ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3 HAWAHUDHURII MASOMO KUTOKANA NA UGUMU WA MAISHA
> Sudan imeorodheshwa kama mojawapo ya mataifa masikini zaidi duniani
> Watoto hawawezi kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/SudanAjiraWatoto
> Sudan imeorodheshwa kama mojawapo ya mataifa masikini zaidi duniani
> Watoto hawawezi kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya maisha
Zaidi, soma https://jamii.app/SudanAjiraWatoto
ELIMU KATIBA: SEKRETARIATI YA BUNGE
- Ibara ya 88.-(1) inasema Kutakuwa na Sekretariati ya Bunge itakayokuwa na nafasi za madaraka katika utumishi wa Serikali kwa idadi atakayoagiza Rais
- (2) Sekretariati ya Bunge itakuwa na watumishi kwa idadi na ngazi za utumishi itakavyoamuliwa mara kwa mara na Tume ya Utumishi inayohusika baada ya kushauriana na Katibu wa Bunge
- Ibara ya 88.-(1) inasema Kutakuwa na Sekretariati ya Bunge itakayokuwa na nafasi za madaraka katika utumishi wa Serikali kwa idadi atakayoagiza Rais
- (2) Sekretariati ya Bunge itakuwa na watumishi kwa idadi na ngazi za utumishi itakavyoamuliwa mara kwa mara na Tume ya Utumishi inayohusika baada ya kushauriana na Katibu wa Bunge
IRAQ: KIONGOZI WA ISLAMIC STATE AKAMATWA
> Abu Abdul Bari amekamatwa na kubebwa na Lori kutokana na uzito wake wa kilo 250. Iraq imethibitisha kukamatwa kwa Kiongozi huyo
> Bari ni Mufti wa Kundi la IS na Mtaalamu wa Sheria za Dini
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/KiongoziIS
> Abu Abdul Bari amekamatwa na kubebwa na Lori kutokana na uzito wake wa kilo 250. Iraq imethibitisha kukamatwa kwa Kiongozi huyo
> Bari ni Mufti wa Kundi la IS na Mtaalamu wa Sheria za Dini
Zaidi, soma zaidi https://jamii.app/KiongoziIS
ULINZI WA KIDIGITALI: JINSI YA KUWA SALAMA UNAPOKUWA MTANDAONI
> Usifungue Link au Email kutoka kwa mtu usiyemfahamu
> Wadukuzi huambatanisha na jumbe za kuvutia. Endapo utafungua kiunganishi hicho unamruhusu mdukuzi aingilie mawasiliano yako
> Tumia Password (Nywila) iliyo Bora Zaidi
Soma > https://jamii.app/SafeBrowsing
> Usifungue Link au Email kutoka kwa mtu usiyemfahamu
> Wadukuzi huambatanisha na jumbe za kuvutia. Endapo utafungua kiunganishi hicho unamruhusu mdukuzi aingilie mawasiliano yako
> Tumia Password (Nywila) iliyo Bora Zaidi
Soma > https://jamii.app/SafeBrowsing
JamiiForums kupitia Jukwaa lake la Ajira na Tenda linakupa nafasi mdau wetu kuweza kupata nafasi mbalimbali za Kazi iwe ni Serikali, katika Mashirika ya Ndani au hata ya Kimataifa
- Kujua nafasi mbalimbali za Kazi na Tenda zilizotangazwa Nchini au Nchi za Nje kwa ajili ya Raia wa Tanzania, tembelea Jukwaa hilo, fungua https://jamii.app/JukwaaTendaAjira
- Kujua nafasi mbalimbali za Kazi na Tenda zilizotangazwa Nchini au Nchi za Nje kwa ajili ya Raia wa Tanzania, tembelea Jukwaa hilo, fungua https://jamii.app/JukwaaTendaAjira
RSF YATAKA UCHUNGUZI WA KINA KUHUSU MAUAJI YA WAANDISHI 3
> REPORTERS WITHOUT BORDERS (RSF) yadai uhakiki wa ushahidi uliotolewa katika uchunguzi wa mwanzo
> Waandishi watatu wa Urusi waliuawa na watu wasiojulikana Jamhuri ya Afrika ya Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/RSFWaandishi
> REPORTERS WITHOUT BORDERS (RSF) yadai uhakiki wa ushahidi uliotolewa katika uchunguzi wa mwanzo
> Waandishi watatu wa Urusi waliuawa na watu wasiojulikana Jamhuri ya Afrika ya Kati
Zaidi, soma https://jamii.app/RSFWaandishi
