MALAWI: MAHAKAMA KUAMUA MATOKEO YA URAIS LEO
> Katika matokeo ya awali, Peter Mutharika alishinda kwa 38.6%, Lazaro Chakwera alipata 35% na Saulos Chilima alipata 20%
> Walioshindwa walilalamika kuwa Uchaguzi huo ulikuwa na makosa
Zaidi, soma - https://jamii.app/CourtElectionsMalawi
> Katika matokeo ya awali, Peter Mutharika alishinda kwa 38.6%, Lazaro Chakwera alipata 35% na Saulos Chilima alipata 20%
> Walioshindwa walilalamika kuwa Uchaguzi huo ulikuwa na makosa
Zaidi, soma - https://jamii.app/CourtElectionsMalawi
FAHAMU KUHUSU KURA TURUFU
> Kura Turufu (Veto) ni Haki ya kukataza Azimio lisipite wala kutekelezwa hata kama limekubaliwa na wengi. Katika nchi nyingi Rais au Kiongozi wa Taifa kwa manufaa ya Taifa ana Haki ya kukataza maazimio au Sheria zilizokubaliwa na Bunge
> Mataifa 5 yanaweza kutumia Kura Turufu (Veto) katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa: China, Marekani, Ufaransa, Uingereza na Urusi
Zaidi, soma - https://jamii.app/FahamuKuraVeto
> Kura Turufu (Veto) ni Haki ya kukataza Azimio lisipite wala kutekelezwa hata kama limekubaliwa na wengi. Katika nchi nyingi Rais au Kiongozi wa Taifa kwa manufaa ya Taifa ana Haki ya kukataza maazimio au Sheria zilizokubaliwa na Bunge
> Mataifa 5 yanaweza kutumia Kura Turufu (Veto) katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa: China, Marekani, Ufaransa, Uingereza na Urusi
Zaidi, soma - https://jamii.app/FahamuKuraVeto
SAMATTA AOMBA WATANZANIA KUACHA MANENO YA KASHFA DHIDI YA ASTON VILLA
> Amesema, amesikitishwa na maneno yanayotolewa na Watanzania kwenye kurasa za timu yake
> Adai hafurahishwi na kuomba mashabiki kuacha kashfa na matusi mitandaoni
Zaidi, soma - https://jamii.app/SamattaKashfaMitandao
> Amesema, amesikitishwa na maneno yanayotolewa na Watanzania kwenye kurasa za timu yake
> Adai hafurahishwi na kuomba mashabiki kuacha kashfa na matusi mitandaoni
Zaidi, soma - https://jamii.app/SamattaKashfaMitandao
SINGIDA: MADAKTARI WATUHUMIWA KUWATAKA KIMAPENZI WAGONJWA
> Madaktari wa Hospitali ya Rufaa hasa Madaktari vijana wanadaiwa kuwatongoza wagonjwa wa kike, wanaofika hospitalini hapo kupata huduma
> Inadaiwa, baadhi yao huwabambikizia magonjwa (wanawake hao) huku lengo likiwa kufanikisha matamanio ya ngono jambo linalosababisha baadhi ya wagonjwa kuikimbia hospitali
Soma - https://jamii.app/MadktKutongozaWagonjwaSGD
> Madaktari wa Hospitali ya Rufaa hasa Madaktari vijana wanadaiwa kuwatongoza wagonjwa wa kike, wanaofika hospitalini hapo kupata huduma
> Inadaiwa, baadhi yao huwabambikizia magonjwa (wanawake hao) huku lengo likiwa kufanikisha matamanio ya ngono jambo linalosababisha baadhi ya wagonjwa kuikimbia hospitali
Soma - https://jamii.app/MadktKutongozaWagonjwaSGD
TANGA: MAHAKAMA ZA MWANZO 26 KATI YA 68 HAZIFANYI KAZI
- Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu Kanda ya Tanga, Amiry Mruma amesema hazifanyi kazi kutokana na uchakavu mkubwa wa majengo yake na hivyo kusababisha sehemu kubwa ya Wananchi kuhangaikia huduma
Zaidi, soma https://jamii.app/MahakamaMwanzoTanga
- Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu Kanda ya Tanga, Amiry Mruma amesema hazifanyi kazi kutokana na uchakavu mkubwa wa majengo yake na hivyo kusababisha sehemu kubwa ya Wananchi kuhangaikia huduma
Zaidi, soma https://jamii.app/MahakamaMwanzoTanga
BUNGENI: MBUNGE ATAKA WAKULIMA WA BANGI WARUHUSIWE KUIUZA
- Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu Wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita
Zaidi, soma https://jamii.app/MbungeAtakaBangiIruhusiwe
- Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu Wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita
Zaidi, soma https://jamii.app/MbungeAtakaBangiIruhusiwe
MALEZI: MAADILI YA MTOTO NDANI YA FAMILIA NA JAMII
