SERIKALI YAOMBWA KUSAIDIA KUTAFUTA MIILI YA WAVUVI WATATU WALIOZAMA BAHARI KUU SIKU KUMI ZILIZOPITA
> Akiongea na JamiiForums ndugu wa waliozama baharini amesema, wavuvi hao walienda kuvua, siku hiyo bahari ilichafuka ndipo boti yao ikazama
Soma https://jamii.app/WavuviWatatuWapotea
> Akiongea na JamiiForums ndugu wa waliozama baharini amesema, wavuvi hao walienda kuvua, siku hiyo bahari ilichafuka ndipo boti yao ikazama
Soma https://jamii.app/WavuviWatatuWapotea
#IjueKatiba: UNAJUA SERIKALI INAPATA WAPI MAMLAKA YAKE?
#KatibaTanzania, Ibara 8: Jamhuri ya Muungano wa #Tanzania ni Nchi inayofuata misingi ya #Demokrasia na #HakiYaKijamii
Wananchi ndio msingi wa Mamlaka yote na Serikali itapata Mamlaka yake yote kutoka kwa Wananchi
#JFLeo
#KatibaTanzania, Ibara 8: Jamhuri ya Muungano wa #Tanzania ni Nchi inayofuata misingi ya #Demokrasia na #HakiYaKijamii
Wananchi ndio msingi wa Mamlaka yote na Serikali itapata Mamlaka yake yote kutoka kwa Wananchi
#JFLeo
FAHAMU MMEA MKUBWA UNAOKULA NYAMA
> Mmea mkubwa unaokula nyama unajulikana kama 'Montane Pitche' aina ya 'Nepenthes Rajah' ambao una urefu wa sentimita 41
> Mmea huu hutumia maji yake kuwanasa wadudu warukao kama buibui na pia hukamata hata mijusi na vyura
-
Soma https://jamii.app/MtiUnakulaNyama
> Mmea mkubwa unaokula nyama unajulikana kama 'Montane Pitche' aina ya 'Nepenthes Rajah' ambao una urefu wa sentimita 41
> Mmea huu hutumia maji yake kuwanasa wadudu warukao kama buibui na pia hukamata hata mijusi na vyura
-
Soma https://jamii.app/MtiUnakulaNyama
MFAHAMU MTU ANAYEWEZA KUSOMA KWA HARAKA ZAIDI
> Anne Jones alisoma Kitabu cha Harry Potter chenye jumla ya kurasa 784 kwa muda wa dakika 47
> Aliweza kusoma Maneno 4,200 kwa dakika. Wastani wa kasi ya kawaida ni maneno 220 hadi 300 kwa dakika
Zaidi, soma https://jamii.app/UsomajiWaHaraka
> Anne Jones alisoma Kitabu cha Harry Potter chenye jumla ya kurasa 784 kwa muda wa dakika 47
> Aliweza kusoma Maneno 4,200 kwa dakika. Wastani wa kasi ya kawaida ni maneno 220 hadi 300 kwa dakika
Zaidi, soma https://jamii.app/UsomajiWaHaraka
MWENDELEZO: VIRUSI VYA CORONA VYAUA WATU 132
- Pamoja na vifo hivyo, takriban visa 6,000 vya #coronavirus vimethibitishwa Nchini #China
- Hadi sasa kuna zaidi ya visa 70 vilivyothibitishwa katika maeneo 17 nje ya China, vikijumlisha visa 5 vilivyopo #Marekani
#nCoV2019
- Pamoja na vifo hivyo, takriban visa 6,000 vya #coronavirus vimethibitishwa Nchini #China
- Hadi sasa kuna zaidi ya visa 70 vilivyothibitishwa katika maeneo 17 nje ya China, vikijumlisha visa 5 vilivyopo #Marekani
#nCoV2019
KANGI LUGOLA KUCHUNGUZWA NA TAKUKURU KWA UFISADI
> Uteuzi wake ulitenguliwa baada ya kuhusishwa na mkataba wa kifisadi wa zaidi ya Tsh. Trilioni 1 wa ununuzi wa vifaa vya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
> Haruhusiwi kusafiri bila TAKUKURU kuwa na taarifa
Zaidi, soma https://jamii.app/KangiLugolaPCCB
> Uteuzi wake ulitenguliwa baada ya kuhusishwa na mkataba wa kifisadi wa zaidi ya Tsh. Trilioni 1 wa ununuzi wa vifaa vya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
> Haruhusiwi kusafiri bila TAKUKURU kuwa na taarifa
Zaidi, soma https://jamii.app/KangiLugolaPCCB
FAMILIA YA MSUYA YAPEWA MIEZI MIWILI KUFANYA MAKUBALIANO YA MIRATHI
> Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imeielekeza familia hiyo kupeleka mrejesho Mahakamani baada ya muda huo kupita
> Bilionea Msuya aliuawa kwa kupigwa risasi mwaka 2013
Zaidi, soma https://jamii.app/MsuyaMaridhiano
> Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imeielekeza familia hiyo kupeleka mrejesho Mahakamani baada ya muda huo kupita
> Bilionea Msuya aliuawa kwa kupigwa risasi mwaka 2013
Zaidi, soma https://jamii.app/MsuyaMaridhiano
ARV'S ZACHANGIA KUPUNGUA KWA KASI YA SARATANI YA NGOZI (KAPOSI)
> Virusi vinavyosababisha UKIMWI wanapoingia mwilini, husababisha kushuka kwa kinga ya mwili, ambapo ngozi nayo huathirika na kusababisha Saratani, lakini baada ya mgonjwa kuanza kutumia dawa imesaidia kupunguza Saratani hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/ARVSarataniNgozi
> Virusi vinavyosababisha UKIMWI wanapoingia mwilini, husababisha kushuka kwa kinga ya mwili, ambapo ngozi nayo huathirika na kusababisha Saratani, lakini baada ya mgonjwa kuanza kutumia dawa imesaidia kupunguza Saratani hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/ARVSarataniNgozi
FAHAMU MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA KUJIAJIRI
> Jenga nidhamu: Huwezi ukawa mjasiriamali ambaye huheshimu hata muda wako wa kazi
> Tambua jamii inahitaji nini: Ni lazima uwe na uwezo wa kujua mazingira uliyopo yanahitaji kitu gani ndipo utaweza kuja na utatuzi wake
> Fanya bidii kuliko wengine: Tambua kuwa kila mtu anaweza kuwa mjasiriamali, lakini tofauti huja katika bidii wanayoweka katika shughuli waliyochagua
Zaidi, soma https://jamii.app/MsingiKujiajiri
> Jenga nidhamu: Huwezi ukawa mjasiriamali ambaye huheshimu hata muda wako wa kazi
> Tambua jamii inahitaji nini: Ni lazima uwe na uwezo wa kujua mazingira uliyopo yanahitaji kitu gani ndipo utaweza kuja na utatuzi wake
> Fanya bidii kuliko wengine: Tambua kuwa kila mtu anaweza kuwa mjasiriamali, lakini tofauti huja katika bidii wanayoweka katika shughuli waliyochagua
Zaidi, soma https://jamii.app/MsingiKujiajiri
BILIONI 5.9 ZATUMIKA KUBORESHA UPATIKANAJI WA ELIMU KWA WANAFUNZI WENYE UHITAJI MAALUMU
> Zimenunua na kusambaza Vifaa vya Elimu Saidizi katika Shule za Msingi na Sekondari
> Pia, imejenga shule inayoweza kuhudumia watu 640 wenye Mahitaji maalumu
Zaidi, soma https://jamii.app/ICTShuleni
> Zimenunua na kusambaza Vifaa vya Elimu Saidizi katika Shule za Msingi na Sekondari
> Pia, imejenga shule inayoweza kuhudumia watu 640 wenye Mahitaji maalumu
Zaidi, soma https://jamii.app/ICTShuleni
FAHAMU HAYA KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
- #Coronaviruses vinavyopatikana zaidi kwa Wanyama, mara machache virusi hivyo vinaweza kuambukizwa kutoka kwa Mnyama kwenda kwa Binadamu
- Huwafanya Watu kuugua katika sehemu ya juu ya mfumo wa upumuaji sawa na mafua ya kawaida
Zaidi, soma https://jamii.app/FahamuCoronaVirus
#JFAfya
- #Coronaviruses vinavyopatikana zaidi kwa Wanyama, mara machache virusi hivyo vinaweza kuambukizwa kutoka kwa Mnyama kwenda kwa Binadamu
- Huwafanya Watu kuugua katika sehemu ya juu ya mfumo wa upumuaji sawa na mafua ya kawaida
Zaidi, soma https://jamii.app/FahamuCoronaVirus
#JFAfya
UNAFAHAMU KWA NAMNA GANI UNAWEZA KUPUNGUZA USAMBAAJI WA CORONA?
