MATOKEO KIDATO CHA 4: WANAFUNZI WAONESHA UMWAMBA KWENYE KISWAHILI NA KEMIA
Katika wanafunzi waliofaulu mtihani wa kidato cha nne 2021, waliofaulu Kiswahili ni 95.58% na Kemia 92.02%
> Hisabati imeendelea kuwaburuza, waliofaulu Hisabati ni 19.24%
Soma https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
Katika wanafunzi waliofaulu mtihani wa kidato cha nne 2021, waliofaulu Kiswahili ni 95.58% na Kemia 92.02%
> Hisabati imeendelea kuwaburuza, waliofaulu Hisabati ni 19.24%
Soma https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
WASICHANA WANGβARA KUMI BORA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021
Nafasi ya Kwanza hadi ya Saba zimeshilikiliwa na Wasichana, ya Nane na Tisa zimeshikiliwa na Wavulana
Nafasi ya Kumi pia imefungwa na Msichana
Soma - https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
Nafasi ya Kwanza hadi ya Saba zimeshilikiliwa na Wasichana, ya Nane na Tisa zimeshikiliwa na Wavulana
Nafasi ya Kumi pia imefungwa na Msichana
Soma - https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
UN: WATU TAKRIBAN 108 WAMEUAWA TANGU JANUARI MOSI 2022 NCHINI #ETHIOPIA
Raia hao wameuawa ktk mashambulizi ya anga kwenye Jimbo la #Tigray
Mashambulizi yalifanyika dhidi ya Basi dogo, Uwanja wa Ndege na kambi ya Watu wasio na makazi
Soma - https://jamii.app/DeathTigrayJAN
#HumanRights
Raia hao wameuawa ktk mashambulizi ya anga kwenye Jimbo la #Tigray
Mashambulizi yalifanyika dhidi ya Basi dogo, Uwanja wa Ndege na kambi ya Watu wasio na makazi
Soma - https://jamii.app/DeathTigrayJAN
#HumanRights
SHULE MOJA YA SERIKALI YAINGIA KUMI BORA
Mzumbe Sekondari iliyopo Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro imekuwa Shule pekee ya Serikali iliyoingia kumi bora
Imeshika nafasi ya kumi huku nafasi tisa za awali zikishikwa na Shule binafsi
Soma - https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
Mzumbe Sekondari iliyopo Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro imekuwa Shule pekee ya Serikali iliyoingia kumi bora
Imeshika nafasi ya kumi huku nafasi tisa za awali zikishikwa na Shule binafsi
Soma - https://jamii.app/CSEE2021
#JFElimu
UTAFITI: 2021 UMESHIKA NAFASI YA 6 KWA MIAKA YENYE JOTO ZAIDI
Ni kwa Takwimu za Shirika la Utafiti wa Anga za Mbali (NASA) na Idara ya Bahari na Anga(NOAA)
Wastani wa Joto ulikuwa nyuzi joto 1.51 za kipimo cha Celsius juu ya viwango vya karne ya 20
Soma https://jamii.app/2021JotoNo6
Ni kwa Takwimu za Shirika la Utafiti wa Anga za Mbali (NASA) na Idara ya Bahari na Anga(NOAA)
Wastani wa Joto ulikuwa nyuzi joto 1.51 za kipimo cha Celsius juu ya viwango vya karne ya 20
Soma https://jamii.app/2021JotoNo6
DAR: SOKO LA KARUME LATEKETEA KWA MOTO
Soko la Karume lililopo Wilayani Ilala Dar es Salaam limeteketea kwa moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika
> Taarifa zaidi kukujia
Soma - https://jamii.app/KarumeMoto
#JFMatukio
Soko la Karume lililopo Wilayani Ilala Dar es Salaam limeteketea kwa moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika
> Taarifa zaidi kukujia
Soma - https://jamii.app/KarumeMoto
#JFMatukio
Polisi Nchini #Haiti imesema Seneta wa zamani, John Joel Joseph ambaye ni mshukiwa mkuu ktk mauaji ya aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo ametiwa mbaroni Nchini #Jamaica
Rais Moise alivamiwa Nyumbani kwake Julai 7, 2020 na kuuawa kwa kupigwa risasi
Soma - https://jamii.app/JosephHaitiArr
#Accountability
Rais Moise alivamiwa Nyumbani kwake Julai 7, 2020 na kuuawa kwa kupigwa risasi
Soma - https://jamii.app/JosephHaitiArr
