ETHIOPIA: UKAME WAFANYA WATU MILIONI 7 KUHITAJI MSAADA WA CHAKULA
> Ethiopia wanahitaji msaada utakaogharimu dola bilioni 1 sawa na Tsh. trilioni 2.3
> Hali ya ukame wa mara kwa mara umeathiri vibaya uchumi na maisha ya watu
Soma zaidi https://jamii.app/ChakulaEthiopia
> Ethiopia wanahitaji msaada utakaogharimu dola bilioni 1 sawa na Tsh. trilioni 2.3
> Hali ya ukame wa mara kwa mara umeathiri vibaya uchumi na maisha ya watu
Soma zaidi https://jamii.app/ChakulaEthiopia
MJUE RAIS WA KWANZA WA MALAWI, KAMUZU BANDA
> Kamuzu maana yake ni Mzizi kwa lugha ya Kichewa huko Malawi. Inasemekana, alipewa jina hili kwa kuwa Mama yake alitumia Dawa za Mitishamba ili kushika Mimba
> Baada kukaa nje ya nchi kwa muda mrefu, miaka ya 1945 alirudi Malawi na kuanza Harakati za Ukombozi na Mwaka 1959 Harakati za Uhuru ziliongezeka na alikamatwa na kuwekwa jela kwa miezi 11
> Aprili 1960 alitolewa gerezani, Februari 1963 alikuwa Waziri Mkuu wa Nyasaland na Mwaka 1964 aliongoza nchi kwenye Uhuru Kamili na aliamua kubadilisha jina kutoka Nyasaland kuwa "Malawi"
Zaidi, soma - https://jamii.app/Banda1stPresdMalawi
#JFHistoria
> Kamuzu maana yake ni Mzizi kwa lugha ya Kichewa huko Malawi. Inasemekana, alipewa jina hili kwa kuwa Mama yake alitumia Dawa za Mitishamba ili kushika Mimba
> Baada kukaa nje ya nchi kwa muda mrefu, miaka ya 1945 alirudi Malawi na kuanza Harakati za Ukombozi na Mwaka 1959 Harakati za Uhuru ziliongezeka na alikamatwa na kuwekwa jela kwa miezi 11
> Aprili 1960 alitolewa gerezani, Februari 1963 alikuwa Waziri Mkuu wa Nyasaland na Mwaka 1964 aliongoza nchi kwenye Uhuru Kamili na aliamua kubadilisha jina kutoka Nyasaland kuwa "Malawi"
Zaidi, soma - https://jamii.app/Banda1stPresdMalawi
#JFHistoria
AFGHANISTAN: NDEGE YA ABIRIA YAANGUKA
> Ilianguka Kusini Magharibi ya Mji wa Kabul. Hakuna taarifa iliyotolewa kuhusiana na majeruhi
> Ndege hiyo ilianguka na kushika moto kutokana na hitilafu ya kiufundi, msemaji wa Mkoa alisema
Soma https://jamii.app/NdegeAfghanstan
> Ilianguka Kusini Magharibi ya Mji wa Kabul. Hakuna taarifa iliyotolewa kuhusiana na majeruhi
> Ndege hiyo ilianguka na kushika moto kutokana na hitilafu ya kiufundi, msemaji wa Mkoa alisema
Soma https://jamii.app/NdegeAfghanstan
#IjueKatiba: MUDA WA JAJI WA RUFANI MADARAKANI
#KatibaTanzania, Ibara 120: Kila Jaji wa Mahakama ya Rufani atalazimika kuacha kazi yake atakapotimiza umri wa miaka 65
- Jaji huyo aweza kujiuzulu kazi ya utumishi wa Serikali wakati wowote baada ya kutimiza miaka 60
#KatibaTanzania, Ibara 120: Kila Jaji wa Mahakama ya Rufani atalazimika kuacha kazi yake atakapotimiza umri wa miaka 65
- Jaji huyo aweza kujiuzulu kazi ya utumishi wa Serikali wakati wowote baada ya kutimiza miaka 60
UINGEREZA: BIKRA ZA KUTENGENEZA ZALETA MDAHALO
> Wanawake wana hatari ya kuuawa wanapoolewa bila kuwa na Bikra hivyo baadhi yao huwafuata Madaktari wa kuwafanyia upasuaji ili kuwarudishia Bikra
> Inagharimu hadi £3,000 sawa na Tsh. milioni 9
Zaidi, soma https://jamii.app/BikraUingereza
> Wanawake wana hatari ya kuuawa wanapoolewa bila kuwa na Bikra hivyo baadhi yao huwafuata Madaktari wa kuwafanyia upasuaji ili kuwarudishia Bikra
> Inagharimu hadi £3,000 sawa na Tsh. milioni 9
Zaidi, soma https://jamii.app/BikraUingereza
ULINZI WA KIDIGITALI: BAADHI YA 'BROWSER' AMBAZO HUSHAURIWI KUZITUMIA
> 1. Google Chrome: Hii ni Browser maarufu na inatumiwa na wengi sana. Browser hii inatumiwa na Kampuni ya Google kukusanya taarifa za watu. Hivyo inaelezwa kuwa Faragha ya watumiaji iko mashakani
