KIGOMA: MGANGA ATUHUMIWA KUMUUA MTEJA ALIYETAKA KUZIKA FEDHA ZA BIASHARA
Dereva wa Pikipiki na Mganga wa Kienyeji wanatuhumiwa kumuua na kisha kumfukia Mwanamke aliyekuwa ameenda kuzindika Fedha za Biashara kiasi cha Tsh. Milioni 9
Soma - https://jamii.app/MtejaKifoZindiko
#HumanRights
Dereva wa Pikipiki na Mganga wa Kienyeji wanatuhumiwa kumuua na kisha kumfukia Mwanamke aliyekuwa ameenda kuzindika Fedha za Biashara kiasi cha Tsh. Milioni 9
Soma - https://jamii.app/MtejaKifoZindiko
#HumanRights
MAREKANI: ASKARI 3 WANAOTUHUMIWA KUMUUA GEORGE FLOYD WAKUTWA NA HATIA
Maafisa hao wa zamani wa #Minneapolis walishtakiwa kwa kumnyima Floyd Haki yake ya matibabu wakati Afisa Derek Chauvin alipomkandamiza kwa goti shingoni mnamo Mei 25, 2020
Soma - https://jamii.app/FloydCaseGuilt
Maafisa hao wa zamani wa #Minneapolis walishtakiwa kwa kumnyima Floyd Haki yake ya matibabu wakati Afisa Derek Chauvin alipomkandamiza kwa goti shingoni mnamo Mei 25, 2020
Soma - https://jamii.app/FloydCaseGuilt
#UKRAINE YATAKA MAZUNGUMZO NA URUSI
Rais Volodymyr Zelensky ametaka mazungumzo na Rais Vladimir Putin ili kunusuru Raia wasio na hatia
China imesema Urusi ipo tayari kwa mazungumzo baada ya Rais Putin kuongea na Rais Xi Jinping
Soma https://jamii.app/Mazungumzo
#RussiaUkraineConflict
Rais Volodymyr Zelensky ametaka mazungumzo na Rais Vladimir Putin ili kunusuru Raia wasio na hatia
China imesema Urusi ipo tayari kwa mazungumzo baada ya Rais Putin kuongea na Rais Xi Jinping
Soma https://jamii.app/Mazungumzo
#RussiaUkraineConflict
#KENYA: MWANAFUNZI AFUNGWA KWA VIFO VYA MOTO SHULENI
Msichana (18) amehukumiwa kifungo cha Miaka 5 jela kwa kuua bila kukusudia kufuatia kuwasha Moto katika Bweni la Shule na kuua wenzake tisa
Alitenda kosa hilo 2017 ktk Shule ya Wasichana ya Moi
Soma - https://jamii.app/JelaMotoShule
Msichana (18) amehukumiwa kifungo cha Miaka 5 jela kwa kuua bila kukusudia kufuatia kuwasha Moto katika Bweni la Shule na kuua wenzake tisa
Alitenda kosa hilo 2017 ktk Shule ya Wasichana ya Moi
Soma - https://jamii.app/JelaMotoShule
AFYA: 43% YA CHUMVI NCHINI HAICHANGANYWI NA MADINI JOTO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi amesema 43% ya chumvi ni hatari kwa Afya kwa kuwa hazichanganywi na madini joto
Athari zake ni Magonjwa kama Goita na kujifungua Watoto Njiti
Soma - https://jamii.app/ChumviHatari
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi amesema 43% ya chumvi ni hatari kwa Afya kwa kuwa hazichanganywi na madini joto
Athari zake ni Magonjwa kama Goita na kujifungua Watoto Njiti
Soma - https://jamii.app/ChumviHatari
TONY RASHID AMKALISHA BONGANI MAHLANGU
Bondia wa #Tanzania, Tony Rashid arejesha ubingwa wa ABU-Super Bantam Weight baada ya kumpiga kwa point bondia wa Afrika Kusini, Bongani Mahlangu(Profesa) kwenye pambano la Marudio
Soma https://jamii.app/TonyRashid
#JFSports
Bondia wa #Tanzania, Tony Rashid arejesha ubingwa wa ABU-Super Bantam Weight baada ya kumpiga kwa point bondia wa Afrika Kusini, Bongani Mahlangu(Profesa) kwenye pambano la Marudio
Soma https://jamii.app/TonyRashid
#JFSports
#UKRAINE: MBUNGE ASEMA WANAWAKE WATAPIGANIA NCHI
Kira Rudik amechapisha picha akiwa ameshika bunduki na kusema anajifunza kuitumia ili kutetea ardhi yake dhidi ya Urusi
Amesema Wanawake watatetea Nchi yao kama Wanaume
Soma - https://jamii.app/WanawakeUkraine
#RussiaUkraineConflict
Kira Rudik amechapisha picha akiwa ameshika bunduki na kusema anajifunza kuitumia ili kutetea ardhi yake dhidi ya Urusi
