#JFDATA: Kwa mujibu wa Takwimu za Umoja wa Mataifa, uhaba wa Maji unaathiri zaidi ya 40% ya Watu wote
Watu 3 kati ya 10 wanakosa Huduma za Maji safi ya kunywa
Aidha, Takwimu zinaonesha takriban Watoto 1,000 hufariki dunia kutokana na Magonjwa yanayohusishwa na Maji/Usafi
Zaidi, soma - https://jamii.app/WWWeek2022
#WorldWaterWeek
Watu 3 kati ya 10 wanakosa Huduma za Maji safi ya kunywa
Aidha, Takwimu zinaonesha takriban Watoto 1,000 hufariki dunia kutokana na Magonjwa yanayohusishwa na Maji/Usafi
Zaidi, soma - https://jamii.app/WWWeek2022
#WorldWaterWeek
👍6
MAJI UNAYOTUMIA NI SAFI NA SALAMA?
Kwenye Maisha ya kila siku, Maji hayawezi kutenganishwa na Usafi kwani vyote vina umuhimu mkubwa hususan Kiafya
Maji yasiyo salama na ukosefu wa vyoo vinatajwa kudhoofisha jitihada za kupambana na baadhi ya Magonjwa katika Nchi masikini
Zaidi, soma - https://jamii.app/MajiSafi
#WorldWaterWeek #PublicHealth #JAfya
Kwenye Maisha ya kila siku, Maji hayawezi kutenganishwa na Usafi kwani vyote vina umuhimu mkubwa hususan Kiafya
Maji yasiyo salama na ukosefu wa vyoo vinatajwa kudhoofisha jitihada za kupambana na baadhi ya Magonjwa katika Nchi masikini
Zaidi, soma - https://jamii.app/MajiSafi
#WorldWaterWeek #PublicHealth #JAfya
👍6👎1