> Mara nyingi jamii imekuwa ikimtupia lawama nyingi sana mama, kwamba ndiye chanzo cha kuporomoka kwa maadili ya mtoto lakini Baba naye anatakiwa kushirikiana na mama kumlea mtoto katika hatua zote muhimu za ukuaji wake kwa kumpatia huduma stahiki
> Mtoto huanza kujifunza maadili kutoka kwa wazazi au walezi wake kwani ndio watu wanaomzunguka kwa karibu zaidi na baadae hujifunza maadili kutoka kwa majirani, shuleni na kwenye nyumba za ibada
Tembelea - https://jamii.app/JukumuMaadiliMtoto
> Mara nyingi jamii imekuwa ikimtupia lawama nyingi sana mama, kwamba ndiye chanzo cha kuporomoka kwa maadili ya mtoto lakini Baba naye anatakiwa kushirikiana na mama kumlea mtoto katika hatua zote muhimu za ukuaji wake kwa kumpatia huduma stahiki
> Mtoto huanza kujifunza maadili kutoka kwa wazazi au walezi wake kwani ndio watu wanaomzunguka kwa karibu zaidi na baadae hujifunza maadili kutoka kwa majirani, shuleni na kwenye nyumba za ibada
Tembelea - https://jamii.app/JukumuMaadiliMtoto
MBOWE ASEMA KUNA HATARI YA NCHI KUTENGWA KIMATAIFA
- Amesema, wamemuandikia mapendekezo Rais Magufuli ya kujikwamua
- Miongoni mwa mapendekezo hayo ni Kufutwa na Kurejewa kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Kuunda Tume ya Maridhiano ya Kitaifa
Zaidi, soma https://jamii.app/MapendekezoMboweRais
- Amesema, wamemuandikia mapendekezo Rais Magufuli ya kujikwamua
- Miongoni mwa mapendekezo hayo ni Kufutwa na Kurejewa kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Kuunda Tume ya Maridhiano ya Kitaifa
Zaidi, soma https://jamii.app/MapendekezoMboweRais
MWANAFUNZI NCHINI KENYA AONYESHA DALILI ZA KUWA NA #CORONA
-
Shukri Jamal Mahmood amelazwa katika Chumba Maalumu katika Hospitali ya Rufaa ya Coast General Jijini Mombasa baada ya kuonyesha dalili ya kuambukizwa #CoronaVirus
-
Shukri aliwasili Mombasa kutoka China Januari 30 ambako anasomea udaktari katika Chuo Kikuu cha Gaunzou
-
Shukri Jamal Mahmood amelazwa katika Chumba Maalumu katika Hospitali ya Rufaa ya Coast General Jijini Mombasa baada ya kuonyesha dalili ya kuambukizwa #CoronaVirus
-
Shukri aliwasili Mombasa kutoka China Januari 30 ambako anasomea udaktari katika Chuo Kikuu cha Gaunzou
MALAWI: MAHAKAMA YABATILISHA MATOKEO YA URAIS 2019
> Mahakama ya Katiba nchini Malawi leo Februari 3, 2020 imebatilisha Matokeo ya Urais ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mei 2019 kutokana na kasoro kwenye uchaguzi huo
> Uchaguzi utarudiwa ndani ya siku 150 kuanzia leo kulingana na matangazo ya Tume ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/Malawi2019
> Mahakama ya Katiba nchini Malawi leo Februari 3, 2020 imebatilisha Matokeo ya Urais ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mei 2019 kutokana na kasoro kwenye uchaguzi huo
> Uchaguzi utarudiwa ndani ya siku 150 kuanzia leo kulingana na matangazo ya Tume ya Uchaguzi
Soma https://jamii.app/Malawi2019
KENYA: WANAFUNZI 14 WAFARIKI BAADA YA KUKANYAGANA SHULENI
- Wengine 39 wamejeruhiwa katika tukio hilo lililotokea katika Shule ya Msingi ya Kakamega
- Ni baada ya kutokea mshtuko waliporuhusiwa kwenda nyumbani
- Chanzo cha mshtuko hakijajulikana
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWafarikiKakamega
- Wengine 39 wamejeruhiwa katika tukio hilo lililotokea katika Shule ya Msingi ya Kakamega
- Ni baada ya kutokea mshtuko waliporuhusiwa kwenda nyumbani
- Chanzo cha mshtuko hakijajulikana
Zaidi, soma https://jamii.app/WanafunziWafarikiKakamega
MADHARA ANAYOWEZA KUPATA MTOTO ANAYELELEWA NA MZAZI MMOJA
> Chuki na kupunguza upendo kwa mzazi mmoja: Hii ni kutokana Wazazi wengi hupenda kushirikisha ugomvi wao kwa watoto
> Mawazo / Mgogoro wa nafsi: Hakuna mtoto anayependa kuona wazazi wake wanakosana na hili humuumiza zaidi mtoto kuliko wazazi
