Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu.
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu.
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Serikali itagharamia matibabu ya aliyekuwa Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule (Prof. Jay) anayetibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili hadi hapo atakaporuhusiwa
Ametoa kauli hiyo alipofika Muhimbili leo kumjulia hali
Soma - https://jamii.app/SerikaliProfJ
#JFAfya
Ametoa kauli hiyo alipofika Muhimbili leo kumjulia hali
Soma - https://jamii.app/SerikaliProfJ
#JFAfya
MADAGASCAR: WALIOFARIKI KUTOKANA NA KIMBUNGA BATSIRAI WAFIKIA 111
#Batsirai kilikuwa Kimbunga cha pili kuathiri Taifa hilo ndani ya muda wa siku 14
Kimbunga Ana kilisababisha Vifo 55 na kupelekea Watu wapatao 130,000 kukosa Makazi
Soma - https://jamii.app/Batsirai111
#JFMatukio
#Batsirai kilikuwa Kimbunga cha pili kuathiri Taifa hilo ndani ya muda wa siku 14
Kimbunga Ana kilisababisha Vifo 55 na kupelekea Watu wapatao 130,000 kukosa Makazi
Soma - https://jamii.app/Batsirai111
#JFMatukio
BUNGENI: Mgombea pekee wa nafasi ya Unaibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu (Mbunge wa Ilala) amepata 98.33% ya Kura zilizopigwa
Wabunge 301 walipiga Kura, 296 wamepiga Kura za Ndiyo, 3 wamepiga Kura ya Hapana na Kura 2 zimeharibika
Soma - https://jamii.app/ZunguNaibuSpika
#Democracy
Wabunge 301 walipiga Kura, 296 wamepiga Kura za Ndiyo, 3 wamepiga Kura ya Hapana na Kura 2 zimeharibika
Soma - https://jamii.app/ZunguNaibuSpika
#Democracy
TANZANIA NA UFARANSA ZASAINI MIKATABA SITA
Miongoni mwa Makubaliano ni Mkataba wa Mkopo wa Masharti Nafuu wa Euro Milioni 178 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Ujenzi wa Barabara wa Mabasi Yaendayo Haraka
Soma - https://jamii.app/MikatabaTZFrance
#Governance
Miongoni mwa Makubaliano ni Mkataba wa Mkopo wa Masharti Nafuu wa Euro Milioni 178 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Ujenzi wa Barabara wa Mabasi Yaendayo Haraka
Soma - https://jamii.app/MikatabaTZFrance
#Governance
#SUDAN: Wanaharakati wanaopinga Mapinduzi wamesema zaidi ya Watu 2,000 wakiwemo Waandishi wa Habari, Wanasiasa wanaokosoa Jeshi na Watetezi wa Haki za Binadamu wamekamatwa bila kushtakiwa tangu Jeshi lilipopindua Serikali Oktoba 2021
Soma - https://jamii.app/SudanArrests
#Democracy
Soma - https://jamii.app/SudanArrests
#Democracy
MDAU: WAHITIMU WA VYUO VIKUU WANA MITAZAMO HASI KUHUSU AJIRA
Mdau anasema Wahitimu wa Vyuo wengi wanachagua Kazi kwa kujiona wana hadhi kubwa sana kuliko ambao hawana Elimu kama yao
Aidha, wana mtazamo kwamba kutoajiriwa na Serikali ni kuonewa na kutotendewa Haki hivyo hushinda vijiweni na kwenye Mitandao kuilaumu Serikali
Una maoni gani kuhusu hoja ya Mdau huyu?
Shiriki Mjadala - https://jamii.app/MitazamoVijanaVyuo
#JFMdau
Mdau anasema Wahitimu wa Vyuo wengi wanachagua Kazi kwa kujiona wana hadhi kubwa sana kuliko ambao hawana Elimu kama yao
Aidha, wana mtazamo kwamba kutoajiriwa na Serikali ni kuonewa na kutotendewa Haki hivyo hushinda vijiweni na kwenye Mitandao kuilaumu Serikali
Una maoni gani kuhusu hoja ya Mdau huyu?
Shiriki Mjadala - https://jamii.app/MitazamoVijanaVyuo
#JFMdau
MATAIFA MBALIMBALI YAWATAKA RAIA WAKE KUONDOKA UKRAINE
Baadhi ni Ujerumani, Uingereza, Australia, Canada, Norway, Denmark na Japan
Marekani imeonya kuwa Urusi inaweza kuivamia kijeshi Ukraine muda wowote, jambo ambalo Urusi imekuwa ikikanusha
Soma - https://jamii.app/UkraineCrisis
#Governance
Baadhi ni Ujerumani, Uingereza, Australia, Canada, Norway, Denmark na Japan
Marekani imeonya kuwa Urusi inaweza kuivamia kijeshi Ukraine muda wowote, jambo ambalo Urusi imekuwa ikikanusha
Soma - https://jamii.app/UkraineCrisis
#Governance
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu.
