TAKUKURU YAOKOA TSH. BILIONI 4 KWENYE USHIRIKA
> Vyama vilivyofanyiwa ukaguzi ni 4,413 na kugundua viashiria vya ubadhirifu na rushwa ya Tsh. bilioni 124
> Kati ya Vyama vya Ushirika 11,410 vilivyosajiliwa, Vyama 2,103 havijulikani vilipo
Zaidi, soma https://jamii.app/TakukuruUshirika
> Vyama vilivyofanyiwa ukaguzi ni 4,413 na kugundua viashiria vya ubadhirifu na rushwa ya Tsh. bilioni 124
> Kati ya Vyama vya Ushirika 11,410 vilivyosajiliwa, Vyama 2,103 havijulikani vilipo
Zaidi, soma https://jamii.app/TakukuruUshirika
POLISI WAKANA KUMKAMATA MWANAFUNZI ANAYEDAIWA KUPIGA PICHA ZA UKOSEFU WA MAJI UDOM
- Kamanda wa Polisi Gilles Muroto amesema hana taarifa za kukamatwa kwa Mugaya Tungu
- Makamu wa Chuo, ameomba radhi kutokana na tatizo la maji chuoni hapo
Soma https://jamii.app/MwanfunziUDOMMbaroni
#JFLeo
- Kamanda wa Polisi Gilles Muroto amesema hana taarifa za kukamatwa kwa Mugaya Tungu
- Makamu wa Chuo, ameomba radhi kutokana na tatizo la maji chuoni hapo
Soma https://jamii.app/MwanfunziUDOMMbaroni
#JFLeo
KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI AJIUZULU
- Rais Magufuli amesema Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu amemuandikia barua ya kujiuzulu na amemkubalia
- Rais ameyasema hayo akiwa anazindua Nyumba za Askari Magereza zilizopo Ukonga Jijini Dar
Zaidi, soma https://jamii.app/UzinduziJengoMagereza
- Rais Magufuli amesema Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu amemuandikia barua ya kujiuzulu na amemkubalia
- Rais ameyasema hayo akiwa anazindua Nyumba za Askari Magereza zilizopo Ukonga Jijini Dar
Zaidi, soma https://jamii.app/UzinduziJengoMagereza
Baadhi ya maneno aliyoyasema Rais Magufuli leo Januari 23 wakati wa Uzinduzi wa Nyumba za Maafisa na Maaskari wa Jeshi la Magereza zilizopo Ukonga Jijini Dar
Zaidi, soma https://jamii.app/UzinduziJengoMagereza
Zaidi, soma https://jamii.app/UzinduziJengoMagereza
RAIS WA BURUNDI KUPATA TSH. BILIONI 1.15 AKISTAAFU
> Bunge limepitisha Sheria inatakayompa Rais kitita cha Tsh. Bilioni 1.15 atakapostaafu
> Na Rais akistaafu atachukuliwa kwa Hadhi ya Makamu wa Rais kwa kipindi cha miaka 7
Zaidi, soma https://jamii.app/BurundiNkurunzinza
> Bunge limepitisha Sheria inatakayompa Rais kitita cha Tsh. Bilioni 1.15 atakapostaafu
> Na Rais akistaafu atachukuliwa kwa Hadhi ya Makamu wa Rais kwa kipindi cha miaka 7
Zaidi, soma https://jamii.app/BurundiNkurunzinza
KANGI LUGOLA ANG’OLEWA KWENYE NAFASI YA UWAZIRI
- Lugola, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, amesema Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe
- Asema, ni jambo la faraja na hatua nzuri inayolenga kujenga safu ya Serikali ya Awamu ya 5
Zaidi, soma https://jamii.app/LugolaAondolewaUwaziri
- Lugola, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, amesema Rais ndiye aliyemteua na sasa ameona ampumzishe
- Asema, ni jambo la faraja na hatua nzuri inayolenga kujenga safu ya Serikali ya Awamu ya 5
Zaidi, soma https://jamii.app/LugolaAondolewaUwaziri
ANGOLA: MWANAMKE TAJIRI ZAIDI AFRIKA AFUNGULIWA MASHTAKA YA ULAGHAI
> Isabel dos Santos anashtakiwa kwa ulaghai, ufujaji fedha, usimamizi mbaya wa Ofisi, kughushi stakabadhi pamoja na uhalifu mwingine wa kiuchumi
> Isabel dos Santos pia ni mtoto wa aliyewahikuwa Rais wa Angola (mwaka 1979-2017), Jose Eduardo dos Santos
Zaidi, soma - https://jamii.app/IsabelUlaghaiAngola
> Isabel dos Santos anashtakiwa kwa ulaghai, ufujaji fedha, usimamizi mbaya wa Ofisi, kughushi stakabadhi pamoja na uhalifu mwingine wa kiuchumi
> Isabel dos Santos pia ni mtoto wa aliyewahikuwa Rais wa Angola (mwaka 1979-2017), Jose Eduardo dos Santos
Zaidi, soma - https://jamii.app/IsabelUlaghaiAngola
UGANDA: RAIA WA SUDAN AKAMATWA NA KARATASI ZINAZOBADILIKA NA KUWA DOLA BANDIA
> Duach Toang alikamatwa wakati anavuka mpaka wa Malaba, akitokea nchini Kenya
> Makaratasi hayo yanabadilika kuwa Dola bandia yanapomwagiwa kemikali
Zaidi, soma - https://jamii.app/DolaBandia-UG
> Duach Toang alikamatwa wakati anavuka mpaka wa Malaba, akitokea nchini Kenya
> Makaratasi hayo yanabadilika kuwa Dola bandia yanapomwagiwa kemikali
Zaidi, soma - https://jamii.app/DolaBandia-UG
WAMAREKANI WATATU WAFARIKI KATIKA HARAKATI ZA KUZIMA MOTO AUSTRALIA
> Ni baada ya ndege yao kuanguka wakati wanasaidia kuzima moto
> Waliofariki tangu kuanza kwa moto huo Septemba 2019 wamefikia 38
Zaidi, soma - https://jamii.app/AjaliVifo-AUS
> Ni baada ya ndege yao kuanguka wakati wanasaidia kuzima moto
> Waliofariki tangu kuanza kwa moto huo Septemba 2019 wamefikia 38
Zaidi, soma - https://jamii.app/AjaliVifo-AUS
ULINZI WA KIDIGITALI: JINSI YA KUJUA KAMA TOVUTI ULIYOTEMBELEA NI SALAMA
> Angalia kama tovuti uliyoifungua au kuitembelea ina alama ya kufuli kwenye 'URL' yake. Alama hii hutokea kabla ya 'link' iliyofungua ukurasa huo
> Tazama mfano pichani
#UlinziWaKidigitali
> Angalia kama tovuti uliyoifungua au kuitembelea ina alama ya kufuli kwenye 'URL' yake. Alama hii hutokea kabla ya 'link' iliyofungua ukurasa huo
> Tazama mfano pichani
#UlinziWaKidigitali