MICHEZO: Klabu ya Aston Villa @AVFCOfficial ya nchini England yatangaza rasmi kumsajili Mbwana Samatta kutoka Klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji
> Samatta amesaini kandarasi kuitumikia Klabu hiyo kwa muda wa miaka 4 na nusu
#JFSports #KaribuSamatta
> Samatta amesaini kandarasi kuitumikia Klabu hiyo kwa muda wa miaka 4 na nusu
#JFSports #KaribuSamatta
SHINYANGA: MBARONI KWA KUTOZA WATU FEDHA ILI WASAJILI LAINI
- Afisa wa NIDA, Haruna Mushi na Wakala wa Usajili Laini, Victor Vicent wanatuhumiwa kutoza Wananchi Tsh. 30,000 ili wawape Namba za NIDA na kusajili laini zao kwa Alama za Vidole
Zaidi, soma https://jamii.app/WakalaAfisaNIDA-Mbaroni
- Afisa wa NIDA, Haruna Mushi na Wakala wa Usajili Laini, Victor Vicent wanatuhumiwa kutoza Wananchi Tsh. 30,000 ili wawape Namba za NIDA na kusajili laini zao kwa Alama za Vidole
Zaidi, soma https://jamii.app/WakalaAfisaNIDA-Mbaroni
ADHABU YA KOSA: Kwa mujibu wa Sheria ya Kuzia na Kupambana na Rushwa Na. 11 ya Mwaka 2007, Kifungu cha 34 (1) kinasema Mtu huyo atakuwa ametenda Kosa na atawajibika kwa kulipa faini isiyozidi Tsh. Milioni 10 au kwenda Jela kwa Kifungo kisichozidi miaka 7 au vyote kwa pamoja
#KemeaRushwa
#KemeaRushwa
ZIJUE TOFAUTI ZA MCHUMI NA MBAHILI
> Mbahili huona pesa kama rasilimali pekee ya kuikuza (Maximize) hivyo hupoteza rasilimali nyingine na mara nyingine hata pesa aliyonayo
> Mchumi hukuza rasimali inayohitajika zaidi kwa wakati husika kwa kuwa huangalia ni rasilimali ipi ya kuikuza kwa wakati alionao
Zaidi, tembelea https://jamii.app/MhumiMbahili
> Mbahili huona pesa kama rasilimali pekee ya kuikuza (Maximize) hivyo hupoteza rasilimali nyingine na mara nyingine hata pesa aliyonayo
> Mchumi hukuza rasimali inayohitajika zaidi kwa wakati husika kwa kuwa huangalia ni rasilimali ipi ya kuikuza kwa wakati alionao
Zaidi, tembelea https://jamii.app/MhumiMbahili
TABIBU AKAMATWA KWA KUMUOMBA MGONJWA RUSHWA NA KUMFANYIA UPASUAJI BILA UJUZI
> Eliud Humbo aliomba Tsh. 100,000 ili kumfanyia mgonjwa upasuaji wa Ngiri
> Alitoa utumbo wake nje na kwasababu hana Utaalamu, alishindwa kumaliza upasuaji huo
Zaidi, soma - https://jamii.app/RushwaUpasuajiRukwa
> Eliud Humbo aliomba Tsh. 100,000 ili kumfanyia mgonjwa upasuaji wa Ngiri
> Alitoa utumbo wake nje na kwasababu hana Utaalamu, alishindwa kumaliza upasuaji huo
Zaidi, soma - https://jamii.app/RushwaUpasuajiRukwa
COMPARITECH: TANZANIA YA KWANZA KWA SERA MBOVU ZA USAJILI WA LAINI, YA NNE KWA ULINZI MBOVU WA MTANDAO
> Usajili wa kutumia Alama za Vidole unaongeza hatari ya faragha za wateja
> 28.3% ya Simu na 14.7% ya Kompyuta zake zina 'Malwares'
Zaidi, soma https://jamii.app/SeraMbovu
> Usajili wa kutumia Alama za Vidole unaongeza hatari ya faragha za wateja
> 28.3% ya Simu na 14.7% ya Kompyuta zake zina 'Malwares'
Zaidi, soma https://jamii.app/SeraMbovu
KENYA: WATU MASHUHURI WENYE SHUTUMA ZA UHALIFU KUONDOLEWA ULINZI
- Polisi imesema wataondolewa ulinzi hadi Mahakama itakapothibitisha tofauti
- Uamuzi umekuja siku chache tangu Mbunge wa Embakasi Mashariki, Babu Owino kumjeruhi DJ kwa risasi
Zaidi, soma https://jamii.app/SecurityDetailVIP-KE
- Polisi imesema wataondolewa ulinzi hadi Mahakama itakapothibitisha tofauti
- Uamuzi umekuja siku chache tangu Mbunge wa Embakasi Mashariki, Babu Owino kumjeruhi DJ kwa risasi
Zaidi, soma https://jamii.app/SecurityDetailVIP-KE
TAKWIMU ZINAONESHA SARATANI IPO KWA WANAWAKE KWA ASILIMIA 70
> Saratani zinazoongoza ni ya Shingo ya Kizazi (37.5%) na Saratani ya Matiti (11%)
