JamiiForums
52.5K subscribers
34.4K photos
2.47K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
TACC: DRONES ZINALETA CHANGAMOTO KWA WAONGOZA NDEGE

> Rais wa Chama cha Waongoza Ndege (TACC) amesema, #Drones hurahisisha kazi kama ujenzi wa Miundombinu na Upigaji picha lakini wanashindwa kuzifuatilia kutokana na kutoonekana zikiwa Angani

Soma https://jamii.app/DroniChagamoto
#JFLeo
CATC: KUOMBA LESENI YA KURUSHA DRONES NI BAADA YA MAFUNZO

- Chuo Cha Usafiri wa Anga (CATC) kitaendesha mafunzo ya #drones ya wiki 4 kuanzia Januari kwa Tsh. 1,980,000

- Watakaohitimu wataweza kuomba leseni ya kurusha drones kutoka TCAA

Soma https://jamii.app/MafunzoDrones