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022 ambapo Wataalamu mbalimbali wa #Afya wataeleza kwa kina kuhusu Saratani ya Watoto na namna ya kukabiliana nayo
Je, una swali gani au ungependa kufahamu nini kuhusu hali ya #Saratani kwa Watoto? Karibu ujiunge nasi katika Mjadala huu.
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
CHELSEA YAWA KLABU BINGWA YA DUNIA
Klabu ya Chelsea imefanikiwa kuwa Klabu Bingwa ya Dunia baada ya kuifunga Klabu ya Palmeiras goli 2-1 baada ya dakika 120
Chelsea imeshinda taji hilo kwa mara ya kwanza. Ilishindwa kupata taji hilo 2013 ilipofungwa na Klabu ya Corinthians
#JFSports
Klabu ya Chelsea imefanikiwa kuwa Klabu Bingwa ya Dunia baada ya kuifunga Klabu ya Palmeiras goli 2-1 baada ya dakika 120
Chelsea imeshinda taji hilo kwa mara ya kwanza. Ilishindwa kupata taji hilo 2013 ilipofungwa na Klabu ya Corinthians
#JFSports
NORWAY YAONDOA VIZUIZI VYA #COVID19
Waziri Mkuu asema raia wake wanalindwa vyema kwa Chanjo ya #CoronaVirus
Watu hawatolazimika kuvalia Barakoa ktk maeneo ya Umma wala kukaa umbali wa Mtu na Mtu. Watakaoathirika watakaa Nyumbani siku 4 tu
Soma - https://jamii.app/NoCoronaNorway
#UVIKO3 #JFAfya
Waziri Mkuu asema raia wake wanalindwa vyema kwa Chanjo ya #CoronaVirus
Watu hawatolazimika kuvalia Barakoa ktk maeneo ya Umma wala kukaa umbali wa Mtu na Mtu. Watakaoathirika watakaa Nyumbani siku 4 tu
Soma - https://jamii.app/NoCoronaNorway
#UVIKO3 #JFAfya
UJERUMANI: Raia wanamchagua Rais leo, Februari 13, 2022 kupitia Baraza la Wabunge na Wajumbe wa Majimbo yote 16
Rais wa Ujerumani huchaguliwa kila baada ya miaka 5 ambaye huwa Mkuu wa Nchi, tofauti na Kansela ambaye ni Mkuu wa Serikali
Soma - https://jamii.app/ElectionGermy
#Democracy
Rais wa Ujerumani huchaguliwa kila baada ya miaka 5 ambaye huwa Mkuu wa Nchi, tofauti na Kansela ambaye ni Mkuu wa Serikali
Soma - https://jamii.app/ElectionGermy
#Democracy
DAR: SOKO LA RANGITATU LAUNGUA MOTO
Soko hilo lililopo Mbagala limeungua usiku wa kuamkia leo (Februari 13, 2022) na Chanzo hakijafahamika
Matukio ya moto yameendelea kuripotiwa Nchini. Je, hatua stahiki zinachukuliwa kutatua changamoto hii?
Soma - https://jamii.app/MotoSokoMbagala
#JFMatukio #Accountability
Soko hilo lililopo Mbagala limeungua usiku wa kuamkia leo (Februari 13, 2022) na Chanzo hakijafahamika
Matukio ya moto yameendelea kuripotiwa Nchini. Je, hatua stahiki zinachukuliwa kutatua changamoto hii?