#Accountability
TANGA: TRENI YA ABIRIA YAPATA AJALI, MTOTO AFARIKI
Treni iliyokuwa inatoka Arusha kuelekea Dar ikiwa na abiria 700 imepata ajali alfajiri ya leo, Januari 16 Wilayani Pangani
Mabehewa 5 yamepinduka, 4 yameacha njia na kusababisha majeruhi 5
Soma - https://jamii.app/AjaliTRC
#JFMatukio
Treni iliyokuwa inatoka Arusha kuelekea Dar ikiwa na abiria 700 imepata ajali alfajiri ya leo, Januari 16 Wilayani Pangani
Mabehewa 5 yamepinduka, 4 yameacha njia na kusababisha majeruhi 5
Soma - https://jamii.app/AjaliTRC
#JFMatukio
AUSTRALIA: Mahakama ya Shirikisho la #Australia imeikataa rufaa iliyoletwa na Bingwa wa Tennis Duniani, Novak Djokovic akipinga kufutwa kwa 'visa' yake na kufukuzwa kwa kutochoma Chanjo
Michuano ya #Tennis ya Australian Open inaanza leo, Januri 17 ambapo alikuwa amenuia kutafuta taji la 21 la Grand Slam
Soma - https://jamii.app/DjokovicNoRufaa
#JFSports
Michuano ya #Tennis ya Australian Open inaanza leo, Januri 17 ambapo alikuwa amenuia kutafuta taji la 21 la Grand Slam
Soma - https://jamii.app/DjokovicNoRufaa
#JFSports
RIPOTI: MATAJIRI WATAJIRIKA ZAIDI WAKATI WA COVID-19
Shirika la Oxfam lasema utajiri wa Mabilionea 10 wakubwa zaidi umeongezeka maradufu wakati wa #CoronaVirus
Mapato ya chini ya Mataifa masikini zaidi yalichangia vifo vya watu 21,000 kila siku
Soma - https://jamii.app/OxfamReport
#JFMatukio
Shirika la Oxfam lasema utajiri wa Mabilionea 10 wakubwa zaidi umeongezeka maradufu wakati wa #CoronaVirus
Mapato ya chini ya Mataifa masikini zaidi yalichangia vifo vya watu 21,000 kila siku
Soma - https://jamii.app/OxfamReport
#JFMatukio
MDAU: WANASIASA WANAWACHUKULIAJE WANANCHI WA KAWAIDA?
Anasema kwa Mfano katika Kampeni za Uchaguzi, Mwanasiasa huweza kuwaambia Wananchi jambo fulani litakamilika muda mfupi tu baada ya kumchagua, lakini inaweza kupita hata miaka 10 hakuna kinachofanyika
Anashauri wananchi kujitahidi kadri ya uwezo wao kung'amua Mwanasiasa anayefaa na asiyefaa kupitia vitendo vyao na si maneno. Pia, Wanasiasa wanapaswa kujua zama zimebadilika, sasa sio kama zamani
Soma - https://jamii.app/SOCSiasa
#StoriesOfChange #JFSiasa #Uwajibikaji
Anasema kwa Mfano katika Kampeni za Uchaguzi, Mwanasiasa huweza kuwaambia Wananchi jambo fulani litakamilika muda mfupi tu baada ya kumchagua, lakini inaweza kupita hata miaka 10 hakuna kinachofanyika
Anashauri wananchi kujitahidi kadri ya uwezo wao kung'amua Mwanasiasa anayefaa na asiyefaa kupitia vitendo vyao na si maneno. Pia, Wanasiasa wanapaswa kujua zama zimebadilika, sasa sio kama zamani
Soma - https://jamii.app/SOCSiasa
#StoriesOfChange #JFSiasa #Uwajibikaji
MDAU: MAMBO YA KUZINGATIA KABLA HUJAANZA KUFUGA KUKU KIBIASHARA
1. Uwepo wako (Availability): Anasema kabla ya kuanza ufugaji wa Kuku Kibiashara hakikisha unapata nafasi ya kushiriki kwa karibu katika mradi wako
2. Kujitoa (Commitment): Unatakiwa kujitoa kweli kwa kuweka imani kuwa hawa Kuku ndio ajira yangu, watanisaidia kuendesha familia yangu
Zaidi, soma - https://jamii.app/KukuBiashara
#JFMdau
1. Uwepo wako (Availability): Anasema kabla ya kuanza ufugaji wa Kuku Kibiashara hakikisha unapata nafasi ya kushiriki kwa karibu katika mradi wako
2. Kujitoa (Commitment): Unatakiwa kujitoa kweli kwa kuweka imani kuwa hawa Kuku ndio ajira yangu, watanisaidia kuendesha familia yangu
Zaidi, soma - https://jamii.app/KukuBiashara
#JFMdau
DAR: Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake
Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa Mahakimu Wakazi na kuwataka waepuke kuzungumzia masuala ya Mahakama kwenye makundi ya WhatsApp
