KIMBUNGA CHAUA 13 HUKO INDIA NA BANGLADESH
> Kimbunga #BulBulCyclone kimesababisha vifo vya watu takriban 13 huku wengine zaidi milioni 2 wakiyakimbia makazi yao
> Kilikuwa na kasi ya Km 120 kwa saa
> Watu 5 kati ya 6 waliokufa nchini Bangladesh waliangukiwa na miti huku wengine 7 wafariki Nchini India
#JFLeo
> Kimbunga #BulBulCyclone kimesababisha vifo vya watu takriban 13 huku wengine zaidi milioni 2 wakiyakimbia makazi yao
> Kilikuwa na kasi ya Km 120 kwa saa
> Watu 5 kati ya 6 waliokufa nchini Bangladesh waliangukiwa na miti huku wengine 7 wafariki Nchini India
#JFLeo