MAREKANI YAMUITA BALOZI WAKE WA ZAMBIA ALIYEKOSOA ADHABU KWA WAPENZI WA JINSIA MOJA
> Marekani imemuita Balozi Daniel Foote nyumbani baada ya kukosoa uamuzi wa Jaji nchini Zambia kuwafunga wanaume 2 kifungo cha miaka 15 kwa kupatikana wakifanya mapenzi mwaka 2017
> Rais Edgar Lungu alimtaja Balozi huyo kama miongoni mwa watu wasiotakiwa katika Taifa hilo na kuitaka Marekani kumuondosha
Soma - https://jamii.app/USCallsFooteHome
> Marekani imemuita Balozi Daniel Foote nyumbani baada ya kukosoa uamuzi wa Jaji nchini Zambia kuwafunga wanaume 2 kifungo cha miaka 15 kwa kupatikana wakifanya mapenzi mwaka 2017
> Rais Edgar Lungu alimtaja Balozi huyo kama miongoni mwa watu wasiotakiwa katika Taifa hilo na kuitaka Marekani kumuondosha
Soma - https://jamii.app/USCallsFooteHome
URUSI YAFANIKIWA KATIKA JARIBIO LA KUJITOA KWENYE INTANETI YA DUNIA
> Serikali ya Urusi imefanikiwa kufanya majaribio ya mtandao uitwao Runet, ambao ni mbadala wa mtandao wa intaneti unaotumika hivi sasa duniani
> Hata hivyo, Jaribio hilo linatafsiriwa kama mpango wa Serikali kuminya mawasiliano ya watu nchini Urusi
Soma - https://jamii.app/RussiaOwnInternet
> Serikali ya Urusi imefanikiwa kufanya majaribio ya mtandao uitwao Runet, ambao ni mbadala wa mtandao wa intaneti unaotumika hivi sasa duniani
> Hata hivyo, Jaribio hilo linatafsiriwa kama mpango wa Serikali kuminya mawasiliano ya watu nchini Urusi
Soma - https://jamii.app/RussiaOwnInternet
KITUO CHA USALAMA KWA ALIYEKUWA RAIS WA NIGERIA CHASHAMBULIWA, ASKARI 1 AUAWA
> Kituo cha usalama cha nyumba ya Rais mstaafu wa Nigeria, Goodluck Jonathan katika jimbo la Bayelsa kimeshambuliwa na watu wenye silaha na askari 1 kuuawa
> Msaidizi wa Jonathan amesema watu hao walifanya shambulizi hilo kwa kutumia boti 5 za injini
Soma - https://jamii.app/ExPresdHouseAttacked
> Kituo cha usalama cha nyumba ya Rais mstaafu wa Nigeria, Goodluck Jonathan katika jimbo la Bayelsa kimeshambuliwa na watu wenye silaha na askari 1 kuuawa
> Msaidizi wa Jonathan amesema watu hao walifanya shambulizi hilo kwa kutumia boti 5 za injini
Soma - https://jamii.app/ExPresdHouseAttacked
BURKINA FASO: WANAWAKE ZAIDI YA 30 WAUAWA KWENYE SHAMBULIO LA KIGAIDI
> Wapiganaji nchini Burkina Faso wamewaua raia 35, 31 kati yao wakiwa ni wanawake katika shambulio lililolenga kambi moja ya kijeshi
> Rais Roch Marc Christian Kabore ametangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa na mpaka sasa hakuna kundi ambalo limekiri kutekeleza shambulio hilo
Soma - https://jamii.app/CiviliansTerrorAttack
> Wapiganaji nchini Burkina Faso wamewaua raia 35, 31 kati yao wakiwa ni wanawake katika shambulio lililolenga kambi moja ya kijeshi
> Rais Roch Marc Christian Kabore ametangaza siku mbili za maombolezo ya kitaifa na mpaka sasa hakuna kundi ambalo limekiri kutekeleza shambulio hilo