- Hakuna Kinga ya #coronavirus kwa sasa, ila usambaaji wake kwa Binadamu unaweza kupunguzwa kwa Kuosha mikono yako mara kwa mara kwa maji na sabuni
- Epuka kugusa macho, mdomo na pua kwa mikono isiyooshwa
Zaidi, soma https://jamii.app/FahamuCoronaVirus
#JFAfya
- Hakuna Kinga ya #coronavirus kwa sasa, ila usambaaji wake kwa Binadamu unaweza kupunguzwa kwa Kuosha mikono yako mara kwa mara kwa maji na sabuni
- Epuka kugusa macho, mdomo na pua kwa mikono isiyooshwa
Zaidi, soma https://jamii.app/FahamuCoronaVirus
#JFAfya
MWANZA: UKEREWE YALALAMIKIA BEI KUBWA YA UMEME KWA UNIT 1
> Imeelezwa leo Bungeni kuwa, Watumiaji wa umeme katika Wilaya ya Ukerewe wanatumia nishati hiyo kwa gharama ya Tsh. 2,500 kwa Unit moja badala ya Tsh. 100 inayotozwa kwa maeneo mengine
> Serikali imemuagiza Mkuu wa Mkoa huo kufuatilia kuhusu gharama za umeme wanazotozwa Wananchi
Zaidi, soma https://jamii.app/GharamaUmemeUkerewe
> Imeelezwa leo Bungeni kuwa, Watumiaji wa umeme katika Wilaya ya Ukerewe wanatumia nishati hiyo kwa gharama ya Tsh. 2,500 kwa Unit moja badala ya Tsh. 100 inayotozwa kwa maeneo mengine
> Serikali imemuagiza Mkuu wa Mkoa huo kufuatilia kuhusu gharama za umeme wanazotozwa Wananchi
Zaidi, soma https://jamii.app/GharamaUmemeUkerewe
SERIKALI YATENGA MAENEO KWA WATAKAOGUNDULIKA KUWA NA #CORONA
> Maeneo hayo ni Mawenzi (Kilimanjaro), Buswelu (Mwanza) na Kigamboni (Dar es Salaam)
> Wizara ya Afya inafanya uchunguzi kwa wasafiri wote kutoka Bara la Asia, kwenye mipaka na wanaoingia nchini kupitia Viwanja wa Ndege vilivyopo Dar es Salaam, Kilimanjaro na Mwanza
Zaidi, soma https://jamii.app/MaeneoWagonjwaCorona
> Maeneo hayo ni Mawenzi (Kilimanjaro), Buswelu (Mwanza) na Kigamboni (Dar es Salaam)
> Wizara ya Afya inafanya uchunguzi kwa wasafiri wote kutoka Bara la Asia, kwenye mipaka na wanaoingia nchini kupitia Viwanja wa Ndege vilivyopo Dar es Salaam, Kilimanjaro na Mwanza
Zaidi, soma https://jamii.app/MaeneoWagonjwaCorona
HUJAOA WALA KUOLEWA: JE, UNAKUTANA NA CHANGAMOTO GANI KATIKA JAMII?
