa Baharini. Na haya tumesahau? Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama vilisimama imara na kukomesha Uhalifu huo.”
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Serikali imesema Mafanikio makubwa yamepatikana ikiwemo kupandisha Vyeo Watumishi wa Umma 476,470 ambapo Jumla ya Tsh. Bilioni 689.9 zimetumika
Pia, kipindi cha kuanzia Mwaka 2021/22 hadi Mei 2025, Serikali imelipa madai ya malimbikizo ya Mishahara jumla ya Tsh. Bilioni 318.37 kwa Watumishi na Wastaafu 187,152.
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Pia, kipindi cha kuanzia Mwaka 2021/22 hadi Mei 2025, Serikali imelipa madai ya malimbikizo ya Mishahara jumla ya Tsh. Bilioni 318.37 kwa Watumishi na Wastaafu 187,152.
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Serikali imependekeza kutoza Ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha Tsh. 50 kwa kilo ya 'crisps' zinazozalishwa Nchini, na Tsh. 100 kwa kilo ya 'crisps' zinazoingizwa kutoka nje ya Nchi
Akisoma Bajeti Kuu, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema Lengo la hatua hii ni kupunguza athari za Kiafya ikiwemo ongezeko la uzito (Obesity) zinazotokana na matumizi ya bidhaa hizo na kuongeza Mapato ya Serikali. Hatua hii inatarajia kuongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha Tsh. Milioni 6,475;
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency
Akisoma Bajeti Kuu, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema Lengo la hatua hii ni kupunguza athari za Kiafya ikiwemo ongezeko la uzito (Obesity) zinazotokana na matumizi ya bidhaa hizo na kuongeza Mapato ya Serikali. Hatua hii inatarajia kuongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha Tsh. Milioni 6,475;
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025
#JamiiForums #JamiiAfrica #Accountability #BajetiKuu2025 #Governance #Uwajibikaji #Transparency