Soma - https://jamii.app/CiviliansTerrorAttack
KIBRA, KENYA: AFARIKI KWA UMEME AKIJIANDAA KWA AJILI YA KRISMASI
- Mwanamke mmoja wa makamo amefariki dunia akiwa bafuni akioga
- Imeelezwa kuwa kifo chake kimetokana na hitilafu ya umeme
Zaidi, soma => https://jamii.app/AfarikiUmemeBafuni
#JamiiForums #JFLeo
- Mwanamke mmoja wa makamo amefariki dunia akiwa bafuni akioga
- Imeelezwa kuwa kifo chake kimetokana na hitilafu ya umeme
Zaidi, soma => https://jamii.app/AfarikiUmemeBafuni
#JamiiForums #JFLeo
MALEZI: MAMBO YA MUHIMU WAKATI WA KUANDAA RATIBA YA KILA SIKU YA MTOTO
> Mtoto ashirikishwe ktk kuandaa ratiba yake. Asipangiwe ratiba bali ushirikiane naye katika kuandaa ratiba kwani itamsaidia mtoto kuona ana wajibu katika familia
> Ni vizuri Ratiba iheshimiwe na kila mtu ndani ya familia. Muda wa kujisomea mtoto asitumwe dukani, muda wa mapumziko mtoto asiruhusiwe kwenda kucheza
> Mtoto asipoifuata ratiba aliyoshirikishwa kuiandaa zitafutwe njia za kumuwajibisha maana mafanikio yake yote hutegemea sana kwenye kupanga na kuheshimu ratiba yake
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UandaajiRatibaMtoto
#JFMalezi
> Mtoto ashirikishwe ktk kuandaa ratiba yake. Asipangiwe ratiba bali ushirikiane naye katika kuandaa ratiba kwani itamsaidia mtoto kuona ana wajibu katika familia
> Ni vizuri Ratiba iheshimiwe na kila mtu ndani ya familia. Muda wa kujisomea mtoto asitumwe dukani, muda wa mapumziko mtoto asiruhusiwe kwenda kucheza
> Mtoto asipoifuata ratiba aliyoshirikishwa kuiandaa zitafutwe njia za kumuwajibisha maana mafanikio yake yote hutegemea sana kwenye kupanga na kuheshimu ratiba yake
Zaidi, tembelea - https://jamii.app/UandaajiRatibaMtoto
#JFMalezi
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
PIPI NA “BIG G” KAMA ZAWADI YA SIKUKUU KWA WAGONJWA TOKA KWA MBUNGE
> Katibu wa Mbunge Jimbo la Rorya(CCM), Lameck Airo (Lakairo) akigawa JoJo za ‘VEVE’ kwa Wagonjwa jimboni humo kama zawadi ya Sikukuu
> Video hii imeibua mjadala mitandaoni
> Katibu wa Mbunge Jimbo la Rorya(CCM), Lameck Airo (Lakairo) akigawa JoJo za ‘VEVE’ kwa Wagonjwa jimboni humo kama zawadi ya Sikukuu
> Video hii imeibua mjadala mitandaoni
KRISMASI: MAASKOFU WAKEMEA UCHU WA MADARAKA, UONEVU WA BINADAMU
> Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT Tanzania, Dkt. Frederick Shoo amekemea tabia za utekaji, utesaji, unyongaji haki, dhuluma na kiburi cha viongozi zinazolalamikiwa nchini
> Naye Askofu Liberatus Sangu wa Kanisa Katoliki Shinyanga amesema Uchu wa madaraka, maonevu, rushwa, tamaa ya mali na kutotenda haki huchochea machafuko ndani ya jamii
Soma - https://jamii.app/AskofuUtekajiUtesajiRaia
> Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT Tanzania, Dkt. Frederick Shoo amekemea tabia za utekaji, utesaji, unyongaji haki, dhuluma na kiburi cha viongozi zinazolalamikiwa nchini
