JINSI YA KUFUTA HISTORIA YA TOVUTI ULIZOTEMBELEA KWENYE GOOGLE CHROME
> Bofya nukta 3 zilizopo juu kulia > bofya History (unaweza kutumia CTRL+H). Shuka sehemu iliyoandikwa Clear Browsing Data
> Chagua unata kufuta History kuanzia wakati gani na unataka kufuta nini
> Kama unatumia Google Chrome kupitia simu yako bofya nukta 3 upande wa juu wa browser yako kisha > History na ubofye Clear Browsing Data, na mwisho Clear Data
Kwa elimu zaidi, fungua > https://jamii.app/BrowsingHistory
> Bofya nukta 3 zilizopo juu kulia > bofya History (unaweza kutumia CTRL+H). Shuka sehemu iliyoandikwa Clear Browsing Data
> Chagua unata kufuta History kuanzia wakati gani na unataka kufuta nini
> Kama unatumia Google Chrome kupitia simu yako bofya nukta 3 upande wa juu wa browser yako kisha > History na ubofye Clear Browsing Data, na mwisho Clear Data
Kwa elimu zaidi, fungua > https://jamii.app/BrowsingHistory
MTANZANIA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI AFRIKA KUSINI
> Chanzo tukio hilo ni mgogoro wa kibiashara
> Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Emmanuel Buhohela amesema, hawajapata taarifa za kifo hicho kutoka ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini
Zaidi, soma https://jamii.app/MtanzaniaRisasiSauzi
> Chanzo tukio hilo ni mgogoro wa kibiashara
> Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Emmanuel Buhohela amesema, hawajapata taarifa za kifo hicho kutoka ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini
Zaidi, soma https://jamii.app/MtanzaniaRisasiSauzi
MAREKANI: KATIBU WA MASUALA YA BIASHARA ASEMA VIRUSI VYA CORONA NI FURSA KWAO
> Wilbur Ross asema, mlipuko huo unaweza kuinua uchumi wao. Wizara ya biashara kupitia msemaji wake iliunga mkono matamshi hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/CoronaFursaMarekani
> Wilbur Ross asema, mlipuko huo unaweza kuinua uchumi wao. Wizara ya biashara kupitia msemaji wake iliunga mkono matamshi hayo
Zaidi, soma https://jamii.app/CoronaFursaMarekani
JAMII YA PWANI NA UTAMADUNI WA SHEREHE ZA KUMTOA MWALI (BINTI)
> Katika baadhi ya Mikoa na Pwani ya Tanzania, wana utamaduni wa binti kupatiwa Mafunzo Maalumu ambapo huelekezwa kuhusu unyumba, namna ya kukaa na mume, nguo za kuvaa akiwa na mumewe, chakula cha kupika na kadhalika
> Utamaduni huu umekuwa ukilaumiwa na baadhi ya watu kuwa ndio chanzo cha kusitisha masomo kwa wasichana wengi pamoja na mimba za utotoni
Una maoni gani? - https://jamii.app/UtamaduniKumtoaMwali
> Katika baadhi ya Mikoa na Pwani ya Tanzania, wana utamaduni wa binti kupatiwa Mafunzo Maalumu ambapo huelekezwa kuhusu unyumba, namna ya kukaa na mume, nguo za kuvaa akiwa na mumewe, chakula cha kupika na kadhalika
> Utamaduni huu umekuwa ukilaumiwa na baadhi ya watu kuwa ndio chanzo cha kusitisha masomo kwa wasichana wengi pamoja na mimba za utotoni
Una maoni gani? - https://jamii.app/UtamaduniKumtoaMwali
Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda awekewa vikwazo kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/MakondaStopUSA
Soma https://jamii.app/MakondaStopUSA
BAADHI YA MAMBO YATAKAYOKUFANYA UWE DEREVA MZURI ZAIDI
> Acha kutumia simu, kugeuka geuka nyuma au maongezi na abiria wako. Usiisogelee sana gari la mbele yako
> Epuka Brake za ghafla. Kuwa mvumilivu kwa uzembe unaofanywa na madereva wengine
Soma https://jamii.app/DerevaMakini
> Acha kutumia simu, kugeuka geuka nyuma au maongezi na abiria wako. Usiisogelee sana gari la mbele yako
> Epuka Brake za ghafla. Kuwa mvumilivu kwa uzembe unaofanywa na madereva wengine
Soma https://jamii.app/DerevaMakini
TANZANIA YAPIGWA MARUFUKU KUSHIRIKI BAHATI NASIBU YA VIZA ZA MAREKANI
- Marekani imepiga marufuku Raia wa Tanzania kushiriki katika Bahati Nasibu ya kupata Viza hizo
- Ni saa chache baada ya RC wa Dar, Paul Makonda kuzuiwa kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/ZuioWatanzaniaUSA
- Marekani imepiga marufuku Raia wa Tanzania kushiriki katika Bahati Nasibu ya kupata Viza hizo
- Ni saa chache baada ya RC wa Dar, Paul Makonda kuzuiwa kuingia Marekani
Soma https://jamii.app/ZuioWatanzaniaUSA
MAREKANI: BUNGE LA SENETI LASIFU MAKONDA KUZUIWA
- Limesema kuzuiwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kuingia nchini humo ni hatua nzuri ya mwanzo katika kuwawajibisha wale wote walio Tanzania wanaohusika na kuizorotesha Demokrasia
Zaidi, soma https://jamii.app/SenetiSifaZuioMakonda
- Limesema kuzuiwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kuingia nchini humo ni hatua nzuri ya mwanzo katika kuwawajibisha wale wote walio Tanzania wanaohusika na kuizorotesha Demokrasia
Zaidi, soma https://jamii.app/SenetiSifaZuioMakonda
NAMNA YA KUFANYA NGOZI IWE LAINI
> Tumia mafuta ya nazi gm 250 na karoti moja ya wastani. Bandika mafuta ya nazi, weka karoti iliyosagwa. Subiri hadi karoti iwe brown
> Unaweza kuongeza manukato yoyote ikishapoa
Soma https://jamii.app/UremboNgozi
> Tumia mafuta ya nazi gm 250 na karoti moja ya wastani. Bandika mafuta ya nazi, weka karoti iliyosagwa. Subiri hadi karoti iwe brown
> Unaweza kuongeza manukato yoyote ikishapoa
Soma https://jamii.app/UremboNgozi
SPIKA NDUGAI: KAMA BUNGE LA MAREKANI LINAMSHUGHULIKIA RAIS TRUMP, NASI TUFANYE HIVYO KWA ZITTO
> Amesema, kama Bunge la Marekani linamshughulikia Rais wa nchi hiyo kwa vitendo vya kukosa uzalendo, kwa nini isiwe hivyo kwa Mbunge Zitto Kabwe aliyeisaliti nchi kwa kitendo chake cha kuandika barua Benki ya Dunia (WB) akitaka Tanzania isipewe mkopo wa Dola milioni 500 kwa ajili ya Sekta ya Elimu?
Soma - https://jamii.app/BungeUsalitiZittoWB
> Amesema, kama Bunge la Marekani linamshughulikia Rais wa nchi hiyo kwa vitendo vya kukosa uzalendo, kwa nini isiwe hivyo kwa Mbunge Zitto Kabwe aliyeisaliti nchi kwa kitendo chake cha kuandika barua Benki ya Dunia (WB) akitaka Tanzania isipewe mkopo wa Dola milioni 500 kwa ajili ya Sekta ya Elimu?