> 2. Microsoft Internet Explorer/Edge: Browser hizi zinamilikiwa na Kampuni ya Microsoft. Internet Explorer na Edge hazielezi nini kinaendelea wakati mtumiaji akitembelea tovuti mbalimbali. Wataalam wa Ulinzi Wa Kidigitali wanaeleza kuwa si nzuri kwa usalama na faragha
> 3. Opera browser: Browser hii ilikuwa ikimilikiwa na Kampuni moja kutoka nchini Norway na ilikuwa Browser bora. Mwaka 2016 iliuzwa kwa Kampuni nyingine ya China ambapo Sera ya Faragha ilibadilishwa na kueleza wazi kuwa taarifa za watumiaji zitakusanywa na kutumwa kwa Washirika wao na yawezekana zikawa hatarini
> 1. Google Chrome: Hii ni Browser maarufu na inatumiwa na wengi sana. Browser hii inatumiwa na Kampuni ya Google kukusanya taarifa za watu. Hivyo inaelezwa kuwa Faragha ya watumiaji iko mashakani
> 2. Microsoft Internet Explorer/Edge: Browser hizi zinamilikiwa na Kampuni ya Microsoft. Internet Explorer na Edge hazielezi nini kinaendelea wakati mtumiaji akitembelea tovuti mbalimbali. Wataalam wa Ulinzi Wa Kidigitali wanaeleza kuwa si nzuri kwa usalama na faragha
> 3. Opera browser: Browser hii ilikuwa ikimilikiwa na Kampuni moja kutoka nchini Norway na ilikuwa Browser bora. Mwaka 2016 iliuzwa kwa Kampuni nyingine ya China ambapo Sera ya Faragha ilibadilishwa na kueleza wazi kuwa taarifa za watumiaji zitakusanywa na kutumwa kwa Washirika wao na yawezekana zikawa hatarini
UN: RUSHWA HUATHIRI ZAIDI WANAWAKE
> Wanawake hukumbana na rushwa wanapohitaji Huduma za Umma za Msingi kama vile afya, elimu, maji na usafi
> Wanalazimika kutoa rushwa ili kupata huduma za msingi ambazo ni asilimia kubwa ya mapato yao
Soma https://jamii.app/RushwaWanawake
> Wanawake hukumbana na rushwa wanapohitaji Huduma za Umma za Msingi kama vile afya, elimu, maji na usafi
> Wanalazimika kutoa rushwa ili kupata huduma za msingi ambazo ni asilimia kubwa ya mapato yao
Soma https://jamii.app/RushwaWanawake
ATHARI ZA POMBE KWA WAJAWAZITO NA WATOTO WATARAJIWA
> Tafiti zinaonyesha kwamba matumizi ya pombe kwa mama mjamzito yana athari lukuki kwa mtoto aliye tumboni. Mama mjamzito anywapo pombe huingia kwa mtoto kupitia kondo la nyuma. Hizi ni baadhi ya athari;
> Kudumaa kwa akili za mtoto pindi anapozaliwa, madhara ya jumla katika ukuaji wa mwili hasahasa ubongo wa mtoto
> Mtoto hupata tabu kuwakumbuka ndugu hata wale anaoshinda nao nyumbani
Kufahamu zaidi soma https://jamii.app/AthariPombeWajawazito
#JFAfya
> Tafiti zinaonyesha kwamba matumizi ya pombe kwa mama mjamzito yana athari lukuki kwa mtoto aliye tumboni. Mama mjamzito anywapo pombe huingia kwa mtoto kupitia kondo la nyuma. Hizi ni baadhi ya athari;
> Kudumaa kwa akili za mtoto pindi anapozaliwa, madhara ya jumla katika ukuaji wa mwili hasahasa ubongo wa mtoto
> Mtoto hupata tabu kuwakumbuka ndugu hata wale anaoshinda nao nyumbani
Kufahamu zaidi soma https://jamii.app/AthariPombeWajawazito
#JFAfya
MWENDELEZO: Mamlaka za China zimesema watu 106 wamepoteza maisha kutokana na Virusi vya Corona na zaidi ya watu 4,000 wameambukizwa
-
Nchi hiyo imeweka katazo kali la kusafiri ili kuzuia maambukizi zaidi, huku Mji wa Wuhan unaelezwa kuwa chanzo cha maambukizi ya Virusi hivyo
-
Idadi ya walioambukizwa kimataifa imeongezeka kukiwa na taarifa za maambukizi mapya huko Singapore na Ujerumani
-
Nchi hiyo imeweka katazo kali la kusafiri ili kuzuia maambukizi zaidi, huku Mji wa Wuhan unaelezwa kuwa chanzo cha maambukizi ya Virusi hivyo
-