> Hali hii pia huweza kupelekea mtoto Kukosa matunzo bora iwapo mzazi aliyebeba jukumu la malezi hana uchumi imara
Zaidi, soma - https://jamii.app/HasaraMaleziMzazi1
#JFMahusiano
> Chuki na kupunguza upendo kwa mzazi mmoja: Hii ni kutokana Wazazi wengi hupenda kushirikisha ugomvi wao kwa watoto
> Mawazo / Mgogoro wa nafsi: Hakuna mtoto anayependa kuona wazazi wake wanakosana na hili humuumiza zaidi mtoto kuliko wazazi
> Hali hii pia huweza kupelekea mtoto Kukosa matunzo bora iwapo mzazi aliyebeba jukumu la malezi hana uchumi imara
Zaidi, soma - https://jamii.app/HasaraMaleziMzazi1
#JFMahusiano
UPDATE: #CoronaVirus vimeua Watu 427 kufikia leo huku Watu 20,627 wakiathirika Duniani. Vifo viwili na waathirika 190 wametokea nje ya #China
- Nje ya China, Mataifa 25 yamekumbwa na CoronaVirus huku #Japan (20), #Thailand (19) na #Singapore (18) yakiwa na Waathirika zaidi
- Nje ya China, Mataifa 25 yamekumbwa na CoronaVirus huku #Japan (20), #Thailand (19) na #Singapore (18) yakiwa na Waathirika zaidi
SERIKALI KUANZISHA KIWANDA CHA MAFUTA YA BANGI. WAWEKEZAJI WAPATIKANA
> Waziri Angela Kairuki amesema, wamejitokeza wawekezaji wawili wa Bangi ambao lengo lao ni kuchakata mafuta yanayotokana na zao hilo ambayo hutumika kwenye Matibabu
> Amewataka Wabunge kuwaachia Mamlaka zinazohusika kulishughulikia jambo hilo kwa kuwa Sheria ya Kilimo hicho ipo kinachofuata ni kutunga Kanuni
Soma - https://jamii.app/KiwandaMafutaBangi
> Waziri Angela Kairuki amesema, wamejitokeza wawekezaji wawili wa Bangi ambao lengo lao ni kuchakata mafuta yanayotokana na zao hilo ambayo hutumika kwenye Matibabu
> Amewataka Wabunge kuwaachia Mamlaka zinazohusika kulishughulikia jambo hilo kwa kuwa Sheria ya Kilimo hicho ipo kinachofuata ni kutunga Kanuni
Soma - https://jamii.app/KiwandaMafutaBangi
IRAQ: MAANDAMANO YASABABISHA VIFO ZAIDI YA 500 NDANI YA MIEZI 4
-
Kamati ya Haki za Binadamu ya Bunge la Iraq imetoa taarifa kuhusu maandamano yaliyotokea katika sehemu mbalimbali za Iraq katika miezi 4 iliyopita ambayo yamesababisha vifo vya watu 536 na wengine 23,000 kujeruhiwa
-
Taarifa hiyo imesema, kuanzia Oktoba 1, 2019 hadi Januari 30, 2020, maandamano hayo yamesababisha vifo vya askari 17 na wengine 3,500 wakijeruhiwa kwa upande wa Kikosi cha Usalama
-
Kamati ya Haki za Binadamu ya Bunge la Iraq imetoa taarifa kuhusu maandamano yaliyotokea katika sehemu mbalimbali za Iraq katika miezi 4 iliyopita ambayo yamesababisha vifo vya watu 536 na wengine 23,000 kujeruhiwa
-
Taarifa hiyo imesema, kuanzia Oktoba 1, 2019 hadi Januari 30, 2020, maandamano hayo yamesababisha vifo vya askari 17 na wengine 3,500 wakijeruhiwa kwa upande wa Kikosi cha Usalama
MACHAFUKO BURKINA FASO: RAIA KUPATIWA SILAHA KUPAMBANA NA WANAMGAMBO WA KIGAIDI
> Wabunge wamepitisha Muswada utakaowezesha Wananchi kupewa silaha ili kupambana na Makundi ya Waasi kwa lengo la kupunguza mashambulizi yanayofanywa na wanamgambo wenye uhusiano na Makundi ya Al-Qaeda na Islamic State
Soma - https://jamii.app/CitizensGunOwnership
> Wabunge wamepitisha Muswada utakaowezesha Wananchi kupewa silaha ili kupambana na Makundi ya Waasi kwa lengo la kupunguza mashambulizi yanayofanywa na wanamgambo wenye uhusiano na Makundi ya Al-Qaeda na Islamic State
Soma - https://jamii.app/CitizensGunOwnership
MEMBE AITWA KWENYE KIKAO CHA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI WA NIDHAMU
- Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amesema ameitwa kwenye Kikao hicho cha CCM
- Amesema atahudhuria bila kukosa au kuchelewa kikao hicho cha Februari 06
Soma https://jamii.app/MembeKamatiNidhamu
- Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amesema ameitwa kwenye Kikao hicho cha CCM
- Amesema atahudhuria bila kukosa au kuchelewa kikao hicho cha Februari 06
Soma https://jamii.app/MembeKamatiNidhamu