Soma - https://jamii.app/BungeUsalitiZittoWB
MWANZA: MJAMZITO APEWA KIFUNGO CHA NJE MIEZI MITATU BAADA YA KUJARIBU KUJIUA
> Dementilia Saidia (22), mkazi wa Kijiji cha Usagara alikiri kutaka kujinyonga baada ya kufukuzwa nyumbani na aliyempa ujauzito kumkataa
Soma https://jamii.app/MjamzitoKifungo
> Dementilia Saidia (22), mkazi wa Kijiji cha Usagara alikiri kutaka kujinyonga baada ya kufukuzwa nyumbani na aliyempa ujauzito kumkataa
Soma https://jamii.app/MjamzitoKifungo
JINSI YA KUPIKA SUPU MCHANGANYIKO NYAMA, FIGO, MAINI NA UDUVI
Mahitaji: Nyama ya ng’ombe 1/2 kilo, Maini 1/2 kilo, Figo 1/2 kilo, Vitunguu viwili vikubwa, Pilipili hoho tatu, Pilipili kali unazoweza kula, Limao, Chumvi, Uduvi kikombe cha chai
Jinsi ya kupika: Osha nyama, figo na maini kata kata weka pembeni. Weka limao na pilipili kukata shombo kwenye nyama kisha chemsha iive
> Nyama ikiiva osha uduvi (pia huitwa duvi, kijino au ushimbu) weka. Baada ya dakika kumi weka figo, pilipili hohoho na vitunguu vilivyokatwa vidogovidogo
> Kwa kuwa maini hayachelewi kuiva yaweke mwisho na yakiiva supu iko tayari. Weka chumvi na limao...
Mahitaji: Nyama ya ng’ombe 1/2 kilo, Maini 1/2 kilo, Figo 1/2 kilo, Vitunguu viwili vikubwa, Pilipili hoho tatu, Pilipili kali unazoweza kula, Limao, Chumvi, Uduvi kikombe cha chai
Jinsi ya kupika: Osha nyama, figo na maini kata kata weka pembeni. Weka limao na pilipili kukata shombo kwenye nyama kisha chemsha iive
> Nyama ikiiva osha uduvi (pia huitwa duvi, kijino au ushimbu) weka. Baada ya dakika kumi weka figo, pilipili hohoho na vitunguu vilivyokatwa vidogovidogo
> Kwa kuwa maini hayachelewi kuiva yaweke mwisho na yakiiva supu iko tayari. Weka chumvi na limao...
MAHAKAMA NCHINI KENYA YASITISHA USAJILI LAINI KWA ALAMA ZA VIDOLE
> Mahakama Kuu imesitisha mfumo wa usajili wa wananchi kwa Alama za Vidole hadi Sheria ya kulinda taarifa itakapopitishwa
> Pia, imesema kukusanya taarifa za eneo (GPS) na Vinasaba (DNA) ni kinyume na Katiba ya nchi
Soma - https://jamii.app/BanFingerprintRegistration
> Mahakama Kuu imesitisha mfumo wa usajili wa wananchi kwa Alama za Vidole hadi Sheria ya kulinda taarifa itakapopitishwa
> Pia, imesema kukusanya taarifa za eneo (GPS) na Vinasaba (DNA) ni kinyume na Katiba ya nchi
Soma - https://jamii.app/BanFingerprintRegistration
MOSHI: WATU 20 WAFARIKI KATIKA MAHUBIRI YA MWAMPOSA
- Wamefariki Jana katika Kongamano la Mhubiri Boniface Mwamposa 'Bulldozer' wakati wa harakati za kukanyaga Mafuta ya Upako
- Vifo vinaweza kuongezeka maana hakuna taarifa rasmi za majeruhi
Zaidi, soma https://jamii.app/Watu20Wafariki-Mwamposa
- Wamefariki Jana katika Kongamano la Mhubiri Boniface Mwamposa 'Bulldozer' wakati wa harakati za kukanyaga Mafuta ya Upako
- Vifo vinaweza kuongezeka maana hakuna taarifa rasmi za majeruhi
Zaidi, soma https://jamii.app/Watu20Wafariki-Mwamposa
BIASHARA UNAZOWEZA KUFANYA BILA MTAJI
> Kuuza wazo/Mpango wa Biashara. Mpango wako wa biashara utafutie Hakimiliki. Kisha Uza Mpango wako
> Kuwa Mtafiti wa Bidhaa. Mfikishe anayehitaji kitu kwa mwenye nacho, kisha faidi kamisheni