Idadi ya walioambukizwa kimataifa imeongezeka kukiwa na taarifa za maambukizi mapya huko Singapore na Ujerumani
KIGOMA: MGANGA WA KIENYEJI AFUNGWA MAISHA KWA KUBAKA
- Mahakama ya Wilaya Kigoma imemhukumu mganga wa kienyeji, Venas Edward (48), mkazi wa Ujiji kutumikia kifungo hicho kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike wa miaka 8 aliyepelekewa amtibu
Soma https://jamii.app/MgangaJelaKulawiti-KGM
- Mahakama ya Wilaya Kigoma imemhukumu mganga wa kienyeji, Venas Edward (48), mkazi wa Ujiji kutumikia kifungo hicho kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike wa miaka 8 aliyepelekewa amtibu
Soma https://jamii.app/MgangaJelaKulawiti-KGM
TCRA KUANZA MSAKO WA WALE WANAOWASAJILIA WENZAO LAINI ZA SIMU
> Pia, uhakiki huo utawahusu wale waliosajili laini zao kwa kutumia kitambulisho tofauti ambapo wote watachukuliwa hatua za kisheria
> Imesema, kundi la kwanza waliozimiwa laini zao ni watu 656,091 ambao wana vitambulisho vya Taifa au Namba lakini hawajasajili laini zao
Soma - https://jamii.app/MsakoUsajiliLaini
> Pia, uhakiki huo utawahusu wale waliosajili laini zao kwa kutumia kitambulisho tofauti ambapo wote watachukuliwa hatua za kisheria
> Imesema, kundi la kwanza waliozimiwa laini zao ni watu 656,091 ambao wana vitambulisho vya Taifa au Namba lakini hawajasajili laini zao
Soma - https://jamii.app/MsakoUsajiliLaini
MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOSAFIRI NA GARI LAKO UMBALI MREFU
> Kagua hali na ubora wa magurudumu, mafuta lainishi (oil) na kiasi cha maji na kagua utendajikazi wa injini, breki, kiongeza mwendo (accelerator), usukani, taa, honi, viashiria (indicators)
> Hakikisha kabla ya safari unapata muda wa kutosha wa kupumzika ili kuepusha kusinzia barabarani
> Hakikisha unabeba vitu muhimu kama Chakula na vinywaji, kisanduku cha huduma ya kwanza, vifaa vya msingi vya matengenezo ya gari kama vile jeki, spana, tochi
Fahamu zaidi - https://jamii.app/DrivingLongDistance
#JFMagari
> Kagua hali na ubora wa magurudumu, mafuta lainishi (oil) na kiasi cha maji na kagua utendajikazi wa injini, breki, kiongeza mwendo (accelerator), usukani, taa, honi, viashiria (indicators)
> Hakikisha kabla ya safari unapata muda wa kutosha wa kupumzika ili kuepusha kusinzia barabarani
> Hakikisha unabeba vitu muhimu kama Chakula na vinywaji, kisanduku cha huduma ya kwanza, vifaa vya msingi vya matengenezo ya gari kama vile jeki, spana, tochi
Fahamu zaidi - https://jamii.app/DrivingLongDistance
#JFMagari
MICHEZO: Klabu ya TP Mazembe imetangaza kumrejesha nyota wake Raia wa Tanzania, Thomas Ulimwengu (27) kwa Mkataba wa miaka miwili na anatarajiwa kutua Lubumbashi Jumatano, Januari 29
-
Kati ya mwaka 2017 na 2018, alikuwa Sweden kwenye Timu Athletic Football Club Eskilstuna na Bosnian Club FK Sloboda Tuzla ambapo alikuwa akijaribu kutimiza ndoto zake za kupata Klabu Bora Zaidi Ulaya
-
Kati ya mwaka 2017 na 2018, alikuwa Sweden kwenye Timu Athletic Football Club Eskilstuna na Bosnian Club FK Sloboda Tuzla ambapo alikuwa akijaribu kutimiza ndoto zake za kupata Klabu Bora Zaidi Ulaya
RWANDA: WATOTO WA MITAANI WANATESWA KWENYE VITUO VYA KUBADILI TABIA
> Sheria ya mwaka 2017 inaeleza kutakuwa na kituo cha kubadili tabia watoto. Taarifa inasema, watoto waliokamatwa wanaendelea kupokea mateso katika kituo hicho
Soma https://jamii.app/RwandaKutesaWatoto
> Sheria ya mwaka 2017 inaeleza kutakuwa na kituo cha kubadili tabia watoto. Taarifa inasema, watoto waliokamatwa wanaendelea kupokea mateso katika kituo hicho
