TACC: DRONES ZINALETA CHANGAMOTO KWA WAONGOZA NDEGE
> Rais wa Chama cha Waongoza Ndege (TACC) amesema, #Drones hurahisisha kazi kama ujenzi wa Miundombinu na Upigaji picha lakini wanashindwa kuzifuatilia kutokana na kutoonekana zikiwa Angani
Soma https://jamii.app/DroniChagamoto
#JFLeo
> Rais wa Chama cha Waongoza Ndege (TACC) amesema, #Drones hurahisisha kazi kama ujenzi wa Miundombinu na Upigaji picha lakini wanashindwa kuzifuatilia kutokana na kutoonekana zikiwa Angani
Soma https://jamii.app/DroniChagamoto
#JFLeo
CATC: KUOMBA LESENI YA KURUSHA DRONES NI BAADA YA MAFUNZO
- Chuo Cha Usafiri wa Anga (CATC) kitaendesha mafunzo ya #drones ya wiki 4 kuanzia Januari kwa Tsh. 1,980,000
- Watakaohitimu wataweza kuomba leseni ya kurusha drones kutoka TCAA
Soma https://jamii.app/MafunzoDrones
- Chuo Cha Usafiri wa Anga (CATC) kitaendesha mafunzo ya #drones ya wiki 4 kuanzia Januari kwa Tsh. 1,980,000
- Watakaohitimu wataweza kuomba leseni ya kurusha drones kutoka TCAA
Soma https://jamii.app/MafunzoDrones