ARUSHA: Akizungumzia kuhusu kuwawezesha Wanawake kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 katika masuala ya Uhakiki wa Taarifa, Mkurugenzi Mtendaji wa #JamiiAfrica, Maxence Melo amesema Taasisi hiyo imekuwa ikitoa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wadau wa Habari Wanawake na programu hizo zimekuwa zikiendelea
Amesema “Tulikuwa na Mradi maalumu pamoja na WiLDAF kuhusu kuwajengea uwezo Wanawake, pia kama kuna mapendekezo mengine yoyote kutoka kwa Wadau tupo tayari kuyapokea na ikiwezekana kushirikiana nao.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #VisitJamiiCheck #FactsCheck #HakikiTaarifa #FactsChecking #MisDis04
Amesema “Tulikuwa na Mradi maalumu pamoja na WiLDAF kuhusu kuwajengea uwezo Wanawake, pia kama kuna mapendekezo mengine yoyote kutoka kwa Wadau tupo tayari kuyapokea na ikiwezekana kushirikiana nao.”
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #VisitJamiiCheck #FactsCheck #HakikiTaarifa #FactsChecking #MisDis04
ARUSHA: Akisoma maazimio ya Wadau wa Habari katika kuadhimisha Miaka 32 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2025, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica, Maxence Melo amesema Wadau wa Sekta ya Habari Nchini wanaungana kuendeleza na kulinda misingi ya Uhuru, Uwazi na Kujisimamia kwa Vyombo vya Habari
Amesema Kaulimbiu ya Mwaka 2025 ya “Uhabarishaji katika Dunia Mpya: Mchango wa Akili Mnemba kwenye Uhuru wa Vyombo vya Habari,” inaakisi mabadiliko makubwa ya Kidigitali yanayoendelea kuibadilisha Tasnia ya Habari Duniani kote
Ameeleza kuwa Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inabadilisha kwa kasi namna taarifa zinavyokusanywa, kuchakatwa na kusambazwa.
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Amesema Kaulimbiu ya Mwaka 2025 ya “Uhabarishaji katika Dunia Mpya: Mchango wa Akili Mnemba kwenye Uhuru wa Vyombo vya Habari,” inaakisi mabadiliko makubwa ya Kidigitali yanayoendelea kuibadilisha Tasnia ya Habari Duniani kote
Ameeleza kuwa Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inabadilisha kwa kasi namna taarifa zinavyokusanywa, kuchakatwa na kusambazwa.
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
ARUSHA: Maazimio ya Wadau wa Habari katika kuadhimisha Miaka 32 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2025 yanaeleza kuwa Teknolojia inaleta fursa kubwa katika kuongeza ufanisi wa Uandishi wa Habari, Upatikanaji wa taarifa na kutatua changamoto ya utofauti katika Lugha
Akisoma maazimio hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica, Maxence Melo ameeleza Teknolojia inaibua changamoto mpya kama vile upendeleo wa kimfumo, (Algorithmic bias), taarifa potofu, Migogoro ya Maadili na hatari kwa Uadilifu wa habari
Kwa muktadha huo, kuna haja ya kuweka uwiano sahihi kati ya ubunifu wa Kiteknolojia na Uwajibikaji ili kuhakikisha Uhuru wa Vyombo vya Habari unadumishwa katika zama hizi za Kidijitali.
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
Akisoma maazimio hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica, Maxence Melo ameeleza Teknolojia inaibua changamoto mpya kama vile upendeleo wa kimfumo, (Algorithmic bias), taarifa potofu, Migogoro ya Maadili na hatari kwa Uadilifu wa habari
Kwa muktadha huo, kuna haja ya kuweka uwiano sahihi kati ya ubunifu wa Kiteknolojia na Uwajibikaji ili kuhakikisha Uhuru wa Vyombo vya Habari unadumishwa katika zama hizi za Kidijitali.