Soma https://jamii.app/RwandaKutesaWatoto
MAAFA YA MVUA: WATU 3 WAPOTEZA MAISHA
> Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha maafa ikiwemo watu 3 kupoteza maisha na watu zaidi ya 661 kukosa makazi katika Mikoa ya Lindi na Iringa
> Barabara inayounganisha Hifadhi ya Taifa ya Ruaha na Wilaya ya Iringa katika eneo la Tungamalenga imekatika
Soma - https://jamii.app/MaafaMvuaLindiIringa
> Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha maafa ikiwemo watu 3 kupoteza maisha na watu zaidi ya 661 kukosa makazi katika Mikoa ya Lindi na Iringa
> Barabara inayounganisha Hifadhi ya Taifa ya Ruaha na Wilaya ya Iringa katika eneo la Tungamalenga imekatika
Soma - https://jamii.app/MaafaMvuaLindiIringa
MTU ANAYEDHANIWA KUWA NA VIRUSI VYA CORONA ANAPATIKANA KENYA
- Inaelezwa, mtu anayedhaniwa kuwa na #CoronaVirus anachunguzwa ktk Hospitali ya Rufaa ya Kenyatta
- Aliwekwa chini ya uangalizi alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa JKIA
Soma https://jamii.app/KenyaMgonjwaCorona
#JFLeo #nCoV2019
- Inaelezwa, mtu anayedhaniwa kuwa na #CoronaVirus anachunguzwa ktk Hospitali ya Rufaa ya Kenyatta
- Aliwekwa chini ya uangalizi alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa JKIA
Soma https://jamii.app/KenyaMgonjwaCorona
#JFLeo #nCoV2019
MAAFISA WA TRA MBARONI KWA KUDAI RUSHWA YA TSH. MILIONI MOJA
> Emmanuel Ernest na Vincet Hassan, walimkamata mzigo wa 'Alminium' wenye risiti ya EFD ya tarehe ya nyuma
> Wakamdai aliyeuza mzigo awape hela ili wasichukue hatua za kisheria
Soma https://jamii.app/TRAKizimbani
> Emmanuel Ernest na Vincet Hassan, walimkamata mzigo wa 'Alminium' wenye risiti ya EFD ya tarehe ya nyuma
> Wakamdai aliyeuza mzigo awape hela ili wasichukue hatua za kisheria
Soma https://jamii.app/TRAKizimbani
JWTZ KUJENGA UWANJA WA MPIRA WA TSH. BILION 4.7 MANISPAA YA KINONDONI
> Luteni Kanali wa JWTZ amesema, ujenzi unaonyesha kukamilika kwa miezi nane lakini wao kama jeshi wataukamilisha kwa miezi sita. Wapo tayari kufanya kazi usiku na mchana
Soma https://jamii.app/JWTZUwanja
> Luteni Kanali wa JWTZ amesema, ujenzi unaonyesha kukamilika kwa miezi nane lakini wao kama jeshi wataukamilisha kwa miezi sita. Wapo tayari kufanya kazi usiku na mchana
Soma https://jamii.app/JWTZUwanja
DAWA YA VVU KUTUMIKA KWA WAGONJWA WA #CORONA
> Mkurugenzi wa Idara ya Afya wa Jiji la Beijing, China amesema, wanatumia dawa za wagonjwa wa VVU za Lopinavir na Ritonavir kusaidia wagonjwa wa homa iliyozuka ya #CoronaVirus
> Mpaka sasa hakuna tiba ya ugonjwa huo huku Marekani ikisema iko maabara kutengeneza chanjo yake
Soma - https://jamii.app/ARVUseCoronaVictims
> Mkurugenzi wa Idara ya Afya wa Jiji la Beijing, China amesema, wanatumia dawa za wagonjwa wa VVU za Lopinavir na Ritonavir kusaidia wagonjwa wa homa iliyozuka ya #CoronaVirus
> Mpaka sasa hakuna tiba ya ugonjwa huo huku Marekani ikisema iko maabara kutengeneza chanjo yake
Soma - https://jamii.app/ARVUseCoronaVictims
WANAOTUHUMIWA KUMUUA DKT. MVUNGI WADAI HAWANA IMANI NA HAKIMU
> Ni washtakiwa ktk kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dkt. Sengondo Mvungi, wamemkataa Hakimu Mwandamizi ktk Mahakama ya Kisutu, Vicky Mwaikambo
Soma https://jamii.app/MvungiHakimu
> Ni washtakiwa ktk kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dkt. Sengondo Mvungi, wamemkataa Hakimu Mwandamizi ktk Mahakama ya Kisutu, Vicky Mwaikambo
Soma https://jamii.app/MvungiHakimu