Unaposhiriki kutoa maoni yako au kutafuta taarifa, iwe mtandaoni au nje ya Mtandao, unatekeleza Haki yako ya Uhuru wa Kujieleza
Unapokosoa Serikali yako kwa kushindwa kutimiza ahadi zake, unatekeleza Haki yako ya Uhuru wa Kujieleza.
Unapohoji au kujadili Mila, Siasa, Jamii au Tamaduni, unatekeleza Haki yako ya Uhuru wa Kujieleza.
#StayInformed #SautiYetuUhuruWetu #FreedomOfSpeech #DemocracyMatters #HakiZaBinadamu #HumanRights
Unapokosoa Serikali yako kwa kushindwa kutimiza ahadi zake, unatekeleza Haki yako ya Uhuru wa Kujieleza.
Unapohoji au kujadili Mila, Siasa, Jamii au Tamaduni, unatekeleza Haki yako ya Uhuru wa Kujieleza.
#StayInformed #SautiYetuUhuruWetu #FreedomOfSpeech #DemocracyMatters #HakiZaBinadamu #HumanRights
👍1