> Mdau kutoka JamiiForums anasema, Jamii zetu za Kiafrika zinafuatilia sana suala za ndoa na kuzaa bila kuelewa kuwa kuna mambo mengi yanayosababisha vijana wachelewe kuoa au kuolewa
> Anasema, kuna watu wanapenda ndoa na wanatamani kupata watoto lakini hawajabahatika kupata wenza wa kuishi nao na kuanzisha familia
Je, wewe unapitia changamoto zipi?
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/ChangamotoKuoaKuolewa
> Mdau kutoka JamiiForums anasema, Jamii zetu za Kiafrika zinafuatilia sana suala za ndoa na kuzaa bila kuelewa kuwa kuna mambo mengi yanayosababisha vijana wachelewe kuoa au kuolewa
> Anasema, kuna watu wanapenda ndoa na wanatamani kupata watoto lakini hawajabahatika kupata wenza wa kuishi nao na kuanzisha familia
Je, wewe unapitia changamoto zipi?
Kwa mjadala zaidi - https://jamii.app/ChangamotoKuoaKuolewa
MIRUMBA, KATAVI: AFISA MTENDAJI AMPA MIMBA BINTI YAKE WA KAMBO WA KIDATO CHA PILI
> Polisi imesema, mtuhumiwa amekamatwa na anaendelea kuhojiwa
> Baba mzazi amesema shauri hilo haliwezi kuisha kwa maelewano nje ya Mahakama
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaMimbaMwanae
> Polisi imesema, mtuhumiwa amekamatwa na anaendelea kuhojiwa
> Baba mzazi amesema shauri hilo haliwezi kuisha kwa maelewano nje ya Mahakama
Zaidi, soma https://jamii.app/AfisaMimbaMwanae
ULINZI WA KIDIGITALI: JE, UTAJUAJE KAMA MAZUNGUMZO KUPITIA SIMU YAKO YANAFUATILIWA?
> Fuata njia zofuatazo ili kujua kama kuna mtu anafuatilia mazungumzo kwenye Simu yako. Njia hii inatumika kwenye Simu janja (Smart Phone na zile za kawaida)
> Anza kwa kupiga *#61# kisha bonyeza alama ya kupiga kama italeta majibu “FORWARDED“ basi ujue kuna mtu anafuatilia mazungumzo/ujumbe mfupi wa maneno unazotuma
> Na iwapo itaonyesha neno “NOT FORWARDED” basi tambua kuwa uko salama katika mazungumzo na jumbe fupe unazozituma kupitia simu yako
> Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kufuatilia mazungumzo yako piga ##21# na utaondoa
> Fuata njia zofuatazo ili kujua kama kuna mtu anafuatilia mazungumzo kwenye Simu yako. Njia hii inatumika kwenye Simu janja (Smart Phone na zile za kawaida)
> Anza kwa kupiga *#61# kisha bonyeza alama ya kupiga kama italeta majibu “FORWARDED“ basi ujue kuna mtu anafuatilia mazungumzo/ujumbe mfupi wa maneno unazotuma
> Na iwapo itaonyesha neno “NOT FORWARDED” basi tambua kuwa uko salama katika mazungumzo na jumbe fupe unazozituma kupitia simu yako
> Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kufuatilia mazungumzo yako piga ##21# na utaondoa
MTOTO WA MIAKA TISA AANZISHA BIASHARA NDOGO YA KUAJIRI WALEMAVU TU
> Camden Myers ambaye ni Mmarekani Mweusi ameunda kiwanda cha kahawa ambacho kinaajiri Walemavu tu
> Wafanyakazi wa kiwanda chake ni Wanafunzi wa Shule ya Walemavu ya Winston-Salem
Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaWalemavu
> Camden Myers ambaye ni Mmarekani Mweusi ameunda kiwanda cha kahawa ambacho kinaajiri Walemavu tu
> Wafanyakazi wa kiwanda chake ni Wanafunzi wa Shule ya Walemavu ya Winston-Salem
Zaidi, soma https://jamii.app/BiasharaWalemavu