> Naye Askofu Liberatus Sangu wa Kanisa Katoliki Shinyanga amesema Uchu wa madaraka, maonevu, rushwa, tamaa ya mali na kutotenda haki huchochea machafuko ndani ya jamii
Soma - https://jamii.app/AskofuUtekajiUtesajiRaia
SUDAN YARUHUSU KRISMASI KUSHEREHEKEWA BAADA YA MIAKA 70
> Serikali ya Sudan imeruhusu siku ya Krismasi kuadhimishwa nchini humo na kuwa siku ya mapumziko kwa mara ya kwanza baada ya miaka 70
> Waziri anayeshughulikia masuala ya dini amesema hatua hii imekuja baada ya Katiba mpya kuruhusu uhuru wa kuabudu
Soma - https://jamii.app/SudanCelebratesChristmas
> Serikali ya Sudan imeruhusu siku ya Krismasi kuadhimishwa nchini humo na kuwa siku ya mapumziko kwa mara ya kwanza baada ya miaka 70
> Waziri anayeshughulikia masuala ya dini amesema hatua hii imekuja baada ya Katiba mpya kuruhusu uhuru wa kuabudu
Soma - https://jamii.app/SudanCelebratesChristmas
UFILIPINO: KIMBUNGA CHAUA WATU 16. WATU 58,000 WAHAMISHWA
> Kimbunga Phanfone kimeikumba nchi hiyo siku ya Sikukuu ya Krismasi
> Imeelezwa kuwa kiliambatana na mvua kubwa na upepo uliovuma kwa kasi ya Kilomita 120 kwa saa
Soma > https://jamii.app/PhanfoneManila
> Kimbunga Phanfone kimeikumba nchi hiyo siku ya Sikukuu ya Krismasi
> Imeelezwa kuwa kiliambatana na mvua kubwa na upepo uliovuma kwa kasi ya Kilomita 120 kwa saa
Soma > https://jamii.app/PhanfoneManila
CHINA YAKAMATA WATU 99,000 WANAOJIHUSISHA NA WIZI KWA SIMU
> Polisi wamefungua kesi 118,000 za uhalifu wa utapeli kwa kutumia simu za mkononi na kuwakamata watu elfu 99 wakati wa operesheni ya "Cloud Sword" iliyoanza mwezi Juni 2019
> Kuanzia Januari hadi Novemba 2019, idadi ya kesi za uhalifu zilizofunguliwa zimeshuka kwa asilimia 3.9
Soma - https://jamii.app/ReportCyberFrauds
> Polisi wamefungua kesi 118,000 za uhalifu wa utapeli kwa kutumia simu za mkononi na kuwakamata watu elfu 99 wakati wa operesheni ya "Cloud Sword" iliyoanza mwezi Juni 2019
> Kuanzia Januari hadi Novemba 2019, idadi ya kesi za uhalifu zilizofunguliwa zimeshuka kwa asilimia 3.9
Soma - https://jamii.app/ReportCyberFrauds
DODOMA: MMILIKI WA SHULE YA ZAMZAM AKUTWA AMEFARIKI OFISINI KWAKE. YADAIWA AMEUAWA
> Mwili wa Rashid Dalai ambaye pia ni Mkurugenzi wa Islamic Foundation umekutwa ndani ya ofisi yake
> Baadhi ya viungo vimekutwa vimekatwa lakini hakuna damu
Soma > https://jamii.app/RIPDalai
> Mwili wa Rashid Dalai ambaye pia ni Mkurugenzi wa Islamic Foundation umekutwa ndani ya ofisi yake
> Baadhi ya viungo vimekutwa vimekatwa lakini hakuna damu
Soma > https://jamii.app/RIPDalai
KENYA: MWANAMKE AMUUA SHEMEJIYE BAADA YA KUMPIGA KOFI KWENYE MAKALIO
> Polisi wanamsaka Eunice Adhiambo aliyetoweka baada ya kumchoma kisu shemejiye baada ya kutokea mabishano kati yao na shemeji kudaiwa kumpiga kibao mwanamke huyo kwenye makalio
