LIBYA: UCHAGUZI WA RAIS KUTOFANYIKA DESEMBA 24, 2021
Kamati ya Bunge la Libya imesema haitawezekana kuandaa Uchaguzi wa Rais kama ilivyopangwa
Haijafafanuliwa kama tarehe nyingine imepangwa, au ikiwa Uchaguzi huo umefutwa kabisa
Soma - https://jamii.app/NoElectionLibya
#LibyaElection
Kamati ya Bunge la Libya imesema haitawezekana kuandaa Uchaguzi wa Rais kama ilivyopangwa
Haijafafanuliwa kama tarehe nyingine imepangwa, au ikiwa Uchaguzi huo umefutwa kabisa
Soma - https://jamii.app/NoElectionLibya
#LibyaElection
LIBYA: WAGOMBEA UBUNGE WAITISHA MAANDAMANO KUPINGA KUFUTWA KWA UCHAGUZI
Tume ya Uchaguzi imependekeza Uchaguzi wa Rais sasa ufanyike Januari 24, 2022 lakini hakuna tarehe rasmi iliyopangwa au kukubaliwa na pande hasimu Nchini humo
Soma - https://jamii.app/ProtestLibyaMP
#LibyaElection
Tume ya Uchaguzi imependekeza Uchaguzi wa Rais sasa ufanyike Januari 24, 2022 lakini hakuna tarehe rasmi iliyopangwa au kukubaliwa na pande hasimu Nchini humo
Soma - https://jamii.app/ProtestLibyaMP
#LibyaElection