Amesema Wanawake watatetea Nchi yao kama Wanaume
Soma - https://jamii.app/WanawakeUkraine
#RussiaUkraineConflict
RAIS WA UKRAINE AVAA GWANDA NA KUINGIA VITANI
Rais Volodymyr Zelensky ameingia "Uwanja wa Vita" kutetea Nchi yake
Awali, kulikuwa na tetesi Rais huyo amekimbia Nchi. Alijitokeza na kuomba Wananchi wapuuzie taarifa hizo
Soma - https://jamii.app/GwandaUkraine
#RussiaUkraineConflict
Rais Volodymyr Zelensky ameingia "Uwanja wa Vita" kutetea Nchi yake
Awali, kulikuwa na tetesi Rais huyo amekimbia Nchi. Alijitokeza na kuomba Wananchi wapuuzie taarifa hizo
Soma - https://jamii.app/GwandaUkraine
#RussiaUkraineConflict
MAREKANI: RAIS BIDEN ATEUA MWANAMKE MWEUSI KUWA JAJI WA MAHAKAMA YA JUU
Ketanji Jackson anakuwa Mwanamke wa kwanza Mweusi kwenye Mahakama ya juu kabisa ambayo awali ilitangaza hastahili kupata Uraia wa Marekani kutokana na rangi ya Ngozi yake
Soma https://jamii.app/KentanjiSupreme
#JFLeo
Ketanji Jackson anakuwa Mwanamke wa kwanza Mweusi kwenye Mahakama ya juu kabisa ambayo awali ilitangaza hastahili kupata Uraia wa Marekani kutokana na rangi ya Ngozi yake
Soma https://jamii.app/KentanjiSupreme
#JFLeo
RELI, DARAJA VYASOMBWA NA MAJI. ABIRIA WAKWAMA MOROGORO
Mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Morogoro zimesababisha uharibifu wa Miundombinu ya Reli ya kati na Barabara ambapo Daraja la Kidete limekatika na kupelekea Treni kusimamisha safari zake
Soma - https://jamii.app/AbiriaKilosa
Mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Morogoro zimesababisha uharibifu wa Miundombinu ya Reli ya kati na Barabara ambapo Daraja la Kidete limekatika na kupelekea Treni kusimamisha safari zake
Soma - https://jamii.app/AbiriaKilosa
URUSI: Mtandao wa #Facebook unaomilikiwa na Kampuni ya Meta umezuiwa Nchini Urusi kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kupishana ktk Masharti ya vitu vya kuweka Mitandaoni wakati huu wa vita na #Ukraine
Soma - https://jamii.app/FBBanRussia
#DigitalRights #RussiaUkraineConflict #PressFreedom
Soma - https://jamii.app/FBBanRussia
#DigitalRights #RussiaUkraineConflict #PressFreedom
RAIS SAMIA AKUTANA NA MTAWALA WA DUBAI
Rais Samia amezungumza na Makamu wa Rais ambaye ni Waziri Mkuu wa UAE na Mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
> Ni baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 Mjini Dubai
Soma https://jamii.app/RaisSamiaDubai
#JFLeo
Rais Samia amezungumza na Makamu wa Rais ambaye ni Waziri Mkuu wa UAE na Mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum
> Ni baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 Mjini Dubai
Soma https://jamii.app/RaisSamiaDubai
#JFLeo
POLAND KUKATAA KUCHEZA NA URUSI MECHI YA KUFUZU KOMBE LA DUNIA
- Poland imesema itakataa kucheza mchezo huo wa Machi 25, 2022 baada ya Urusi kuivamia Ukraine
- Pia itakuwa mwenyeji wa michezo yote ambayo Ukraine ilitakiwa kuwa mwenyeji ila itashindwa kutokana na vita
#JFSports
- Poland imesema itakataa kucheza mchezo huo wa Machi 25, 2022 baada ya Urusi kuivamia Ukraine
- Pia itakuwa mwenyeji wa michezo yote ambayo Ukraine ilitakiwa kuwa mwenyeji ila itashindwa kutokana na vita
#JFSports
SERIKALI YATOA TAHADHARI YA MLIPUKO WA POLIO
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesisitiza Wazazi kuhakikisha Watoto wanapatiwa dozi kamili ya chanjo #Polio
> Hatua hii imekuja baada ya Malawi kuripoti kisa cha kwanza baada ya muda mrefu
Soma https://jamii.app/MlipukoPolio
#JFAfya