> Marehemu alikuwa amemtembelea mshukiwa ambaye alimkuta akichonga Mihogo
Soma - https://jamii.app/MauajiKofiMakalio
> Polisi wanamsaka Eunice Adhiambo aliyetoweka baada ya kumchoma kisu shemejiye baada ya kutokea mabishano kati yao na shemeji kudaiwa kumpiga kibao mwanamke huyo kwenye makalio
> Marehemu alikuwa amemtembelea mshukiwa ambaye alimkuta akichonga Mihogo
Soma - https://jamii.app/MauajiKofiMakalio
RAIS WA URUSI AWAFUKUZA KAZI MAJENERALI 5
> Rais Vladmir Putin amewafuta kazi majenerali 5 ktk Wizara ya Mambo ya Ndani, Wizara ya Dharula, Baraza la Uchunguzi na Huduma za Magereza
> Aidha, Novemba 2019 alifukuza Majenerali wengine 11
Soma - https://jamii.app/PutinFiresGenerals
#JFLeo
> Rais Vladmir Putin amewafuta kazi majenerali 5 ktk Wizara ya Mambo ya Ndani, Wizara ya Dharula, Baraza la Uchunguzi na Huduma za Magereza
> Aidha, Novemba 2019 alifukuza Majenerali wengine 11
Soma - https://jamii.app/PutinFiresGenerals
#JFLeo
MICHEZO: Mchezo wa Yanga dhidi ya Tanzania Prisons wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliokuwa uchezwe kesho, Desemba 27 umeahirishwa kutokana na Uwanja wa Sokione kuwa katika hali mbaya hivyo mchezo utapangiwa tarehe nyingine
-
Timu zote zimefikia makubaliano hayo baada ya kupokea taarifa ya hali isiyoridhisha kiusalama kwenye Uwanja huo na kutakiwa kutafuta viwanja mbadala
-
Timu zote zimefikia makubaliano hayo baada ya kupokea taarifa ya hali isiyoridhisha kiusalama kwenye Uwanja huo na kutakiwa kutafuta viwanja mbadala
SERENGETI: MVUA YAUA WATU 3 NA KUHARIBU MIUNDOMBINU
> Mvua kubwa iliyonyesha usiku imesababisha vifo vya watu 3 wakiwamo watoto 2 wa familia moja na dereva wa bodaboda aliyesombwa na maji barabarani
> Imesababisha daraja la Nyiberekera kukatika na barabara za kutoka Mugumu kwenda Arusha kupitia Fort Ikoma na Makunduzi kujaa maji
Soma - https://jamii.app/MadharaVifoMvuaSerengeti
> Mvua kubwa iliyonyesha usiku imesababisha vifo vya watu 3 wakiwamo watoto 2 wa familia moja na dereva wa bodaboda aliyesombwa na maji barabarani
> Imesababisha daraja la Nyiberekera kukatika na barabara za kutoka Mugumu kwenda Arusha kupitia Fort Ikoma na Makunduzi kujaa maji
Soma - https://jamii.app/MadharaVifoMvuaSerengeti
EPL: CHELSEA YABAMIZWA GOLI 2-0 NYUMBANI KWAKE
Chelsea FC ilikuwa ikicheza na Southampton Fc. Magoli ya @SouthamptonFC yamefungwa na Obafemi dakika ya 31 na Redmond kunako dakika ya 73
> Klabu ya @ChelseaFC imekuwa na matokeo mabaya kwa siku za hivi karibuni
#JFSports
Chelsea FC ilikuwa ikicheza na Southampton Fc. Magoli ya @SouthamptonFC yamefungwa na Obafemi dakika ya 31 na Redmond kunako dakika ya 73
> Klabu ya @ChelseaFC imekuwa na matokeo mabaya kwa siku za hivi karibuni
#JFSports