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia
ARUSHA: Nuzulack Dausen, Mkurugenzi wa Nukta Africa anasema kuna Watu wanaanzisha taarifa potoshi wakiwa na lengo la kujiingizia kipato kutokana na kuamini wanapofanya hivyo wakitumia njia za kuvutia inaweza kuwavutia Watu kubonyeza au kufuatilia taarifa zao
Ameeleza kuwa wengine wanafanya taarifa hizo makusudi kwasababu zao za Kisiasa. Wanaweza kufanya hivyo kwa lengo la kuhamisha fikra za Watu ili waache kujadili kitu fulani na wajadili suala analotaka yeye
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Ameeleza kuwa wengine wanafanya taarifa hizo makusudi kwasababu zao za Kisiasa. Wanaweza kufanya hivyo kwa lengo la kuhamisha fikra za Watu ili waache kujadili kitu fulani na wajadili suala analotaka yeye
Soma https://jamii.app/WPFD2025DayTwo
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #FactChecking
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa, amesema Waandishi wa Habari wanao wajibu wa kusaidia umma kubaini Taarifa za ukweli na uongo, na wanaweza kutumia Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) kuongeza tija licha ya kuwa nayo inachangia kuzalishwa kwa Taarifa za uongo
Ameyasema hayo Mei 2, 2025 katika mafunzo ya Siku moja ya Wanahabari 150, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo inaadhimishwa Mei 3, ambapo Kaulimbiu ya Mwaka 2025 ni “Uhabarishaji kwenye Dunia Mpya: Mchango wa Akili Mnemba/Unde kwenye Uhuru wa Vyombo vya Habari.”
Aidha, ametoa kongole kwa #JamiiAfrica ambayo imekuwa ikishughulikia kubaini Taarifa sahihi na zisizo sahihi kupitia Jukwaa la #JamiiCheck
Soma https://jamii.app/WPFD2025
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #VisitJamiiCheck #FactsCheck #HakikiTaarifa #FactsChecking #MisDis04
Ameyasema hayo Mei 2, 2025 katika mafunzo ya Siku moja ya Wanahabari 150, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo inaadhimishwa Mei 3, ambapo Kaulimbiu ya Mwaka 2025 ni “Uhabarishaji kwenye Dunia Mpya: Mchango wa Akili Mnemba/Unde kwenye Uhuru wa Vyombo vya Habari.”
Aidha, ametoa kongole kwa #JamiiAfrica ambayo imekuwa ikishughulikia kubaini Taarifa sahihi na zisizo sahihi kupitia Jukwaa la #JamiiCheck
Soma https://jamii.app/WPFD2025
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #MediaAndAI #AIForMedia #VisitJamiiCheck #FactsCheck #HakikiTaarifa #FactsChecking #MisDis04
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
DAR: Wakili Jebra Kambole ametoa wito kwa Uongozi wa Mahakama kusimamia suala la Haki ya Wananchi kupata taarifa ya kinachoendelea Mahakamani, akitoa mfano wa Maafisa wa Usalama kuwapiga na kuwazuia Wanahabari kutimiza majukumu yao ya kuwahabarisha Wananchi
Soma https://jamii.app/MawakiliMei3
#JamiiForums #Democracy #WPFD2025 #WorldPressFreedomDay #PressFreedom
Soma https://jamii.app/MawakiliMei3
#JamiiForums #Democracy #WPFD2025 #WorldPressFreedomDay #PressFreedom
👍1
Media is too big
VIEW IN TELEGRAM
SHINYANGA: Serikali imesema Vitambulisho vya Kidigitali kwa Waandishi wa Habari vinatarajiwa kuanza kutolea wiki moja kutoka leo Mei 3, 2025
Hayo yamesemwa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ambaye ameongeza kuwa Bodi ya Ithibati ya Wanahabari haitasita kuwafutia usajili Wanahabari watakaokwenda kinyume cha Kanuni na Maadili ya kazi zao
Soma https://jamii.app/KitambulishoMwandishi
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #JamiiForums #JamiiAfrica
Hayo yamesemwa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ambaye ameongeza kuwa Bodi ya Ithibati ya Wanahabari haitasita kuwafutia usajili Wanahabari watakaokwenda kinyume cha Kanuni na Maadili ya kazi zao
Soma https://jamii.app/KitambulishoMwandishi
#WorldPressFreedomDay #WPFD2025 #PressFreedom #JamiiForums #JamiiAfrica
👍3
Leo Mei 6, 2025, IMS, JamiiAfrica na UTPC kwa pamoja wamezindua Mradi wenye lengo la “Kuwawezesha Wanahabari kwaajili ya Jamii yenye taarifa sahihi Tanzania.”