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesisitiza Wazazi kuhakikisha Watoto wanapatiwa dozi kamili ya chanjo #Polio
> Hatua hii imekuja baada ya Malawi kuripoti kisa cha kwanza baada ya muda mrefu
Soma https://jamii.app/MlipukoPolio
#JFAfya
PWANI: MELI YA MAFUTA YAUNGUA
Meli ndogo iliyokuwa na Mafuta imeungua ikiwa kwenye maegesho ya Bandari ya Nyamisati. Meli hiyo ilikuwa na safari ya kuelekea Kisiwa cha Mafia kupeleka mafuta hayo
Soma - https://jamii.app/MeliNdogo
#JamiiForums #JFLeo
Meli ndogo iliyokuwa na Mafuta imeungua ikiwa kwenye maegesho ya Bandari ya Nyamisati. Meli hiyo ilikuwa na safari ya kuelekea Kisiwa cha Mafia kupeleka mafuta hayo
Soma - https://jamii.app/MeliNdogo
#JamiiForums #JFLeo
UKRAINE: MASHAMBULIZI YAPELEKEA MAELFU KUKIMBILIA NCHI JIRANI
Zaidi ya Raia 150,000 wa #Ukraine wamevuka Mipaka kuingia Mataifa jirani katika upande wa Magharibi kutafuta usalama, wakati Urusi ikishambulia Mji Mkuu wa Nchi hiyo pamoja na Miji mingine kwa mashambulizi ya angani
Soma - https://jamii.app/UkraineUsalama
#RussiaUkraineConflict
Zaidi ya Raia 150,000 wa #Ukraine wamevuka Mipaka kuingia Mataifa jirani katika upande wa Magharibi kutafuta usalama, wakati Urusi ikishambulia Mji Mkuu wa Nchi hiyo pamoja na Miji mingine kwa mashambulizi ya angani
Soma - https://jamii.app/UkraineUsalama
#RussiaUkraineConflict
SWEDEN YAUNGANA NA POLAND KUKATAA KUCHEZA NA URUSI
- Sweden imeungana na Poland kukataa kucheza na Urusi katika mchezo wa kufuzu kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar
- Mshindi wa mchezo kati ya Poland na Urusi angekutana na Mshindi kati ya Sweden na Jamhuri ya Czech
#JFSports
- Sweden imeungana na Poland kukataa kucheza na Urusi katika mchezo wa kufuzu kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar
- Mshindi wa mchezo kati ya Poland na Urusi angekutana na Mshindi kati ya Sweden na Jamhuri ya Czech
#JFSports
BILIONEA ABRAMOVICH AJIWEKA KANDO CHELSEA LAKINI BADO NI MMILIKI
Mmiliki wa Chelsea FC ametangaza kujiweka kando na majukumu ya Uongozi ndani ya Klabu hiyo na kukabidhi kwa Bodi ya Wadhamini ambapo yeye ataendelea kubaki katika nafasi ya umiliki
Soma - https://jamii.app/ChelseaUnrest
Mmiliki wa Chelsea FC ametangaza kujiweka kando na majukumu ya Uongozi ndani ya Klabu hiyo na kukabidhi kwa Bodi ya Wadhamini ambapo yeye ataendelea kubaki katika nafasi ya umiliki
Soma - https://jamii.app/ChelseaUnrest
SERIKALI KUSAIDIA WATANZANIA WALIO UKRAINE KURUDI NCHINI
Serikali inawasaidia Watanzania takriban 300 waliopo #Ukraine kuingia Poland na Romania ambapo kuna utulivu ili waweze kurejea Nchini
Hadi sasa, hakuna madhara yaliyoripotiwa kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaUkraine
Serikali inawasaidia Watanzania takriban 300 waliopo #Ukraine kuingia Poland na Romania ambapo kuna utulivu ili waweze kurejea Nchini
Hadi sasa, hakuna madhara yaliyoripotiwa kwa Watanzania
Soma - https://jamii.app/WatanzaniaUkraine
UKRAINE: WAFUNGWA WENYE UZOEFU WA KIJESHI KUACHWA HURU
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali asema wataachwa huru ili wasaidie kuipigania Nchi yao
Aidha, Wanawake wamesema watapambana kwa kuchangia damu ili kunusuru majeruhi
Soma - https://jamii.app/MilitaryExperience
#RussiaUkraineConflict
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali asema wataachwa huru ili wasaidie kuipigania Nchi yao
Aidha, Wanawake wamesema watapambana kwa kuchangia damu ili kunusuru majeruhi
Soma - https://jamii.app/MilitaryExperience
#RussiaUkraineConflict