Soma - https://jamii.app/UapishoMahakimu
#JFSheria
Ameeleza hayo katika Hafla ya kuapishwa Mahakimu Wakazi na kuwataka waepuke kuzungumzia masuala ya Mahakama kwenye makundi ya WhatsApp
Soma - https://jamii.app/UapishoMahakimu
#JFSheria
DAR: Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya Wafanyabiashara wa soko la Karume (Mchikichini) wakishinikiza kuruhusiwa kuendelea na biashara ktk soko hilo lililoungua
Walitumia mawe na magogo kufunga Barabara ktk makutano ya Uhuru na Kawawa, Ilala Boma
Soma - https://jamii.app/MachingaMabomu
#JFMatukio
Walitumia mawe na magogo kufunga Barabara ktk makutano ya Uhuru na Kawawa, Ilala Boma
Soma - https://jamii.app/MachingaMabomu
#JFMatukio
SUDAN: Madaktari Nchini humo wameandama kupinga mashambulizi dhidi ya Hospitali na Vikosi vya Usalama
Aidha, Mamlaka imekifuta kibali cha kituo cha Habari cha Al Jazeera Mubasher cha #Qatar pamoja na vibali vya Waandishi wake wawili
Soma - https://jamii.app/BanAlJazeeraSudan
#PressFreedom
Aidha, Mamlaka imekifuta kibali cha kituo cha Habari cha Al Jazeera Mubasher cha #Qatar pamoja na vibali vya Waandishi wake wawili
Soma - https://jamii.app/BanAlJazeeraSudan
#PressFreedom
MDAU: USIKIMBILIE UJASIRIAMALI KISA UMECHOKA BARUA ZA ONYO ZA MWAJIRI WAKO
Anasema Ujasiriamali ni kazi ngumu ambayo kila kitu kinategemea jitihada na Akili zako mwenyewe. Kwa Mwajiri una uhakika wa Mshahara lakini kujiajiri inategemea kiasi gani ulijitoa
Anasema kama kazi ya Mwajiri unaona ni mzigo, basi kinachokusumbua ni uvivu. Ujasiriamali unahitaji Nguvu na Nidhamu ya kiwango cha juu kuliko ulivyokuwa kwa Mwajiri wako.
Mjadala, soma - https://jamii.app/AjiraVsUjasiriamali
#Ujasiriamali #JFMdau
Anasema Ujasiriamali ni kazi ngumu ambayo kila kitu kinategemea jitihada na Akili zako mwenyewe. Kwa Mwajiri una uhakika wa Mshahara lakini kujiajiri inategemea kiasi gani ulijitoa
Anasema kama kazi ya Mwajiri unaona ni mzigo, basi kinachokusumbua ni uvivu. Ujasiriamali unahitaji Nguvu na Nidhamu ya kiwango cha juu kuliko ulivyokuwa kwa Mwajiri wako.
Mjadala, soma - https://jamii.app/AjiraVsUjasiriamali
#Ujasiriamali #JFMdau
MICHEZO: Tiketi za Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi 'Winter Olympics' iliyopangwa kuanza Februari 4, 2022 huko Beijing zitatolewa kwa makundi kadhaa ya watu na hazitauzwa kwa Umma
China inapambana kudhibiti maambukizi ya #Omicron
Soma - https://jamii.app/BeijingWO
#JFSports
China inapambana kudhibiti maambukizi ya #Omicron
Soma - https://jamii.app/BeijingWO
#JFSports
#AFCON2021: CAMEROON, BURKINA FASO ZAFUZU HATUA YA MTOANO
Mwenyeji wa michuano, #TeamCameroon ameingia hatua ya mtoano baada ya kutoka sare ya goli 1-1 na #TeamCapeVerde
Aidha, #TeamBurkinaFaso imetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya goli 1-1 na #TeamEthiopia
#JFSports
Mwenyeji wa michuano, #TeamCameroon ameingia hatua ya mtoano baada ya kutoka sare ya goli 1-1 na #TeamCapeVerde
Aidha, #TeamBurkinaFaso imetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya goli 1-1 na #TeamEthiopia
#JFSports
LIBYA: Umoja wa Mataifa (UN) umependekeza Uchaguzi wa Rais ulioshindwa kufanyika Desemba 2021 kufanyika Juni 2022
Mshauri Maalum wa UN kuhusu Masuala ya Libya, Stephanie Williams asema Raia wanataka kuchagua Serikali ya Kidemokrasia
Soma - https://jamii.app/UNUchaguziLibya
#Democracy
Mshauri Maalum wa UN kuhusu Masuala ya Libya, Stephanie Williams asema Raia wanataka kuchagua Serikali ya Kidemokrasia
Soma - https://jamii.app/UNUchaguziLibya
#Democracy