> Ocean Road ina matukio 16,546 ya Saratani mbalimbali wakati Bugando ina matukio 4,562
Zaidi, soma - https://jamii.app/WanawakeSarataniUtafiti
> Saratani zinazoongoza ni ya Shingo ya Kizazi (37.5%) na Saratani ya Matiti (11%)
> Ocean Road ina matukio 16,546 ya Saratani mbalimbali wakati Bugando ina matukio 4,562
Zaidi, soma - https://jamii.app/WanawakeSarataniUtafiti
KIBAHA, PWANI: MAITI YA MTOTO WA DARASA LA PILI YAKUTWA IKIWA NA MICHUBUKO SEHEMU ZA SIRI
> Mtoto huyo alipotea tangu Januari 14, 2020 akiwa anatoka Gulioni
> Mwili wake ulikutwa ndani ya Nyumba inayoendelea kujengwa, Januari 19, 2020
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoSiri
> Mtoto huyo alipotea tangu Januari 14, 2020 akiwa anatoka Gulioni
> Mwili wake ulikutwa ndani ya Nyumba inayoendelea kujengwa, Januari 19, 2020
Zaidi, soma https://jamii.app/MtotoSiri
TCRA: LAINI ZA SIMU ZISIZOSAJILIWA KUZIMWA KWA AWAMU
- Kundi la kwanza ni wenye Vitambulisho vya Taifa au Namba ila hawajasajili
- Kundi la pili ni waliosajili laini zao kwa Kitambulisho cha Taifa kabla ya kuanza mfumo wa Alama za Vidole
Zaidi, soma https://jamii.app/LainiKuzimwaAwamu
- Kundi la kwanza ni wenye Vitambulisho vya Taifa au Namba ila hawajasajili
- Kundi la pili ni waliosajili laini zao kwa Kitambulisho cha Taifa kabla ya kuanza mfumo wa Alama za Vidole
Zaidi, soma https://jamii.app/LainiKuzimwaAwamu
BUKOMBE, GEITA: DAKTARI KIZIMBANI KWA KUMBAKA MJAMZITO
- Daktari wa Zahanati ya Lugunga, Emmanuel Mpanduhi anatuhumiwa kumchoma sindano 4 mjamzito (20) na kumbaka
- Inadaiwa ni baada ya Mjamzito huyo kuomba dawa kuzuia mimba yake isitoke
Zaidi, soma https://jamii.app/DaktariAmbakaMjamzito-GIT
- Daktari wa Zahanati ya Lugunga, Emmanuel Mpanduhi anatuhumiwa kumchoma sindano 4 mjamzito (20) na kumbaka
- Inadaiwa ni baada ya Mjamzito huyo kuomba dawa kuzuia mimba yake isitoke
Zaidi, soma https://jamii.app/DaktariAmbakaMjamzito-GIT
MBUNGE AOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
> Susan Lyimo ameshauri Serikali kutoa elimu kuhusu tatizo hilo ili kunusuru ndoa
> Dkt. Ndugulile amesema Muhimbili itaanza kutoa Huduma ya Ugumba
Zaidi, soma - https://jamii.app/WanaumeAfyaSerikali
> Susan Lyimo ameshauri Serikali kutoa elimu kuhusu tatizo hilo ili kunusuru ndoa
> Dkt. Ndugulile amesema Muhimbili itaanza kutoa Huduma ya Ugumba
Zaidi, soma - https://jamii.app/WanaumeAfyaSerikali
DRC: RAIS FELIX TSHEKISEKEDI ATISHIA KUVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI
> Amesema, Wapinzani wanaoegemea Mrengo wa Rais wa Zamani (Kabila) wanampa taabu kutimiza majukumu yake, atuvunja Bunge kama itambidi
> Pia, amekanusha madai ya kuigawa Nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/DRCMawaziri
> Amesema, Wapinzani wanaoegemea Mrengo wa Rais wa Zamani (Kabila) wanampa taabu kutimiza majukumu yake, atuvunja Bunge kama itambidi
> Pia, amekanusha madai ya kuigawa Nchi hiyo
Zaidi, soma https://jamii.app/DRCMawaziri
MAGOMENI, DAR: WATU WATATU WAUAWA BAADA YA KUWASHAMBULIA POLISI KWA RISASI
> Polisi wamesema, watu hao wanasadikiwa kuwa ni majambazi
> Pia, wamekamata Bastola 1 iliyokuwa imefutwa namba na ilikuwa na 'Magazine' iliyokuwa na risasi moja
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiMajambazi
> Polisi wamesema, watu hao wanasadikiwa kuwa ni majambazi
> Pia, wamekamata Bastola 1 iliyokuwa imefutwa namba na ilikuwa na 'Magazine' iliyokuwa na risasi moja
Zaidi, soma https://jamii.app/PolisiMajambazi