Soma - https://jamii.app/MotoSokoMbagala
#JFMatukio #Accountability
Februari 13 ni Siku ya Kimataifa ya Redio. Licha ya ukuaji wa Sayansi na Teknolojia, Redio imeendelea kuwa moja ya Vyombo vya Habari vinavyotumika na kuaminika zaidi
Hii ni kwasababu inaweza kusikilizwa kokote, hata maeneo yasiyo na Umeme wala Intaneti ya Uhakika. Kwa kiasi kikubwa, Redio imeziba pengo la kupata taarifa katika Jamii
#WorldRadioDay
Hii ni kwasababu inaweza kusikilizwa kokote, hata maeneo yasiyo na Umeme wala Intaneti ya Uhakika. Kwa kiasi kikubwa, Redio imeziba pengo la kupata taarifa katika Jamii
#WorldRadioDay
TANZIA: EDWIN RUTAGERUKA AFARIKI DUNIA
Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi, Balozi Edwin Rutageruka amefariki dunia leo, Februari 13, 2022
> Rutageruka aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE)
#RIPRutageruka
Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi, Balozi Edwin Rutageruka amefariki dunia leo, Februari 13, 2022
> Rutageruka aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE)
#RIPRutageruka
TUNISIA: WANANCHI WAANDAMANA KUPINGA RAIS SAIED KUJIONGEZEA MADARAKA
Rais wa #Tunisia, Kais Saied, ameimarisha Madaraka yake dhidi ya Mahakama baada ya kutangaza Kanuni inayomruhusu kuwafukuza kazi Majaji au kuwazuia kupandishwa cheo
Soma - https://jamii.app/KaisTunisia
#Democracy
Rais wa #Tunisia, Kais Saied, ameimarisha Madaraka yake dhidi ya Mahakama baada ya kutangaza Kanuni inayomruhusu kuwafukuza kazi Majaji au kuwazuia kupandishwa cheo
Soma - https://jamii.app/KaisTunisia
#Democracy
Jamii Forums kwa kushirikiana na Muhimbili University of Health and Applied Science (MUHAS), Muhimbili National Hospital (MNH), Tumaini la Maisha (TLM) na Wadau wengine wameandaa Mjadala utakaofanyika kupitia Clubhouse ya JamiiForums ili kuongeza uelewa juu ya Saratani kwa Watoto Nchini #Tanzania
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Mjadala huu unatarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 15, 2022
Link > https://jamii.app/MjadalaSarataniWatoto
#JamiiForums #CancerDay2022 #JFAfya
Marekani imetangaza dau la takriban Tsh. Bilioni 11.5 kwa atakayetoa taarifa zitakazofanikishwa kukamatwa kwa Kiongozi wa Waasi Nchini #Uganda, Joseph Kony
Joseph Kony ni kiongozi wa Kundi la Waasi la LRA na amesababisha mauaji zaidi ya 100,000
Soma - https://jamii.app/JosephKony
#JFMatukio
Joseph Kony ni kiongozi wa Kundi la Waasi la LRA na amesababisha mauaji zaidi ya 100,000
Soma - https://jamii.app/JosephKony
#JFMatukio
MAREKANI YAAHIRISHA UTOAJI WA CHANJO YA #COVID19 KWA WATOTO
Utoaji wa Chanjo kwa Watoto wenye miezi 6 hadi miaka 4 umeahirishwa baada ya idara ya Chakula na Dawa (FDA) kuhitaji Data zaidi
Chanjo hiyo ingeanza kutolewa Februari 21, 2022
Soma - https://jamii.app/COVID19Variants
#UVIKO3 #JFAfya
Utoaji wa Chanjo kwa Watoto wenye miezi 6 hadi miaka 4 umeahirishwa baada ya idara ya Chakula na Dawa (FDA) kuhitaji Data zaidi
Chanjo hiyo ingeanza kutolewa Februari 21, 2022
Soma - https://jamii.app/COVID19Variants
#UVIKO3 #JFAfya
AFYA: Kwa mujibu wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) mtu anaweza kupata madhara kiafya ikiwa kukosa usingizi wa kutosha ni sehemu ya maisha yake ya kila siku
Ili kupata usingizi mzuri, inashauriwa kuweka pembeni vifaa vya kielektroniki wakati wa kulala. Pia, kufanya mazoezi ya mwili kunaweza kukusaidia kulala kirahisi
Soma - https://jamii.app/AfyaUsingizi
#JFAfya
Ili kupata usingizi mzuri, inashauriwa kuweka pembeni vifaa vya kielektroniki wakati wa kulala. Pia, kufanya mazoezi ya mwili kunaweza kukusaidia kulala kirahisi
Soma - https://jamii.app/AfyaUsingizi
#JFAfya
UJERUMANI: RAIS FRANK-WALTER STEIMEIER ACHAGULIWA KUONGOZA MUHULA WA PILI
Ameungwa Mkono na Vyama vyote 3 vinavyounda Serikali ya Mseto, pamoja na Chama cha Upinzani cha Wahafidhina cha CDU
Wadhifa wa Rais Nchini Ujerumani ni wa Heshima
Soma - https://jamii.app/RaisUjerumani
#Governance
Ameungwa Mkono na Vyama vyote 3 vinavyounda Serikali ya Mseto, pamoja na Chama cha Upinzani cha Wahafidhina cha CDU
Wadhifa wa Rais Nchini Ujerumani ni wa Heshima
Soma - https://jamii.app/RaisUjerumani
#Governance