Soma https://jamii.app/BiasharaUjasiliamali
#JFLeo
> Kuuza wazo/Mpango wa Biashara. Mpango wako wa biashara utafutie Hakimiliki. Kisha Uza Mpango wako
> Kuwa Mtafiti wa Bidhaa. Mfikishe anayehitaji kitu kwa mwenye nacho, kisha faidi kamisheni
Soma https://jamii.app/BiasharaUjasiliamali
#JFLeo
UPDATE: MWAMPOSA ATAKIWA POLISI KWA MAHOJIANO
- Mchungaji Boniface Mwamposa ‘Bulldozer’ anatafutwa kutokana na vifo vya Watu 20 vilivyotokea katika Kongamano lake
- Polisi imesema imemfuatilia bila mafanikio katika viwanja vya ndege
Zaidi, soma https://jamii.app/MwamposaPolisi
- Mchungaji Boniface Mwamposa ‘Bulldozer’ anatafutwa kutokana na vifo vya Watu 20 vilivyotokea katika Kongamano lake
- Polisi imesema imemfuatilia bila mafanikio katika viwanja vya ndege
Zaidi, soma https://jamii.app/MwamposaPolisi
UPDATE: #CoronaVirus vimeua watu 305 huku Watu 14,300 wakiathirika Ulimwenguni kote
- #Virusi hivyo vimethibitika katika Mataifa 25 tangu vigundulike katika Mji wa #Wuhan huko #China
- Mataifa yanaendelea kutoa Watu wao China huku mengine yakisitisha safari za huko
- #Virusi hivyo vimethibitika katika Mataifa 25 tangu vigundulike katika Mji wa #Wuhan huko #China
- Mataifa yanaendelea kutoa Watu wao China huku mengine yakisitisha safari za huko
MWAMPOSA (ANAYETAFUTWA NA POLISI) AENDESHA IBADA JIJINI DAR
> Wakati Polisi wakidai kumtafuta bila mafanikio, Mwamposa yupo anaendesha ibada kanisani kwake Kawe jijini Dar huku kukiwa na ulinzi mkali
> Inadaiwa watu wanadhibitiwa kupiga picha bila kibali na inasemekana ibada ya leo itaisha saa 6 kamili mchana
> Wakati Polisi wakidai kumtafuta bila mafanikio, Mwamposa yupo anaendesha ibada kanisani kwake Kawe jijini Dar huku kukiwa na ulinzi mkali
> Inadaiwa watu wanadhibitiwa kupiga picha bila kibali na inasemekana ibada ya leo itaisha saa 6 kamili mchana
BONIFACE MWAMPOSA ATIWA MBARONI
> Jeshi la Polisi jijini Dar limemtia mbaroni Mwamposa (almaarufu Bulldozer) kufuatia vifo vya watu 20 na majeruhi 16 huko Moshi, Kilimanjaro
> Mwamposa aliwaaga waumini wake mchana huu kuwa anaenda Moshi kuitikia wito wa Polisi
> Waziri Simbachawene amethibitisha kukamatwa kwa Mwamposa
> Jeshi la Polisi jijini Dar limemtia mbaroni Mwamposa (almaarufu Bulldozer) kufuatia vifo vya watu 20 na majeruhi 16 huko Moshi, Kilimanjaro
> Mwamposa aliwaaga waumini wake mchana huu kuwa anaenda Moshi kuitikia wito wa Polisi
> Waziri Simbachawene amethibitisha kukamatwa kwa Mwamposa
PALESTINA YASITISHA MAHUSIANO YOTE NA MAREKANI NA ISRAEL
> Rais wa Palestina, Mahmoud Abbas amesitisha mahusiano yote na Marekani na Israel, yakiwemo yanayohusiana na usalama, baada ya kuupinga Mpango wa Amani wa Mashariki ya Kati uliopendekezwa na Rais Donald Trump
Zaidi, soma - https://jamii.app/PlstCutsRelationsIsraelUS
> Rais wa Palestina, Mahmoud Abbas amesitisha mahusiano yote na Marekani na Israel, yakiwemo yanayohusiana na usalama, baada ya kuupinga Mpango wa Amani wa Mashariki ya Kati uliopendekezwa na Rais Donald Trump
Zaidi, soma - https://jamii.app/PlstCutsRelationsIsraelUS