JamiiForums
52.6K subscribers
34.4K photos
2.46K videos
31.4K links
Official Telegram Channel | Inform x Engage x Empower
Download Telegram
KIMBUNGA CHAUA 13 HUKO INDIA NA BANGLADESH

> Kimbunga #BulBulCyclone kimesababisha vifo vya watu takriban 13 huku wengine zaidi milioni 2 wakiyakimbia makazi yao

> Kilikuwa na kasi ya Km 120 kwa saa

> Watu 5 kati ya 6 waliokufa nchini Bangladesh waliangukiwa na miti huku wengine 7 wafariki Nchini India

#JFLeo