JEFF BEZOS ATOLEWA KWENYE NAFASI YA TAJIRI MKUBWA DUNIANI
- Elon Musk anayemiliki Kampuni ya #SpaceX ya Safari za anga ametangazwa kuwa tajiri zaidi Duniani akifikia Dola Bilioni 190 huku Jeff Bezos wa #Amazon akiwa na Dola Bilioni 188
Soma - https://jamii.app/ElonMuskWorth
- Elon Musk anayemiliki Kampuni ya #SpaceX ya Safari za anga ametangazwa kuwa tajiri zaidi Duniani akifikia Dola Bilioni 190 huku Jeff Bezos wa #Amazon akiwa na Dola Bilioni 188
Soma - https://jamii.app/ElonMuskWorth
MAREKANI: 70 WAPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA KIMBUNGA
Gavana wa Jimbo la #Kentucky amesema idadi ya vifo inaweza kuzidi 100 kwa rekodi za Majimbo mengine
Kimeharibu Kiwanda cha Mishumaa, eneo la Kampuni ya #Amazon na nyumba ya wazee ya Arkansas
Soma https://jamii.app/TornadoDeathUS
#JFLeo
Gavana wa Jimbo la #Kentucky amesema idadi ya vifo inaweza kuzidi 100 kwa rekodi za Majimbo mengine
Kimeharibu Kiwanda cha Mishumaa, eneo la Kampuni ya #Amazon na nyumba ya wazee ya Arkansas
Soma https://jamii.app/TornadoDeathUS
#JFLeo