Kupitia ushirikiano huu, Wanahabari watajengewa uwezo wa kuelewa mahitaji ya jamii na kutayarisha maudhui yanayoendana nayo, tafiti zitafanyika kutambua na kujaribu mbinu anuai za kupambana na upotoshaji na Vyombo vya Habari vitawezeshwa kuweza kutekeleza mbinu hizo kwa manufaa ya Umma
Soma https://jamii.app/JamiiAfricaIMSUTPC
#JamiiForums #JamiiAfrica #CitizenEmpowerment #PressFreedom
Kupitia ushirikiano huu, Wanahabari watajengewa uwezo wa kuelewa mahitaji ya jamii na kutayarisha maudhui yanayoendana nayo, tafiti zitafanyika kutambua na kujaribu mbinu anuai za kupambana na upotoshaji na Vyombo vya Habari vitawezeshwa kuweza kutekeleza mbinu hizo kwa manufaa ya Umma
Soma https://jamii.app/JamiiAfricaIMSUTPC
#JamiiForums #JamiiAfrica #CitizenEmpowerment #PressFreedom
DRC: Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imepiga marufuku Vyombo vya Habari Nchini humo kuripoti shughuli zote za aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo, Joseph Kabila, pamoja na kuwahoji Wanachama wa Chama chake cha Siasa
Agizo hili linakuja wakati kukiwa na Mivutano mikali ya Kisiasa kati ya Kabila na Serikali ya Rais Félix Tshisekedi, ambapo Mamlaka ya kusimamia Vyombo vya Habari nchini DRC (CSAC) imesema Chombo chochote kitakachokiuka marufuku hiyo kitakabiliwa na adhabu, ikiwemo kufungiwa
Mamlaka Nchini humo inaripotiwa kuongeza juhudi za kumfungulia mashtaka Kabila kwa tuhuma za Uhaini na madai ya kuwa na mafungamano na kundi la Waasi la M23, ambalo limekuwa likipambana na jeshi la Serikali, Mashariki mwa Nchi japokuwa Kabila amekanusha madai hayo
Soma https://jamii.app/BanReportingKabila
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #PressFreedom #Democracy
Agizo hili linakuja wakati kukiwa na Mivutano mikali ya Kisiasa kati ya Kabila na Serikali ya Rais Félix Tshisekedi, ambapo Mamlaka ya kusimamia Vyombo vya Habari nchini DRC (CSAC) imesema Chombo chochote kitakachokiuka marufuku hiyo kitakabiliwa na adhabu, ikiwemo kufungiwa
Mamlaka Nchini humo inaripotiwa kuongeza juhudi za kumfungulia mashtaka Kabila kwa tuhuma za Uhaini na madai ya kuwa na mafungamano na kundi la Waasi la M23, ambalo limekuwa likipambana na jeshi la Serikali, Mashariki mwa Nchi japokuwa Kabila amekanusha madai hayo
Soma https://jamii.app/BanReportingKabila
#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #PressFreedom #Democracy
❤3
DAR: Imeelezwa kuwa nguvu kubwa ya Kiuchumi ya Kampuni na Taasisi za Kidigitali imechangia kuvinyonya Kiuchumi Vyombo vya Habari vinavyotambulika kama "Traditional Media" (ikiwemo Magazeti, Vituo vya Runinga na Redio) kwa kuwa vimeshindwa kuendana na kasi ya ukuaji wa Soko la Digitali
Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Ernest Sungura amesema kutokana na hali hiyo Vyombo vya Habari hivyo vinatakiwa kujengewa uwezo na Wadau ili viweze kushindana na Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
Amesema kuwa hali hiyo imesababisha Uchumi wa TV, Redio na Magazeti kudorora kiasi kwamba hata taarifa zenye maslahi kwa Umma nazo zimekuwa changamoto kufanyika katika ubora unaotakiwa ikiwemo Habari za Uchunguzi
Soma https://jamii.app/MabarazaYaHabari
#JamiiForums #JamiiAfrica
#PressFreedom #DigitalRights #Accountability
Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Ernest Sungura amesema kutokana na hali hiyo Vyombo vya Habari hivyo vinatakiwa kujengewa uwezo na Wadau ili viweze kushindana na Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
Amesema kuwa hali hiyo imesababisha Uchumi wa TV, Redio na Magazeti kudorora kiasi kwamba hata taarifa zenye maslahi kwa Umma nazo zimekuwa changamoto kufanyika katika ubora unaotakiwa ikiwemo Habari za Uchunguzi
Soma https://jamii.app/MabarazaYaHabari
#JamiiForums #JamiiAfrica
#PressFreedom #DigitalRights #Accountability
❤4